Hii movie nzuri sana mashaallh nimeipenda ila mwisho mwisho nimecheka sana hao watu wa makoti 😄 🤣 na vile me napenda kucheka. Mashaallh mwajua ku act congratulations
Mm Aline nimependa sana iyi vidiyo,lakini sijapenda mam yake na Nasra kitu amefanya,sas mwisho wake uko wapi?❤ Vidiyo ilikosa sawuti,Yani nikama yote ayina sawuti.
Kama hii full movie haina sauti rudi hapa mwanzo 👉 ruclips.net/video/nrFbY-rLKZY/видео.htmlsi=rbzEMQkAP-QsQSg5
Hii movie umegusa penyewe ,niliachwa sababu ya pesa😭 #chadomasta
Saut vip
Hayo ndio madhara ya kupenda hela sasa eh pia kichapo ah piga twende kazini hapo sasa ndo mna kazi
Ngoma kali cha doo m piga kabisa garagaza huwa yaani utoke hapo ukiwa naye
😂😂😂😂 eti umempapasa
@Chado masta umenifurahisha sana heti ukiuwa mtu unaenda jela😂😂😂😂😂😂😂 nimependa sana hiyo mwamba ❤❤❤❤, yani umenivunja mbavu na hilo neno mwamba ❤❤❤❤❤
Chado mast o grande homem sucesso sempre em Tanzânia aqui estou em Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hii movie nzuri sana mashaallh nimeipenda ila mwisho mwisho nimecheka sana hao watu wa makoti 😄 🤣 na vile me napenda kucheka. Mashaallh mwajua ku act congratulations
😅Pjmklkptt😢7776jih9juh7bbhhy😅😅ggg88hu😅jj😅ihhhu9u8😊😊😊😅😅😅900😅😅😅😊😊😊😅😅😊😅😅
Nawakukubal sana mr chado ujawahi kufeliii
Ulipo nipo ,... yani ng'adu kwa ng'adu💯
WA KWANZA MIMI LEO NAOMBA NYINYI WOTE PITIYENI HAPA KWANGU ❤❤❤😂😂😂😂
Upitiwe kwani wewe nani
Uzipeleke wapi??
Wa kwanza badala atuambie hakuna sauti baadhi ya vipande unataka tukupitie Twende wapi
Duuh 🙆🙆🙆hakuna kitu mbaya kama kupendwa na hautaki kabsa mshikaji Chado una mtihani kama hii ndo mapenzi
Luta man Gang✅❤️
Mama km nyinyi ndio mnao haribia watoto wenu maisha yao kw tamaa zenu mapenzi sio yakushauriwa
Waknza keo mm lize zangu kwa chado mastar❤❤❤❤
Movie nzr ila sauti Kuna sehemu hamna Apo ndo ulipofeli chado
Nice watching from Kenya
Kutoa ushauli mm koma🤣🤣🤣🤣🤣hee kidogo jitu awe yeye😂😂😂😂
My feverety TNU sikumona kwa hapa sijapenda
wa pemba hatuna mila hiyo jamani munatukoseya😄😄
Jamani yaani leo mmebowa sana aise Sauti inakata kila mda Hadi nadhani kwamba simu yangu ina shida Kumbe Nima lalamiko y’a wengi kwenye comments
ruclips.net/video/nrFbY-rLKZY/видео.htmlsi=a8GTVsnYzOCyiofn
AtA mimi jmen
Kusema kweli sijawyi kukupenda wew...Ila kweny movie 😂acha nikupend tuu mzee
Kitu poa wacha ukweli usemwe ni meipenda ❤
nimeipe kwer ❤
Chado unazingua mbona hakuna sauti tunaangalia nini sasa tusemezane ukweli
Pongezi saaaaana chado,hasikuzengue huyo tamaa mbele!! alikuona kubazi saaaaana
Aiseee kwani Huyo mama Mbona Ana angalia sana maslahi kama Mzaramo ??Au ndo wale wale
Nakubali kazi nzur❤❤❤❤❤
Mapenzi noma jamaa na mwili wake Amalia kids mapenzi
Dah chado nazingua mbona hakuna sauti
Chado mbona hivo tena!! Umekuwa zuba!!
❤❤❤❤❤pole sana
We dada ni mbwa kweli,undahani hakumbuki uchafu wako
Izaaaaaa chadi askari wangu👊👊
nawakubari sana❤❤❤ man
Nawakubali man natoka 🇰🇪
Mm Aline nimependa sana iyi vidiyo,lakini sijapenda mam yake na Nasra kitu amefanya,sas mwisho wake uko wapi?❤ Vidiyo ilikosa sawuti,Yani nikama yote ayina sawuti.
hii ndio i like chado master
Nice one
waah mume wa nasra mzuri sana
Duu mtihan
Kazi nzuri❤
Mbona kama nimewai iyona
Good job babu pambanaaaa kijana
Movie kali lakin Ime kata sauti
@@Tiffahtarick-x5b angalia mwanzo wa kazi zangu za youtube utakutana na episodes za hii movie
Mbona movie yenyew ina kata kata sana sauti
Sema nene mwanangu Iyo kamela iko poa hatali
Mkenya halisi nawakubali
Mjumbe tuache wapemba sisihatuna hizo tabiya
Kazi kuomba like tu hamjui maan ya hii movie
Lakini wanawake muwe na funzo hapa juu kuolewa bila kumjuwa mume wako kiundani ita watesa kweli😢😢
Sana watu wanaona wanapesa hawajui wamepata vipi izo pesa
misondo ya Nagwa kabsaa mwanangu Chado
Sauti sauti jamen mwaboesha mjue
Mapenz yanaumaaaaaaa
Akuna sauti au simu yangu ndio baya???
Na Mimi nikadhani simu yangu kumbe tupo wengi
Huyu man man nae apunguze hizo man zake anaboo aisee
❤❤❤
Wa nne Leo,😂😂❤
Ila luta eti mama unamambo ya kichichi man😅
Mbn sauti shida
Funzo❤❤❤
Hakuna sauti ndiyo 😢
Chado uko single nataka mtu anililie hvyo
😂😂😂😂😂😂😂mimi pia jamani❤❤❤
Chado chukua chombo iyoooòo
Hii move nilali snàa ❤❤❤😂
Huyo mwanamke atakuja kujutia baadaye
Kwan mapenzi n nn haswa!!!!!
Okay ❤❤
Chado acha ubwege
Huyo mama wahovyo kabisa
Iyo kali chado
Ukiuwa .mtu unenda jela
❤❤
Chado mcta nakubali kaka
Haina sauti inaboa
Sawaa tumepitiaa
Mnatoaje kitu bila kuskiliza I b amaana amkujua sauti aitoki
Nice
Chado unafeli wapi mwamba
Mbona sauti hamna
Going for a rich but violent husband.
Movie tamu lakini ina.bore maanake sauti mbovu
Chado jisimamie usyumbe
Aaa chado acha hzo
Hii kali
😢😢😢😢😢😢😢😢
Ok
Movie mbna haina sauti😢
Iyi movie ni past copi
😂😂😂😂
❤❤❤❤❤😂🎉😂
❤❤❤
❤❤❤