MASTER J : DIAMOND PLATMUZ MBURUDISHAJI BORA NA ALI KIBA NI MUIMBAJI BORA
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RIPMagufuli #Tanzania255 #Simba #Yanga #Trending #MwanaFA #DiamondPlatnumz #Alikiba #Harmonize #Marioo #Paulah #Kajala #Rayvanny #Jux #Zari #WemaSepetu #Zuchu #Nandy #Billnass #ProfessorJay #Muziki #BongoFleva #HipHop #Komando #PaulMakonda #RomaMkatoliki #NayWaMitego #Burnaboy #Davido #Wizkid #Rema #AyraStarr #TiwaSavage #Amapiano #Mayele #Chama #BASATA #GigyMoney #Darassa #TylerWater #VanessaMdee #Rotimi #WCB #KondeGang #KingsMusicRecords #OmmyDimpoz #HajiManara #MooDewji #PaulMakonda #VanessaMdee #NasikiaHarufu #Shisha #Mwijaku #BabaLevo #LavaLava
Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio
Tulio kubaliana na master like please
Umesema Master Jay huo ndio ukweli !! Singeli itaenda mbali Sanaa ✌️🫶
Singeli ndio sound yetu kwenda international Master umeongea point sana
Umeonaaaa
Bangi sio chai
Congo fally pupa kapiga arena tata kwa siku 21kila moja wa tu elfu abaini
Nakubaliana na master J japo ukweli mchungu. Huyu PHINA ni balaa sana yaani ana vocal kali sana mpaka unaweza kusisimka anapoimba na anajua kuburudisha, kuna Rubby, kuna Msechu hajawa tu serious, Beka Ibrozama. Hawa wanajua
Kuhus Abigail na phina yoo 👋 hundred percent I agree 👍 💯...
Master umeongea ukwl kbsaaaaa Abby and phone uwiii❤🔥🔥🔥🔥
Kuhusu Abby Chams haipingwi, she's the only female artist who can take Tanzanian music to international level
Wewe ni Mungu
master j sio box big up broo
Jamaa hana baya
If at all kenyans and tanzanians could come together...and mix both music genre well we could be in a better position to compete internationally... kudos to the interview 👏...
That true na wataishiya ku complain everyday
Wa Nigeria wana support each other but Bongo shida😢😢
Ndo usgamba sasa
Master uko sawa kabisa nakubar
Allah akulibariki Master Jay
Asake anatumia beat za amapiano davido yuko tour since last year na Unavailable beat ya mapiano bana boy anaimba dance hall
Unavailable ngoma kubwa sana ya davido kwenye album yake nzima ni amapiano so kuna muda unaongea ukwel kuna muda unaongea opinion zako
Huwezi elewa chenye uyu mwamba anaongea ju ww unaangalia sarakasi za msanii ukidhani ni kuimba vizuri
@@DaudiKimotokwani umeelewa point yngu 😅?
Multiple intelligences master jay mziki wetu unavingi vya kufikilia kusonga mbele sioni sababu za watu kushindw kuelewa hili cha kushangaza na wanaenda nchi za watu mimi kama nashindw kuelewa wanaendaga kujfunza nini au ndyo picha tu af proud of ??? Fact master waeleweshe mpk waseme wakichukia shauri zao "Keep Bongo Flavour music safe"
Masta jay
Harmo....juu...master mnafiki
Harmo ana melody nzuri na anajitahidi kuimba kingereza anachokifahamu lakini ukienda kwenye uhalisia ana makosa mengi kwenye kingereza chake huo ndio ukweli, wanigeria kingereza Chao wanachanganya na lugha zao lakini huwezi ukakuta kwenye kile kingereza kina makosa
Facts on facts on facts thats why i listen to yo interviews nondo tupu. Abby is surely that good. Lets push young stars kina treyzah and the likes.
Legendary, mtu kukuelewa lazima awe na upeo mkubwa na anaujua mziki.. unatema madini
Umeeleweka sana bro
Kenya sijaona msanii anaye Fanya vizuri Watanzania ndio wanafany vizuri
hilijamaa lina jua mziki
Hatuna umoja ...ingawa wabongo wako wachache Uk ...lkn wanamuziki wakiungana ...wanaweza
Mfano kwa majaribio tukisema tuchukue wanamuziki 10 bora wabongo waende pale 02...tunaweza kuujaza ule
Muziki sio lugha tuuu
Ni vibes pia....mfano muziki wa kizaire...hatujui lugha lkn wakipiga ni mataifa tofauti wanaenda na wanafurahi....ingawa wanaigeria wana faida ya kuwa wengi nchi za ulaya...ndo maana wana jaza
Sababu UK peke yake wanaigeria wako karibuni millioni 1 na.....Wabongo hawafiki hata 50,000.. lkn tukianza kwa umoja tunaweza .. hapo master J anatukatisha tamaa...asiseme kuwa hatuwezi... alimwambia Hamonize hawezi kuimba...lkn Diamond alimchukua na akamfundisha na sasa hivi yupo top 5 na ndiye kati ya washindani
Wakubwa wa Diamond.....everything is possible under the sun....
