MKE WA KAKA

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 207

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 3 месяца назад +18

    Huyo alovya buibui si mke huyo kiswaswadu huyo mke.bora na mwenye midhamu niuyo mwenye jialbabu mashallah mke bora.safi sana bro Bujra kwa kuelimisha watu .

    • @Sayd-pi5lq
      @Sayd-pi5lq 3 месяца назад +1

      Hahahah iko ni kiswaswadu kwl

  • @thehumblediti4939
    @thehumblediti4939 3 месяца назад +16

    Ndo mana warabuni mtu na shemegi yake hawaonani na ndivyo inavyostahili bwana😂😂😂

  • @bethefirstonetoknow4407
    @bethefirstonetoknow4407 3 месяца назад +12

    MashaAllah good content kudos guys

  • @mwanamisimwapula8392
    @mwanamisimwapula8392 3 месяца назад +3

    Shibe kua serious ulishindwa wewe 😅😅 muendelezo baada ya eda jamani mashallah tabaarakallah ❤❤mnamafunzo

  • @omarchallah7885
    @omarchallah7885 3 месяца назад +7

    Ety Maji yatoka shemegy 😂😂😂😂. Jey ukona ufala sana

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g 3 месяца назад +2

    MAA SHAA ALLAAH!
    SAMAHANI NAOMBA NISHAURI: MAIGIZO YENU NI MAZURI ,SASA JITAHIDINI IGIZO LIKIHUSU SHERIA MUWAHUSISHE WAJUZI.
    HAPA SHEIKHE KASEMA EDA MIEZI 4 NA SIKU 10 HII NI KWA EDA YA KUFEWA, AMA EDA YA TALAKA NI HEDHI 3 (TOHARA 3) AU KAMA HAPATI HEDHI BASI NI MIEZI 3.

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 3 месяца назад

      Nahisi kaghafilika mzee wetu kwasababu mara ya kwanza alitamka vzr miezi 3

  • @user-dh4qj1ti2e
    @user-dh4qj1ti2e 3 месяца назад +2

    Mashallah Mashallah ❤❤❤❤❤❤ jamn nawapendaa kwa ajli ya allah

  • @jalimibrahim8339
    @jalimibrahim8339 3 месяца назад +5

    Wallah this really story, mashekh wengi wapata shida na bibizao

  • @taurehassan7399
    @taurehassan7399 3 месяца назад +2

    Natamani nione Hawa ndgu wakitembeleana baada ya wte kuoleana alfu natamn wasioneane wivu😅😅😅❤

    • @BiisheBugao
      @BiisheBugao 3 месяца назад +1

      Kabisaa...😂😂😂

  • @aburahmah1965
    @aburahmah1965 3 месяца назад +4

    Maa Shaa Allah
    Maa Shaa Allah
    Ujumbe mzuri sana lakini kadhi anafaa ajue vizuri aina za eda na muda wake. Kwa sababu hapa ndio wengine wanasoma ukubwani au wengine wanafunzi.

    • @zakariasheiza2090
      @zakariasheiza2090 3 месяца назад

      Yah katoa eda ya kufiwa

    • @SakinaSakinat-qd9rs
      @SakinaSakinat-qd9rs 3 месяца назад

      Naam edda ya kuachwa ni twahara 3 au heidh 3 tena aaachwe aikwa msafi yani hiyo talaka ipite wakiwa hawajaingiliana

    • @husna34562
      @husna34562 3 месяца назад

      Unaamba kutsupwa😂😂​@@SakinaSakinat-qd9rs

  • @aboujanomarion6121
    @aboujanomarion6121 3 месяца назад +1

    Sijui mwanamke hua anashida gani yeye haja yake ni mume kwanni afanye vitu mumewe hapendi .?? 😂😂

  • @user-nx7jd3cf1m
    @user-nx7jd3cf1m 3 месяца назад +2

    Pini ya pua dadangu. Mapambo yana mipaka. Husan uko act kuwa mfano wa mtu anechunga mipaka ya ALLAH SUBHANAHU WA TA'ALA.

