RAIS SAMIA AHAMASISHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • “Lakini pia TCRA na wenyewe wamevuka kiwango. Utendaji mzuri, usimamizi mzuri wa mapato yanayopatikana wamepata wao lakini tumepata na sisi kama serikali. TFS, wachoma mikaa. Hawa mapato yao meengi yanatoka kwenye mikaa.
    "Sasa huko mimi nina vita napo. Twende kwenye Clean Cooking na tuache kukusanya kutoka kwenye mikaa. Tulinde misitu, tulinde mazingira yetu tulinde hali ya hewa yetu ndani ya nchi. Lakini hongereni sana, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan.

Комментарии •