UTACHEKA TX DULLAH alivyomshauri STEVE MWEUSI na Wimbo wake wa 'Aaaaaah Aaaaaaaaaah'
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Next Show 27.05.2023 Ukumbi wa Dear Mama Hotel Area C Dodoma, Dont Miss
#comedy #comedyseries #millardayo #trending #txdullah #chekatu - Развлечения
Jaman jaman ukwel steve is commedian number one in Tanzania and a big star in Africa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏200% anaweza saaana
Kuna kicheche Sterling makoti
Hongera kaka kazana
Mjomba mlevi alooooh mnanikosea sana
naomba Tujuwane uniunge kwenye kikudi cako namii najuwa kuigiza
Mjomba wake Dulaa anakazi
Anaefanya Sounds Engineering Apitie Notes Upya Haijakaa poa
Sauti brother mafundi mitambo mziweke poa. God bless you
Poa poa kaka usiache kutufuatilia tunarekebisha
huu wimbo steve unafanya watu tuwe malahila kama wewe
Nakubali sana
Endambele Steven
😂😂😂
Huna baya steve unajua
Steve Mweusi na TX Dullah mko vizuri!!
Stv umezingua standing comedy bado
Vijana wako na talent lkn saut zao kwa hizo instrument zenu zina sound vibaya Sana kwenye RUclips
Sana yani
Lopez Robert Garcia Timothy Davis Jason
Garcia Helen Rodriguez Maria Anderson Kevin
Lee Paul Rodriguez Frank Johnson David
Johnson Shirley Brown Laura Martinez Laura
NO SE QUE DICE PERO ES CHISTOSO.
Walker Amy Miller Richard Jackson Mary
Martinez Ronald Clark Sandra Jones George
❤❤❤
Nyimbo ya stive mweus
Sound quality yenu mbaya
Bigapu Brazza Steven mweusi
Naheshimu Sana Fani za Watu ila kwenye kipengele cha ubunifu hapo😮😮😮 naona story copy n paste na kurudia story
Umetisha tx dull
Nice broutafikambali mungu akuajalie
Kwenye sound aijakaa poa lifanyieni kazi
Quality ya saut mjitahd mlioko upande wa media, hatusikii vizur 🤷
Asante sana tumelifanyia kazi tayari video zitakazopanda zina sauti nzuri
Ila huyu
👍👍👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Gusa maandish ya blue ukasikie wimbo wangu nilivyomfunika Mc Balsa ruclips.net/video/DFFTXkrlXH8/видео.html
Cool Steeve mweusi
Oiii
Steve mweusi huyoo😍
🎉🎉🎉🎉
Steven m
Mweusi the father of comedy... all the best bro
😂😂😂
😊😊
😢
Watanzania tujifunzee kwa wakenya stand up comedy sisi bdo sana content zile zilee
Kwann tufanane na Kenya jamn
Jameni watanzania wengu pliz angalia maneno ya camera pia sound systems
Skize Churchill ya kenya ndo mjue show ndo nini,,,,ya kwanza speaker zenu no no no
😂
Tx dulla🔥🔥🔥🔥🔥💖💖
Oyaaaaaaaa ni 🔥🔥🔥 no kupoa
Kaka pamoj San 😮😮😮😮
Et we dullah 😂😂
Hahahahaaaa steve ni fala sana
Sauti mbovu sana
,😂😂😂😂
kori liko wapi
Kaka anajua
Nawakubali
Dullah hyo ya mjomba mlevi unaipenda
Mjomba ni mlevi kweli
Hata fans tunaipenda
Hana mpya
@@HusseinNgendanyiJklkkll
Ushauri tu
P😊
Hi
kaka uko pw
😂😂
😢😢
😅😅😅😅😅
Malasta
❤❤❤
😂😂
😂 mko vizuri
Asante mkuu usisahau kusubscribe, like na kushare
Watanzania hamwezi ongea English poa kwa dakika moja😂😂
Kwani English ni nn
Hatuwezi ku embrace lugha ya kikoloni
Wala hata sioni ufahari kuongea au kuzungumza hiyo lugha ya Mkoloni unayoipigia Upatu. Lugha Mama yangu ni Kiswahili. Najivunia lugha yangu ya Taifa. Wewe unayejivunia lugha ya Wakoloni waliowanyanyasa na kuwatesa Babu zetu pole sana kwa kuendelea kuwa Mtumwa wa fikra . Jivunie chako si cha Wengine. Kuwa na Mkululo wa fikra na jitahidi kuwa na akili tunduizi. Bob Marley kwenye kibao chake cha Redemption song aliimba :". Emancipate yourself from mentally slavery , non but ourselves can free our minds.........."
How do you study chemistry in Swahili mbona mnakuwa wapumbavu lakini😂😂
@@omarisiliverio2965 Mpumbavu mwenyewe unayejivunia lugha ya Wazungu. Kwani nani alikuambia kemia haiwezi kufundishwa kwa Kiswahili? Acha umaskini wa fikra.
Ya leo inaanza saa ngapi af kwenye channel ip
Ya Leo ndo inaanza mkuu samahani leo hatutakuwa live tutapandisha clip
@@kimongapro anhaa sawa
Sounds please
tunafanyia kazi mkuu