  • @citykibonge2999
    @citykibonge2999 3 месяца назад

    Maa Shaa Allah Tabaraka Allah❤uko sawa dada mwenye juba nakupenda bure

  • @FatumaOmar-bm7sr
    @FatumaOmar-bm7sr 3 месяца назад +1

    MashAllah ❤kazi safi ..huko n Tiwi kibwaga bila shaka Kwa mke wa majalbabu

  • @alikharoon6068
    @alikharoon6068 3 месяца назад +1

    Mashallah funzo zuri ❤❤next episode plz

  • @DelightfulPenguin-wk4kv
    @DelightfulPenguin-wk4kv 3 месяца назад +3

    Dada mwenye jalbabu mashaAllah tabaraka Allah

  • @MwanamisiKhadodo-xh8cn
    @MwanamisiKhadodo-xh8cn 3 месяца назад +3

    Nawafatilia sana.nangojea hio episode ya pili😊😊. nawapenda sana ❤️💋🥰

  • @tungusaid8213
    @tungusaid8213 2 месяца назад +2

    Nawakubali ustadhi hongera tuwape mafunzo

  • @SummaiyaKassim-zv5nt
    @SummaiyaKassim-zv5nt 3 месяца назад +6

    Huyu mke wa bujra hajui abana sauti sana yani cjamkubali

    • @user-uc6xe7ht4k
      @user-uc6xe7ht4k 3 месяца назад +1

      😂😂😂biashara iyo yakazi😂😂😂

    • @Fetty_bjay
      @Fetty_bjay 3 месяца назад +2

      Nsaut yake hio jaman

    • @chunaabdullah1333
      @chunaabdullah1333 3 месяца назад +1

      Kwani ujui Kuna watu wana izi sauti

    • @SummaiyaKassim-zv5nt
      @SummaiyaKassim-zv5nt 3 месяца назад +1

      @@chunaabdullah1333 kaibana sana bana me mwenyewe sauti yangu ndogo lakini huyo kabana mapua

    • @kimshadyg4563
      @kimshadyg4563 3 месяца назад

      Ni sauti yake.. Wacha zako

  • @mwanalimasaid2368
    @mwanalimasaid2368 3 месяца назад +2

    Shibe watka kuachiwa mke 😂😂😂

  • @user-db5tl2yv1b
    @user-db5tl2yv1b 3 месяца назад +6

    mke wa sheikh ataka onesha fashion

  • @majidwazir1705
    @majidwazir1705 Месяц назад

    Mwanamke huyu anae lazimishwa baibui huyu Lana kabisa huyo mwana mke kwema ndio huyo wabaibui mungu akijalia mwaya mime mwema

  • @mohammedganyuma3445
    @mohammedganyuma3445 3 месяца назад

    🎉❤ yanu bujra umetufunza nusu ya dini masha Allah, Allah akikuze kipaji chako

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 3 месяца назад +3

    Masha Allah, movie nzuri yenye mafundisho ila Bujra improve kwenye microphone system sauti haziko clear na pia camera settings igeuze tulizoea kuwatch movie tukiwa tumeinamisha simu na labda at the same time ikiwa iko kwenye charging so unatupa kazi ya kushilikilia simu hatu enjoy simu ikiwa imesimama, Hayo ni maoni yangu

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 3 месяца назад +2

    laa ekra fii dini yako maigizo ila sio haya kucheza na sheria za ALLAH

  • @bintyusuf5
    @bintyusuf5 3 месяца назад +2

    Jalbabu mimi nkifika nanuka jasho😂😂😂😂😂😂

  • @user-ct4hu3kc3o
    @user-ct4hu3kc3o 3 месяца назад +3

    Hehehehe ww jay ndo kahaba mkubwa yaani mulofanya kule borehole madogo 😏😏😏

  • @alinyamawi2968
    @alinyamawi2968 3 месяца назад

    Maa shaa Allah kazi nzuri sana Shekh Bujra na team yko hongereni sana ndugu zangu

  • @user-us6ze8bz3u
    @user-us6ze8bz3u 2 месяца назад

    Ni sawa kijistiri...ila tumeruhisuiwa mbele ya waume zetu halali tujiachie

  • @JohnKarabu-dx5lj
    @JohnKarabu-dx5lj 3 месяца назад +5

    Imeweza nategea nikiwa watamu malindi

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 3 месяца назад +1

    Kadhi polepole bakora na glass usije ukaivunja bujra akanywa maji ya kombe la plastic 😂😂😂😂

  • @user-ok8ob7tx4n
    @user-ok8ob7tx4n 3 месяца назад +1

    Mtoto yuwataka onesha kishundu😂😂😂

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 3 месяца назад +2

    Shemeji maji yatoka ? 😂😂😂😂😂😂😂

  • @mwanakupona
    @mwanakupona 2 месяца назад

    Namuona mdogo wangu MJ..KAKAKO MZEE BAKARI WA ALMASI

  • @SalmaZainab-nh5id
    @SalmaZainab-nh5id 3 месяца назад +1

    Maashallah ❤ tanaomba muendelezo tafadhali

  • @mtaani001tv
    @mtaani001tv 3 месяца назад +2

    Nivae jalbabu ninuke jasho😂😂😂😂

  • @HalimaMwajembe-fc2qj
    @HalimaMwajembe-fc2qj 3 месяца назад +1

    Mashallah zainabu umeweza sana ❤❤❤❤❤😂😂

  • @user-mp1dk8xl5f
    @user-mp1dk8xl5f 3 месяца назад +1

    Kwaiyo namba pia ashapewa kitambo😢 subhaana Allah

  • @rashidmbimbi3091
    @rashidmbimbi3091 3 месяца назад +2

    Maa shaa Allah
    Nice one 🎉❤

  • @taurehassan7399
    @taurehassan7399 3 месяца назад +1

    Fisi ni fisi tu yaani waacha nyama unakwenda chukua mfupa duhhh?si ungemzoesha tu kidogokdgo mpka akakuelewa ww kweli fala

