Treyzah: Mkali wa RnB wanayemuita 'Chris Brown wa Bongo' ametajwa tuzo za AEAUSA 2023
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- Treyzah - Kichaa ( Official Music Audio )
• Treyzah - Kichaa ( Off...
Treyzah -Turn Away (Official Music Video)
• Treyzah -Turn Away (Of...
Treyzah - Kamba (Official Video)
• Treyzah - Kamba (Offic...
Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
Huyu Mwamba Nilimfahamu SNS Walivyoshare Community 💥💥💥💥 Jamaa Anajua Tena Anajua Sanaaaaaaa
Sio Chriss breezy huyo ni kam Trey Songz nan anaungan na mimi🙌🙌🙌
Uko sahihi kabisaa Aiseee
Hapa kwa tommy nishawaza kitambo…litakuwa kitu🔥🔥
Somewhere somebody yeah yeah 💯🙏🏾 the next big thing in Tz
Me nilisikiliza family aiseee nikajua jamaa ni balaaa
Nimeingia BOOMPLAY kuskiza ngoma zake ana ngoma kali sana n tayar ana youtube channel afanye ile album na ngoma zake ziwepo youtube hata kama hazina videos itamsogeza sana kuna wateja pia huku sio Boomplay peke yake
Jamaa ngoma zake nazipenda sana, pia nimependa interview, yupo real sana, keep it up
Huyu jamani namkubali sana nyimbo zake zimejaa kwenye simu yangu nampenda sana
🏖️💕💕🔥🔥🔥🔥 nilimuatilia jmaa abaweza big up you my brother
SNS, UYU BRO KAMA KU PUSH, UYU BRO IKO NA TALENT KUBWA SAANA PIA NA IMANI UYU AKIPEWA NASAFI ANATULETEA ZILE TUNZU ZOTE KUBWA ZA KIMZIKI, MKUBWA SKY ENDELEENI KU SUPPORT KIPAJI HIKI KIKUBWA, ALL THEY WAY FROM USA 🇺🇸 ONE LOVE SNS AND TREYZAH
0:37 somewhere..somebody yeah see you at the top our own alsina..✊🏽✊🏽
Jamaha anajua mimi nikajua mkenya kun
Huyu hapa pacha wa Treyzah
ruclips.net/video/iJizfKJ6aVw/видео.htmlsi=R_htEuLNe6tlDNqZ hope hutojutia
wa kwanza mmi like zang huyo jamaa anaweza san❤
Oya kaka nyimbo zake zimelia sana ghetto 😅😅😅
Nimmfahamu kupitia hii interview lakini nimemkubali mkali sana
Ninaimba kama yeye
huyu kaka nimemfatilia sana nikajipa moyo kuwa ni mkenya..handsup🙌
Sahz anaanza kuimba kama Tommy Flavor yaan ukisikiliza kam humjui lakin lazim utajua ni Tommy. Ila jamaa ni fundi mno huyu
Tone ya Treyzah iko way better zaid ya Tommy
Uyumwamba ni 🔥🔥
@Etunes🙌🙌
Big up trezah
mbona kama Tommy flavour fulani hivi
Jama anajua mpaka anakera
huyu mwamba anasaut ya kuimba live wow 👌 👏
Being honest jamaa anajua na ni mtu poa🙌
Amen...
Beast wcb hawaon vitu km ivi
Waswahili hao hawawez elewaaa.. Labda wapelekewe wanaoimba kihindi ndo vtu wanaeza elewa..
Noma sana huyu jamaa
Nakukubali sna,unajua Sana kaka.
Young King 🤴🏿
Turn away
🎉❤🎉❤🎉
My trezah favorite singer na tuzoo kidougo au sio nakupendaa asee
Turn away🔥🔥🔥🔥🔥
Hii Ngoma ni Moto mbayaaa 🙌