Exclusive Interview na Harmonize - PART 1
HTML-код
- Опубликовано: 8 ноя 2015
- Harmonize ni msanii wa kwanza kutambulishwa kutoka kwenye WCB lebo inayomilikiwa na mwimbaji Diamond Platnumz, na sasa Harmo ana single yake mpya inaitwa 'Aiyola'
- Развлечения
2023 and am still come here to watch,,,,this story is inspirational
Tuliokuja kuangalia hii interview baada ya #YUDA kutoka WCB tuonane..
Kelele
Naamini umeskia interview yake pia Ile ya airport jinsi alivo treat
2019 nimekuja kuichek tena maan hii historia imenigusa san tuende pamoja.
2023
Konde kawa namba 1
nimependa umeongea vizuli historia Yako mungu huwa analipa hapahapa duniani
kumbe ule wimbo wako wa matatizo umeimba maisha ulio yapitia hongera sana kaza buti utazidi kufika mbali mdogo Wangu nawalio kufanyia ubaya wataona aibu bgp
Kaka
Hatimaye anamiliki lebo.
Jamanii nani ana rudia kuangalia hii interview, November 2021? Harmonize leo ka sahau yooote haya. Duniani tenda wema nenda zako.😃😃😃
Dogo amechomoka mbaya. Kikubwa akaze na maisha magumu aliyopitia ayachukulie kama somo litakalo mfanya akaze zaidi. Ngoma nzuri sana imetubamba wengi. Hongera sana Harmonize
Kwel maisha ni safar na kifo ni Konyagi Sasa hv Hamo upo juu Konde Boy Hongera Sanaa
Watu wanatakiwa kuiona hii interview. 2021.
Daaah maisha ni safari
Leo hii ni 2020 harmonize ni moja wa mastaa wa 3 wa mziki bongo
Konde boy
Hongera Harmonize, umepitia mengi na ni ya kujifunza kwa vijana wengine. Hongera Millard Ayo utuwekee part 2 na zingine ili tufahamu zaidi hatua zake. Ni mwanamuziki mzuri. Big up zaidi kwa WCB
dah hustling ya ukwel kaka story yko inatoa machoz na mtaan kuna watu weng wenye kipaj ispokuwa kupataline ndo ishu big up wimbo wako mpya pia ni mzur
Am here after 2022 jweli 6yrs back it was true brotherhood wakati harmonize alikili diamond aliminspire na sasa inadhihirisha baada ya mtu kushikwa mkono unajimazaa
hongere.sana Harmonize kiukweli nyimbo zako Aiyola na Kidonda changu zimegusa hisia zangu sana.....waitn for part 2
2023 still here !JESHI,!TEMBO!KONDEBOY💪💪💪 NEVER GIVE UP!
Asante kwa killa video una post kwenye youtube inani furaisha sana usicoke ku post video ukicoka ni taliya, killa siku nakuombea kwa mungu
Daaah 2023 hii nmeiangalia sana hii video ila daah hi duniaa
2023 September tuonane hapa ....Ila Leo hii unamtukana Diamond kisa mafnikio broh kumbuka ulikotoka
huyu jamaa ana speech nzuri sana....dah big up homie
hongera kjana.......kwa hatua uliofkia mungu akupe nguvu na moyo wa kuendelea kujituma
Nmechek sahv dogo anakosa heshima 2023 hapa
All ze best harmonize... Utafika mbali sn kwa nilivoona majibu yako... Wimbo ni mzuri sn angekuwa mwingine hapo angekuwa ameshaanza ujivuni wakubinua midomo na vtu km hvy...
Kweli bwana Leo Yuko mbali mno
personally I didn't know about this dude not until I came across this interview . The song Aiyolo is a hit I've been playing it since , it had a touching message that we as human being faces on a daily basis. Especially when you are a man yet you can't afford to impress your own woman's lust. He's life story , his hustle really he his a hustler. Big up Harmonize and to Millard Ayo for the great work ya doing . Cheers 🙌🙉
Waaaaah kumbe kiwa star sio mchezo 😭😭😭😭😭
Jamaa Mkali sana Big Up WCB!!
