Masha Allah Sheikh Kishki.Allah alipe Masha marefu ya ibada,akisitirie familia yako yote,na Allah alipe Jannatul Firdausa Al Alahh.Very emotional Walahi.Vile unavyo changanyika na maakini imenitowa machozi.Allah akulinde na akupe afya nzuri kila wakati.Ameen.
Daaaah,roho yauma,roho yaumia,roho yasikitika,maumivu makali. Machozi yamenitoka kwa kweli,pale Dua anapoomba,allahu Akbar. Kwa hakika Allah hakupi vyote Wala hakunyimi vyote
Allaahu akbaru kiukweli Alla ni mkubwa nimetokwa na machozi Kijana alivyolingania DINI na kuchagua biashara ya kuuza VITABU vya DINI wallahi Shekhe Allah akulinde na akupe SIHA njema naamini hata mimi ipo siku NITAKUONA kwa mapenzi ya ALLAH
Shekh kishki wewe ni mtu wa watu na nimtu mwema allah akuzidishie kheri tunakupenda kwaajili ya allah wwe allah amekupaji na azidi kukuongoza wewe pamoja na sisi uzidi kutupa mazur yatokayo mtume wetu kipenzi sw
Ma sha allah sheikh kishk Allah akubariki na akuhifadhi Una moyo wa 😊 mahabba kwa ndg zako ktk imaan alhamdulilahi Tunakupenda sheikh kwa ajili ya allah
Hata mim Nimelia sana Mashallah Allah akikupenda anawaamrisha Malaika na watu pia wakupende bas mifano ndo kama hii Sheikh Nurdiin wewe ni Mpenzi wa Allah na sisi pia tunakupenda kwa ajili ya Allah 😭😭😭😭😭😭Inshaallah dua yake iwe makbool nimeipenda anasema Kama alivokukutanisha na yeye hapa dunian akukutanishe naye pwpon namim naitikia Dua ammmin yarab 😭😭😭😭😭😭😭🤲
lau kama alhah angehalalisha mkojo na mtume agekuwepo ningekunha mkojo wa mtukufu wa daraja muhammad s.a.w.kisha mkojo wa sheikh nurudin kishk hafwidwahulhah
Speechless wallah Allah awape subra na moyo wa kushukur walemav wote Allah a2epush nasisi na vizazi vyetu, ameen 🤲 Sheikh wetu, kipenz chetu, mwalim we2, fahar na tunu yetu Sheikhnurdeenkishk Allah akuhifadh tunakupend mno, Allah atukutanish nawe jannahfirdaus, ww kwe2 ni wathaman mno , Allah akuapmb Afya na siha njema
Assalam aleykum warahmatullah wabarakatu Allah akujaze kheri Shekh Kishk. Unajua shekh alikuwa anamwambia huyu kijana aombe Dua kwa sababu gani? Kwa kweli shekh ana Hekma sana Mashallah. Hayo maneno kwenye hio Dua ndo imetuliza wengi. Kwa sote Allah atukutanishe kwenye pepo yake na atuepushe na adhabu za kaburini,,,Ameen Ameen.
