UKITUMIKA SANA NA WANAUME HAYA NDO MADHARA UTAKAYO YAPATA/HUSNA ATOA USHUHUDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 39

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 2 года назад +12

    Hapo umenena kutumikaovyo wanaume tofauti nadharubu namanii tofauti unazeeka💯

  • @tamemahmad9902
    @tamemahmad9902 2 года назад +16

    Nampenda huyu dada haswa anavyoongea 👌👌👌

    • @kubrymtutala9574
      @kubrymtutala9574 2 года назад +1

      Afu yuko sahihi sana, effect ya kutumika sana ni kubwa mno me nawaambia watu kila siku wallah.!

    • @getrudamartin2409
      @getrudamartin2409 2 года назад +2

      Me mwenyew nampendaga kweli anachosema kweli kutumika hovyo unachoka yn unakua mbaya km mtu mzima hiv

    • @getrudamartin2409
      @getrudamartin2409 2 года назад +1

      @@kubrymtutala9574 kbs my me n rafk angu umri wa kwangu ukimuon km bib kizee yn hapendez ht nmwambiaga acha kudanga maish y kudanga yanachosha tulia n mmoja

  • @naakabwe1595
    @naakabwe1595 2 года назад +2

    Hongera sana dada maneno yako yamenigusa na kunifunza sana

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 2 года назад +10

    Ni kwelii ukitumika ovyo unaisha harakaa mikojo ya kila mtu

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 2 года назад +8

    Husna bint wa saajent kazuri Chenyeewe

  • @jesusmyeverything9179
    @jesusmyeverything9179 2 года назад +2

    Aneth Mimi nilikuwa najua bado hujaolewa halafu itakuwa ni mhaya .Mnapendezana Sana na Pedro sio Siri😍😍😍

  • @angelwilliam3471
    @angelwilliam3471 2 года назад +13

    Labda ww lakin warangi wengi wenu Malaya pia roho mbaya. Kama wwe hauna hiyo tabia Mungu akubariki Sana

    • @vienjafrank248
      @vienjafrank248 2 года назад +3

      Usimhukumu mtu huwezi juwa mungu ndo mpangaji wa yote, yawezekana meza ikapinduka akarudiana na mzazi mwenzie., Dada ameongea vizuri...!!

    • @maryambakari4858
      @maryambakari4858 2 года назад +5

      We taratibu na watu wakondoa

    • @habibadaudi8242
      @habibadaudi8242 2 года назад +3

      Warangi wazuri bwana ndomana wanaume wengi Wana wafwata Ila tabia hata ww unatabia yako Yani kilamtu ana tabia yake sio warangi

    • @maryambakari4858
      @maryambakari4858 2 года назад +2

      @@habibadaudi8242 haswa halafu tunajiamini

    • @habibadaudi8242
      @habibadaudi8242 2 года назад +2

      @@maryambakari4858 kwasababu wazuri

  • @maligeltabatholomeo8128
    @maligeltabatholomeo8128 2 года назад +9

    Mzuri sana jamani 🥫👍🔥

  • @joyceobedi9988
    @joyceobedi9988 2 года назад +4

    Jamaniiiii jamniiiiii

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 2 года назад

    Sada umeongea point sana.. waelimisha hawa wanaojiita watoto wa mjini tutawanyoosha sana watulie waache moto mjini hapa watachoka mapema

  • @suzynjige1640
    @suzynjige1640 2 года назад

    Wew dada unaakili Sana💥💥

  • @yasnaghump5763
    @yasnaghump5763 2 года назад

    mrangi mwenzangu

  • @rehemahassan4339
    @rehemahassan4339 2 года назад +10

    Usna sijui anaongeaje ila kazuri mwenyewe

  • @eddyrich.3312
    @eddyrich.3312 2 года назад +1

    Mtangazaji ni aibu kutojua KONDOA iko wapi.

  • @magrathmichael7475
    @magrathmichael7475 2 года назад

    Da anet tumekumis kwenye huba jmn

  • @emanuelgaddafi7651
    @emanuelgaddafi7651 2 года назад

    Mzuri

  • @amirymbilimo448
    @amirymbilimo448 2 года назад

    Mlangi uyo

  • @virusunityonline5786
    @virusunityonline5786 2 года назад +4

    Ukitumika ovyo lazima uchoke
    ruclips.net/video/GqEN64oGaAQ/видео.html

  • @kheiromar8550
    @kheiromar8550 2 года назад

    mwandishi uyo dada usmlazmishe anachokijibu ndio kweli kabisa,usmfosi kutaka kujuwa anatumka kias gn