Habari zenu wafatiliaji wa donta tv? Natumai mko poa kabisa 🥰 Hatimae leo Tumefika Tamati Ya series yetu ya #KESHOYANGU tunashukuru sana kwa kuwa pamoja na sisi mwanzo mpaka mwisho, Tunajua kunasehemu ambazo tumewakwaza Tunaomba Radhi kwa maana aikuwa kusudio letu kuwakosea kila siku tunajifunza zaidi kupitia maoni yenu msituchoke endeleeni kutusaport kwenye kazi zetu zifuatazo 🙏❤️
Kusema ukwel msipotuambia. Jina la wimbo. Mm kuanzia Leo naacha kuangalia movie zenu sitofatilia tena. , tumevumilia sana na mliahidi kabisa wenyewe mtatuambia. , na huu ND mwisho ila mbn atuoni kitu aise nin shda
Police anaweza kukufunga,mwalimu anaweza kukufelisha,hakimu anaweza kukuweka jela na daktari anauwezo wa kukuua lkn ashukuriwe MUNGU kwa NEEMA NA REHEMA ZAKE hutupigania katika hali zote🙏
Waoooo🎉🎉🎉 Mungu azidi kukuongoza akupe nguvu mpya uzidi kuwa na afya njema Dr Kevin Khan,kila laheri kwenye Kaz zako unazidi kutuelimisha hata tuliolewa
Yaani hadi nimetoa machozi😭 mtu mzima kuona goma linaisha ham bado yote kwakweli big up sana kwa NYUKI NA NA KELVIN kwa mashairi nimejifunza kitu kupitia maneno yenu yana busara ndaniake,pia na ujumbe,nakubali kitu kizuri
allah awape maisha marefu tumejifunza mengi natumefaidika sana nimimi Sadam niko lubumbashi kwasasa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 asante sana mungu awabariki tana sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Since day one, imeanza kuruka hatimaye leo tumemaliza, five Kwa wote walio husika kuiandaa hii kazi na waendeleee kutuletea kazi Kali kama hizi, congratulations kwa wote tuliokua tukiifatilia🎉hall🖐🏾
Kelvin pokea salamu zangu kutoka Kenya, mjomba umeweza kiukweli nakukubali sana bro, big up for what you have done and may God grant you more years #shalom 🙏
Mwenyezimungu awabariki sanaaa KATIKA kazi zunu Kila mnapo achia bhasi ziwe ni zenye kufanikiwa kupenya KATIKA ulimwengu nawakubali sanaa na ninawapenda sana WOTE MLIOSHIRIKI KATIKA STORI YA KESHO YANGU ASANTENI
Ndege ruka mpaka kijijini kwa mama kamueleze mimi bado napambana kamueleze dar kugumu sana bado natafta kilicho nileta bado sijapata mbele yangu naona ukuta shida matatizo utufunza uvumilivu maisha hayana likizo kila siku ni maumivu
Mwisho wa leo nimejifunza kitu nashukuru sanaa kwa hiii mungu haishii kuwaweka kabisa Kelvin moyo wako mungu hasimame kwa kila jambo nimekupenda sanaa na moyo wangu wote Akh paka nimetamani kua karibu na ww ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Habari zenu wafatiliaji wa donta tv? Natumai mko poa kabisa 🥰 Hatimae leo Tumefika Tamati Ya series yetu ya #KESHOYANGU tunashukuru sana kwa kuwa pamoja na sisi mwanzo mpaka mwisho, Tunajua kunasehemu ambazo tumewakwaza Tunaomba Radhi kwa maana aikuwa kusudio letu kuwakosea kila siku tunajifunza zaidi kupitia maoni yenu msituchoke endeleeni kutusaport kwenye kazi zetu zifuatazo 🙏❤️
Sawa tumevumilia kwa hari na Mali lakini mna deni la kutuambia jina la wimbo aise
🙌🙌
Sawa kaka kevi lakintupo pamoja mwisho mwema mwazo mwema kwa nyingine ijayo🙏
Penda bure
Kusema ukwel msipotuambia. Jina la wimbo. Mm kuanzia Leo naacha kuangalia movie zenu sitofatilia tena. , tumevumilia sana na mliahidi kabisa wenyewe mtatuambia. , na huu ND mwisho ila mbn atuoni kitu aise nin shda
Kama we ni mfuatiliaji wa kesho yangu kuanzia EP 1 mpk finally gonga like kama zote
Nmeipenda xana
❤❤❤❤❤❤❤
