MASTER J : DIAMOND PLATMUZ MBURUDISHAJI BORA NA ALI KIBA NI MUIMBAJI BORA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RIPMagufuli #Tanzania255 #Simba #Yanga #Trending #MwanaFA #DiamondPlatnumz #Alikiba #Harmonize #Marioo #Paulah #Kajala #Rayvanny #Jux #Zari #WemaSepetu #Zuchu #Nandy #Billnass #ProfessorJay #Muziki #BongoFleva #HipHop #Komando #PaulMakonda #RomaMkatoliki #NayWaMitego #Burnaboy #Davido #Wizkid #Rema #AyraStarr #TiwaSavage #Amapiano #Mayele #Chama #BASATA #GigyMoney #Darassa #TylerWater #VanessaMdee #Rotimi #WCB #KondeGang #KingsMusicRecords #OmmyDimpoz #HajiManara #MooDewji #PaulMakonda #VanessaMdee #NasikiaHarufu #Shisha #Mwijaku #BabaLevo #LavaLava
    Facebook: / earadio
    Twitter: / earadiofm
    Subscribes: / @eastafricaradio

Комментарии • 233

  • @IGEMBEOG
    @IGEMBEOG 7 месяцев назад +21

    Tulio kubaliana na master like please

  • @sheesaid2501
    @sheesaid2501 7 месяцев назад +2

    Umesema Master Jay huo ndio ukweli !! Singeli itaenda mbali Sanaa ✌️🫶

  • @ggcrank6264
    @ggcrank6264 7 месяцев назад +10

    Singeli ndio sound yetu kwenda international Master umeongea point sana

  • @fauznuhu9981
    @fauznuhu9981 7 месяцев назад +6

    Congo fally pupa kapiga arena tata kwa siku 21kila moja wa tu elfu abaini

  • @timothmwakakusyu4563
    @timothmwakakusyu4563 7 месяцев назад +7

    Nakubaliana na master J japo ukweli mchungu. Huyu PHINA ni balaa sana yaani ana vocal kali sana mpaka unaweza kusisimka anapoimba na anajua kuburudisha, kuna Rubby, kuna Msechu hajawa tu serious, Beka Ibrozama. Hawa wanajua

  • @moodyramadhan336
    @moodyramadhan336 7 месяцев назад +6

    Kuhus Abigail na phina yoo 👋 hundred percent I agree 👍 💯...

  • @brendaurio4480
    @brendaurio4480 7 месяцев назад +3

    Master umeongea ukwl kbsaaaaa Abby and phone uwiii❤🔥🔥🔥🔥

  • @leonjozy
    @leonjozy 7 месяцев назад +15

    Kuhusu Abby Chams haipingwi, she's the only female artist who can take Tanzanian music to international level

    • @fj8317
      @fj8317 7 месяцев назад

      Wewe ni Mungu

  • @aliiddmkomwa1804
    @aliiddmkomwa1804 5 месяцев назад

    master j sio box big up broo

  • @emmanuelmwatujobe8450
    @emmanuelmwatujobe8450 7 месяцев назад +13

    Jamaa hana baya

  • @anthonymiles8304
    @anthonymiles8304 7 месяцев назад +1

    If at all kenyans and tanzanians could come together...and mix both music genre well we could be in a better position to compete internationally... kudos to the interview 👏...

  • @songoloomari5427
    @songoloomari5427 7 месяцев назад +4

    That true na wataishiya ku complain everyday

  • @wakandatyganelsonofficiall6395
    @wakandatyganelsonofficiall6395 7 месяцев назад +4

    Wa Nigeria wana support each other but Bongo shida😢😢

    • @izack9191
      @izack9191 7 месяцев назад

      Ndo usgamba sasa

  • @amosdastan1006
    @amosdastan1006 7 месяцев назад +2

    Master uko sawa kabisa nakubar

  • @salamajuma5481
    @salamajuma5481 7 месяцев назад

    Allah akulibariki Master Jay

  • @alidyaya4512
    @alidyaya4512 7 месяцев назад +6

    Asake anatumia beat za amapiano davido yuko tour since last year na Unavailable beat ya mapiano bana boy anaimba dance hall

