Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Hongera San mh lema,tupo pamoja,
Ukisema tupo pamoja tumaanishe jaman❤ tuwatumwa ndani ya nchi yetu.
Big up leman point zaukweli
Kashindwa Zaid ya mara mbili Kura hazikuibiwa akisji dwa Kura kaibiwa wacheni umama WA mbege
Ccm Yani ningekuwa fundi ningepiga nyundo Mana inatuaribu xana
Shkamoo Mh. Lema
Inaumiza sana maneno na kwa ma neno yooote haya bado watanzania hawaamki kusimama na kuitoa CCM
Hawa wajamaa nihatar mm natoa kura yang na mke wang na wazaz wang wote nichadema
Sichoki kukusikia Lema pika kazi kamanda wetu
Lema bwana😂😂😂 sema tupone
HEKO LEMA HEKO WATANZANIA
Anatukana raia hivi kama si wasaka tonge,Mungu pekee ndie anayechagua na si kura
Big up lema akili nyingi
Hawa jamaa ukiwasikiliza wanatia moyo sana
Tena samia ameongeza bodaboda kila mkoa ili vijana waendelee kufa
Piga kazi waelimishe wananchi ndg
Jmn ccm nao wakae pemben hata miaka 5 mbn wao tu,hawajashba bado na wengine washik hatam wapumzke jmn !!
LEMA haongeagi ujinga. Wanaongea ukweli.
Et Abdul aendeshe bodaHatar na nusu
Ujinga huleta umaskini. Kutokuelewa nini au vipi ufanye ili upate mafanikio makubwa zaidi. Fikra sahihi uleta mafanikio mazuri nchini.
Ujinga tuliutoa wapi jamani kama mtu sio mjinga et ni mpumbavu wenye maarifa wachache sana.
Arusha jimbo unachukuwa bila kupigwa ulishasema hii touni niyako kweli niyako tunakuelewa sana lema unaongea poiti sana mwenyezi mungu akutunze akueposhe na mabaraaa
Chadema hakuna kurudi nyuma
Lisu yupo ulaya , anajisnda kuingoa ccm tulishschsnga milioni 80,000000 anumue gari bullet proof
Mtu asipo muelewa lema akapimwe akili
OMBI LA Wanganui WA KWEDIGOLE WANAOMBA CHADEMA KUTUSEMEA KUHUDHU UONEFU WA CCM
Lema hana jipya hana hoja kazi kutukana hivi kweli vijana wote waendesha bodaboda akipewa kuwa kiongozi atawapa ajira au amepagawa?
Mim nahesabu kura za chadema hapa kwa comments 😅😅😅
Lema anafaa kuchekesha kama Mpoki
Ulipo kuwa unashida kura hazikuibiwa ukishindwa kura zimeibiwa wacha usenge wa kichaga
Umekwisha wewe
Kabisa wanabaki kusema tu tuna mpongeza mama
Ulitaka wakupongeze wewe msenge sana Samia oyeee CCM 5 tena mpaka kieleweke 💪💪💪💪
Wew ndio utaufuta umaskini achani uongo
Yeye anakusaidia wewe uanze kufuta ujinga
Maskini wewe
Hakuna jipya sioni pointi
Kwaiyo magonjwa ya nasababisha na ccm lema kakosa hojoja kutukana waliopo masalakani. Upuuzi tuu
Lissu yupo wapi jaman ,au ndo anajiandaa kumfuata Msigwa
Lissu yupo ubeligiji ameenda kufanya cheka up na aisha sema ata safiri
Kaenda likizo kdgo kafanya Kaz wiki 3 mfululizo
Kenda kuchek afya yake Ujerumano simnajua walimuumizaa 🙏🙏🙏
Kaenda checkup
Chadema hamna sera mnapiga kelele
Ww ndo huna sera majambazi wakubwa ninyi
Unashida ya Akili
Usituchanganye wewe mwizi umeacha au unawasema tu hao wa upande wapili
Hongera San mh lema,tupo pamoja,
Ukisema tupo pamoja tumaanishe jaman❤ tuwatumwa ndani ya nchi yetu.
