CHAPATI LAINI ZA NAZI ZAKUCHAMBUKA KURASA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 191

  • @aromaofzanzibar
    @aromaofzanzibar  6 лет назад +8

    IF YOU WISH TO WATCH THIS RECIPE IN ENGLISH PLEASE FOLLOW THIS LINKruclips.net/video/a5GoaQTHbCM/видео.html

    • @lailatjohn5947
      @lailatjohn5947 6 лет назад +1

      Samahan naweza kanda saa 3 usiku nkazichoma kesho yake asubuhi,je unga auwezi haribika

    • @nadhlfasalmazena7444
      @nadhlfasalmazena7444 6 лет назад

      @@lailatjohn5947 saa tatu yenyewe mama! Bora Hata masaa mawili au alfajir baada ya swalaa ,by saa kumi nambili waandaa ,Ila hautoharibika coz sio Khamira hiyo ,,

    • @kalongemwakalonge9680
      @kalongemwakalonge9680 5 лет назад

      Thxs mum 4 this! But mie nina shida na hicho kifaa chenye unatumia kupakia mafuta kwenye chapati, kinapatikana wap?!

    • @beautybyayy
      @beautybyayy 3 года назад

      We -

  • @rehemamasoud3687
    @rehemamasoud3687 4 года назад

    Asante dd umetuifazia ndoa zetu kwa mapishi bora m.mungu atakulipa kwa haya

  • @zebusdaughter8158
    @zebusdaughter8158 6 лет назад +5

    My all the time Sis!! Kazi yako only Allah knows jinsi unavyochangia katika kuzihifadhi ndoa Zetu!! Nakupendaje!😇

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 лет назад

      Alhamdulilah, ahsante kwa mapenzi hayo dear

    • @zalmachano265
      @zalmachano265 3 года назад

      @@aromaofzanzibar Wallah nakupenda bure kwa mapishi. Allah akulinde

  • @humphreykarua5241
    @humphreykarua5241 2 года назад

    Asante sana Dada Aroma kwa maelezo yako urs most honestly h

  • @parisz
    @parisz 6 лет назад +3

    I’m so proud that you expose your children to Swahili culture

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 лет назад +1

      Always, and they love and enjoy every bit of it

  • @janeyoj8228
    @janeyoj8228 4 года назад +1

    Hizi nimezipenda sanaaa
    Yaan huo unga ulivyokuwa mlaini 😍😍😍😍😍😍
    Ubarikiwe sana

  • @jesusislord7919
    @jesusislord7919 6 лет назад +8

    Chapati za kufana sana...
    Nairobi tupo🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @jikonimagic
    @jikonimagic 6 лет назад +1

    Kwisha mambo!!! Chapati zinavutia mnoooo!! You did a fantastic job here

  • @muniraahmed8208
    @muniraahmed8208 2 года назад

    Mash Allah madam. Hakuna recipe sijapenda

  • @happynessmmari74
    @happynessmmari74 2 года назад

    Yummy yummy 😋😋 napenda sana kufuatili video zako,, umenipa ujasiri eti maahine haina mapenzi ,🤸

  • @uwimanaberthyna3086
    @uwimanaberthyna3086 4 года назад

    Waouh 🥰🥰🥰😋😋napenda sana mapishi yako mumy napenda chapati sana 💖nitajaribu pia

  • @elsiesawayi4369
    @elsiesawayi4369 6 лет назад

    Asante sana kwa kunifunza jinsi mpya ya kupika chapati.Nimefurahia sana video yako.Asante tena

  • @joyfuljay463
    @joyfuljay463 4 года назад

    Asante sana you are the best God bless you...kindly I would wish to know the temperature of coconut milk and samli

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  4 года назад

      Thank you so much, the coconut milk and samli were just room temperature. Thank you for your support

  • @marthajoe879
    @marthajoe879 4 года назад

    Napenda maelezo yako sana. Asante luv

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 4 года назад

    Bless you Always!! napenda sana vyakula vyote unavotuelekeza jazzakhallahu kheir...