    • @DaudiKimoto
      @DaudiKimoto 7 месяцев назад

      Unavailable ngoma kubwa sana ya davido kwenye album yake nzima ni amapiano so kuna muda unaongea ukwel kuna muda unaongea opinion zako

    • @henrychiriba9354
      @henrychiriba9354 7 месяцев назад

      Huwezi elewa chenye uyu mwamba anaongea ju ww unaangalia sarakasi za msanii ukidhani ni kuimba vizuri

    • @alidyaya4512
      @alidyaya4512 7 месяцев назад

      @@DaudiKimotokwani umeelewa point yngu 😅?

  • @dancemachinecrew6480
    @dancemachinecrew6480 7 месяцев назад

    Multiple intelligences master jay mziki wetu unavingi vya kufikilia kusonga mbele sioni sababu za watu kushindw kuelewa hili cha kushangaza na wanaenda nchi za watu mimi kama nashindw kuelewa wanaendaga kujfunza nini au ndyo picha tu af proud of ??? Fact master waeleweshe mpk waseme wakichukia shauri zao "Keep Bongo Flavour music safe"

  • @Gudowabazoba
    @Gudowabazoba Месяц назад

    Masta jay

  • @JamesMwandoje
    @JamesMwandoje 7 месяцев назад +1

    Harmo....juu...master mnafiki

    • @ricklandennis
      @ricklandennis 7 месяцев назад

      Harmo ana melody nzuri na anajitahidi kuimba kingereza anachokifahamu lakini ukienda kwenye uhalisia ana makosa mengi kwenye kingereza chake huo ndio ukweli, wanigeria kingereza Chao wanachanganya na lugha zao lakini huwezi ukakuta kwenye kile kingereza kina makosa

  • @thatforeign4590
    @thatforeign4590 7 месяцев назад +2

    Facts on facts on facts thats why i listen to yo interviews nondo tupu. Abby is surely that good. Lets push young stars kina treyzah and the likes.

  • @zedylui4861
    @zedylui4861 7 месяцев назад

    Legendary, mtu kukuelewa lazima awe na upeo mkubwa na anaujua mziki.. unatema madini

  • @eduuclassic6997
    @eduuclassic6997 7 месяцев назад +1

    Umeeleweka sana bro

  • @saidyabdalla7410
    @saidyabdalla7410 7 месяцев назад +2

    Kenya sijaona msanii anaye Fanya vizuri Watanzania ndio wanafany vizuri

  • @Dazuu9884
    @Dazuu9884 7 месяцев назад +9

    hilijamaa lina jua mziki

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 7 месяцев назад +3

    Hatuna umoja ...ingawa wabongo wako wachache Uk ...lkn wanamuziki wakiungana ...wanaweza
    Mfano kwa majaribio tukisema tuchukue wanamuziki 10 bora wabongo waende pale 02...tunaweza kuujaza ule
    Muziki sio lugha tuuu
    Ni vibes pia....mfano muziki wa kizaire...hatujui lugha lkn wakipiga ni mataifa tofauti wanaenda na wanafurahi....ingawa wanaigeria wana faida ya kuwa wengi nchi za ulaya...ndo maana wana jaza
    Sababu UK peke yake wanaigeria wako karibuni millioni 1 na.....Wabongo hawafiki hata 50,000.. lkn tukianza kwa umoja tunaweza .. hapo master J anatukatisha tamaa...asiseme kuwa hatuwezi... alimwambia Hamonize hawezi kuimba...lkn Diamond alimchukua na akamfundisha na sasa hivi yupo top 5 na ndiye kati ya washindani
    Wakubwa wa Diamond.....everything is possible under the sun....

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 7 месяцев назад

      Kubali ukatae toa mifano yotee kuhus 02 arena tupaach dai ana miak 20 kweny gam

    • @LukioMateruh
      @LukioMateruh 7 месяцев назад

      Nimekuelewaa

    • @Joelfreedom4
      @Joelfreedom4 7 месяцев назад

      Tutakuja kufanyikiwa tukiacha kuiga Waarabu. Hicho ndicho chanzo au mzizi ya tatizo letu. Sisi ni waafrica lazina tuimbe kama Waafrica. Wenzetu wakiskiliza ngoma zetu wanandhani tunatoka Oman. Huwezi kutoboa ulimwenguni bila support kutoka Nigeria wapo wengi ugnenini.

