Viola huna kwenu aaaah yaani mpaka una kera jaman subra iyo subra gani yaani una ona mume wako anakudhalilisha alafu ww una ngangana tuu aaah kwani mume ni uyo tu mwchweee
Duuh huyu dada mke wa sele nampenda sana anajuwa kuigiza Hadi kutuongelea wanaume Mazuri kiukweli angedhariwa katika nnchi wanazo juwa kuthamini vipaji angekuawa mabali sana ongera sana young sister
Viola unajuaa🔥🔥 Na hapo kwenye kumtafuta wa kuendana nae nyota we fanya ivoo mana unateseka maskini😢 achana na uyo chizi Sele ipo siku atalipia kwakwel😂😂😂😂 asa nalia nn🤣🙌 Ringo utaniuaa eti kila mtu kakataa urithi wa marehemu bibi asa me ntfanyaje 😂🤣🤣🤣🤣🤣🙌 Kwaiyo ukaamua urithi wewe Ringo 😂😂😂😂 nyiee baada ya viola kuniliza gafla nacheka👋🚶
Hahahaha ila wewe chandimu mwezio analia ww unacheka kweliii😢😢😢 ila haya maisha wanaume wanatutesa sana😢😢hii situation ya viola Mimi Niko nayoo sasa hiv uhalisia 😭😭😭😭
Chandimu UMEFANYA vzr sana 😂😂😂😂
Chandimu ww sio poa umemzidi mpaka sele wa mboso kwa vituko😂😂😂
Kweli hio huja kosea
Ya an mm I kaniuzii sana
Huyu mke wake nae ni jinga sana
Chandimu fanya mzoez tumbo Hilo linamuj
viola kwani una kwenu❤
Hana kapoa ndo kaokotwa na chandimu😂😂😂
@@fatimaharoun-np8uv 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Chandimu. Sijapenda kbx😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Chandim hii character haijamfaa anazingua
Habaya kachukua nguo karume wanalalamika jamii inapata tabu😅😅😅😅😅
Sele unamkosea huyo mwanamke hizo unazozitaka wewe ni shirki hiyo
Sema sele lihandsome❤sema huo ubonge ukijiachia miaka kumi utakuwa kama JB
Kavaa abayaa yangu ❤❤❤😂
Chandimu umetisha sana nacheka bila kupenda😂
❤❤❤
Sele mwenyewe ana maziwa ,minyama minyama kama mwabamke
we angalia ingizi acha kuwavaa watu personaly, wew mwenye unamapungufu yako au kama unaweza naww umba sele wako asie na minyama
Mkojani atatembea na Viola uhakika manake huyo Sele si mtoto wake wa damu.
Sele mani we sele ❤❤❤😂😂😂
Dada utalia mpka lini...kwani umezaliwa nae huyo mshenzi wa tabia
Viola huna kwenu aaaah yaani mpaka una kera jaman subra iyo subra gani yaani una ona mume wako anakudhalilisha alafu ww una ngangana tuu aaah kwani mume ni uyo tu mwchweee
Mkojani na ringo Ety ku clear Ety mu forward
Wanaume kama sere wapo
ila jmn wanawake sisi niwavumilivu sanaa aisee 😢😢
Wa kwanza
Ukweli mchungu dah 😢😢😢
Ringo unavaa viabayaaa😂😂😂😂
Kihabaya cha mtu mfupi 😂😂😂😂😂😂🙌
Hahaha nakukubali mwanangu ringooo
Duuh huyu dada mke wa sele nampenda sana anajuwa kuigiza Hadi kutuongelea wanaume Mazuri kiukweli angedhariwa katika nnchi wanazo juwa kuthamini vipaji angekuawa mabali sana ongera sana young sister
Hup sahihi🎉🎉
Umetisha hii part yako na mkojani
Nipeni like zangu 😂😂😂
Move mzuri sana❤❤
Kwa hali hii ndoa basi🙌 sele cwa subra 💔
Sele badae atamwita viola mam mkwe
Kkkkkk ku deserve nikutoa hela 😂😂😂😂
Ringo kavaa dela😂😂😂
😂😂😂😂😂 jaman mkojan ati umevaa abaya
Wew mkojani lingo achukua mahabaya yote karume
❤
Viola atakuja kukupa pingo moja tyuuu 🤣🤣🤣 ww sumbili
Dah so painfully 😢 nmejikuta naumia sana
Wakwanzaaa