  • @HhshshshswhwhwhOman
    @HhshshshswhwhwhOman 3 месяца назад +1

    😂😂😂fashion sio ❤

  • @OmarChai-td5wp
    @OmarChai-td5wp 3 месяца назад +2

    Hapa bujra message imefika mashallah maonesho mazuri

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m 3 месяца назад

    ❤ mashaAllah funzo zuri sana kwa wale yenye ufahamu

  • @HassanHassan-ix7cj
    @HassanHassan-ix7cj 3 месяца назад +2

    Mkuki kwa nguruwe shibe 😅😅😅😅

  • @user-bc3lh5ss6c
    @user-bc3lh5ss6c 2 месяца назад

    Mshaachana alafu bado mwaitana shemeji daaah😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mwanamisimwangaro8001
    @mwanamisimwangaro8001 3 месяца назад +9

    Mwendelezo ama part 2 plz ni nzuri

  • @aminachiziamina
    @aminachiziamina 2 месяца назад

    Waaa ingekua kwelii kungelii tisha😂😂😂

  • @yusuftwahir603
    @yusuftwahir603 2 месяца назад

    Nura umewezesha 😅 ...keep moving guys tupate mafunzo

  • @mwanamkemuislamutv9369
    @mwanamkemuislamutv9369 3 месяца назад

    Sheikh umekosea sana Eda ya kuachwa ni mienzi 4 na siku kumi!!?? Daah inafaa mutafute wanao jua kwenye sehemu kama hizi za Kisheria.

  • @Helen-vl8lb
    @Helen-vl8lb 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂keep good work

  • @ZainabSetu-zv3om
    @ZainabSetu-zv3om 3 месяца назад +1

    Mashallah. Part 2 plz

  • @user-cr8cs2qc8f
    @user-cr8cs2qc8f 3 месяца назад +1

    Mashaallah.tunaomba part 2 plz

  • @user-le6xc6ei5x
    @user-le6xc6ei5x 2 месяца назад

    😂😂pendeza mke ❤❤

  • @aliroro9344
    @aliroro9344 Месяц назад

    😂😂😂😂...Maji yatokaaa ayooo😂 typing.....

  • @USDisdoomed
    @USDisdoomed 3 месяца назад +2

    Content mzuri sana 👌

  • @MaryamMansoor-xn6hz
    @MaryamMansoor-xn6hz 2 месяца назад

    Mashallh ❤️ hbbty umetokea ni😅

  • @amanyali8724
    @amanyali8724 3 месяца назад +1

    content nzur,,, tuleteee zaid

  • @salmatuleteesehem71jmnmahm59
    @salmatuleteesehem71jmnmahm59 3 месяца назад

    Sheikh sio miez 4 na siku 10 kwani wamefiwa na waume hao😂

  • @kibibiabdalla1451
    @kibibiabdalla1451 3 месяца назад +1

    MashaAllah hii imeweza❤❤

  • @martinaolunga658
    @martinaolunga658 3 месяца назад +1

    Nasubiria the return..mashaka

  • @Nusratsaidy2007
    @Nusratsaidy2007 3 месяца назад

    ❤❤❤❤jmn tupeni muendelez nione mweny kihereher atawez maish ya kijijin

  • @katanaajonathan6987
    @katanaajonathan6987 3 месяца назад +1

    kazi nzuri ila hizo mic mngezificha kwa ndani nimaoni tu nawapenda sana..