  • @abkmavoko
    @abkmavoko 5 месяцев назад

    Gengetone international inaweza kabisa sababu ya sheng.. Kenya

  • @mjunimashauri5311
    @mjunimashauri5311 7 месяцев назад +1

    Much respect Kwa master Ila napenda kutofautiana nae ukimsiliza vizuri utaona ameegemea kwenye mapungufu badala ya Nini tunacho na tunaenda vp mfano tuna baadhi ya mazuri kama taifa tuna bet,Kuna maeneo atukuwai perform such francophone zone na tumejaza mm sitowai define 02 arena kama kipimo cha mafanikio hivi burns anaconditentent failure kwenye show Africa utasema Sio international artists I think Naija nje ya sounds, investment Wana advantage ya exposure na population tuachache kuwa chukilia POA wasaanii wetu sijui yule staenda wale Japan's master Jay that was personal kiukweli eti international wataenda chams na phina wengine hapana hapa umekuwa personal mno not real

    • @kelvinwilfred-p2e
      @kelvinwilfred-p2e 7 месяцев назад

      you know music and its reality, i appreciate that by the way in all of your success hater must appear

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 7 месяцев назад +2

    Kila mtu amini anachokiamini mm ninachokiamini ni kwamba King Ally salehe kiba ndo mfalme wamuziki Tz❤❤😂

  • @husnednour2349
    @husnednour2349 7 месяцев назад

    Umeongea facts kaka.
    King kiba akitoa just one song ina hit forever. Diamondnyimbo zake zina hit for just 3 months and you'll never listen anymore

  • @zaherashamte1058
    @zaherashamte1058 7 месяцев назад +3

    Nampendaga xn masta j mkwel xn

  • @anordkaniki8476
    @anordkaniki8476 7 месяцев назад +2

    Fact master j

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 7 месяцев назад +3

    Master j anaez hojiwa masaa 4 na hammalizi

  • @nwntz
    @nwntz 7 месяцев назад +2

    Master umenena na hii iwe ya mwisho kama hawajakuelewa tena basi

  • @abkmavoko
    @abkmavoko 5 месяцев назад

    True bongo flavour ni arabic scale

  • @nzalatv5927
    @nzalatv5927 7 месяцев назад +1

    Mapozi 🔥🔥🔥

  • @tomfoss9613
    @tomfoss9613 7 месяцев назад +3

    Huyu mze hajuwi anacho kiongea. Eti wasanii wa Nigeria hawafanyi amapiano?? Asake mwenyewe unae mshabikiya ana song yenye title ya amapiano na anazo piano kama zote

  • @Rukaka_jr
    @Rukaka_jr 7 месяцев назад +2

    Tatizo mnamuogopa alikiba mnashindwa kumwambia kuwa hajui kuimba 😂😂😂

  • @yahayashuta9608
    @yahayashuta9608 7 месяцев назад +1

    Hujama boya sana konde boy noma

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 7 месяцев назад

      Hun akilii 😂😂😂 ana miak 10 sijui kiko wap

  • @mjunimashauri5311
    @mjunimashauri5311 7 месяцев назад

    Nimekutana na huu ujumbe twitter I think mond should Improve his marketing strategy na vision Kwa ujumla kuelekea kwenye album this year nahuhakika album itatoka this year tunaitaji mabadiliko ya mtazamo na uwekezaji masuala ya kushangilia trends RUclips sijui boomplay tushavuka toka 2017 tunaitaji marketing strategy za kina Olamide,rema asake something which involves money not too much drama

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 7 месяцев назад +4

    Huyu jamaa anamjua Rubby vizuri ?

  • @brayo001
    @brayo001 7 месяцев назад +1

    Huwa mnadharau wakenya sana na ndio ulaya kwenu wasanii wenu wakianza show za nje mpaka sisi tuwapige promo ndio mjulikane ulaya ndio maana headquarters za music stream ziko Kenya sio Tanzania Sasa kama entertainment mmeishika mbona hwaji kwenu..