Walioanza kesho yangu kwanzo mwsho like zangu apa please love from team strong 🇰🇪🇸🇦🔥🔥💞💞💞💞💕💕💕💕💕💞💞💞💞💕💕💕team nyuki kelvin wapi like zangu ♥️♥️
Police anaweza kukufunga,mwalimu anaweza kukufelisha,hakimu anaweza kukuweka jela na daktari anauwezo wa kukuua lkn ashukuriwe MUNGU kwa NEEMA NA REHEMA ZAKE hutupigania katika hali zote🙏
Nimeipenda hiyo I like it
😂😂
James kajichoma mwenyw izo ni mbinu za kivita😂
Finally part yenye tumewait Sana
Alf pia mm mnipe likes zangu🙏
Dah nimekuwa wa tatu lakn sio mbaya like kwa DONTA TV
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹
Hakuna watu wenye wanabow kama waombaji likes all the way from Kenya 🇰🇪 wapy likes zangu NAMI🤣🤣🤣🤣
Yan mim huwa wananiuzi sanaaa tena snaaa
Hahaha
Wanaboa sana
Waoooo🎉🎉🎉 Mungu azidi kukuongoza akupe nguvu mpya uzidi kuwa na afya njema Dr Kevin Khan,kila laheri kwenye Kaz zako unazidi kutuelimisha hata tuliolewa
Congratulations to kelvin and his team ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 kama umefurahishwa na hii serious gonga like❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hii movie imekia tamu Sana. Yaan sitaisahau.
Hii move imekua tamu sana next
Wana donta move zenu nyingi huwa nazfuatilia lakini maranyingi siwapi like polen ndugu zangu kuanzia sasa tuko pamoja hii move imenigusa
Umekosea ungesema shida Zina likizo kila ckuu sii maumivu wew umesema Kila CK ni maumivu happy lekebisha kirevin
Hiyo nyimbo ya kesho yangu mtuwekee RUclips bhana❤❤🎉
Haya
Hua naliaga kweny movie za kihindi Leo yamenitokea kweny movie ya kibongo kweli hawa jamaa wanatosha 🔥🔥🔥
❤sana
Hahahahahahaha pole
Wakwanza mm like 20 from🇿🇲🇿🇲🇿🇲
😮Finally hii kituu imetokaa tenaa Likes kwa wale tulioanzaa mwanzo mwishoo😊😊
Hereeeee😂😂🎉
Wakwanza mm like zangu
Wangapi tunafurahia kumwona JAFFARY
😂😂Mimi hapa
Like zangu jmn wakwanza
Acha ushamba.. likes zinakusaidia nini wew
Za nn
Am in ,congratulations kelvin and Loveness am very happy listening your creativity..my favorite characters of the year
Jmn ndio final tushushe comment zakushato... Mungu aibarik sana Kaz ya mikono yenuuu me nimeipenda sanaa hii mpk nlishawish na rafk zangu waitizame
Maisha Yana likizo kila CKu c maumivu maana unampana na mwisho unatombo sas Kila CK si maumivu kilevin badilisha hapo Zanzibar hapa
Hongera sana kelvin khan nakuombea kwa Mungu akuongezee akili na uelewa ktk utunzi wa muv nakutumia kila la heri
Wakwanza movie mzuri sana
Pia mim nimewahi jamn nawapend nyote mlikua mnasubir kesho yangu km mm❤❤❤ from kenya 🎉🎉
Yaani hadi nimetoa machozi😭 mtu mzima kuona goma linaisha ham bado yote kwakweli big up sana kwa NYUKI NA NA KELVIN kwa mashairi nimejifunza kitu kupitia maneno yenu yana busara ndaniake,pia na ujumbe,nakubali kitu kizuri
Kazi nzuri kweli❤
Hii movie nzuri sana inamafunzo Sana mpk na mm nimelia kwakwel dunia hii
Number one naomba like za final
Nilikasirika mpka sikufatilia hizo vipindi vingine Nina furaha Leo😚😚
allah awape maisha marefu tumejifunza mengi natumefaidika sana nimimi Sadam niko lubumbashi kwasasa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 asante sana mungu awabariki tana sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Am the first in kenya more likes🎉🎉
Am the first naomba like waugwana❤
Wa kwanz Leo kuangalia
40:35 Wow 😊. Thanks guys for your update 🎉. Tulikuwa tumengoja sana. Representing Mombasa Kenya❤. Kwanzia episode 1 mpaka episode 33.❤🎉🎉🎉 Congrats guys 😘💕💕😘
Hongereni watunzi mahiri. Movie yenu nzuri sana na mafunzo pia. Twaomba nyengine nzuri zaidi.
