KESHO YANGU PART 33 | Final Episode 💞 Love Story

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @Dontatv255
    @Dontatv255  27 дней назад +578

    Habari zenu wafatiliaji wa donta tv? Natumai mko poa kabisa 🥰 Hatimae leo Tumefika Tamati Ya series yetu ya #KESHOYANGU tunashukuru sana kwa kuwa pamoja na sisi mwanzo mpaka mwisho, Tunajua kunasehemu ambazo tumewakwaza Tunaomba Radhi kwa maana aikuwa kusudio letu kuwakosea kila siku tunajifunza zaidi kupitia maoni yenu msituchoke endeleeni kutusaport kwenye kazi zetu zifuatazo 🙏❤️

    • @rodgersmwagu239
      @rodgersmwagu239 27 дней назад +13

      Sawa tumevumilia kwa hari na Mali lakini mna deni la kutuambia jina la wimbo aise

    • @josurenjoyo6371
      @josurenjoyo6371 27 дней назад +2

      🙌🙌

    • @user-pj4ii7wx7f
      @user-pj4ii7wx7f 27 дней назад +5

      Sawa kaka kevi lakintupo pamoja mwisho mwema mwazo mwema kwa nyingine ijayo🙏

    • @aminaabdalla-uo9zq
      @aminaabdalla-uo9zq 27 дней назад +4

      Penda bure

    • @rodgersmwagu239
      @rodgersmwagu239 27 дней назад +3

      Kusema ukwel msipotuambia. Jina la wimbo. Mm kuanzia Leo naacha kuangalia movie zenu sitofatilia tena. , tumevumilia sana na mliahidi kabisa wenyewe mtatuambia. , na huu ND mwisho ila mbn atuoni kitu aise nin shda

  • @hassanmoh6601
    @hassanmoh6601 27 дней назад +353

    Kama we ni mfuatiliaji wa kesho yangu kuanzia EP 1 mpk finally gonga like kama zote

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 27 дней назад +162

    Walioanza kesho yangu kwanzo mwsho like zangu apa please love from team strong 🇰🇪🇸🇦🔥🔥💞💞💞💞💕💕💕💕💕💞💞💞💞💕💕💕team nyuki kelvin wapi like zangu ♥️♥️

  • @TabiaMwaisumo-ss7pz
    @TabiaMwaisumo-ss7pz 27 дней назад +67

    Police anaweza kukufunga,mwalimu anaweza kukufelisha,hakimu anaweza kukuweka jela na daktari anauwezo wa kukuua lkn ashukuriwe MUNGU kwa NEEMA NA REHEMA ZAKE hutupigania katika hali zote🙏

  • @tha_lyrics01
    @tha_lyrics01 27 дней назад +109

    Finally part yenye tumewait Sana
    Alf pia mm mnipe likes zangu🙏

  • @IssaJaphe
    @IssaJaphe 27 дней назад +81

    Dah nimekuwa wa tatu lakn sio mbaya like kwa DONTA TV

    • @OzanaMtwangi
      @OzanaMtwangi 25 дней назад

      ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @JohnMwiguru
      @JohnMwiguru 24 дня назад

      ❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹

  • @Brother-moses2vs7bi1v
    @Brother-moses2vs7bi1v 27 дней назад +70

    Hakuna watu wenye wanabow kama waombaji likes all the way from Kenya 🇰🇪 wapy likes zangu NAMI🤣🤣🤣🤣

  • @user-zg7yv2bm6z
    @user-zg7yv2bm6z 27 дней назад +20

    Waoooo🎉🎉🎉 Mungu azidi kukuongoza akupe nguvu mpya uzidi kuwa na afya njema Dr Kevin Khan,kila laheri kwenye Kaz zako unazidi kutuelimisha hata tuliolewa

  • @MartinEmmanuel-eh7fu
    @MartinEmmanuel-eh7fu 27 дней назад +35

    Congratulations to kelvin and his team ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 kama umefurahishwa na hii serious gonga like❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @KhamisiMumbo
    @KhamisiMumbo 27 дней назад +26