Kubali ukatae toa mifano yotee kuhus 02 arena tupaach dai ana miak 20 kweny gam
Nimekuelewaa
Tutakuja kufanyikiwa tukiacha kuiga Waarabu. Hicho ndicho chanzo au mzizi ya tatizo letu. Sisi ni waafrica lazina tuimbe kama Waafrica. Wenzetu wakiskiliza ngoma zetu wanandhani tunatoka Oman. Huwezi kutoboa ulimwenguni bila support kutoka Nigeria wapo wengi ugnenini.
Gengetone international inaweza kabisa sababu ya sheng.. Kenya
Much respect Kwa master Ila napenda kutofautiana nae ukimsiliza vizuri utaona ameegemea kwenye mapungufu badala ya Nini tunacho na tunaenda vp mfano tuna baadhi ya mazuri kama taifa tuna bet,Kuna maeneo atukuwai perform such francophone zone na tumejaza mm sitowai define 02 arena kama kipimo cha mafanikio hivi burns anaconditentent failure kwenye show Africa utasema Sio international artists I think Naija nje ya sounds, investment Wana advantage ya exposure na population tuachache kuwa chukilia POA wasaanii wetu sijui yule staenda wale Japan's master Jay that was personal kiukweli eti international wataenda chams na phina wengine hapana hapa umekuwa personal mno not real
you know music and its reality, i appreciate that by the way in all of your success hater must appear
Kila mtu amini anachokiamini mm ninachokiamini ni kwamba King Ally salehe kiba ndo mfalme wamuziki Tz❤❤😂
Umeongea facts kaka.
King kiba akitoa just one song ina hit forever. Diamondnyimbo zake zina hit for just 3 months and you'll never listen anymore
Nampendaga xn masta j mkwel xn
Fact master j
Master j anaez hojiwa masaa 4 na hammalizi
Master umenena na hii iwe ya mwisho kama hawajakuelewa tena basi
True bongo flavour ni arabic scale
Mapozi 🔥🔥🔥
Huyu mze hajuwi anacho kiongea. Eti wasanii wa Nigeria hawafanyi amapiano?? Asake mwenyewe unae mshabikiya ana song yenye title ya amapiano na anazo piano kama zote
Tatizo mnamuogopa alikiba mnashindwa kumwambia kuwa hajui kuimba 😂😂😂
Hujama boya sana konde boy noma
Hun akilii 😂😂😂 ana miak 10 sijui kiko wap
Nimekutana na huu ujumbe twitter I think mond should Improve his marketing strategy na vision Kwa ujumla kuelekea kwenye album this year nahuhakika album itatoka this year tunaitaji mabadiliko ya mtazamo na uwekezaji masuala ya kushangilia trends RUclips sijui boomplay tushavuka toka 2017 tunaitaji marketing strategy za kina Olamide,rema asake something which involves money not too much drama
Huyu jamaa anamjua Rubby vizuri ?
Huwa mnadharau wakenya sana na ndio ulaya kwenu wasanii wenu wakianza show za nje mpaka sisi tuwapige promo ndio mjulikane ulaya ndio maana headquarters za music stream ziko Kenya sio Tanzania Sasa kama entertainment mmeishika mbona hwaji kwenu..
Nyie hata muwe na Kila kitu bado ni washamba, mnatuzidi hivyo vyote plus English lakini hamtuzidi kimuziki mnabaki kuwa mashabiki wetu😅
facts
O2 arena siyo kipimo cha kuwa level ya juu ya international, UK wanigeria wapo more than laki 3 that why hata akienda artist yeyote kutoka nigeria atapata watu wengi tu, taja artist toka South A frica aliyewahi jaza iyo 02!acha kudanganya kila siku eti 02 ndiyo kipimo
Fact
Ah wapi endelea kuwapa moyo tu😅
Na sio wanigeria tuu, kuna waghana na waliberia pia ambao wanavibe pamoja so unaongelea milioni kadhaa hapo
Master J is a legend; speak about him with some respect. He's old school, and his views reflect his understanding of the musical world he grew up in. Your point of view is a logistical one. There is no need to call him a liar.
Natokea congo
Akuna msani kama diamond uko kwenu
Wa Tanzania waishio UK 🇬🇧 hawafiki 5,000 na Wa Nigeria pekee ni zaidi ya 270,000 ukiacha mataifa mengine ya West Africa then uje fananisha na Wa Tanzania 😂. Watu wa West wanapenda statehe sana kuliko Wa Tanzania pia kujaza 🇬🇧 au Nchi za Europe au USA siyo issue kwao wapo wengi sana.