  • @hawakhamisi1916
    @hawakhamisi1916 4 года назад

    Mashallah mwenyezi mungu aibariki mikono yako 😘

  • @barackjoshua6712
    @barackjoshua6712 4 года назад

    Dada uko vizuri sana

  • @nassorhamad5872
    @nassorhamad5872 6 лет назад

    mashaallah nzuri sana MUNGU akuzidishie ujuzi aamin

  • @shradhakapoor5679
    @shradhakapoor5679 6 лет назад

    Mashallah mungu akuzidishie ujuzi...asante sana

  • @blessingbagio4857
    @blessingbagio4857 6 лет назад +1

    Asante sana kwa kuniongezea ujuz wa mapshi

  • @farzanabhaloo7698
    @farzanabhaloo7698 4 года назад

    Very nice chapati recipe. Thanks for sharing, 💕💕

  • @marthajoe879
    @marthajoe879 4 года назад

    Zinavutia mnooooo. Hongera kwa kua mpishi bora.

  • @alikhamis4055
    @alikhamis4055 6 лет назад +2

    ni Mzuri Sana 😋😋😋

  • @maryamkhamis9493
    @maryamkhamis9493 4 года назад

    Shukran habbty 😋😋🌹

  • @mariamissaahmed7675
    @mariamissaahmed7675 6 лет назад

    Chapati zavutia sana Natamani nizile sasa hivi.Mapishi mazuri .Shukran

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 3 года назад

    Maa Shaa Allah

  • @sharifamisomba498
    @sharifamisomba498 4 года назад

    Asante my nimeelewa vizuri

  • @khadijanassor7698
    @khadijanassor7698 6 лет назад

    MashaAllah very creative na zaonyesha kua very tasty. Ooooh na zina kurasa visitor. Very impressive we luv u dear from Mombasa Kenya

    • @saeednasser9870
      @saeednasser9870 6 лет назад

      Khadija Nassor mashallah dada yangu unafundisha vizurii cn hada mm najisikiy vema napend chapatii chapo nipo oman nimezipenda chapatii my love

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 лет назад

      Thanks for the love and support, be blessed!

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 лет назад

      Shukran,

  • @RukiaLaltia
    @RukiaLaltia 6 лет назад

    Mashallah 😋😋😋👌

  • @binwaelle1138
    @binwaelle1138 3 года назад

    Masha allah 👍

  • @aleonm5197
    @aleonm5197 4 года назад

    Wonderful recipe.
    Ukiyaweka mabonge pembeni yatulie usiku kucha, ni lazima uyaweke kwenye friji?

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  4 года назад

      Kama utaweka usiku kucha ni vizuri kuweka kwenye fridge

  • @sidematinde4286
    @sidematinde4286 6 лет назад

    Mashaallah nakupendaga buree

  • @wemakalam9415
    @wemakalam9415 6 лет назад

    Mashaalah tabarakaallah nitajaribu inshaallah umeniacha taka kula pia.

  • @jokhaissa8060
    @jokhaissa8060 4 года назад

    Mashaallah chapatiy powa

  • @samiasamia6746
    @samiasamia6746 5 лет назад

    Wow nakupenda sana maman yani sijui niseme nini mapishi yako

  • @lyciakavumbi7294
    @lyciakavumbi7294 6 лет назад

    Shukran Aroma of zanzibar.

  • @khadijaabdulqadir1662
    @khadijaabdulqadir1662 6 лет назад

    Assalamu aleikum. Mashaallah kwa machoo tuu nimeziona tamuuuu 😋😋. Shukraaan mpenzii. Allah akuhifadhi

  • @halimashoo835
    @halimashoo835 6 лет назад

    Hakika mapishi yako nayapenda sn maashaAllah

  • @mahranrashma1745
    @mahranrashma1745 6 лет назад

    U r golden heart, ur valuable time doesn't go unnoticed, knpw that am ur number 1 fan😘😘

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 лет назад +1

      Thanks dear , I appreciate your support and love too

  • @jacksonissack3037
    @jacksonissack3037 6 лет назад

    Woow! I juxt fell in love with her very very clean hands!..without 4geting the chapati hah....nyc work!

  • @nassraramadhans1074
    @nassraramadhans1074 6 лет назад

    ulikua wapi jamani yani nimemmiss vaa kula vako 😍😍😍

  • @luluw1469
    @luluw1469 6 лет назад

    so lovely. the chapati pan so great. share the secret of where you get the cooking pots?

