SHARIIF MWENYE BABA ATOKWA NA MACHOZI, TAMTA DAY, AFUNGUKA 'MAZITO'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024

Комментарии • 54

  • @naasiraxmed4734
    @naasiraxmed4734 8 месяцев назад

    ماشاءالله تبارك الله رب العالمين جزاكم الله خير الجزاء يا شيخنا الفاضل ويا اخواننا الصوفية ورفع الله قدركم في آلدنيآ والآخرة وجعلني الله وإياكم مع الذين أنعم الله عليهم من النبيين والصديقين والشهداء والصالحين وحسن أولئك رفيقا ونفعنا الله بعلومكم نفعا لا خسران ولا نسيان بعده

  • @iddydaruwesh8650
    @iddydaruwesh8650 2 года назад +9

    Alizwa na wenyeji wake hawapo sifa za Allah ziwape makazi wazazi wangu na masheikh walotangulia. Mwili wangu umepata simanzi kumuona shariffu akilia. Allah akbaru

  • @sheikhmahfudhloo2809
    @sheikhmahfudhloo2809 2 года назад +1

    Shukran swahib Malam Mungu akupe until mrefu, Mimi Ni Wa Lamu

  • @AbuwNibras926
    @AbuwNibras926 10 месяцев назад +1

    Allah akuongoze katika hakii
    Sufy ww

    • @jamiiljiddah.07
      @jamiiljiddah.07 9 месяцев назад

      Mutakufa kwa chuki zenu mungelikuwa munajua haki musingekuwa na maneno machafu

    • @ABDINURA-hb9ky
      @ABDINURA-hb9ky 7 месяцев назад

      Hiyo si maneno chafu,,,ni maneno ya haqi

  • @h.bkassimb.mzinga.h.bkassi1981
    @h.bkassimb.mzinga.h.bkassi1981 2 года назад +2

    Wallah maxhozi yamenitoka ...darsa lako limenigusa sana . Nikweli uyanenayo

  • @sheikhmahfudhloo2809
    @sheikhmahfudhloo2809 2 года назад +1

    Mungu akupe umri mrefu mwenye baba

  • @latiffaomar6429
    @latiffaomar6429 2 года назад

    MashaALLAH sheikh

  • @nguvuyafikramedia1202
    @nguvuyafikramedia1202 2 года назад

    Masha allah Allahu akbar Allahu akbar Allahu akbar

  • @allymazundelivetv6492
    @allymazundelivetv6492 2 года назад +1

    Allah Akbaru

  • @JumanaziruShekalaghe-mk2fn
    @JumanaziruShekalaghe-mk2fn Год назад +1

    Da. Mungu. Mkubwa

  • @abdallahkassim7602
    @abdallahkassim7602 2 года назад

    Ma sha allah

  • @azizaiddy4981
    @azizaiddy4981 Год назад

    Mashaallah

  • @nurudinisalim290
    @nurudinisalim290 2 года назад +1

    habiibi umeniliza wallaah

  • @naasiraxmed4734
    @naasiraxmed4734 8 месяцев назад

    اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا ونبينا وحبيبنا وشفيعنا وقرة عيوننا ونور صدورنا وعافية أبداننا نبينا محمد بن عبدالله بن عبد المطلب وعلى آله الطيبين الطاهرين وصحبه المحبين المحبوبين عدد خلقك وزينة عرشك ورضا نفسك ومداد كلماتك مرحبا يا رسول الله مددا يا نبي الله أحبك يا حبيب الله

  • @rashidikanyama7227
    @rashidikanyama7227 2 года назад +2

    Alwahumma swali wasalimaghale swalawatulwahghalee

    • @ABDINURA-hb9ky
      @ABDINURA-hb9ky 7 месяцев назад

      Wacha zako,,,hii ni nn wasema sasa,,,,kasoma dini yako

  • @abuuminya8746
    @abuuminya8746 2 года назад +3

    اللهم صل على سيدنا محمد صلاة تحسن بها الأخلاق وتيسر بها الأرزاق وتدفع بها المشاق وتملأ منها أفاق وصلاة دائمة من يوم خلقت الدنيا إلى يوم القيامة

  • @headboy7768
    @headboy7768 9 месяцев назад

    nijuzwe mimi ndio mwanzo kusilimu kule kanisani Kuna Miziki na nyimbo
    swali langu hii ndio nyimbo za kuabudia kwenye uislamu?

