Vijana kauti ya Nandi waandamana hadi afisi za kaunti kuwasilisha malalamishi dhidi ukosefu wa ajira
HTML-код
- Опубликовано: 9 июл 2024
- Baada ya maandamano ya kitaifa yaliyoilazimisha rais William Ruto kufutilia mbali mswada wa kifedha wa mwaka 2024, vijana wa Gen Z sasa wanaonekana kuelekeza darubini yao katika utendakazi wa serikali za kaunti. Mamia ya vijana katika kauti ya Nandi waliandamana hadi Afisi za kaunti hiyo mjini Kapsabet kuwasilisha malalamishi yao ikiwemo ukosefu wa ajira huku baadhi yao wakisema wanahisi kaunti hiyo haijawajibika katika utendakazi.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Wow! It's very impressive to see Kenyans from all walks to demand accountability from their leaders
Ati Nandi hakuna ni Ruto must go.......bati wamutoe huyo governor
Hampangwingwi...au namna gani vijana
Utajua haujui....
Nandi county has to be among the worst ran
Nandi wameweza sio kama homabay
😂😂😂 counterbilties
Tk on
😂😂😂😂😂
@ Hazel Jelimo...come see this one
Hazel Jelimo, hahaaaaa I told you this is not tribalism but Ruto has no capacity of running the country.