Mashallah mashallah nurdin kishik Allah akuepushe na watu wenye ftna,,, allah piaa akupe pepoo la juu kbsaa kulkoo yotee ,,anayekusema vby basi huyoo ni kafir mkubwaa na allah amlaanii kbsaa, tunakuelewa vzr snaaaaaaa mtaalam wetuu wa dunia,,,,,tukoo pamoja snaaaa ,,mtaalam mwenye elimuu,, kubwaa ,nzuri snaaa ,, Allah akulnde usje kuuguwaa hat siku mojaaa,,uishi miakaa ming snaaa mtaalam wetuu
Hata mimi amenitoa machozi allah aipokee dua ya kijana sote tuwe waja wema tuingie peponi tunakupenda sheikh wetu allah akulinde na husda za watu na shari mbalimbali za usk na mchan mungu akujaalie Umr mrefu na mwisho mwema tunakupenda kwa ajili ya allah sheikh wetu nurdin kishik
Alhamndullilah rabil aalamiyn 😭😭😭 wallah furaha aliyokuwa nayo haina kifani huenda siku nyingi alitamani kumwona SHEKHE nurdin kishik na ALLAH amejaaliya kumwona YAA ALLAH NAOMBA umpe SHEKHE WETU UMRI Taweel wenye swiha njema,umhifadhi na kila shari uzijuazo yeye nasi pia YAA RAHMAN 🤲🤲🤲
Mm sio mfuasi wako lakini nimefurahishwa sana na hili sheikh Nurdin Kishki ni jambo nzuri na unyenyekevu ulikuwa unaweza kumsalimia tu na kumpita au usimsalimie kabisa lakini umemsalim kisha umetumia muda wako kwaajili yake Mungu alikubariki na akuzidishie unyenyekevu wakuwajali watu wa chini na kujali hisia zao juu yako dua yangu kubwa Molla akuongezee unyenyekevu huo zaid
Wallah nimetokwa na chozi kwa mapenzi yako sheikh kishik Allah ukupe afya njema n swiha nam bii idhinllah taalaah anikutanishe naweee nipo kenya ❤🇰🇪
Allah akbar 😭nashidwa kuzuiya machozi Allah awape khery masheik wetu amiin 🤲mashallah sheikh kishk kwa moyo na utu ulio nao ❤️
Allahumma Amiin
Allahu akbar mwenyezimungu ni mkubwa sana na hakupi kilema akakunyima mwendo umenitoa machozi kijana😢😢
Masha ALLAH. 😢😢😢machozi yafuraha yamenidondoka wallahi.ALLAH akuhifadhi sheikh. Twakupekwa ajlili ya ALLAH ❤❤❤
Allahumma Amiin
Masha Allah Sheikh Kishki.Allah alipe Masha marefu ya ibada,akisitirie familia yako yote,na Allah alipe Jannatul Firdausa Al Alahh.Very emotional Walahi.Vile unavyo changanyika na maakini imenitowa machozi.Allah akulinde na akupe afya nzuri kila wakati.Ameen.
Allahumma Amiin
RAHA YA UISLAMU ALHAMDULILAAH,.
subhanallah 😅 tusubiri Subira njema🎉🎉
Subahaanal Malikul Qudduus....Allaahu Akbar....Allaah Atuswaaameh...Sisi tutamjibu nini Allaah na tuna viungo vyetu ns twamuaaswi...Nastaghfirullaah😢
Amiin Ya Rabb
Amiin rabbilalamin
Allahumma Aamiin
Daaaah,roho yauma,roho yaumia,roho yasikitika,maumivu makali.
Machozi yamenitoka kwa kweli,pale Dua anapoomba,allahu Akbar.
Kwa hakika Allah hakupi vyote Wala hakunyimi vyote
Mashaallah tabarakallah 😢😢😢
Sheikh ni mtu wa watu na ndio maana yuko na Neema za Allaah asiku mchana kwakweli Allaah amlide daaimah Sheikh wetu
Allahu akbar 😢 MashaAllah ❤❤❤
Allahumma ameen ya Rabby 🤲🤲🤲
Na ss tunao angalia online dua itufikie
Kwa rehma za Allah
Najikuta. Nalia😢😢
Hats mimi nimeliaaa
Mashallah shehe kishki kipenzi cha watu❤
Subhanallah Allah amzidishie kheri Sheikh Nurdin 🌹 Alhamduli llahi Aãla kulli Hali wazima wapo busy na mambo ya khairati subhanallah 😭
Allaahu akbaru kiukweli Alla ni mkubwa nimetokwa na machozi Kijana alivyolingania DINI na kuchagua biashara ya kuuza VITABU vya DINI wallahi Shekhe Allah akulinde na akupe SIHA njema naamini hata mimi ipo siku NITAKUONA kwa mapenzi ya ALLAH
Shekh kishki wewe ni mtu wa watu na nimtu mwema allah akuzidishie kheri tunakupenda kwaajili ya allah wwe allah amekupaji na azidi kukuongoza wewe pamoja na sisi uzidi kutupa mazur yatokayo mtume wetu kipenzi sw
Allahumma Amiin
Aaamiiin
Daa nimejikuta machozi yananitoka!!Shekh letu kishki Allah akupe afya njema uzidi kutukumbusha kutokana na maisha ya dunia
Allah humma mamiin 🤲
Amin Amin Amin 🤲 inshaAllah kwa niaba ya shekhe 🤝🙏
Maskini😭😭😭😭😭😭 Allah atuhifadh na akuzidishie sheikh Nurudin Kishki
W allah Yuri mlemavu uyuametuliza wengi halal amuongoze anaonekana anaipenda sana dini😭😭😭
Alhanmdulilah Allah anatuonesha mawalii wa Allah wazi wazi . Allah atujalie sote ucha mungu na mwisho mwema.
