Exclusive Interview na Harmonize - PART 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 ноя 2015
  • Harmonize ni msanii wa kwanza kutambulishwa kutoka kwenye WCB lebo inayomilikiwa na mwimbaji Diamond Platnumz, na sasa Harmo ana single yake mpya inaitwa 'Aiyola'
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 156

  • @its_khalidy_46
    @its_khalidy_46 10 месяцев назад +3

    2023 and am still come here to watch,,,,this story is inspirational

  • @bulayaconfidential7212
    @bulayaconfidential7212 4 года назад +19

    Tuliokuja kuangalia hii interview baada ya #YUDA kutoka WCB tuonane..

  • @aboubakarmansour1189
    @aboubakarmansour1189 4 года назад +15

    2019 nimekuja kuichek tena maan hii historia imenigusa san tuende pamoja.

  • @ezrommussamusssa2540
    @ezrommussamusssa2540 8 месяцев назад +2

    2023
    Konde kawa namba 1

  • @habiba0022
    @habiba0022 7 лет назад +6

    nimependa umeongea vizuli historia Yako mungu huwa analipa hapahapa duniani
    kumbe ule wimbo wako wa matatizo umeimba maisha ulio yapitia hongera sana kaza buti utazidi kufika mbali mdogo Wangu nawalio kufanyia ubaya wataona aibu bgp

  • @xbdbdgdgsbdbbxx4254
    @xbdbdgdgsbdbbxx4254 2 года назад +1

    Jamanii nani ana rudia kuangalia hii interview, November 2021? Harmonize leo ka sahau yooote haya. Duniani tenda wema nenda zako.😃😃😃

  • @kiyombi
    @kiyombi 8 лет назад +1

    Dogo amechomoka mbaya. Kikubwa akaze na maisha magumu aliyopitia ayachukulie kama somo litakalo mfanya akaze zaidi. Ngoma nzuri sana imetubamba wengi. Hongera sana Harmonize

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 года назад +2

    Kwel maisha ni safar na kifo ni Konyagi Sasa hv Hamo upo juu Konde Boy Hongera Sanaa

  • @florenceholmen8304
    @florenceholmen8304 2 года назад +3

    Watu wanatakiwa kuiona hii interview. 2021.

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 4 года назад +1

    Daaah maisha ni safari
    Leo hii ni 2020 harmonize ni moja wa mastaa wa 3 wa mziki bongo
    Konde boy

  • @shaibumandova6108
    @shaibumandova6108 8 лет назад +1

    Hongera Harmonize, umepitia mengi na ni ya kujifunza kwa vijana wengine. Hongera Millard Ayo utuwekee part 2 na zingine ili tufahamu zaidi hatua zake. Ni mwanamuziki mzuri. Big up zaidi kwa WCB

  • @mohammedrashid7735
    @mohammedrashid7735 8 лет назад +3

    dah hustling ya ukwel kaka story yko inatoa machoz na mtaan kuna watu weng wenye kipaj ispokuwa kupataline ndo ishu big up wimbo wako mpya pia ni mzur

  • @tngmediake1905
    @tngmediake1905 2 года назад

    Am here after 2022 jweli 6yrs back it was true brotherhood wakati harmonize alikili diamond aliminspire na sasa inadhihirisha baada ya mtu kushikwa mkono unajimazaa

  • @citizen6332
    @citizen6332 8 лет назад +1

    hongere.sana Harmonize kiukweli nyimbo zako Aiyola na Kidonda changu zimegusa hisia zangu sana.....waitn for part 2

  • @luckyboy_ke
    @luckyboy_ke 9 месяцев назад

    2023 still here !JESHI,!TEMBO!KONDEBOY💪💪💪 NEVER GIVE UP!