Viola huna kwenu😢
Ndo hapo maskini😢
Mvumilivu hula mbivu
@@JohnOmondi-db7mp zake zimeshaoza hizo
Sele man UNA juwa mambo ya bien
❤❤❤❤🎉🎉
Kijora cha Ringo😂😂😂😂eti Abaya😂😂😂😂
Viola si uende kwenu aaaaakh
Wakina dada msije mkaolewa na wakina selemani
Natamani kungelikua na voice note type nimwambie kitu huyu chandimu
Viola nakupenda sana and I wish to see you first to first❤😢😢
You meant face to face
@@larrykaubi9482 face to face
SELE ni Gaidii😂😂😂😂
Viola unajuaa🔥🔥
Na hapo kwenye kumtafuta wa kuendana nae nyota we fanya ivoo mana unateseka maskini😢 achana na uyo chizi Sele ipo siku atalipia kwakwel😂😂😂😂 asa nalia nn🤣🙌
Ringo utaniuaa eti kila mtu kakataa urithi wa marehemu bibi asa me ntfanyaje 😂🤣🤣🤣🤣🤣🙌
Kwaiyo ukaamua urithi wewe Ringo 😂😂😂😂 nyiee baada ya viola kuniliza gafla nacheka👋🚶
Chandimu kivuluge sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Haaaa tukitoka kwenye Abaya
Sele mbona kama pacha abdukiba😂😂
Filamu ilikua ya huzuni vizuri 😂😂😂😂 ila Mkojani na Ringo scene yao imefunika kila kitu 😅😅😅
Aaah kama mapenzi ni hivi viola naona utawashtua ambao hawajaolewa naona watasema tano tena ama kumi tena😂😂😂😂😂
Oyooooooooo 😂😂😂😂😂❤❤❤
Inavyooneka atamkula
Uh mgoma ni mkari sana
Kilio cha viola cha ndanikwandani hiii inaumiza sana ila nimeona mkojani akianzisha kapu na viola jamani 😅😅😅 nimeona mtandio na shat vimefanana 😅😅😅😅
Mtoto black beautiful mashaallah mbona kaganda kwa sele .ila mapenzi hayatabiriki
Mwingine niko uku black beauty
Sele we mwmba
Select beberu 😂
Hizo dancing ni za nn chandimu hazina mantiki Kwa hio character
Elewa maana ya Sele ndio iyooo
Njooo wew uvae nguo zangu uwigize
46 sec
Sere kitamukuta kitu😂😂😂
❤😂😂❤
Viola akufuzae hakwambii toka ,si uende?utapata atakae kupenda na kasoro zako hizo hizo anazokwambia chandim .
Hii muvi inatia uchungu
😂😂😂😂ringo nouma
Mm wa 80😂
Chandimu we ni mwehu
Hahahaha ila wewe chandimu mwezio analia ww unacheka kweliii😢😢😢 ila haya maisha wanaume wanatutesa sana😢😢hii situation ya viola Mimi Niko nayoo sasa hiv uhalisia 😭😭😭😭
🤣🤣🤣🤣🤣
Sele Noma nimecheka karibu kufa😂😂😂😂
Mkojan mpaka saiv hajafanya vurugu
Yan hap leo htl2
Viola kuigiza kaz hayo machoz
Pamoja sana wapendwa
Ringo kavaa gauni la kinaigeria
😂😂😂 Chandimu
Sele huo 😂😂
Mkojani atagonga viola
Viola mpka anaboa , si uindoke kujiliza tuuu
Mapenzi banza
Ulivocomment utadhan huelew kuwa hili ni igizo
Chandimu bado mdogo Sana mngemuweka kamugisha
Yupo likizo
Jmn usiku usiku
Viola unaweza hongera.
Ila rudi nyumbani kwenu jamani
At a we umeona we arudii tuu
Sele unakosea kama mtu humpendi mwambie
😀😀😀😀😀
Sele km Michael Jackson 😅😅😅😅😅
Et kwanini uniambie mimi astatiment? kosa langu nini??? sema lingi😂😂😂😂😂
Viora .ukiachwa achika. we ondoka IPO siku atakumbuka. umhimu wako
Jaman samofi hayumo
Karma! What goes around always comes around
Chandimu very tarent
Chandimu yuafanana na abdulikiiba
Viol jaman
Ringo hiyo Panjab Dela gauni ama kitenge 😂😂😂
Viola kaijulia hii character
😅😅😅❤❤❤💯💯🔥🔥🔥🇸🇦🇰🇪🇸🇦
Very emotional movie
Kama kupenda nihuko viola herikukae
Like yako ni mhimu kama unaikubal sele