Niliposikia wimbo wake wa 'kidonda_changu' nilishangaa kusikia biti zilizofanana na wimbo wa Q Chila wa ,for you' lakini kupitia mahojiano haya nimeelewa kwa nini ipo vile. Ni dogo mchenshi sana na naamini atafika mbali kwa tasnia hii ya muziki.
Best interview
Harmonize ina reflect na msimamo wako na maisha ndivyo yanavyotka young Bro keep the good guts,,,, Harmonize!
brilliantly!
Keep the good guts
I call him, obedient and attentive student.I wish I knew Swahili well atleast i sing his songs
Duh !katoka mbali kweli maisha siyo rahis lazima upande na kushuka .Subra pia ni muhimu.
my brother from another mother 👏👏👏👏👏👌
Love u
I like this really Tanzanian humility life story.
2020 km tupo pamoja gonga like tujuane ☺
nice work boys..love di boy anajielewa so sweety
nyimbo nzuri sana kaza
im watch this on 24 th november 2020 who else😓
Tunaoangalia 2023 gong like hp
millard ayo is the best amenifanya niwe fan ya harmonize
Unapo mtukana mond fikiriya iyi historiya Yako ao njo youtube uione iyi interview yakwako njo umutusi mond,atakama mond anaweza akawa na kasoro zake Ila kakutowa mbali
proud of you......Millardayo keep rocking bro
Baada ya miaka 4 anamwita mshamba
@millard ayo please upload part 2 of harmonize's interview
Gonga like kama umerejea baada ya konde gang
its awsome im waiting for the 2nd part
harmonize my age ment,, l love your music
No. Comment noma sana
Gonga like kwa wale 2023
great work @millard
Leo hii umekengeuka sana. Mkumbuke diamond alikokutoa
So Proud Of Him.....
Traduction de AIYOLA please
pamoja sana
jamani eeh uyu jamaa no nomadic xanaaa respect kwako
Passion!
safi sana Shem lake
Hongera
good singer
Ahahahahahaaa kumbe kabla ya kukutana na mond ulirecord na collable wapi 2020
Yuda kama yuda akimsifia nasib 😂😂😂
big up bro wish you all the best
big up god bless ufke mbl zaid
Mm n shabiki wako mkubwa kutoka 254 kenya
saaafi (story nzuri)
Millard Ayo part 2 iwapi? long time bro
Ati yuda yuda hamna Cha yuda hapa bwana ni vizuri kila mtu kuyanzisha maisha yake au ww Yesu 🙄
awesome
nice kp it up
fanana sana na Enock Bella wa yamoto band(Mkubwa na wanawe)
❤❤❤jeshiii
Allah Akbaru Wasini munatoka mbali nyinyi kimaisha
part 2 please
Well💯💯💯
2023 2juane na likes 🇶🇦
Pole sana Dar It xo painfull
God bless you Radjabu
waooooh nice
part2 plz millard
cant find part 2 of this interview aaarrrgh helllllp
Pole kwa yote kaka yngu
go go go go broh unawez mpaka bac ni bidii zako 2 pamoja na nidhamu kazin utafika mbali chid kaza boot. mungu akucmamie, aameen!
mildayo uko sawa
marry temba
Nice song
Jeshiiii
Huwezi kuamini kuwa huyu ndiye anayekohoa kwenye nyimbo zake ama kweli tunatoka mbali
Nawapata salama kutoka Brazil.. Makao makuu dogo ametoka
Yeah, ,Konde Boy
Leo unataka upinzani nae duuuh
kaza ndo uanaume
nkukubali Rashid
Duuuu jamaa Leo hii anaongea sana jodo yani
Mchumari
part II iko wapi?
kazi nzuri
juliana Raymond uache udwanzi
Im the first watcher hehehe
nimekupenda sana wang
Mmh 94 march 😮😮😮
Waliosikia mahojiano ya Dada yake harmo wskamlaumu waje huku.nimeamua nije huku nisikilize
Diamond platinumz just reincarnated in you bro
Naomba harmonize part 2 uiweke
2023
Now KONDE GANG
❤