Naangalia hii video majozi yananitoka
Mashallah anayoo fulaha sanaaa daaaa inauzunishaaaa sheikh wetu wakuwekeni allah muda mlefu apa duniani
Aamiin
Kuna funzo kubwa sana kwenye hii video, kwa wenye mazingatio.
Allah Akbar kwel kishk we ni mja was Allah sw wahadhir wanatakiwa kuiga mfano wako Allah sw akupe afya njema na umri mrefu wenye manufaa kisk
😢😢😢😢 ALLAH akupe kla unalolhtaj ktk nacf yako
Amiin 🤲
Ma sha allah sheikh kishk Allah akubariki na akuhifadhi
Una moyo wa 😊 mahabba kwa ndg zako ktk imaan alhamdulilahi
Tunakupenda sheikh kwa ajili ya allah
Naomba simu ya sheikh kishki?
Masha Allah ❤️ ❤️ ❤️
TabarakAllah 💚💚💚😭
😢😢😢Allah Takabal Du'a 😢😢😢
Yaan Allah akujazee kher,, mtaalam wetuu nurdin kishik,,pia akupe pepo ya Hali ya juuu
جزاك الله خير يا أخي العزيز
Amin rabil amin 🙏🙏🙏
subhanallllah ,,,amesema angeskia mwanamziki amekuja asingeenda ,,😢❤❤
Ma shaa Allaah sheikh kishk kipenzi cha watu
Ata na mimi wallah nataka kunjuwa sheyewango😢😢
Allah akujazee kher,,mtaalam wetuu nurdin kishik nakuelew vizr Sana
Ma sha Allah 😢😢adi machozi😢😢Shekh wetu Allah akupe faraja yaumul hisab kama gisi anavo wapa faraja wanyonge🤲🤲🤲😢Pia akuzididshie ikhlaswi na sote pia🤲🤲
Amn mweneu
Allah akuhifadhi Sheykh kishki anokuchukia wewe anakudhulumu hakika. Twakupenda sheykh Allah akujaalie maisha mazuri fiy dun'ya wal Aakhira
Wallah sheikh unapendwa na waja wa allah natamani allah akupe umri mref zaid wenye kheri kwa waja wake inshaallah
Hata mim Nimelia sana Mashallah Allah akikupenda anawaamrisha Malaika na watu pia wakupende bas mifano ndo kama hii Sheikh Nurdiin wewe ni Mpenzi wa Allah na sisi pia tunakupenda kwa ajili ya Allah 😭😭😭😭😭😭Inshaallah dua yake iwe makbool nimeipenda anasema Kama alivokukutanisha na yeye hapa dunian akukutanishe naye pwpon namim naitikia Dua ammmin yarab 😭😭😭😭😭😭😭🤲
Allahumma Aamiin
Maashallah Allah akupe afya njema shekhe wetu hakika unajali watu wenye kukujia Kwa haja na mahitajio mbalimbali
Mashallah kafurahi mno alhamdulilah shehe kishki mtu wawatu
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😭😭😭mashaallah mashaallah
Wallah naapa kama hatutajifunza na kukosha nyoyo zetu kama tunavyooneshwa na masheikh wetu tutakuwa ni watu wa hasara mbele za allah
SubhanaAllah,Kuna chakujifunza hapa
Ameeen.ametutoa.machoz
Mashallah Allah aklpe nurdin kishik nakuelew vizr Sana,,kwaa kazii ya Allah unayoifnya Allah akulpe
😢😢😢mpka nimeliya
Mashaallh Tabarakallh
Maa Shaa ALLAH Tabarakallah
Masha Allah Allah akuhifadhi
MáshaAllah
Assalam aleykum warahmaturllah wabarakatuh, sheikh kishki hakika tunaimani na wewe, tafadhali toa namba maalum ya mpesa au tigo pesa tumchangie kijana huyu chochote kile insha Allah. Kitakachopatikana utamkabidhi.