  • @minanifuraha
    @minanifuraha 8 лет назад +9

    Asante kwa killa video una post kwenye youtube inani furaisha sana usicoke ku post video ukicoka ni taliya, killa siku nakuombea kwa mungu

  • @frankhaule505
    @frankhaule505 Год назад

    Daaah 2023 hii nmeiangalia sana hii video ila daah hi duniaa

  • @sulleymernmannarah7930
    @sulleymernmannarah7930 8 месяцев назад

    2023 September tuonane hapa ....Ila Leo hii unamtukana Diamond kisa mafnikio broh kumbuka ulikotoka

  • @frankchecktime9094
    @frankchecktime9094 8 лет назад +2

    huyu jamaa ana speech nzuri sana....dah big up homie

  • @aishayahaya4102
    @aishayahaya4102 8 лет назад +1

    hongera kjana.......kwa hatua uliofkia mungu akupe nguvu na moyo wa kuendelea kujituma

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 6 месяцев назад

    Nmechek sahv dogo anakosa heshima 2023 hapa

  • @makambakodancers5041
    @makambakodancers5041 8 лет назад +1

    All ze best harmonize... Utafika mbali sn kwa nilivoona majibu yako... Wimbo ni mzuri sn angekuwa mwingine hapo angekuwa ameshaanza ujivuni wakubinua midomo na vtu km hvy...

    • @babyzuchu3866
      @babyzuchu3866 4 месяца назад

      Kweli bwana Leo Yuko mbali mno

  • @haramyjay2362
    @haramyjay2362 8 лет назад +1

    personally I didn't know about this dude not until I came across this interview . The song Aiyolo is a hit I've been playing it since , it had a touching message that we as human being faces on a daily basis. Especially when you are a man yet you can't afford to impress your own woman's lust. He's life story , his hustle really he his a hustler. Big up Harmonize and to Millard Ayo for the great work ya doing . Cheers 🙌🙉

  • @whitetigerprincy5882
    @whitetigerprincy5882 2 года назад +1

    Waaaaah kumbe kiwa star sio mchezo 😭😭😭😭😭

  • @godfreylingopola7703
    @godfreylingopola7703 8 лет назад +2

    Jamaa Mkali sana Big Up WCB!!

  • @shaibumandova6108
    @shaibumandova6108 8 лет назад +1

    Niliposikia wimbo wake wa 'kidonda_changu' nilishangaa kusikia biti zilizofanana na wimbo wa Q Chila wa ,for you' lakini kupitia mahojiano haya nimeelewa kwa nini ipo vile. Ni dogo mchenshi sana na naamini atafika mbali kwa tasnia hii ya muziki.

  • @blackjack4241
    @blackjack4241 Год назад +1

    Best interview

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 8 лет назад +1

    Harmonize ina reflect na msimamo wako na maisha ndivyo yanavyotka young Bro keep the good guts,,,, Harmonize!
    brilliantly!
    Keep the good guts

  • @haronabuki9573
    @haronabuki9573 6 месяцев назад

    I call him, obedient and attentive student.I wish I knew Swahili well atleast i sing his songs

  • @shantelmachazxcv5341
    @shantelmachazxcv5341 8 лет назад +1

    Duh !katoka mbali kweli maisha siyo rahis lazima upande na kushuka .Subra pia ni muhimu.

  • @diamondplatnumz7797
    @diamondplatnumz7797 8 лет назад +3

    my brother from another mother 👏👏👏👏👏👌

  • @Danso337
    @Danso337 8 лет назад +1

    I like this really Tanzanian humility life story.

  • @monaciarkennymo6ix9ine62
    @monaciarkennymo6ix9ine62 4 года назад +2

    2020 km tupo pamoja gonga like tujuane ☺

  • @kimgeneveive8490
    @kimgeneveive8490 8 лет назад +1

    nice work boys..love di boy anajielewa so sweety

  • @deboramangula8059
    @deboramangula8059 8 лет назад +1

    nyimbo nzuri sana kaza

  • @BenyMwelango
    @BenyMwelango 3 года назад

    im watch this on 24 th november 2020 who else😓

  • @gmanboy793
    @gmanboy793 Год назад

    Tunaoangalia 2023 gong like hp

  • @danya11l
    @danya11l 7 лет назад +3

    millard ayo is the best amenifanya niwe fan ya harmonize

  • @divinebernard1047
    @divinebernard1047 3 года назад +1

    Unapo mtukana mond fikiriya iyi historiya Yako ao njo youtube uione iyi interview yakwako njo umutusi mond,atakama mond anaweza akawa na kasoro zake Ila kakutowa mbali

