Huyo alovya buibui si mke huyo kiswaswadu huyo mke.bora na mwenye midhamu niuyo mwenye jialbabu mashallah mke bora.safi sana bro Bujra kwa kuelimisha watu .
MAA SHAA ALLAAH! SAMAHANI NAOMBA NISHAURI: MAIGIZO YENU NI MAZURI ,SASA JITAHIDINI IGIZO LIKIHUSU SHERIA MUWAHUSISHE WAJUZI. HAPA SHEIKHE KASEMA EDA MIEZI 4 NA SIKU 10 HII NI KWA EDA YA KUFEWA, AMA EDA YA TALAKA NI HEDHI 3 (TOHARA 3) AU KAMA HAPATI HEDHI BASI NI MIEZI 3.
Maa Shaa Allah Maa Shaa Allah Ujumbe mzuri sana lakini kadhi anafaa ajue vizuri aina za eda na muda wake. Kwa sababu hapa ndio wengine wanasoma ukubwani au wengine wanafunzi.
Masha Allah, movie nzuri yenye mafundisho ila Bujra improve kwenye microphone system sauti haziko clear na pia camera settings igeuze tulizoea kuwatch movie tukiwa tumeinamisha simu na labda at the same time ikiwa iko kwenye charging so unatupa kazi ya kushilikilia simu hatu enjoy simu ikiwa imesimama, Hayo ni maoni yangu
Huyo alovya buibui si mke huyo kiswaswadu huyo mke.bora na mwenye midhamu niuyo mwenye jialbabu mashallah mke bora.safi sana bro Bujra kwa kuelimisha watu .
Hahahah iko ni kiswaswadu kwl
Ndo mana warabuni mtu na shemegi yake hawaonani na ndivyo inavyostahili bwana😂😂😂
MashaAllah good content kudos guys
Shibe kua serious ulishindwa wewe 😅😅 muendelezo baada ya eda jamani mashallah tabaarakallah ❤❤mnamafunzo
Ety Maji yatoka shemegy 😂😂😂😂. Jey ukona ufala sana
😂😂😂😂😂😂
MAA SHAA ALLAAH!
SAMAHANI NAOMBA NISHAURI: MAIGIZO YENU NI MAZURI ,SASA JITAHIDINI IGIZO LIKIHUSU SHERIA MUWAHUSISHE WAJUZI.
HAPA SHEIKHE KASEMA EDA MIEZI 4 NA SIKU 10 HII NI KWA EDA YA KUFEWA, AMA EDA YA TALAKA NI HEDHI 3 (TOHARA 3) AU KAMA HAPATI HEDHI BASI NI MIEZI 3.
Nahisi kaghafilika mzee wetu kwasababu mara ya kwanza alitamka vzr miezi 3
Mashallah Mashallah ❤❤❤❤❤❤ jamn nawapendaa kwa ajli ya allah
Wallah this really story, mashekh wengi wapata shida na bibizao
Natamani nione Hawa ndgu wakitembeleana baada ya wte kuoleana alfu natamn wasioneane wivu😅😅😅❤
Kabisaa...😂😂😂
Maa Shaa Allah
Maa Shaa Allah
Ujumbe mzuri sana lakini kadhi anafaa ajue vizuri aina za eda na muda wake. Kwa sababu hapa ndio wengine wanasoma ukubwani au wengine wanafunzi.
Yah katoa eda ya kufiwa
Naam edda ya kuachwa ni twahara 3 au heidh 3 tena aaachwe aikwa msafi yani hiyo talaka ipite wakiwa hawajaingiliana
Unaamba kutsupwa😂😂@@SakinaSakinat-qd9rs
Sijui mwanamke hua anashida gani yeye haja yake ni mume kwanni afanye vitu mumewe hapendi .?? 😂😂
Pini ya pua dadangu. Mapambo yana mipaka. Husan uko act kuwa mfano wa mtu anechunga mipaka ya ALLAH SUBHANAHU WA TA'ALA.