    • @ricklandennis
      @ricklandennis 7 месяцев назад

      Nyie hata muwe na Kila kitu bado ni washamba, mnatuzidi hivyo vyote plus English lakini hamtuzidi kimuziki mnabaki kuwa mashabiki wetu😅

  • @fadhilishomari133
    @fadhilishomari133 6 месяцев назад

    facts

  • @SiscoKalongola-vu8nk
    @SiscoKalongola-vu8nk 7 месяцев назад +38

    O2 arena siyo kipimo cha kuwa level ya juu ya international, UK wanigeria wapo more than laki 3 that why hata akienda artist yeyote kutoka nigeria atapata watu wengi tu, taja artist toka South A frica aliyewahi jaza iyo 02!acha kudanganya kila siku eti 02 ndiyo kipimo

    • @cleveronlinemedia820
      @cleveronlinemedia820 7 месяцев назад +5

      Fact

    • @samirmswahili
      @samirmswahili 7 месяцев назад +6

      Ah wapi endelea kuwapa moyo tu😅

    • @samsonkivuyo9548
      @samsonkivuyo9548 7 месяцев назад +1

      Na sio wanigeria tuu, kuna waghana na waliberia pia ambao wanavibe pamoja so unaongelea milioni kadhaa hapo

    • @SimbaM2kufu
      @SimbaM2kufu 7 месяцев назад +4

      Master J is a legend; speak about him with some respect. He's old school, and his views reflect his understanding of the musical world he grew up in. Your point of view is a logistical one. There is no need to call him a liar.

    • @arkishpromusic3395
      @arkishpromusic3395 7 месяцев назад

  • @jimmyselejimmysele2821
    @jimmyselejimmysele2821 7 месяцев назад +4

    Natokea congo
    Akuna msani kama diamond uko kwenu

  • @francissamson2207
    @francissamson2207 7 месяцев назад +1

    Wa Tanzania waishio UK 🇬🇧 hawafiki 5,000 na Wa Nigeria pekee ni zaidi ya 270,000 ukiacha mataifa mengine ya West Africa then uje fananisha na Wa Tanzania 😂. Watu wa West wanapenda statehe sana kuliko Wa Tanzania pia kujaza 🇬🇧 au Nchi za Europe au USA siyo issue kwao wapo wengi sana.

  • @chiragahmbura9523
    @chiragahmbura9523 7 месяцев назад

    Tatizo ni hiv Wakenya Hawataki kujibrand sana juu wasanii wengi wakali wakenya ni Matajiri hilo nalo jua

  • @newbillionaire701
    @newbillionaire701 7 месяцев назад +9

    Kama umeskia master j akisema ushaudi gonga like

  • @LukioMateruh
    @LukioMateruh 7 месяцев назад

    Uyu ana zeeka vibaya sikila kitu aongee afu pia anachuki binafsi akae pembeni karia yake imeisha nieshima tu anajivunjia bila kujijua ushamba wenye confidence ana ropoka xanaa

    • @ricklandennis
      @ricklandennis 7 месяцев назад

      Anamchukia nani😅😅😅

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo3683 7 месяцев назад

    Master anaongea❤ wasanii tuchukulie kama funzo

  • @Silversieh-bt5zk
    @Silversieh-bt5zk 7 месяцев назад

    Kuna vitu Master J huw haelew mwanamuziki anasimama na aspects tofauti tofauti hata kama msanii ni mzuri kwa vocal lakini Bado anaburudisha watu kwa hiyo vocal yake If u say someone is a best singer lakini even numbers zake on Digital platforms za audios Bado anazidiwa numbers na hao unaosema ni best entertainers not singers Kuna sehemu uko wrong. Art is dynamic not static kama unavyodhani ethics za music zinakuwadeveloped Kila era don't force each era to sound the same hata wasanii wakubwa kama Chris Brown, Janson Derulo wako the best at vocal aspect and when it comes on the stage still they entertain at all. This is a reason why even the artist rised from BSS when get into a music industry they fail to top up most of them Because you're not good judges too. Music is not all about vocal there are so many things apart from vocal.