Allahuakbar
Amiin 🤲 THUUMA AMIIN 🤲 YAA ALLAH TAQABALI DU'AA 🤲🤲 ALLAHU AKBARU ☝️ MASHA ALLAH subhaanallah 😭😭😭
lau kama alhah angehalalisha mkojo na mtume agekuwepo ningekunha mkojo wa mtukufu wa daraja muhammad s.a.w.kisha mkojo wa sheikh nurudin kishk hafwidwahulhah
Mashallah Mashallah so beautiful ❤
MashaAllaah tabaraAllaah yaani kijana amejaza furaha kuona Sheikh
Allah Akbar kwakwe ata mimi nimetowa macozi Allah Ampe Afya njema pia nasheikh wetu mungu akuzidishie imani Ameen
Aiseeee! Nimetokwa na chozi hapo mwisho wallah
MashaAllah🥰😭😭ALLAHU AKBAR ❤️Allah akujalie Afya njema umri mref sheikh wetu kipenzi🤲🧡🧡
Mashaa'Allah
Amiin yarabily liallamina Allah takabalin duaa yarabiy
Mashaallah mashaallah ❤❤❤imenitowa machozi 😭😭
MashaAllah Jazakhallahu kheiri 🙏🙏🙏
Alhamdulilah shekh mungu akulipe kila lakher wallah huyo kijana amenitowa machozi vijana wazima wanashindwa wallah
Mm natamani sheikh kishki anitafutie mme ninamtoto mmoja
😭😭😭Ameen yaarabi ameen wallah nimelia saana Allah akupe afya shekhe wetu kwa moyo wako wenye Imani ❤️❤️❤️
Amiin Amiin Amiin
THUMMA AMIN 🤲
Naangalia hii video majozi yatakutoka
Mashallah Mashallah, Allah akuajalie maisha marefu inshallah
In shaa Allan Amiin
😢😢yaa Allah
Mjaliee kijana huyu yaliyo ya kheir
Masha'Allah tabaraka Masha'Allah
😭😭😭😭😭😭😭😭😭Masha'Allah Tabaaraka'Allah khair ndugu haya ni mapenzi makubwa xan kw kwel nimelia xan hakika Mungu ni miweza wa yote 😭😭😭😭😭😭
Speechless wallah Allah awape subra na moyo wa kushukur walemav wote Allah a2epush nasisi na vizazi vyetu, ameen 🤲 Sheikh wetu, kipenz chetu, mwalim we2, fahar na tunu yetu Sheikhnurdeenkishk Allah akuhifadh tunakupend mno, Allah atukutanish nawe jannahfirdaus, ww kwe2 ni wathaman mno , Allah akuapmb Afya na siha njema
Allah humma mamiin 🤲
Amina
اللهم آمين يارب العالمين 🤲
Allhamdulilah mashaallah pongezi kwa. Sheikh kishk. Kwa kazi anaifanya ukiangalia hii video majozi yatakutoka
Machozi yamenitoka,Allaahu Akbar ihdinasiraatul mustaqeem
Shekh kishki mungu akujaaliye maisha marefu yenye kheri na baraka ndani yake
Amiin
Subuhanallah. Wallah shekh kishk ngoja wakupige raadi2 wanaokuchukia bt niwengsana tunakupenda. Na ukamilifu anao Allah pekee shekh wangu
Dah😢
Wallah machoziyanitoka
Tabaraq Allah.....Allah akuzidishie iman shekh
Assalamu aleykum shukran ndugu shekh kishki Allah akubariki naye Allah ampe afya njema Amiin
Mi mwenyewe mpaka nimelia
Naangalia hii video majozi yananitoka
hakika umejaa hurma Allah akhfdh
Assalam aleykum warahmatullah wabarakatu
Allah akujaze kheri Shekh Kishk.
