MARIOO afunguka JUX KUVUNJA MAHUSIANO YAKE NA MIMI MARS - "HATUJAWAHI KUWA NA MAHUSIANO"
HTML-код
- Опубликовано: 13 май 2023
- MARIOO afunguka JUX KUVUNJA MAHUSIANO YAKE NA MIMI MARS - "HATUJAWAHI KUWA NA MAHUSIANO"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
Marioo unafanya mziki mzuri sana. Ila Kwa haya mambo unayo shughulika nayo,saiv! Unajizika mwenyewe
Mario Love you 😘
Love u 2
Mimi niliumia sana marioo kuachana na mimi mars
Mimi ndo wa kwanza naombeni like zangu
Mimi Mars ama 😂
@@BigZhumbe 🤣🤣🤣🤣🤣
Hii nayo imekua ka fashion,, kila video unakuta mtu kacomment kuomba like😂
Mwamba anajua sana kukana😅
Hata hivyo Mimi Mars hajawahi kukili kua kwenye mahusiano na Marioo
Baaaad 💪💪💪☠️
Lil Ommy huwa Ana maswali ya kijinga sana hayana maana kabisaaa alafu sasa anatumiaga muda mwingi kuuliza swali moja kuliko hata majibu yenyewe daaah
We huelewi Tu inatokana na Aina ya swali
Mmmh 🤯 unaju kukana kizwazwa acha ulimbukeni alikua anakufanya utoe macho kama kipaka kinakata roho
Mh, jamn mapenz sir ya wawir wapendanao
Hao walikuwa wapenzi
Wivu kwaajili ya paula
KAMA SHABIKI WA MARIOO NATAKA KUJUA KUA NYUMBA ANAYO KAA NI YAKWAKE AMA KAPANGA???