    Wana donta move zenu nyingi huwa nazfuatilia lakini maranyingi siwapi like polen ndugu zangu kuanzia sasa tuko pamoja hii move imenigusa

    • @MwanaiddMasoud-qk4hb
      @MwanaiddMasoud-qk4hb 26 дней назад

      Umekosea ungesema shida Zina likizo kila ckuu sii maumivu wew umesema Kila CK ni maumivu happy lekebisha kirevin

  • @mobastian5050
    @mobastian5050 27 дней назад +22

    Hiyo nyimbo ya kesho yangu mtuwekee RUclips bhana❤❤🎉

  • @user-cl8lf1qb6v
    @user-cl8lf1qb6v 27 дней назад +20

    Hua naliaga kweny movie za kihindi Leo yamenitokea kweny movie ya kibongo kweli hawa jamaa wanatosha 🔥🔥🔥

  • @Almostaphiq
    @Almostaphiq 27 дней назад +26

    Wakwanza mm like 20 from🇿🇲🇿🇲🇿🇲

  • @Kailasjr178
    @Kailasjr178 27 дней назад +21

    😮Finally hii kituu imetokaa tenaa Likes kwa wale tulioanzaa mwanzo mwishoo😊😊

  • @FemiahJamesMbewepiston
    @FemiahJamesMbewepiston 27 дней назад +26

    Wakwanza mm like zangu

  • @Brother-moses2vs7bi1v
    @Brother-moses2vs7bi1v 27 дней назад +24

    Wangapi tunafurahia kumwona JAFFARY

  • @user-lk1dc7pf5v
    @user-lk1dc7pf5v 27 дней назад +36

    Like zangu jmn wakwanza

  • @HappyCorgi-le5lp
    @HappyCorgi-le5lp 27 дней назад +11

    Am in ,congratulations kelvin and Loveness am very happy listening your creativity..my favorite characters of the year

  • @aishaabeid8106
    @aishaabeid8106 27 дней назад +21

    Jmn ndio final tushushe comment zakushato... Mungu aibarik sana Kaz ya mikono yenuuu me nimeipenda sanaa hii mpk nlishawish na rafk zangu waitizame

    • @MwanaiddMasoud-qk4hb
      @MwanaiddMasoud-qk4hb 26 дней назад

      Maisha Yana likizo kila CKu c maumivu maana unampana na mwisho unatombo sas Kila CK si maumivu kilevin badilisha hapo Zanzibar hapa

    • @user-xq7fy2pp3y
      @user-xq7fy2pp3y 24 дня назад

      Hongera sana kelvin khan nakuombea kwa Mungu akuongezee akili na uelewa ktk utunzi wa muv nakutumia kila la heri

  • @AllySaidy-tn4iu
    @AllySaidy-tn4iu 27 дней назад +14

    Wakwanza movie mzuri sana

  • @user-tq7gp3ue7g
    @user-tq7gp3ue7g 27 дней назад +11

    Pia mim nimewahi jamn nawapend nyote mlikua mnasubir kesho yangu km mm❤❤❤ from kenya 🎉🎉

  • @SelemaniAbdulMadjid
    @SelemaniAbdulMadjid 27 дней назад +9

    Yaani hadi nimetoa machozi😭 mtu mzima kuona goma linaisha ham bado yote kwakweli big up sana kwa NYUKI NA NA KELVIN kwa mashairi nimejifunza kitu kupitia maneno yenu yana busara ndaniake,pia na ujumbe,nakubali kitu kizuri