  • @lissawilliam4248
    @lissawilliam4248 8 лет назад +1

    proud of you......Millardayo keep rocking bro

  • @kelvinisabinani8079
    @kelvinisabinani8079 3 года назад +2

    Baada ya miaka 4 anamwita mshamba

  • @brendahmwongeli697
    @brendahmwongeli697 8 лет назад +2

    @millard ayo please upload part 2 of harmonize's interview

  • @kevoocoastboy9449
    @kevoocoastboy9449 4 года назад +1

    Gonga like kama umerejea baada ya konde gang

  • @cosmaekyoci5732
    @cosmaekyoci5732 8 лет назад +1

    its awsome im waiting for the 2nd part

  • @maryakisa5752
    @maryakisa5752 7 лет назад +2

    harmonize my age ment,, l love your music

  • @adamkiwori709
    @adamkiwori709 8 лет назад +1

    No. Comment noma sana

  • @ndimokerimbot22
    @ndimokerimbot22 8 месяцев назад

    Gonga like kwa wale 2023

  • @iffahcool6557
    @iffahcool6557 8 лет назад +1

    great work @millard

  • @allankimaro4327
    @allankimaro4327 9 месяцев назад

    Leo hii umekengeuka sana. Mkumbuke diamond alikokutoa

  • @nasraabdulrahman2009
    @nasraabdulrahman2009 8 лет назад +1

    So Proud Of Him.....

  • @veroniquengoran2682
    @veroniquengoran2682 6 лет назад +2

    Traduction de AIYOLA please

  • @christinahaule9726
    @christinahaule9726 7 лет назад +1

    pamoja sana

  • @hommie9627
    @hommie9627 8 лет назад

    jamani eeh uyu jamaa no nomadic xanaaa respect kwako

  • @nashipaikoima682
    @nashipaikoima682 5 лет назад +2

    Passion!

  • @blassiusishengoma6058
    @blassiusishengoma6058 8 лет назад +1

    Hongera

  • @blackjack4241
    @blackjack4241 7 лет назад +2

    good singer

  • @awadhiismail3154
    @awadhiismail3154 4 года назад +1

    Ahahahahahaaa kumbe kabla ya kukutana na mond ulirecord na collable wapi 2020

  • @silver_gramz
    @silver_gramz 3 года назад +3

    Yuda kama yuda akimsifia nasib 😂😂😂

  • @markadkins9398
    @markadkins9398 8 лет назад

    big up bro wish you all the best

  • @janethdickson296
    @janethdickson296 8 лет назад

    big up god bless ufke mbl zaid

  • @DukeOndieki-ms5ur
    @DukeOndieki-ms5ur Год назад

    Mm n shabiki wako mkubwa kutoka 254 kenya

  • @samweelmagaga4032
    @samweelmagaga4032 7 лет назад +1

    saaafi (story nzuri)

  • @yussufhassan7532
    @yussufhassan7532 8 лет назад +1

    Millard Ayo part 2 iwapi? long time bro

  • @whitetigerprincy5882
    @whitetigerprincy5882 2 года назад

    Ati yuda yuda hamna Cha yuda hapa bwana ni vizuri kila mtu kuyanzisha maisha yake au ww Yesu 🙄

  • @abdialiabdi5862
    @abdialiabdi5862 8 лет назад

    awesome

  • @hocylaseko7843
    @hocylaseko7843 8 лет назад

    nice kp it up

  • @wilkistermoraa7072
    @wilkistermoraa7072 7 лет назад

    fanana sana na Enock Bella wa yamoto band(Mkubwa na wanawe)