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 лет назад

      Thank you dear, my pan is from amazon its a Korean brand called HappyCall

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 6 лет назад

    Asante sana kwa kunielekeza vizuri

  • @desertblade1874
    @desertblade1874 6 лет назад +11

    "machine haina mapenzi" Aroma of Zanzibar 2019

  • @annacharles5395
    @annacharles5395 6 лет назад

    Tamu sana dada,hongera

  • @chilanikawo9055
    @chilanikawo9055 2 года назад +1

    Asalamu caleymum napenda vile wewe una funza watu kupika shukran

  • @ukhtysakinaa7664
    @ukhtysakinaa7664 6 лет назад +1

    Masha Allah, zaonesha tamu

  • @ruksgranny3179
    @ruksgranny3179 5 лет назад

    Masha Allah Dada asante Sana

  • @omanmuscat4853
    @omanmuscat4853 6 лет назад +1

    Maashallwah sana nzur

  • @lydiahotieno5070
    @lydiahotieno5070 6 лет назад +1

    Shukrani sana Dada.

  • @judithsimfukwe1353
    @judithsimfukwe1353 6 лет назад

    Umetisha

  • @fahas6779
    @fahas6779 6 лет назад

    Mashaa Allah.in shallah leo ntazipika.

  • @merymrema420
    @merymrema420 5 лет назад

    Asante kwa mafunzo mazuri

  • @afzalmuhammad3630
    @afzalmuhammad3630 6 лет назад

    Maa shaa Allah Tabarakallah best shabati

  • @asmasaid2411
    @asmasaid2411 4 года назад

    Mashallh shapati

  • @camillabrian5643
    @camillabrian5643 5 лет назад +1

    love ur videos❤You should make a food blog🤗

  • @thomaslandwhale
    @thomaslandwhale 6 лет назад

    MashaAllah iko sawa sana

  • @halimatajiri2993
    @halimatajiri2993 6 лет назад +1

    Zavutia MashaAllah 👌

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 6 лет назад

    Mashallah nzuri

  • @luluabdulaziz8556
    @luluabdulaziz8556 2 года назад

    Hellow una sister Canada always
    Love you

  • @kesiyadenise1869
    @kesiyadenise1869 6 лет назад

    Yani iko powa Sister😋😍

  • @zeddysale217
    @zeddysale217 4 года назад

    Wow Mashallah

  • @a.856
    @a.856 6 лет назад +1

    Perfect hun😋

  • @nassraramadhans1074
    @nassraramadhans1074 6 лет назад

    mashallah aroma of Zanzibar

  • @Lifeisgoodkitty
    @Lifeisgoodkitty 4 года назад

    Chapati hizi zina kazi ..lakini zaonekana zenye ladha!👍🏾

  • @mwendapoleee
    @mwendapoleee 6 лет назад

    Wow chapos with lots of ❤💚💜💙💛

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 6 лет назад

    Kitafunwa icho me nakipenda sana hapo kwa maharage ebwanaeeee ndo hunigandui

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 лет назад +1

      Kweli kabisa na recipe ya maharage inakuja soon Inshallah

  • @gemimamabula2284
    @gemimamabula2284 6 лет назад +1

    shukrani sana

  • @gabrielahally4366
    @gabrielahally4366 6 лет назад

    Nzuri mashallah

  • @husseinjongo7588
    @husseinjongo7588 6 лет назад +1

    Ati tutizame sasa ndani vipii 😁😁
    Chapati tamu, umenifanya nimkumbuke mamangu, hupikaga kama hizooo 🤗🤗🤗
    M/Mungu jaalia nipate mke fundi wa chapatii 😂😂😁

  • @ukhtyrahma.3922
    @ukhtyrahma.3922 6 лет назад +1

    MaashaAllah

  • @nyangigepetee6294
    @nyangigepetee6294 6 лет назад

    Nicee

  • @mamakhayrat7807
    @mamakhayrat7807 4 года назад

    Mashaallah

  • @zulfahhussein505
    @zulfahhussein505 6 лет назад

    Machine haina mapenzi kabisaa tena yawatu wafivu wasio penda jiko yaani..😂😂😂shukran

  • @zaytoonabdallah1172
    @zaytoonabdallah1172 6 лет назад

    Jazakallah khayr.