Unajua shekh alikuwa anamwambia huyu kijana aombe Dua kwa sababu gani?
Kwa kweli shekh ana Hekma sana Mashallah.
Hayo maneno kwenye hio Dua ndo imetuliza wengi.
Kwa sote Allah atukutanishe kwenye pepo yake na atuepushe na adhabu za kaburini,,,Ameen Ameen.
Aaallah huma amin
Mash Allah sheik wetu nampenda kwa Ajili ya Allah
Sheikh wangu kishki Allah akupe umri twaalii Afya njema na Kila kheir isikupite,, kijana ameniliza Allah nawe akufungukie kheir
Allah atusamehe Makosa yetu sisi na Wazazi wetu na Waisilamu🤲🙏
Mashaallah
Subhana Allah akuhifadhi shehe wetu ❤❤
Mashallah mashallah nurdin kishik Allah akuepushe na watu wenye ftna,,, allah piaa akupe pepoo la juu kbsaa kulkoo yotee ,,anayekusema vby basi huyoo ni kafir mkubwaa na allah amlaanii kbsaa, tunakuelewa vzr snaaaaaaa mtaalam wetuu wa dunia,,,,,tukoo pamoja snaaaa ,,mtaalam mwenye elimuu,, kubwaa ,nzuri snaaa ,, Allah akulnde usje kuuguwaa hat siku mojaaa,,uishi miakaa ming snaaa mtaalam wetuu
Tunasubir kwa ham
Hata mimi amenitoa machozi allah aipokee dua ya kijana sote tuwe waja wema tuingie peponi tunakupenda sheikh wetu allah akulinde na husda za watu na shari mbalimbali za usk na mchan mungu akujaalie Umr mrefu na mwisho mwema tunakupenda kwa ajili ya allah sheikh wetu nurdin kishik
Masha allah mngu akupe pepo jannat fardaus kwaote unao yafanya nashindwa kujizuia kulia
Alhamndullilah rabil aalamiyn 😭😭😭 wallah furaha aliyokuwa nayo haina kifani huenda siku nyingi alitamani kumwona SHEKHE nurdin kishik na ALLAH amejaaliya kumwona YAA ALLAH NAOMBA umpe SHEKHE WETU UMRI Taweel wenye swiha njema,umhifadhi na kila shari uzijuazo yeye nasi pia YAA RAHMAN 🤲🤲🤲
Aamiin
😢😢😢😢maashaallah Allah akuhifadh na akupe umri mlefu sheikh wangu
Machozi yamenitoka , Allah akupe afya na uzima Sheikh wetu na daawa yako izidi kushika kasi kila sehemu
Mm sio mfuasi wako lakini nimefurahishwa sana na hili sheikh Nurdin Kishki ni jambo nzuri na unyenyekevu ulikuwa unaweza kumsalimia tu na kumpita au usimsalimie kabisa lakini umemsalim kisha umetumia muda wako kwaajili yake Mungu alikubariki na akuzidishie unyenyekevu wakuwajali watu wa chini na kujali hisia zao juu yako dua yangu kubwa Molla akuongezee unyenyekevu huo zaid