  • @calvinloveambroce842
    @calvinloveambroce842 7 месяцев назад

    Inawezekana ila tatizo huko UK 🇬🇧 wabongo ni wachache sana

  • @Abousamir-w2k
    @Abousamir-w2k 7 месяцев назад +1

    Anachoengea master ni sure….kama ukimsikiliza kwa mihemko yako utamwona anazingua…wasanii wetu wengi entertainers sio singers(complete artist) ndio maana limifikaga swala kuperfom live band kweny show zao huwag kamzozo makelele mengiii 😂😂😂

  • @laurentchimbirani5990
    @laurentchimbirani5990 7 месяцев назад +2

    Okoa MB zako, anzia Dak ya 10

  • @emmanuelcuthbert2666
    @emmanuelcuthbert2666 7 месяцев назад

    Watangazaji msimuogope master j, Nigeria wanafanya amapiano na sauzi wanafanya afro beats; ila kufanya bongofleva nakubaliana NAYE

  • @omaryluambano3495
    @omaryluambano3495 7 месяцев назад

    Kingkiba

  • @UrassaPaschal
    @UrassaPaschal 7 месяцев назад

    Watu wanaimba ili tuburudike mzee acha kujichnganya kwenye lugha lengo la kuimba ni nini?

  • @michigan_tv2974
    @michigan_tv2974 7 месяцев назад

    Sawa umerekodi kipindi cha nyuma lakini hamna unachojua kuhusu international

  • @ayk20
    @ayk20 7 месяцев назад

    Master rasta ulinyoa coz ulienda kuomba nafac ya kugombea sema tuu ukweli coz bongo stars search program haijaisha

  • @kasimumakashataumemalizakakaii
    @kasimumakashataumemalizakakaii 2 месяца назад

    Wanatafuta namna yakulidikwenyegem hawwo

  • @tonygee5680
    @tonygee5680 7 месяцев назад

    Nenda ulaya au west Africa uliza watu kati ya Kenya na Tanzania ipii washaisikia 😂😂😂😂😂😂😂Kenya inaipa Africa jina baba miaka nenda rudii. Kama si Kenya wasanii wa bongo wangekua maskini. Mpaka America wakenya ndio wengi kwenye show za wabongo.

  • @kijanisaini5688
    @kijanisaini5688 7 месяцев назад +1

    Sema yote ata sisi tunajua Alikiba anaufaham Muziki kuzidi wewe sio ww tu ata manju masud alishamsifia kiba halafu ww unadhihaki

  • @popiya2368
    @popiya2368 26 дней назад

    Elfu mbili tisini na nne like seriously😅

  • @OfficialEl-khaify_Production
    @OfficialEl-khaify_Production 7 месяцев назад +2

    Huyu jmaa hatumuelewi nini asa anataka mara awaponde wote mar awasifu😊

  • @jerrybasaya5377
    @jerrybasaya5377 7 месяцев назад

    Master J katema Busara nyingi mnooooo. Ukweli mtupu

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq 7 месяцев назад +5

    Master anajua bhn🙌🏿

  • @RubenAman-rk4ge
    @RubenAman-rk4ge 7 месяцев назад

    Fact sana bro master j real good idea

  • @kasimumakashataumemalizakakaii
    @kasimumakashataumemalizakakaii 7 месяцев назад

    Ukishaishiwa unatafutamanenomengisanaaa kuwaponda wenzako watanzania tuachehizimambo za kujiona miminimtakatifukulikowenza masta j iyonidaliliyakuishiwa mzikiwakipindikile sio wasasa mbonahao akina masta j majani mbona hawajatoa wasanii wakifanya vizuri iyo arena anamaajabuhuyo kuishiwa ameachakuprodyus amegeukachawa

  • @UrassaPaschal
    @UrassaPaschal 7 месяцев назад

    Franch lugha kubwa fally ndio anatumia na anachanganya na maneno ya nyumban

  • @Lilmg33
    @Lilmg33 7 месяцев назад

    Acha aitwe masta Kweli Ni masta anajuwa tana anajuwa anachokiongea napenda ukweli sikuzote

  • @francissamson2207
    @francissamson2207 7 месяцев назад +1

    Abby ni mchaga mwenziye na phina ni bss wao, ulitegemea amsifie nandy, maua sama au zuchu 😂 😂😂😂.