  • @aminahissaa5551
    @aminahissaa5551 26 дней назад +2

    Hii movie nzuri sana inamafunzo Sana mpk na mm nimelia kwakwel dunia hii

  • @richardelieza1001
    @richardelieza1001 27 дней назад +11

    Number one naomba like za final

  • @user-xy1qn6ib3f
    @user-xy1qn6ib3f 27 дней назад +11

    Nilikasirika mpka sikufatilia hizo vipindi vingine Nina furaha Leo😚😚

  • @user-yw4wv9wq7q
    @user-yw4wv9wq7q 27 дней назад +12

    allah awape maisha marefu tumejifunza mengi natumefaidika sana nimimi Sadam niko lubumbashi kwasasa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 asante sana mungu awabariki tana sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @josptsaruni-gi5tx
    @josptsaruni-gi5tx 27 дней назад +10

    Am the first in kenya more likes🎉🎉

  • @mishikesi7882
    @mishikesi7882 27 дней назад +13

    Am the first naomba like waugwana❤

  • @FatmakhamisHamad-pj6bm
    @FatmakhamisHamad-pj6bm 27 дней назад +19

    Wa kwanz Leo kuangalia

  • @valentineonyoni9065
    @valentineonyoni9065 27 дней назад +7

    40:35 Wow 😊. Thanks guys for your update 🎉. Tulikuwa tumengoja sana. Representing Mombasa Kenya❤. Kwanzia episode 1 mpaka episode 33.❤🎉🎉🎉 Congrats guys 😘💕💕😘

  • @user-te6qu3fx9z
    @user-te6qu3fx9z 27 дней назад +4

    Hongereni watunzi mahiri. Movie yenu nzuri sana na mafunzo pia. Twaomba nyengine nzuri zaidi.

  • @MaulidAmri-zt2gv
    @MaulidAmri-zt2gv 27 дней назад +7

    Sijachelewa jamani naombeni like zangu from tabora tz❤❤❤❤

  • @KomboSaid-fz2ky
    @KomboSaid-fz2ky 27 дней назад +19

    Team donta tugonge like

  • @puritynzilaniofficial
    @puritynzilaniofficial 27 дней назад +19

    Wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mpo ndani ya nyumba 💕💞💕💞

  • @user-pq4rv4jm3j
    @user-pq4rv4jm3j 27 дней назад +2

    Tulikuw pamoja mbk mwisho good work🎉❤

  • @HamisErnest
    @HamisErnest 27 дней назад +17

    Kaz nzur San police kama nyie ndo mnataikiwa vp nimekuwa wa kwanza like mbili tu

  • @MussaHaule-tn3xw
    @MussaHaule-tn3xw 27 дней назад +17

    Waooooo Kelvin wangapi tuna mkubali kelv gonga like hapa😂😂😂😂

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 27 дней назад +12

    Jamani jamani njooni kesho yangu imewasili njoooni tuzidi kujifunza kitu❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @user-hm6hy6rr1h
      @user-hm6hy6rr1h 27 дней назад

      Tumefik mway tumefurah tuangalie mwisho wak keshaingia chakike uyu bwan hhhhhh

    • @user-pq4rv4jm3j
      @user-pq4rv4jm3j 27 дней назад

      Tumelejea 🎉

    • @RizikiZiki
      @RizikiZiki 27 дней назад

      Asanteni ❤

  • @EsdrasKambale
    @EsdrasKambale 27 дней назад +10

    Mi wakwanza,like zangu badii

  • @OmaryGandi
    @OmaryGandi 27 дней назад +10

    Wakwanza jamani anzeni apa in 🇿🇦 😢😢😢😢

  • @user-po4jx2dl9x
    @user-po4jx2dl9x 27 дней назад +5

    Bravo kwa wenye tumemaliza tamthilia kuanzia mwanzo hadi tamati❤

  • @TeddyAmos-go9qq
    @TeddyAmos-go9qq 27 дней назад +17

    Hii movie inamafunzo sana ukiifuatilia vizuri utajua namna nzuri ya kuishi maisha yoyote yale