  • @arafatymomade8554
    @arafatymomade8554 4 месяца назад

    ❤❤❤jeshiii

  • @hosnanaisa9387
    @hosnanaisa9387 8 лет назад

    Allah Akbaru Wasini munatoka mbali nyinyi kimaisha

  • @viejoe4784
    @viejoe4784 8 лет назад

    part 2 please

  • @dianamuhumba
    @dianamuhumba Год назад

    Well💯💯💯

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Месяц назад

    2023 2juane na likes 🇶🇦

  • @shaurisamila1179
    @shaurisamila1179 4 года назад

    Pole sana Dar It xo painfull

  • @bnbnbnbbnvbn9006
    @bnbnbnbbnvbn9006 4 года назад +1

    God bless you Radjabu

  • @feristersam8960
    @feristersam8960 6 лет назад

    waooooh nice

  • @dateededdy5833
    @dateededdy5833 8 лет назад

    part2 plz millard

  • @joannekanale4642
    @joannekanale4642 8 лет назад

    cant find part 2 of this interview aaarrrgh helllllp

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 4 года назад

    Pole kwa yote kaka yngu

  • @hommie9627
    @hommie9627 8 лет назад +1

    go go go go broh unawez mpaka bac ni bidii zako 2 pamoja na nidhamu kazin utafika mbali chid kaza boot. mungu akucmamie, aameen!

  • @noaminoami6423
    @noaminoami6423 8 лет назад

    mildayo uko sawa

  • @georgemitande1030
    @georgemitande1030 8 лет назад

    marry temba
    Nice song

  • @user-gz4qb9wz3d
    @user-gz4qb9wz3d 3 месяца назад

    Jeshiiii

  • @avocadomatala2883
    @avocadomatala2883 Год назад

    Huwezi kuamini kuwa huyu ndiye anayekohoa kwenye nyimbo zake ama kweli tunatoka mbali

  • @petermachoka2977
    @petermachoka2977 8 лет назад +2

    Nawapata salama kutoka Brazil.. Makao makuu dogo ametoka

  • @is-hakacena78
    @is-hakacena78 5 лет назад

    Yeah, ,Konde Boy

  • @hamisntahondi507
    @hamisntahondi507 3 года назад +1

    Leo unataka upinzani nae duuuh

  • @richardriwa7917
    @richardriwa7917 8 лет назад +2

    kaza ndo uanaume

  • @aliciousdaqueen1767
    @aliciousdaqueen1767 8 лет назад

    nkukubali Rashid

  • @kasuchales1896
    @kasuchales1896 2 года назад

    Duuuu jamaa Leo hii anaongea sana jodo yani

  • @shabanimandula3569
    @shabanimandula3569 3 года назад

    Mchumari

  • @abdulrahimchotta6061
    @abdulrahimchotta6061 8 лет назад +1

    part II iko wapi?

  • @julianaraymond9100
    @julianaraymond9100 7 лет назад

    kazi nzuri

  • @Luccaswahili
    @Luccaswahili 8 лет назад +7

    Im the first watcher hehehe

  • @odetharwaibale4963
    @odetharwaibale4963 11 месяцев назад

    Mmh 94 march 😮😮😮

  • @annachales9623
    @annachales9623 2 года назад

    Waliosikia mahojiano ya Dada yake harmo wskamlaumu waje huku.nimeamua nije huku nisikilize

  • @KNAVOY
    @KNAVOY 8 лет назад +2

    Diamond platinumz just reincarnated in you bro

  • @superstuwart2434
    @superstuwart2434 8 лет назад

    Naomba harmonize part 2 uiweke

  • @tanzanitemorio8347
    @tanzanitemorio8347 Год назад

    2023

  • @petersimon2115
    @petersimon2115 4 года назад

    Now KONDE GANG

  • @ramadhansadiki1003
    @ramadhansadiki1003 Год назад