VITA" CHADEMA WATOA TAMKO ZITO MCHANA HUU SAKATA LA KUTEKWA VIONGOZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • VITA" CHADEMA WATOA TAMKO ZITO MCHANA HUU SAKATA LA KUTEKWA VIONGOZI

Комментарии • 34

  • @MohamedyMsagati
    @MohamedyMsagati 15 дней назад +6

    Bunge limetukataa na mahakama nayo imetukataa sasa si bora hivi vyombo visiwepo tu tujue tumebaki na serikali inayoendelea kutudidimiza kila siku

  • @HOSEAHALLAN-tt3gx
    @HOSEAHALLAN-tt3gx 15 дней назад +2

    Asante kaka viogozi wa sasa nivitukotu yani tumechoka naujiga sasa

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 15 дней назад +2

    Yaaah🎉 Mambo aya yanayoendelea mtu asishangilie ayajamkuta kwasasa police ipo kwaajili ya CCM mahakama ni kwaajili ya CCM bunge hatuna la wananchi bali ni bunge la CCM tuuuu ukweli ndio uho ,,sijui awaviongozi wa dini wanalichukuliaje suala ili la ushetani ndani ya nchi hii kumilikiwa na watu wachache bila kujali wananchi😮😮😮

    • @janeshija6638
      @janeshija6638 15 дней назад

      Kwa sasa hakuna hata kwenda kanisani. Viongozi wa fini hawana msaada wowote. Hata kutoa sadaka hakuna haja. Makanisa mengi Maasakofu wao ni wanafiki kutwa wako pembeni mwa serikali. Ndio maana wanashindwa kuinyooshea kidole serikali.

  • @lovoisaing2007
    @lovoisaing2007 15 дней назад +2

    Mungu atusaidie

  • @user-jz1or4mb7q
    @user-jz1or4mb7q 15 дней назад +2

    Hatari sana!

  • @rizikiponsiano-iw1ou
    @rizikiponsiano-iw1ou 15 дней назад

    This guy knows how to paraphrase complex
    Issues in a simple languages with vivid references for us yo learn

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 15 дней назад

    Ameshawaamuru majeshi wajiandae na Leo ameonyesha mabasi

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 14 дней назад

    Tanzania imeisha

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d 15 дней назад +1

    Mayooooo mwanangu

  • @zabronmdoe4398
    @zabronmdoe4398 14 дней назад

    Vita?Anaye watuma ham tamtamwona,1964,Amin !Anzeni waowata maliza,Mna tukana Jeshi?Kiapo mnacho?Ulizeni ukwadi nimajuto

  • @fastonsambo-du4rd
    @fastonsambo-du4rd 14 дней назад

    Baadhi ya taasisi hazisemi ukweli Kwa sababu aidha wanaiogopa serikali au wanajipendekeza Kwa serikali Kwa manufaa Yao binafsi

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8g 15 дней назад +1

    Hatari sn

  • @JekobuNgwara
    @JekobuNgwara 15 дней назад

    Baba namimi nimeona wachungaji wako bize nahela utuni pesa Dunia imekwisha wachungaji hawamuogopi mungu wanaogopa ccm ole mao wabudu sanam

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 15 дней назад +1

    True

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz 15 дней назад

    Pakukimbilia niwapi hao ndiyo wanayotenda tena mkibilie kwao tena nichangamote

  • @matrida-w3o
    @matrida-w3o 15 дней назад

    walaaniwe wanaoteka watu pamoja naviogozi wawo

  • @zabronmdoe4398
    @zabronmdoe4398 14 дней назад

    Piga ngumi msumri,Mnajua Ditension! Genesis hizo nchi,ni laana msiige Tembo kunya

  • @AnnaFelix-p1z
    @AnnaFelix-p1z 15 дней назад

    Nikweli tutaisha

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 15 дней назад

    Wananchi tuwakatae pia hao wawekezaji wa aina hii.

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu 15 дней назад

    Viongozi wetu nishida

  • @user-zy5ru7pu9m
    @user-zy5ru7pu9m 15 дней назад

    Wallah Tanzania inamaajabu. Ni nchi yapekee ambayo kunatekwa watu wanapelekwa kusiko juulikana. Kwasababu hawajulikani , achatu tutukanwe Ni nchi jirani Kama Kenya waendeleee kusema hatuna jeshi kamili lakulinda raia namali zao. Na ndio iwehivo.

  • @GraceDeo-g1n
    @GraceDeo-g1n 15 дней назад

    Mungu ndo amebaki kututetea ila sisi wenyewe ujinga wetu tuwakatae hawa majambazi

  • @JekobuNgwara
    @JekobuNgwara 15 дней назад

    Baba wameleta u t I vinywanji vyote sum walabu kwao masikini eti wawekezaji vyakula vyote tumeletewa feki eti gombe wachomwe shindano kisa kupandikizwa sum

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 15 дней назад +1

    Toka ww! Waandishi wa habar hawako salama wap? Ww unatafuta huruma ya wajinga ili wakupe ulaji hao watu wanaotekwa ninyi ni wahusika wakubwa na mnawapanga watu ili waseme wamepotelewa na ndg zao. Ww mjinga ulidanganya watu kuwa unataka kuuawa sasa Magu hayupo leo nan anateka watu? Ninyi ndyo watekaji unapayuka payuka tu huna lolote unataka kuvuruga nchi yetu bwege ww peleka huko utumwa wako

    • @StevenGendo-vx9jo
      @StevenGendo-vx9jo 15 дней назад

      Kuma la mama ako mbwa usiuejielewa tomba nyoko 5:43

  • @angelsulle7177
    @angelsulle7177 12 дней назад

    Mnamwaga pofu Bure hakuna hatua mnayochukua usiwapigie kelele maaskofu wewe huna mamlaka ya kuwapangia chakufanya. Wewe na Lisu na Mbowe mnafanya nini? Kama aliyoongea Fr.Kitima huyaelewi payuka saaaana

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 15 дней назад

    We. Lifisiemu pita kule tuache tusikilize masuala ya msingi kama unabanwa mavi kanye

  • @gelamuyombo6783
    @gelamuyombo6783 15 дней назад

    Lema usitegemee kupata madaraka kwa siasa za maandamano, kwanza hii ni tanzania sio malawi wala tunisia tz uhuru toka kwa wamisionari ulipatikana bila vita tofauti na kenya au nchi zingine