  • @user-sk4yh5kw9j
    @user-sk4yh5kw9j 3 месяца назад +2

    Mashallah ❤❤❤❤nest plzz

  • @HassanHassan-ix7cj
    @HassanHassan-ix7cj 3 месяца назад +2

    Hiyo ndoo ela ina maji😅

  • @saay4273
    @saay4273 3 месяца назад +1

    Mwendelezo tafadhali 😂😂

  • @Sity-zo6hf
    @Sity-zo6hf 2 месяца назад

    Maa Shaa Allah Bujra kaz nzuri❤

  • @zuwenakizere4687
    @zuwenakizere4687 3 месяца назад +1

    Hii iwe na next plz tuone baada ya ndoa❤❤

  • @OFFICIALAYRAM
    @OFFICIALAYRAM 3 месяца назад +5

    Shibe 😀😀😀😀

  • @user-ju9mi1ft4v
    @user-ju9mi1ft4v 3 месяца назад +1

    Mashaa Allah tabaraka Allah mafunzo mazur

  • @Malikamtajir
    @Malikamtajir 3 месяца назад +1

    😂😂😂funzo mashallah

  • @azizashiundu5778
    @azizashiundu5778 3 месяца назад +3

    Mashallah 💞 🥰

  • @user-pl8nb8zf5x
    @user-pl8nb8zf5x 3 месяца назад +2

    Tuletee mwendelezo bro bujra

  • @ummusaad03
    @ummusaad03 3 месяца назад

    MashaAllah Wana Jimbo nawapenda bure❤

  • @user-yr1tj2yn3o
    @user-yr1tj2yn3o 3 месяца назад +1

    Mwendelezo plz😂😂😂

  • @InnocentArmadillo-do9vm
    @InnocentArmadillo-do9vm 3 месяца назад +1

    Shibe huna tabu 😅😅😅

  • @user-ik2kk2tz4i
    @user-ik2kk2tz4i 3 месяца назад +1

    Twasubiri iyoo dowa ss

  • @HassanHassan-ix7cj
    @HassanHassan-ix7cj 3 месяца назад +2

    Mtihani wallahi 😢

  • @user-ot3te6mj7b
    @user-ot3te6mj7b 3 месяца назад +1

    ❤❤Masha Allah next episode

  • @saummwakumbo.4926
    @saummwakumbo.4926 3 месяца назад +2

    😂😂😅❤

  • @abubakarmaphox7132
    @abubakarmaphox7132 3 месяца назад +1

    😂😂😂 wazi

  • @yusuddalila-ob4vb
    @yusuddalila-ob4vb 3 месяца назад +1

    Ma Sha Allah muko vizuri

  • @user-eu6ij8ki8n
    @user-eu6ij8ki8n 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂Jamani nimecheka paka

  • @zainabuali9915
    @zainabuali9915 2 месяца назад

    Shemeji mara anazima taa😂😂😂😂

  • @burhanmuhammed2234
    @burhanmuhammed2234 2 месяца назад

    Labda jina sio zuri uloitwa na wazee wko, jina la bujra halipo Kwa wadigo mzigo😊

  • @aishaabdallah4560
    @aishaabdallah4560 3 месяца назад +1

    Nurah wajifanya mtoto wa mjini

  • @IrfanVuai
    @IrfanVuai 3 месяца назад

    Lkn dume halijielew ningel mpata mm Ingel kuwa freshe uyo wakishmba aliempelekea muume wake maji muume akaroppoka

  • @user-pl8nb8zf5x
    @user-pl8nb8zf5x 3 месяца назад +1

    Mwendelezo jmn nzur

  • @onesmusfondo7679
    @onesmusfondo7679 3 месяца назад +2

    Kwani bujra uko na wake wangpi Mzee....🤔

  • @sofiakinyia2734
    @sofiakinyia2734 3 месяца назад +1

    Iendelee plz🎉🎉🎉❤❤

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 3 месяца назад +1

    Ustadh kapata mke kijego usthadhati kapata jini uku nako yani balaa tupu..

  • @faridahalil4456
    @faridahalil4456 3 месяца назад +1

    Mbona wamepewa EDA ya kufiwa na mume ya miezi 4 na siku 10?😢

    • @husna34562
      @husna34562 3 месяца назад

      Shehk ubwabwa😂

  • @jalimibrahim8339
    @jalimibrahim8339 3 месяца назад +2

    Yakubalika kubadilishana

  • @bintmwarema3915
    @bintmwarema3915 3 месяца назад +1

    Masha Allah

  • @Mabangi123
    @Mabangi123 3 месяца назад +1

    ❤🔥🔥🔥🔥

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 3 месяца назад +1

    Bujra tuleteeni party 2 aki tujue mliketije

  • @user-wk6ig5nn4i
    @user-wk6ig5nn4i 3 месяца назад +1

    😂😂😂

  • @user-bc3lh5ss6c
    @user-bc3lh5ss6c 2 месяца назад

    Uji haswaa😂😂😂😂😂😂😂

  • @kibibiabdalla1451
    @kibibiabdalla1451 3 месяца назад +1

    Muendelezo tafadhali❤❤

  • @user-jp6tc8jk5s
    @user-jp6tc8jk5s 3 месяца назад

    Asante kwa mafunzo allah awabarik muendelee kutufunza

  • @user-sy9cu5ef5q
    @user-sy9cu5ef5q 2 месяца назад

    😂😂😂😂umbwa kipensel umbwa kuboeka