  • @methodnkundumukiza6367
    @methodnkundumukiza6367 27 дней назад +2

    Asanteni sna waigizaji wazuri twawapenda sna mno.i'm from 🇧🇮

  • @PIERETV501
    @PIERETV501 27 дней назад +3

    Nimechelewa leo lakin naombeni like hata 20 kutoka south❤❤

  • @user-tx7je4wp9d
    @user-tx7je4wp9d 27 дней назад +5

    Waoooo raha sn wana donta TV hongereni jamani nawapend niko Burundi 💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕

  • @malickberry4563
    @malickberry4563 27 дней назад +28

    Number 1 🔥

  • @user-nn3mo1kg4q
    @user-nn3mo1kg4q 27 дней назад +5

    Wa kwanza leo nipeni like zangu😢😢😢,,,halafu hongereni kwa kazi safi❤❤❤❤❤❤

  • @user-ew5ur2nj4d
    @user-ew5ur2nj4d 26 дней назад +2

    Kazi Bomba kabisa. Barikiwa sana Kevin. Nampenda sana Vicky.

  • @TBrownMusic-uw2ut
    @TBrownMusic-uw2ut 27 дней назад +14

    Donta family yang

  • @user-ok5qg1ig6x
    @user-ok5qg1ig6x 27 дней назад +4

    Mashallah nawakubali san wanangu like ata tano tu jamn❤❤❤🎉🎉🎉

  • @sikujuakigwada3146
    @sikujuakigwada3146 27 дней назад +2

    Wahoooooooooo kazi nzur sana,endeleeni kutupa vitu vizur,kelvin bigup🎉🎉🎉

  • @BeatriceMukakabanda
    @BeatriceMukakabanda 27 дней назад +2

    Mungu awabariki sana kwa mafundisho mazuri , muendelee kutuelimisha

  • @Heiskmb
    @Heiskmb 27 дней назад +8

    Tulio hanza kufuatilia ep 1 mpaka final weka like hapa 🎉🎉🎉

  • @aishaabeid8106
    @aishaabeid8106 27 дней назад +5

    Namkubali sana brother Nyuki❤❤

  • @RehemaMataka-vf1oh
    @RehemaMataka-vf1oh 27 дней назад +2

    Good job from the beginning till the end all the best on the upcoming works i love you so much all donta tv members ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @princekillian3640
    @princekillian3640 27 дней назад +7

    Much love from kenya 🇰🇪 ❤️

  • @user-gm6sc8qu7e
    @user-gm6sc8qu7e 27 дней назад +9

    Wakwaza Leo 🎉🎉🎉🎉🎉kutoka kenya

  • @furahakenga6619
    @furahakenga6619 27 дней назад +4

    Asanten Sana kwa kazi nzur sana kwakwel hii movi imenifunza kitu Asanten Sana Team Kelvin ❤❤❤🇰🇪

  • @user-td6tc4jo1h
    @user-td6tc4jo1h 27 дней назад +2

    Nimefurah Leo mmemaliza kesho yangu nilikuwa naisubr Kwa hamu shukran donta tv🙏nawapenda Sana🥰🥰😘😘😘

  • @MahadMfiyome
    @MahadMfiyome 26 дней назад +1

    Since day one, imeanza kuruka hatimaye leo tumemaliza, five Kwa wote walio husika kuiandaa hii kazi na waendeleee kutuletea kazi Kali kama hizi, congratulations kwa wote tuliokua tukiifatilia🎉hall🖐🏾

  • @Collokenya
    @Collokenya 27 дней назад +5

    Kelvin pokea salamu zangu kutoka Kenya, mjomba umeweza kiukweli nakukubali sana bro, big up for what you have done and may God grant you more years #shalom 🙏