Sijachelewa jamani naombeni like zangu from tabora tz❤❤❤❤
Team donta tugonge like
Wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mpo ndani ya nyumba 💕💞💕💞
Tulikuw pamoja mbk mwisho good work🎉❤
Kaz nzur San police kama nyie ndo mnataikiwa vp nimekuwa wa kwanza like mbili tu
Waooooo Kelvin wangapi tuna mkubali kelv gonga like hapa😂😂😂😂
Jamani jamani njooni kesho yangu imewasili njoooni tuzidi kujifunza kitu❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tumefik mway tumefurah tuangalie mwisho wak keshaingia chakike uyu bwan hhhhhh
Tumelejea 🎉
Asanteni ❤
Mi wakwanza,like zangu badii
Wakwanza jamani anzeni apa in 🇿🇦 😢😢😢😢
Bravo kwa wenye tumemaliza tamthilia kuanzia mwanzo hadi tamati❤
Hii movie inamafunzo sana ukiifuatilia vizuri utajua namna nzuri ya kuishi maisha yoyote yale
Asanteni sna waigizaji wazuri twawapenda sna mno.i'm from 🇧🇮
Nimechelewa leo lakin naombeni like hata 20 kutoka south❤❤
Waoooo raha sn wana donta TV hongereni jamani nawapend niko Burundi 💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕
Number 1 🔥
Wa kwanza leo nipeni like zangu😢😢😢,,,halafu hongereni kwa kazi safi❤❤❤❤❤❤
Kazi Bomba kabisa. Barikiwa sana Kevin. Nampenda sana Vicky.
Donta family yang
Mashallah nawakubali san wanangu like ata tano tu jamn❤❤❤🎉🎉🎉
Wahoooooooooo kazi nzur sana,endeleeni kutupa vitu vizur,kelvin bigup🎉🎉🎉
Mungu awabariki sana kwa mafundisho mazuri , muendelee kutuelimisha
Tulio hanza kufuatilia ep 1 mpaka final weka like hapa 🎉🎉🎉
Namkubali sana brother Nyuki❤❤
Good job from the beginning till the end all the best on the upcoming works i love you so much all donta tv members ❤❤❤❤❤❤❤❤
Much love from kenya 🇰🇪 ❤️
Wakwaza Leo 🎉🎉🎉🎉🎉kutoka kenya
Asanten Sana kwa kazi nzur sana kwakwel hii movi imenifunza kitu Asanten Sana Team Kelvin ❤❤❤🇰🇪
Nimefurah Leo mmemaliza kesho yangu nilikuwa naisubr Kwa hamu shukran donta tv🙏nawapenda Sana🥰🥰😘😘😘
Since day one, imeanza kuruka hatimaye leo tumemaliza, five Kwa wote walio husika kuiandaa hii kazi na waendeleee kutuletea kazi Kali kama hizi, congratulations kwa wote tuliokua tukiifatilia🎉hall🖐🏾
Kelvin pokea salamu zangu kutoka Kenya, mjomba umeweza kiukweli nakukubali sana bro, big up for what you have done and may God grant you more years #shalom 🙏
kesho ysngu
First
Wakwanza dadeq like jamaniii 🎉🎉
Much love from DRC 🇨🇩🇿🇦🇨🇩🇨🇩 yanamengi yakujifunza kwaiy story ❤
Wa kwaza jaman like
Wakwanza leo
Mwenyezimungu awabariki sanaaa KATIKA kazi zunu Kila mnapo achia bhasi ziwe ni zenye kufanikiwa kupenya KATIKA ulimwengu nawakubali sanaa na ninawapenda sana WOTE MLIOSHIRIKI KATIKA STORI YA KESHO YANGU ASANTENI
Ni nzurii sana tunawashukuru kwa kutuletea tamthilia nzuri kama hii tunawaomba mtuletee nyingine nzuri. Zaidi ya hii ❤❤❤
