Utacheka utani wa Stan Bakora kwa Dulla Makabila na Dj Wake

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 19

  • @snedemc
    @snedemc Год назад +4

    Mh skupingi makabila japo wanajitaidi sana kkualibia wapinzan

  • @godwinmsumari8089
    @godwinmsumari8089 8 месяцев назад +1

    Uso na mikono tofauti😂

  • @kakaaignas3675
    @kakaaignas3675 Год назад +4

    Mkorogo umekubali sana

  • @OmanCom-ky8tn
    @OmanCom-ky8tn Год назад +3

    Jamani nimecheka sana stan bakora na dulla makabila jaman napenda anavyocheka

  • @ndayishimiyeelias9692
    @ndayishimiyeelias9692 Год назад +1

    Ila nimependa wana ushikaji wa ukweli

  • @zaisalumu360
    @zaisalumu360 Год назад +1

    Wape wape

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Год назад +1

    Nacheka 😂😂😂😂

  • @swahililandtv1
    @swahililandtv1 Год назад +2

    maana ya NYOTA, jinsi ya kuing`arisha na kuikinga zidi ya wabaya na ustadh tete kutoka nigeria

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 Год назад +6

    Mbona njaa inawasumbua wasanii wote ni ccm njaa hzo nyinyi wasanii gani au mbona hamueleweki daah mafala wakubwa nyinyi

    • @swahililandtv1
      @swahililandtv1 Год назад +2

      maana ya NYOTA, jinsi ya kuing`arisha na kuikinga zidi ya wabaya na ustadh tete kutoka nigeria

    • @modycombo7421
      @modycombo7421 Год назад +2

      Baba levo akisema oooh hahaha

    • @amehassanrehanirehani7906
      @amehassanrehanirehani7906 Год назад +1

      Hamn maish ni kutafta na ni vizur ukawa mpambanaji bila kuchoka ni pia kuwa na sehemu ya kujipatia kipato zaid ya moja ni jambo zur san

    • @jumaabas6837
      @jumaabas6837 Год назад +1

      Wewe tajiriii ndo huwez kuwa ccm watu wanatafuta pesa

    • @farlykunga8599
      @farlykunga8599 Год назад +2

      Kwan kun ubaya wasanii kuwa Ccm??,,Tatizo liko wap xx,,

  • @modycombo7421
    @modycombo7421 Год назад +2

    Dula mkorogo umekubali🤣

    • @CatherineNzeki
      @CatherineNzeki Год назад

      Mkaliwenu alisema Dulla hapaki mkorogo ila anajifukiza sana eti ilo joto la kujifukiza ndio limembadilisha rangi😂😂😂😂

    • @Mina.15
      @Mina.15 10 месяцев назад

      ​@@CatherineNzeki😂😂😂😂😂