  • @nassorbinfundi1196
    @nassorbinfundi1196 2 года назад +1

    Shekh wana kera sana, mawahab hawa, kuwastahmili nikazi kubwa sana Wallah

    • @maymoona-hp4pp
      @maymoona-hp4pp Год назад

      Mungu wangu kupitia baraka za mashekhe wetu Hawa watukifu mashaalha

    • @maymoona-hp4pp
      @maymoona-hp4pp Год назад

      Wape kher marehemu zetu kupitia baraka ya masharifu Hawa haaswa mwinyi baba nawengine mashaalha

  • @chozilasamakikachumbari6705
    @chozilasamakikachumbari6705 Год назад +1

    Nauliza hapo ni wapi? Please nijulisheni

  • @azizaiddy4981
    @azizaiddy4981 Год назад

    😭😭😭

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад +5

    masufi ni washirikina nyie acheni ushirikina

    • @Naaam353
      @Naaam353 Год назад +2

      Njoo kwa masufi wakufunze namna ya kudhibit nafsi yako dhid ya chuki,hasad,wivu na tabia mbaya

    • @abdulali753
      @abdulali753 Год назад +1

      Tusome Elimu Insha allah tutafaulu

    • @jumabias4917
      @jumabias4917 Год назад +1

      Uliza ujuzwe, epuka kubeza

    • @ibrahimmohamedmaalim5568
      @ibrahimmohamedmaalim5568 Год назад

      Fanya adabu kama haukubaliani nao sio kuwatoa kwenye dini

    • @user-bw8oi3kw2q
      @user-bw8oi3kw2q 10 месяцев назад

      Hukm ya usuf umeitoa ktk kitabu gn kua niwa shilikin

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад +3

    sharifu hana kidevu cheupe kama embe

    • @chozilasamakikachumbari6705
      @chozilasamakikachumbari6705 Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ati hana ndevu kama Embee! Ulikuwa unataka awe kama Nazi? 🤣🤣🤣 wallahi kuna watu wachokozi

    • @faisalmohamed727
      @faisalmohamed727 Год назад +1

      Afadhali embe huyu kama 💡 au mabinti.

    • @jumaally558
      @jumaally558 Год назад

      Unajua huyo unae mbeza

    • @faisalmohamed727
      @faisalmohamed727 Год назад

      @Juma Ally Najua mtume swalallahu aleihi wa Salam ametuamrisha tunyoe shurubu tuache ndevu, anae muhalifu mtume swalallahu aleihi wa Salam hawezi kujigamba eti ampenda mtume swalallahu aleihi wa Salam.

    • @ABDINURA-hb9ky
      @ABDINURA-hb9ky 7 месяцев назад

      Kidevu kama glope,,,,weka ndevu na ufate mafundisho ya mtume Muhammad swala na salamu zimfikie na muwache uzushi

  • @alhidaaya5288
    @alhidaaya5288 2 года назад +2

    Ibada ya Kumswalia mtume ilikuwepo Tangu kipindi mtume yupo na Maswahaba na Waliofuata Suala la kujiuliza
    Wao walimswaliaje mtume?? Je Mtindo huu wa kumswalia Mtume na kupiga Ngoma na Yote yaliyopo katika Maulid ndivyo walielewa na kufanya hivi Ikiwa sivyo ni ipi basi Ya kufuatwa njia waliokuwa nayo Maswahaba au hii ya Masharifu wa Kisufi??

    • @sinenopesananehassan3090
      @sinenopesananehassan3090 2 года назад +1

      Naam asslm alykm warahmatul llahi wabarakaatuhu. Sheikh ikiwa hili kusoma kwako waliona halifai fuata yafaayo, sie tuache ju twaelewa na kujuwa kuwa tupo ibadani tena ibada a'dween xn, tutamsalia mtume Muhammad SAW ucku n mchana.

    • @nassorbinfundi1196
      @nassorbinfundi1196 2 года назад

      Maulid khabari zake ninzito, sana, haina tafaut sana na hijja, anatajwa Allah na ntume, na yanatoka mazingatio makubwa watajwa wanazzuon wewe acha fitna soma sawasawa, utajua nyie viumbe hatuitaji,

    • @alhidaaya5288
      @alhidaaya5288 2 года назад

      @@nassorbinfundi1196 Hujielewi

    • @abdulrasul2213
      @abdulrasul2213 2 года назад +1

      yaarabbi tupe nafahati zao

    • @abdulkhaliqmuhammed456
      @abdulkhaliqmuhammed456 8 месяцев назад

      Hayo maneno baki nayo mwenyewe kwa sabab hakuna atakaye kusikiliza kuhusu hilo umepoteza mda buree ku type ujumbe mreefu kisha hakuna atakae faidika nao, hivyo uwe ujumbe wa mwanzo na wa mwisho. Kisha ukae kimya

  • @MustafaOyoo-qz7rp
    @MustafaOyoo-qz7rp Год назад

    Sheikh weka ndevu.mtume amewalazimisha wanaume kuweka ndevu

    • @user-kq8lk1cx8g
      @user-kq8lk1cx8g 9 месяцев назад

      Kawalazimisha. Amri gani. Hyo. Kielimu....

    • @abdulkhaliqmuhammed456
      @abdulkhaliqmuhammed456 8 месяцев назад

      Soma tena hadith ya mtume kuhusu ndevu alafu tuambie hukmu ya ndevu ni nini? Acha kuropoka ropoka

  • @ishikwaadabu1579
    @ishikwaadabu1579 Год назад +1

    Mashaallah