😂😂wakwanzaaa kabisaaa
Wakwanz nipeni likes jmn ya mwisho hii
Thanks for a good work l love this guy's God bless for a good job❤❤❤❤
Congrats hii ilkua kali sana,,,leteni nyngne
James Leo anayakanyaga yaan anajitumbukiza mwenyewe kwenye mudomo ya Simba,,, hongera kwako mwanasheria upo vzr mnoo❤️❤️❤️
mpaka leo nafurahi kufuatilia hii series mpaka mwisho
Nimejifunza pia mimi kaka shukran Allah akupe uwezo wakufikiria na kubuni zaidi inshallah❤love from kenya
Great job mbarikiwe sana 👏👏 tunagoja kazi mpia tumeejoy sana barikiweni siku zote za maisha yenu 🙏🙏🙏🙏😘😘😘❤️tunawapenda sana from kenya ❤❤❤❤❤
Jamn wa pili like zangu ❤❤❤
Kiukwl hii movie n nzr na inamafunzo mengi sana, au bas
Nimefatilia hadi hapa palipofika kazi nzuri mungu awabarik inshallah sai Niko kwenye pain Killa pamoja kazi njema
Hongereni nyote🎉
nilijua tuu ilivyochelewa n final
Bonge LA season km umeguswa gong 👍
Kesho yangu umekua series nzuri sana na ina mafunzo mazuri acha Mungu aendelee kuwapa uwezo mkubwa
Wow❤❤❤kesho yangu....Mungu awabariki sana nyote mlioshiriki❤❤❤
Wakwanza leo❤❤❤
Mmechelewesha sana bwana
Nilitaman iendelee sana daah
nzuri sana wema ni akiba
Oooooh nc movie amazing am from malawi i like this movie
Jaman kwnn nyuki anahasira na kunambi,,,
nimefurai sana tena sana kwa movie hii ambao munamafunzo mengi sana mungu azidi kukubariki sana Kelvin akuongeze maisha marefu 🙏🙏
Kisinja macho yake ya wizi wizi yan😂
Wimbo wa keshooo mtuangushie basi ndo tuzidi kufurahia zaidi,Nawapenda sana nikiwa kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wakwanza from oman naomba like hata kumi guys kwa kaz nzuri ya donta tv 🎉🎉wanaotaka nyimbo ya kesho yangu iachiwe tujuaje hapa guys 🎉
Ndege ruka mpaka kijijini kwa mama kamueleze mimi bado napambana kamueleze dar kugumu sana bado natafta kilicho nileta bado sijapata mbele yangu naona ukuta shida matatizo utufunza uvumilivu maisha hayana likizo kila siku ni maumivu
Kwa ufupi wimbo ndo uho
Kazi nzur sana nimefatilia kutoka mwanzo adi mwisho mmefanya kazi nzur sana bigup
Jamni coment taratibu kunamtu kanikanyaga huku nyuma Yani nimetoka kotee na faino episode ata like ndugu zangu hamna LEO ZAMU YANGU♥️💙
Na mimi swali izi like ua mtu yuwalipwa na mimi nipewe like piya nilipwe kidogo mahana mimi nafyatilia donta tv😂
Namba 28
Kevin tunagupenda sana kabis hongera na Rwanda huku tugufatilia San hongera San sarimia nyuki
Kesho yangu ni film nzuri sana imenifundisha mengi sana 🙏🙏🙏 naamini mtatoa nzuri zaidi
Mwisho wa leo nimejifunza kitu nashukuru sanaa kwa hiii mungu haishii kuwaweka kabisa Kelvin moyo wako mungu hasimame kwa kila jambo nimekupenda sanaa na moyo wangu wote Akh paka nimetamani kua karibu na ww ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