Big up leman point zaukweli
Kashindwa Zaid ya mara mbili Kura hazikuibiwa akisji dwa Kura kaibiwa wacheni umama WA mbege
Ccm Yani ningekuwa fundi ningepiga nyundo Mana inatuaribu xana
Shkamoo Mh. Lema
Inaumiza sana maneno na kwa ma neno yooote haya bado watanzania hawaamki kusimama na kuitoa CCM
Hawa wajamaa nihatar mm natoa kura yang na mke wang na wazaz wang wote nichadema
Sichoki kukusikia Lema pika kazi kamanda wetu
Lema bwana😂😂😂 sema tupone
HEKO LEMA HEKO WATANZANIA
Anatukana raia hivi kama si wasaka tonge,Mungu pekee ndie anayechagua na si kura
Big up lema akili nyingi
Hawa jamaa ukiwasikiliza wanatia moyo sana
Tena samia ameongeza bodaboda kila mkoa ili vijana waendelee kufa
Piga kazi waelimishe wananchi ndg
Jmn ccm nao wakae pemben hata miaka 5 mbn wao tu,hawajashba bado na wengine washik hatam wapumzke jmn !!
LEMA haongeagi ujinga. Wanaongea ukweli.
Et Abdul aendeshe bodaHatar na nusu
Ujinga huleta umaskini. Kutokuelewa nini au vipi ufanye ili upate mafanikio makubwa zaidi. Fikra sahihi uleta mafanikio mazuri nchini.
Ujinga tuliutoa wapi jamani kama mtu sio mjinga et ni mpumbavu wenye maarifa wachache sana.
Arusha jimbo unachukuwa bila kupigwa ulishasema hii touni niyako kweli niyako tunakuelewa sana lema unaongea poiti sana mwenyezi mungu akutunze akueposhe na mabaraaa
Chadema hakuna kurudi nyuma
Lisu yupo ulaya , anajisnda kuingoa ccm tulishschsnga milioni 80,000000 anumue gari bullet proof
Mtu asipo muelewa lema akapimwe akili
OMBI LA Wanganui WA KWEDIGOLE WANAOMBA CHADEMA KUTUSEMEA KUHUDHU UONEFU WA CCM
Lema hana jipya hana hoja kazi kutukana hivi kweli vijana wote waendesha bodaboda akipewa kuwa kiongozi atawapa ajira au amepagawa?
Mim nahesabu kura za chadema hapa kwa comments 😅😅😅
Lema anafaa kuchekesha kama Mpoki
Ulipo kuwa unashida kura hazikuibiwa ukishindwa kura zimeibiwa wacha usenge wa kichaga
Umekwisha wewe
Kabisa wanabaki kusema tu tuna mpongeza mama
Ulitaka wakupongeze wewe msenge sana Samia oyeee CCM 5 tena mpaka kieleweke 💪💪💪💪
Wew ndio utaufuta umaskini achani uongo
Yeye anakusaidia wewe uanze kufuta ujinga
Maskini wewe
Hakuna jipya sioni pointi
Kwaiyo magonjwa ya nasababisha na ccm lema kakosa hojoja kutukana waliopo masalakani. Upuuzi tuu
Lissu yupo wapi jaman ,au ndo anajiandaa kumfuata Msigwa
Lissu yupo ubeligiji ameenda kufanya cheka up na aisha sema ata safiri
Kaenda likizo kdgo kafanya Kaz wiki 3 mfululizo
Kenda kuchek afya yake Ujerumano simnajua walimuumizaa 🙏🙏🙏
Kaenda checkup
Kaenda checkup
Chadema hamna sera mnapiga kelele
Ww ndo huna sera majambazi wakubwa ninyi
Unashida ya Akili
Usituchanganye wewe mwizi umeacha au unawasema tu hao wa upande wapili