  • @user-ls2ww2cr7c
    @user-ls2ww2cr7c 27 дней назад +8

    First

  • @godnhohenry7779
    @godnhohenry7779 27 дней назад +8

    Wakwanza dadeq like jamaniii 🎉🎉

  • @user-rl4ii9xj5n
    @user-rl4ii9xj5n 27 дней назад +3

    Much love from DRC 🇨🇩🇿🇦🇨🇩🇨🇩 yanamengi yakujifunza kwaiy story ❤

  • @SPORAJACKSONMWINUKA
    @SPORAJACKSONMWINUKA 27 дней назад +10

    Wa kwaza jaman like

  • @stephenrobert7899
    @stephenrobert7899 27 дней назад +10

    Wakwanza leo

  • @user-ly5pg4ot1s
    @user-ly5pg4ot1s 27 дней назад +1

    Mwenyezimungu awabariki sanaaa KATIKA kazi zunu Kila mnapo achia bhasi ziwe ni zenye kufanikiwa kupenya KATIKA ulimwengu nawakubali sanaa na ninawapenda sana WOTE MLIOSHIRIKI KATIKA STORI YA KESHO YANGU ASANTENI

  • @UkhtyShemsa
    @UkhtyShemsa 27 дней назад +2

    Ni nzurii sana tunawashukuru kwa kutuletea tamthilia nzuri kama hii tunawaomba mtuletee nyingine nzuri. Zaidi ya hii ❤❤❤

  • @user-zc8bk5tu4i
    @user-zc8bk5tu4i 27 дней назад +9

    😂😂wakwanzaaa kabisaaa

  • @samsonlazaro2590
    @samsonlazaro2590 27 дней назад +11

    Wakwanz nipeni likes jmn ya mwisho hii

  • @user-qn2hr4pj4t
    @user-qn2hr4pj4t 27 дней назад +1

    Thanks for a good work l love this guy's God bless for a good job❤❤❤❤

  • @sikunzallah4843
    @sikunzallah4843 27 дней назад +3

    Congrats hii ilkua kali sana,,,leteni nyngne

  • @EvelineMungele-sr5tw
    @EvelineMungele-sr5tw 27 дней назад +10

    James Leo anayakanyaga yaan anajitumbukiza mwenyewe kwenye mudomo ya Simba,,, hongera kwako mwanasheria upo vzr mnoo❤️❤️❤️

  • @avekikibombo6559
    @avekikibombo6559 27 дней назад +3

    mpaka leo nafurahi kufuatilia hii series mpaka mwisho

  • @HalimaMasudi-kn1gf
    @HalimaMasudi-kn1gf 27 дней назад +2

    Nimejifunza pia mimi kaka shukran Allah akupe uwezo wakufikiria na kubuni zaidi inshallah❤love from kenya

  • @finegatwiri2597
    @finegatwiri2597 27 дней назад +2

    Great job mbarikiwe sana 👏👏 tunagoja kazi mpia tumeejoy sana barikiweni siku zote za maisha yenu 🙏🙏🙏🙏😘😘😘❤️tunawapenda sana from kenya ❤❤❤❤❤

  • @eliasisack7351
    @eliasisack7351 27 дней назад +8

    Jamn wa pili like zangu ❤❤❤

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 27 дней назад +3

    Kiukwl hii movie n nzr na inamafunzo mengi sana, au bas

  • @user-bb8rk2ui8f
    @user-bb8rk2ui8f 27 дней назад +2

    Nimefatilia hadi hapa palipofika kazi nzuri mungu awabarik inshallah sai Niko kwenye pain Killa pamoja kazi njema

  • @NeyMosha777
    @NeyMosha777 27 дней назад +1

    Hongereni nyote🎉

  • @user-gz1ke3tl8l
    @user-gz1ke3tl8l 27 дней назад +5

    nilijua tuu ilivyochelewa n final

  • @BarakaChacha-xo7gw
    @BarakaChacha-xo7gw 27 дней назад +4

    Bonge LA season km umeguswa gong 👍

  • @clariszawadi2010
    @clariszawadi2010 27 дней назад +2

    Kesho yangu umekua series nzuri sana na ina mafunzo mazuri acha Mungu aendelee kuwapa uwezo mkubwa