  • @puritykanana397
    @puritykanana397 5 лет назад

    Wao l love them

  • @asmaamohammed352
    @asmaamohammed352 6 лет назад

    Ma shaa Allah.

  • @beatricemapembe8941
    @beatricemapembe8941 6 лет назад

    Asante sana.

    • @rukiahhdbdn4798
      @rukiahhdbdn4798 6 лет назад +1

      Beatrice Mapembe maa shaa Allah mi sijawahi kupika chapati za nazi

  • @fatumayussuf5087
    @fatumayussuf5087 6 лет назад

    Ma shaa Allah

  • @lapidothswai1777
    @lapidothswai1777 6 лет назад

    Shukran 🙏

  • @selemanihassani4419
    @selemanihassani4419 6 лет назад

    Maa Shaa Llahu

  • @marthajael4504
    @marthajael4504 4 года назад +1

    Best chapos ever

  • @Sunshine-tu6xu
    @Sunshine-tu6xu 6 лет назад

    Aunt Unatumia Unga Gani?Brand Gani Gani Napata Tabu Vile Am New To U.S....Unga Gani Best Unatumia?Na Je Wapi Naweza Kupata Chuma Cha Mkate Wa Ufuta?

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 лет назад +1

      Mimi natumia unga unaitwa Wheat Montana unapatikana walmart au pia Gold Medal unbleached , chuma cha ufuta mie nimenunua duka la wahindi

    • @Sunshine-tu6xu
      @Sunshine-tu6xu 6 лет назад

      Aroma of Zanzibar thanks Mami Ake

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 5 лет назад

      @@aromaofzanzibar thanks for type ya unga. I am still getting hard chapatis, I will try using unbleached Gold medal. I was using bleached one. Sijui ndio shida?

  • @shamimhanoph5099
    @shamimhanoph5099 6 лет назад +1

    unanihamasishaa!

  • @emaannaseem862
    @emaannaseem862 6 лет назад

    Plz dada nataka unifundishe mchuzi wa maharagwe
    Mana na hizo chapati ushanitamanisha mombasa nami niko saudia

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 лет назад

      Maharage yanakuja inshallah

    • @emaannaseem862
      @emaannaseem862 6 лет назад

      @@aromaofzanzibar jazakallah kher habibty
      Mwenye zi mungu akupe afya na umri mrefu ya raabi

  • @hafsahcletty5968
    @hafsahcletty5968 6 лет назад

    Shukran

  • @maximillahmoindi6418
    @maximillahmoindi6418 2 года назад

    Poa sana

  • @rukiahhdbdn4798
    @rukiahhdbdn4798 6 лет назад

    But nntajaribu in shaa Allah

  • @khadijasaid4303
    @khadijasaid4303 6 лет назад

    Inshallah kesho nitazipika

  • @kamaajack
    @kamaajack 6 лет назад +2

    Award winning

  • @shamsamohamed8826
    @shamsamohamed8826 6 лет назад

    wallah napenda sana mapishi yako

  • @silpayotto4217
    @silpayotto4217 6 лет назад

    Nataka kuona upishi wa matoke plzzzzzz

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 лет назад

      Sorry dear huku Marekani hakuna ndizi za matoke

  • @tahrinkessy7119
    @tahrinkessy7119 6 лет назад

    Mashallah

  • @emaannaseem862
    @emaannaseem862 6 лет назад

    Mashallah tabarakallah

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 6 лет назад

    Masha Allah

  • @ibtysaam3398
    @ibtysaam3398 6 лет назад

    InshaAllah leo itakuwa ndo chakula cha usiku😅

  • @nathaliaernest4342
    @nathaliaernest4342 5 лет назад

    Nikiongeza mayai itakuwaje

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  5 лет назад

      Mimi sijawahi kutmia mayai kwenye chapati, jaribu uone vipi utapenda

  • @gwantwabeno2629
    @gwantwabeno2629 3 года назад

    Ya Pili ndyo rahisi jamani

  • @faridaodidiodidi7517
    @faridaodidiodidi7517 3 года назад

    Samahani nauliza je tui nimoto ama nibaridi

  • @janethshem5782
    @janethshem5782 6 лет назад

    Nzuri na fasta