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 7 месяцев назад

      wote aliowasifia waongea kizungu kizuri na wanaweza kuimba Nandy na zuchu uwezo wa kuimba kingeleza hawana zuchu anaimba taarabu twist

    • @francissamson2207
      @francissamson2207 7 месяцев назад

      @@kwisa4899 wasanii kutoka Kenya, Uganda, wakazi,maua sama, wanaongea kingereza vipi wamefika international? Muziki unahitaji kipaji pesa juhudi bahati na muda ndiyo unaweza kufika mbali.

  • @josephatSwai
    @josephatSwai 7 месяцев назад

    Davido aliwai kufanya piano na mafiki zolo masta

    • @ayk20
      @ayk20 7 месяцев назад

      Alochosema master kuwa kung'ang'ania sound ya mtu mwingine ndo tatizo angalia wasanii wetu mtu mmoja Ana piano zaidi ya 4 haya tafutq Nigerian artist mwenyewe piano zaidi ya 4

  • @Igauf3
    @Igauf3 7 месяцев назад

    The consumer determine the market. I don’t know why forcing the young bucks to do bongo XYZ. Let them do what they see fit musically. Lastly, Kenyan are more into technology (AI) far better than us.

  • @ADVAMMIDA
    @ADVAMMIDA 7 месяцев назад +3

    True fact

  • @festusabramary-bz4ef
    @festusabramary-bz4ef 7 месяцев назад

    aliongea kwamba mziki sio lazma lugha ufike international lakin Tena kasahau apo mwishon anasema wenzetu naijeria na Jamaica wanafaida yakiingeleza kwenye lugha zao

  • @KiduMashkio
    @KiduMashkio 7 месяцев назад

    Uposahihi Abigail ashakamata Kijiji urabuni

  • @bukuruhassan9751
    @bukuruhassan9751 7 месяцев назад

    Master apo umekoseya amapiano na kwaito ni tofauti kwaito Niazamani wakati wakina Brenda amapiano Aina Ata myaka 10 sound yake imekuja juzijuzi tu

    • @Joelfreedom4
      @Joelfreedom4 7 месяцев назад

      Anasema kwaito ni chimbuko la Amapiano na iyo ndo ukweli.

  • @wacundirangu1661
    @wacundirangu1661 7 месяцев назад

    Eti Kenyans are better singers? Eiy! 😅😅😅 HOW?
    I'm Kenyan lakini hayo nimekanishaaaaaa!!
    Kenyans we are imitators, if it falls on a good artist then cool 😎. Then there is a group that can actually sing but are not taken that seriously or they are not serious themselves. Unless its the vernacular genre(non Swahili, non English).
    *Poor branding* thats true!
    I'm yet to find a songbird the likes of Lady Jaydee, unique voice ya Nandy, in Kenya. The list is long...

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 7 месяцев назад

    Ukweli ndo hawautaki wa bongo 😂😂😂😂😂

  • @GenesisReuben-d4o
    @GenesisReuben-d4o 7 месяцев назад

    Sisi tunaka burudani sio uimbaji tofautisha hivyo vitu mzee 😂😂😂

  • @LukioMateruh
    @LukioMateruh 7 месяцев назад

    Ety atatoa million hamsin mshamba uyu iyo ela anayoo akasaidie ndugu zake ukoo

  • @p-tah_p-manirecords
    @p-tah_p-manirecords 7 месяцев назад

    Kama hako na 50 million why not invest kwa those upcoming anasema wataenda international.