Maa Shaa Allah Tabaraka Allah❤uko sawa dada mwenye juba nakupenda bure
MashAllah ❤kazi safi ..huko n Tiwi kibwaga bila shaka Kwa mke wa majalbabu
Mashallah funzo zuri ❤❤next episode plz
Dada mwenye jalbabu mashaAllah tabaraka Allah
Nawafatilia sana.nangojea hio episode ya pili😊😊. nawapenda sana ❤️💋🥰
Twaongojea
Nawakubali ustadhi hongera tuwape mafunzo
Huyu mke wa bujra hajui abana sauti sana yani cjamkubali
😂😂😂biashara iyo yakazi😂😂😂
Nsaut yake hio jaman
Kwani ujui Kuna watu wana izi sauti
@@chunaabdullah1333 kaibana sana bana me mwenyewe sauti yangu ndogo lakini huyo kabana mapua
Ni sauti yake.. Wacha zako
Shibe watka kuachiwa mke 😂😂😂
mke wa sheikh ataka onesha fashion
Mwanamke huyu anae lazimishwa baibui huyu Lana kabisa huyo mwana mke kwema ndio huyo wabaibui mungu akijalia mwaya mime mwema
🎉❤ yanu bujra umetufunza nusu ya dini masha Allah, Allah akikuze kipaji chako
Masha Allah, movie nzuri yenye mafundisho ila Bujra improve kwenye microphone system sauti haziko clear na pia camera settings igeuze tulizoea kuwatch movie tukiwa tumeinamisha simu na labda at the same time ikiwa iko kwenye charging so unatupa kazi ya kushilikilia simu hatu enjoy simu ikiwa imesimama, Hayo ni maoni yangu
laa ekra fii dini yako maigizo ila sio haya kucheza na sheria za ALLAH
Jalbabu mimi nkifika nanuka jasho😂😂😂😂😂😂
Hehehehe ww jay ndo kahaba mkubwa yaani mulofanya kule borehole madogo 😏😏😏
Maa shaa Allah kazi nzuri sana Shekh Bujra na team yko hongereni sana ndugu zangu
Wanakera wanapenda kushikana shikana
Ni sawa kijistiri...ila tumeruhisuiwa mbele ya waume zetu halali tujiachie
Imeweza nategea nikiwa watamu malindi
Kadhi polepole bakora na glass usije ukaivunja bujra akanywa maji ya kombe la plastic 😂😂😂😂
Mtoto yuwataka onesha kishundu😂😂😂
Shemeji maji yatoka ? 😂😂😂😂😂😂😂
Namuona mdogo wangu MJ..KAKAKO MZEE BAKARI WA ALMASI
Maashallah ❤ tanaomba muendelezo tafadhali
Nivae jalbabu ninuke jasho😂😂😂😂
Na nmejifukiza😂😂
Mashallah zainabu umeweza sana ❤❤❤❤❤😂😂
Shukran
Kwaiyo namba pia ashapewa kitambo😢 subhaana Allah
Maa shaa Allah
Nice one 🎉❤
Fisi ni fisi tu yaani waacha nyama unakwenda chukua mfupa duhhh?si ungemzoesha tu kidogokdgo mpka akakuelewa ww kweli fala
😂😂😂fashion sio ❤
Hapa bujra message imefika mashallah maonesho mazuri
❤ mashaAllah funzo zuri sana kwa wale yenye ufahamu
Mkuki kwa nguruwe shibe 😅😅😅😅
Mshaachana alafu bado mwaitana shemeji daaah😂😂😂😂😂😂😂😂
Mwendelezo ama part 2 plz ni nzuri
Waaa ingekua kwelii kungelii tisha😂😂😂
Nura umewezesha 😅 ...keep moving guys tupate mafunzo
Sheikh umekosea sana Eda ya kuachwa ni mienzi 4 na siku kumi!!?? Daah inafaa mutafute wanao jua kwenye sehemu kama hizi za Kisheria.
❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂keep good work
Mashallah. Part 2 plz
Mashaallah.tunaomba part 2 plz
😂😂pendeza mke ❤❤
😂😂😂😂...Maji yatokaaa ayooo😂 typing.....
Content mzuri sana 👌
Mashallh ❤️ hbbty umetokea ni😅
content nzur,,, tuleteee zaid
Sheikh sio miez 4 na siku 10 kwani wamefiwa na waume hao😂
MashaAllah hii imeweza❤❤
Nasubiria the return..mashaka
❤❤❤❤jmn tupeni muendelez nione mweny kihereher atawez maish ya kijijin
kazi nzuri ila hizo mic mngezificha kwa ndani nimaoni tu nawapenda sana..
Mashallah ❤❤❤❤nest plzz
Hiyo ndoo ela ina maji😅
Mwendelezo tafadhali 😂😂
Maa Shaa Allah Bujra kaz nzuri❤
Hii iwe na next plz tuone baada ya ndoa❤❤
Shibe 😀😀😀😀
Mashaa Allah tabaraka Allah mafunzo mazur
😂😂😂funzo mashallah
Mashallah 💞 🥰
Tuletee mwendelezo bro bujra
MashaAllah Wana Jimbo nawapenda bure❤
Mwendelezo plz😂😂😂
Shibe huna tabu 😅😅😅
Twasubiri iyoo dowa ss
Mtihani wallahi 😢
❤❤Masha Allah next episode
😂😂😅❤
😂😂😂 wazi
Ma Sha Allah muko vizuri
😂😂😂😂😂😂Jamani nimecheka paka
Shemeji mara anazima taa😂😂😂😂
Labda jina sio zuri uloitwa na wazee wko, jina la bujra halipo Kwa wadigo mzigo😊
Nurah wajifanya mtoto wa mjini
Lkn dume halijielew ningel mpata mm Ingel kuwa freshe uyo wakishmba aliempelekea muume wake maji muume akaroppoka
Mwendelezo jmn nzur
Kwani bujra uko na wake wangpi Mzee....🤔
Sunnah wanne😂
Iendelee plz🎉🎉🎉❤❤
Ustadh kapata mke kijego usthadhati kapata jini uku nako yani balaa tupu..
Balaa zito😅
Mbona wamepewa EDA ya kufiwa na mume ya miezi 4 na siku 10?😢
Shehk ubwabwa😂
Yakubalika kubadilishana
Masha Allah
❤🔥🔥🔥🔥
Bujra tuleteeni party 2 aki tujue mliketije
😂😂😂
Uji haswaa😂😂😂😂😂😂😂
Muendelezo tafadhali❤❤
Asante kwa mafunzo allah awabarik muendelee kutufunza
😂😂😂😂umbwa kipensel umbwa kuboeka