  • @neemakarisa6117
    @neemakarisa6117 27 дней назад +2

    Wow❤❤❤kesho yangu....Mungu awabariki sana nyote mlioshiriki❤❤❤

  • @MarkoLaandare
    @MarkoLaandare 27 дней назад +6

    Wakwanza leo❤❤❤

  • @Userbwax_03
    @Userbwax_03 27 дней назад +3

    Mmechelewesha sana bwana

  • @user-zc8bk5tu4i
    @user-zc8bk5tu4i 27 дней назад +7

    Nilitaman iendelee sana daah

  • @emiliapasco
    @emiliapasco 27 дней назад +2

    nzuri sana wema ni akiba

  • @happymatabwa9815
    @happymatabwa9815 27 дней назад +2

    Oooooh nc movie amazing am from malawi i like this movie

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 27 дней назад +4

    Jaman kwnn nyuki anahasira na kunambi,,,

  • @JustinBonaneharerimana-zg1td
    @JustinBonaneharerimana-zg1td 27 дней назад +2

    nimefurai sana tena sana kwa movie hii ambao munamafunzo mengi sana mungu azidi kukubariki sana Kelvin akuongeze maisha marefu 🙏🙏

  • @HadijaNgwajala
    @HadijaNgwajala 27 дней назад +2

    Kisinja macho yake ya wizi wizi yan😂

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 27 дней назад +2

    Wimbo wa keshooo mtuangushie basi ndo tuzidi kufurahia zaidi,Nawapenda sana nikiwa kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Norah-dee
    @Norah-dee 27 дней назад +24

    Wakwanza from oman naomba like hata kumi guys kwa kaz nzuri ya donta tv 🎉🎉wanaotaka nyimbo ya kesho yangu iachiwe tujuaje hapa guys 🎉

    • @HusnaAmudy
      @HusnaAmudy 9 дней назад

      Ndege ruka mpaka kijijini kwa mama kamueleze mimi bado napambana kamueleze dar kugumu sana bado natafta kilicho nileta bado sijapata mbele yangu naona ukuta shida matatizo utufunza uvumilivu maisha hayana likizo kila siku ni maumivu

    • @HusnaAmudy
      @HusnaAmudy 9 дней назад

      Kwa ufupi wimbo ndo uho

  • @mohammedtsuma4404
    @mohammedtsuma4404 26 дней назад +1

    Kazi nzur sana nimefatilia kutoka mwanzo adi mwisho mmefanya kazi nzur sana bigup

  • @vonpizzoychapuu6
    @vonpizzoychapuu6 27 дней назад +2

    Jamni coment taratibu kunamtu kanikanyaga huku nyuma Yani nimetoka kotee na faino episode ata like ndugu zangu hamna LEO ZAMU YANGU♥️💙

  • @aymyalsadyaymyalsady884
    @aymyalsadyaymyalsady884 27 дней назад +3

    Na mimi swali izi like ua mtu yuwalipwa na mimi nipewe like piya nilipwe kidogo mahana mimi nafyatilia donta tv😂

  • @user-ox1rt3lc6e
    @user-ox1rt3lc6e 27 дней назад +12

    Namba 28

    • @NdayisabaJeanClaude-mp8gg
      @NdayisabaJeanClaude-mp8gg 25 дней назад

      Kevin tunagupenda sana kabis hongera na Rwanda huku tugufatilia San hongera San sarimia nyuki

  • @MathewSupeet-nn1by
    @MathewSupeet-nn1by 26 дней назад +2

    Kesho yangu ni film nzuri sana imenifundisha mengi sana 🙏🙏🙏 naamini mtatoa nzuri zaidi

  • @AmosMbiko
    @AmosMbiko 27 дней назад +2

    Mwisho wa leo nimejifunza kitu nashukuru sanaa kwa hiii mungu haishii kuwaweka kabisa Kelvin moyo wako mungu hasimame kwa kila jambo nimekupenda sanaa na moyo wangu wote Akh paka nimetamani kua karibu na ww ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