Tatizo ni hiv Wakenya Hawataki kujibrand sana juu wasanii wengi wakali wakenya ni Matajiri hilo nalo jua
Kama umeskia master j akisema ushaudi gonga like
Uyu ana zeeka vibaya sikila kitu aongee afu pia anachuki binafsi akae pembeni karia yake imeisha nieshima tu anajivunjia bila kujijua ushamba wenye confidence ana ropoka xanaa
Anamchukia nani😅😅😅
Master anaongea❤ wasanii tuchukulie kama funzo
Kuna vitu Master J huw haelew mwanamuziki anasimama na aspects tofauti tofauti hata kama msanii ni mzuri kwa vocal lakini Bado anaburudisha watu kwa hiyo vocal yake If u say someone is a best singer lakini even numbers zake on Digital platforms za audios Bado anazidiwa numbers na hao unaosema ni best entertainers not singers Kuna sehemu uko wrong. Art is dynamic not static kama unavyodhani ethics za music zinakuwadeveloped Kila era don't force each era to sound the same hata wasanii wakubwa kama Chris Brown, Janson Derulo wako the best at vocal aspect and when it comes on the stage still they entertain at all. This is a reason why even the artist rised from BSS when get into a music industry they fail to top up most of them Because you're not good judges too. Music is not all about vocal there are so many things apart from vocal.
Inawezekana ila tatizo huko UK 🇬🇧 wabongo ni wachache sana
Anachoengea master ni sure….kama ukimsikiliza kwa mihemko yako utamwona anazingua…wasanii wetu wengi entertainers sio singers(complete artist) ndio maana limifikaga swala kuperfom live band kweny show zao huwag kamzozo makelele mengiii 😂😂😂
Okoa MB zako, anzia Dak ya 10
Tunatumia wi-fi
Watangazaji msimuogope master j, Nigeria wanafanya amapiano na sauzi wanafanya afro beats; ila kufanya bongofleva nakubaliana NAYE
Kingkiba
Watu wanaimba ili tuburudike mzee acha kujichnganya kwenye lugha lengo la kuimba ni nini?
Sawa umerekodi kipindi cha nyuma lakini hamna unachojua kuhusu international
Master rasta ulinyoa coz ulienda kuomba nafac ya kugombea sema tuu ukweli coz bongo stars search program haijaisha
Wanatafuta namna yakulidikwenyegem hawwo
Nenda ulaya au west Africa uliza watu kati ya Kenya na Tanzania ipii washaisikia 😂😂😂😂😂😂😂Kenya inaipa Africa jina baba miaka nenda rudii. Kama si Kenya wasanii wa bongo wangekua maskini. Mpaka America wakenya ndio wengi kwenye show za wabongo.
Sema yote ata sisi tunajua Alikiba anaufaham Muziki kuzidi wewe sio ww tu ata manju masud alishamsifia kiba halafu ww unadhihaki
Elfu mbili tisini na nne like seriously😅
Huyu jmaa hatumuelewi nini asa anataka mara awaponde wote mar awasifu😊
Master J katema Busara nyingi mnooooo. Ukweli mtupu
Master anajua bhn🙌🏿
Fact sana bro master j real good idea
Ukishaishiwa unatafutamanenomengisanaaa kuwaponda wenzako watanzania tuachehizimambo za kujiona miminimtakatifukulikowenza masta j iyonidaliliyakuishiwa mzikiwakipindikile sio wasasa mbonahao akina masta j majani mbona hawajatoa wasanii wakifanya vizuri iyo arena anamaajabuhuyo kuishiwa ameachakuprodyus amegeukachawa
Franch lugha kubwa fally ndio anatumia na anachanganya na maneno ya nyumban
Acha aitwe masta Kweli Ni masta anajuwa tana anajuwa anachokiongea napenda ukweli sikuzote
Abby ni mchaga mwenziye na phina ni bss wao, ulitegemea amsifie nandy, maua sama au zuchu 😂 😂😂😂.
wote aliowasifia waongea kizungu kizuri na wanaweza kuimba Nandy na zuchu uwezo wa kuimba kingeleza hawana zuchu anaimba taarabu twist
@@kwisa4899 wasanii kutoka Kenya, Uganda, wakazi,maua sama, wanaongea kingereza vipi wamefika international? Muziki unahitaji kipaji pesa juhudi bahati na muda ndiyo unaweza kufika mbali.
