The 'dry' Island: Wasini Island residents forced to travel to the mainland to buy water

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • #Kenya #KTNNews #KTNPrime
    Watch Breaking and the latest news happening in Kenya, Africa and across the globe in real-time.
    SUBSCRIBE to our RUclips channel for more great videos: www.youtube.com/
    Follow us on Twitter: / ktnnews
    Like us on Facebook: / ktnnewskenya
    For more great content go to www.standardmed... and download our apps:
    std.co.ke/apps/...
    KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
    Watch KTN Live www.ktnnews.com...
    Watch KTN News www.ktnnews.com
    Follow us on / ktnnews
    Like us on / ktnnews

Комментарии • 15

  • @afrakanaswahilitv5520
    @afrakanaswahilitv5520 2 года назад

    Sheria na katiba ya Kenya inawapa wakazi wa Wasini haki ya kumiliki hiyo ardhi na kupata stakabadhi za ardhi yao bila kizuizi au pingamizi lolote kwa sababu wamekaa kwa hiyo ardhi zaidi ya miaka saba. Mabwanyeye wasiwahadae na kuwanyanyasa hao wakenya wenzetu.

  • @MusaMusa-hs3yw
    @MusaMusa-hs3yw 3 года назад +1

    Hao wanao dai kuwa ardhi ni yao mbona hati miliki hawana Bali hao wanao ishi katika hicho kisiwa ndiyo wenye hati miliki.
    Lakushangaza eti twataka kuja kupima lkn hatutaki kumvunjiya MTU yoyote nyumba yake ,aende akamdanganye mtoto mdogo lkn ss n watu wakubwa na akili zetu.
    Na yy ardhi n yake angemiliki kibali kwanza mbona ss tuko navyo wao hawana

    • @alfanm.8221
      @alfanm.8221 3 года назад

      Musikubali kupokonywa ardhi zenyu hii kenya ya sahii si ile tena wajinga

    • @kisa6022
      @kisa6022 2 года назад

      Wewe hujijui wala hujui Uko dunia nyengine kabisa ya ahlu ya majuha Nani hana hati miliki? Nenda Kwale na hizo hati miliki zao uone Kama ziko valid

    • @kisa6022
      @kisa6022 2 года назад

      Wewe na sawa na wale waliotajwa kwenye Quran summu bukmu humyu maana hujui hata unachokisema kwa vile nawe ni mmoja wao wenye kudhulumu. Hivi hujui Kama hizo hatimilikili za ardhi hio zilikua canceld na ujinga wenu mkaendelea kujenga

    • @kisa6022
      @kisa6022 2 года назад

      Wewe hujui usiingilie mambo usioyajua
      Hao wenyeji wa wasini ni kina Nani???

  • @MusaMusa-hs3yw
    @MusaMusa-hs3yw 3 года назад

    Ingawa shida ya wasini in maji lkn shida y ardhi ndiyo donda sugu

    • @kisa6022
      @kisa6022 2 года назад

      Hakuna shida ya ardhi wasini
      Kuna shida ya kuvamiana ardhi za wenyewe. Ukiangalia Huyo Ahmed Shee Fumo wana ardhi kubwa huko nyuma maji ilikuwaje akavamia puma

    • @kisa6022
      @kisa6022 2 года назад

      Huyo juma Hened wana ardhi zao pemba upande wa babaake na chwaka upande wa mamaake inakuwaje anavamia ardhi alafu mnadai kuna tatizo la ardhi

  • @hamidhamiyanji
    @hamidhamiyanji 3 года назад

    Ata tudor hatuna maji

    • @nazomohammed185
      @nazomohammed185 3 года назад

      MBali na maji changamoto ni Arthi huyo bwenyenye adai Arthi yote niyake lakushangaza. Hata hakimiliki hawana

    • @alfanm.8221
      @alfanm.8221 3 года назад

      @@nazomohammed185 bwenyenye yupi huyo anayedai ardhi ni za kwako kwani hajui kwamba kuna wenyeji huko.

    • @kisa6022
      @kisa6022 2 года назад

      Bwanyeye ni wewe ulietoka kwenu magunyani na umekua msemaji mkubwa wa wajinga wenzio wa wasini na mwanamuume wako gitonga
      Huyo unaemuita bwanyenye unamjua ukimuona au wamjua gitonga tu maana ndie bwanyenye wako anaemuibia muumeo

  • @saidiusama4427
    @saidiusama4427 3 года назад

    Tatizo kubwani ardhi Kwanza kama hakuna ardhi je hata tukilitewa maji yatakuwa yametufaidisha nini tunaomba sirikali itatuwe mzozo wa ardhi wasini

    • @kisa6022
      @kisa6022 2 года назад

      Muulize babaako asili yenu upande wa babaake nahis n tumbatu na mamaako ni mtu wa Shimon Sina shaka munazo ardhi zenu pale
      Tatizo la ardhi ni sugu wasini Kwa sbb wale wenyeji hasa hawana ardhi tena