  • @YasiniMajily
    @YasiniMajily 7 месяцев назад +1

    2094 ndo kaanza kazi 😅

  • @JamesMwandoje
    @JamesMwandoje 7 месяцев назад

    Master J mbege mpe mkeo dai amuburudishe

  • @rashowshine7849
    @rashowshine7849 7 месяцев назад

    Hiyu naye ni pimbi too ndio mana ata huko bss watu wanaofanya vizuri ni wale mliowakata

  • @jayfarsaga4935
    @jayfarsaga4935 7 месяцев назад

    Bongo inasemekana mkali ni matikiti kudondoka😁😂😂😂😂

  • @kadito-o3j
    @kadito-o3j 7 месяцев назад +2

    Am a kenyan bt master jay take your flowers 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺

  • @tonygee5680
    @tonygee5680 7 месяцев назад

    Yaani kuvaa copy feki za nguo ndio kujua kuji brandi really??? Wakenya wanava pamba za kisawa sawa kumfanya mchina tajiri iz rubbish. Kama jama anajiona yeye anajua mbona hajatoa mtu mkali amebaki kulilia wasanii grade d

  • @badifundi6089
    @badifundi6089 7 месяцев назад

    Hii kauli ya tukitaka kwenda international imekaa kinafki ..hao wenye ndo twasema wako international.. international yao ni ipi

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz 7 месяцев назад

    Huyu master j ameanza kuchanganikiwa sasa milioni 50

  • @ChristianChuwa-cy1du
    @ChristianChuwa-cy1du 7 месяцев назад

    Wewe jmaa unajua nahisi ndy ulimshauri diamond amchukue dvoice

  • @sendimbwega1645
    @sendimbwega1645 7 месяцев назад

  • @richshayo4924
    @richshayo4924 7 месяцев назад +6

    There was a reason to call them stupid? Bruh hold yourself accountable mbona ninyi producers hamkenda international?

  • @simbaedouardo8499
    @simbaedouardo8499 7 месяцев назад

    Masata tunamkubali ila facts zake sizo nasio kuanza ndio kumaliza pia international sio kujaza ao ku voc saana soo kumaanisha kwamba burna anajuwa ana voc kali kuliko Hawa wa bongo pia swali kwanin yeye hakufik mahali jawa vijana walipo

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson8387 7 месяцев назад

    Huyu master hana hata trofé ya kusingizia yeye kucrash tuu huyu ana nini!!acha kuporna ushafilisika

  • @mjunimashauri5311
    @mjunimashauri5311 7 месяцев назад

    Yaaani unamkuta mond interview na Trevor Noah,power break fast ya USA maadj wanalipwa , likes of football teams,hotels, clubs,malls yaaani budget atleast 500k USD hapo Kuna namna Ila hivi za Tik Tok tu hapana kwakeli sijui manara mmmm hapana hatutoenda truth be told

  • @arkishpromusic3395
    @arkishpromusic3395 7 месяцев назад

    is bongo a genre or a style of music

    • @Joelfreedom4
      @Joelfreedom4 7 месяцев назад

      Bongo is Taarab music, mixed with Rnb, and African traditional drum patterns.

  • @Dickson93
    @Dickson93 7 месяцев назад

    Yaani nyie wenyewe mlioanzisha hyo bongo flava hamjui imekaaje naona mnajikanyaga tu yaan hamueleweki mnaelezea nn achen watu wafanye mziki maana hata nyie hamjaupeleka international

  • @ivanchobz
    @ivanchobz 7 месяцев назад

    Unajua huyu jmaa anaongea tu, afkirie na afatilie, population ya Nigeria kiinchi tu ni 220Million people plus, cc tupo 60Million ndani ya nchi mind you hapo hujui watu huko UK wamezamia wakimbizi kibao na muingiliano wa wao kuingia western countries ni mkubwa sana compare na cc obviously lazma wao wawe na Nafasi kubwa sabbu UK ,Nigerians ni wengiiii mno kiasi kwamba yani hata rappers UK weenyw asili zao ni Nigeria so ni vzaz toka miaka ya Nyuma vili Immigrate Kweny hzo nchi wabongo ni wachache mnooooooooooo hzi nchi za western pamoja na europe obviously itakuwa ngumu.

  • @joesimba
    @joesimba 7 месяцев назад

    20:13 😂

  • @Silversieh-bt5zk
    @Silversieh-bt5zk 7 месяцев назад

    Na wewe ni producer bora au mbona kwenye era yako ulishindwa kwenda international na wewe kama kweli uko na mbinu za kwenda uko international umeshakuwa mropokaji sasa 😂😂