Davido aliwai kufanya piano na mafiki zolo masta
Alochosema master kuwa kung'ang'ania sound ya mtu mwingine ndo tatizo angalia wasanii wetu mtu mmoja Ana piano zaidi ya 4 haya tafutq Nigerian artist mwenyewe piano zaidi ya 4
The consumer determine the market. I don’t know why forcing the young bucks to do bongo XYZ. Let them do what they see fit musically. Lastly, Kenyan are more into technology (AI) far better than us.
True fact
aliongea kwamba mziki sio lazma lugha ufike international lakin Tena kasahau apo mwishon anasema wenzetu naijeria na Jamaica wanafaida yakiingeleza kwenye lugha zao
so kumbe we n haters
Uposahihi Abigail ashakamata Kijiji urabuni
Master apo umekoseya amapiano na kwaito ni tofauti kwaito Niazamani wakati wakina Brenda amapiano Aina Ata myaka 10 sound yake imekuja juzijuzi tu
Anasema kwaito ni chimbuko la Amapiano na iyo ndo ukweli.
Eti Kenyans are better singers? Eiy! 😅😅😅 HOW?
I'm Kenyan lakini hayo nimekanishaaaaaa!!
Kenyans we are imitators, if it falls on a good artist then cool 😎. Then there is a group that can actually sing but are not taken that seriously or they are not serious themselves. Unless its the vernacular genre(non Swahili, non English).
*Poor branding* thats true!
I'm yet to find a songbird the likes of Lady Jaydee, unique voice ya Nandy, in Kenya. The list is long...
Ukweli ndo hawautaki wa bongo 😂😂😂😂😂
Sisi tunaka burudani sio uimbaji tofautisha hivyo vitu mzee 😂😂😂
Ety atatoa million hamsin mshamba uyu iyo ela anayoo akasaidie ndugu zake ukoo
Kama hako na 50 million why not invest kwa those upcoming anasema wataenda international.
2094 ndo kaanza kazi 😅
Master J mbege mpe mkeo dai amuburudishe
Hiyu naye ni pimbi too ndio mana ata huko bss watu wanaofanya vizuri ni wale mliowakata
Bongo inasemekana mkali ni matikiti kudondoka😁😂😂😂😂
Am a kenyan bt master jay take your flowers 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺
Yaani kuvaa copy feki za nguo ndio kujua kuji brandi really??? Wakenya wanava pamba za kisawa sawa kumfanya mchina tajiri iz rubbish. Kama jama anajiona yeye anajua mbona hajatoa mtu mkali amebaki kulilia wasanii grade d
Hii kauli ya tukitaka kwenda international imekaa kinafki ..hao wenye ndo twasema wako international.. international yao ni ipi
Mbona hasira sn
Huyu master j ameanza kuchanganikiwa sasa milioni 50
Wewe jmaa unajua nahisi ndy ulimshauri diamond amchukue dvoice
❤
There was a reason to call them stupid? Bruh hold yourself accountable mbona ninyi producers hamkenda international?
Masata tunamkubali ila facts zake sizo nasio kuanza ndio kumaliza pia international sio kujaza ao ku voc saana soo kumaanisha kwamba burna anajuwa ana voc kali kuliko Hawa wa bongo pia swali kwanin yeye hakufik mahali jawa vijana walipo
Huyu master hana hata trofé ya kusingizia yeye kucrash tuu huyu ana nini!!acha kuporna ushafilisika
Yaaani unamkuta mond interview na Trevor Noah,power break fast ya USA maadj wanalipwa , likes of football teams,hotels, clubs,malls yaaani budget atleast 500k USD hapo Kuna namna Ila hivi za Tik Tok tu hapana kwakeli sijui manara mmmm hapana hatutoenda truth be told
is bongo a genre or a style of music
Bongo is Taarab music, mixed with Rnb, and African traditional drum patterns.
Yaani nyie wenyewe mlioanzisha hyo bongo flava hamjui imekaaje naona mnajikanyaga tu yaan hamueleweki mnaelezea nn achen watu wafanye mziki maana hata nyie hamjaupeleka international
Unajua huyu jmaa anaongea tu, afkirie na afatilie, population ya Nigeria kiinchi tu ni 220Million people plus, cc tupo 60Million ndani ya nchi mind you hapo hujui watu huko UK wamezamia wakimbizi kibao na muingiliano wa wao kuingia western countries ni mkubwa sana compare na cc obviously lazma wao wawe na Nafasi kubwa sabbu UK ,Nigerians ni wengiiii mno kiasi kwamba yani hata rappers UK weenyw asili zao ni Nigeria so ni vzaz toka miaka ya Nyuma vili Immigrate Kweny hzo nchi wabongo ni wachache mnooooooooooo hzi nchi za western pamoja na europe obviously itakuwa ngumu.
20:13 😂
Na wewe ni producer bora au mbona kwenye era yako ulishindwa kwenda international na wewe kama kweli uko na mbinu za kwenda uko international umeshakuwa mropokaji sasa 😂😂