Joshua Mlelwa - Ni Wewe OFFICIAL VIDEO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 230

  • @masselemussalugamara6224
    @masselemussalugamara6224 4 года назад +33

    Huu wimbo unanifanya nasikia damu inakimbia kwa kasi kwenye mishipa yngu na nywele zinasisimka. Hakika mungu yupo ndani ya huyu mtu aimbi ili kupata pesa ila anaimba kumsifu bwana. Tunakupenda joshwa. Wengi tumeokoka kupitia nyimbo zako

  • @dorisichumbula2772
    @dorisichumbula2772 5 лет назад +10

    Nmejikuta nauangalia huu wimbo tangu asubuhi...Mungu akubariki mtumishi brother joshua na mkeo

  • @jenifercynthiakazimoto5392
    @jenifercynthiakazimoto5392 2 года назад +7

    Ameen! Wimbo mzuri Siku zote hakika Yesu Ni Bwana!

  • @raelnzasimuasya9871
    @raelnzasimuasya9871 3 года назад +6

    Mungu ainue huduma yako Joshua! Asikufungukie Wala kukuacha nimebarikiwa na nyimbo zako Sana ! Rael kutoka Kenya

  • @Ashua0777
    @Ashua0777 8 месяцев назад +6

    I had to come back and listen to this song today. 29 January 2024. I really try to understand God but I have failed, short story, Have you ever been in pain and tears in a moment and then within the same hour you're in overwhelming Joy. That's my story today.

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 8 месяцев назад +2

      Acha tu i nyimbo skuwa naijua

    • @Ashua0777
      @Ashua0777 8 месяцев назад

      Ni Wimbo mzuri sana una uweza wa kiungu ndani yake

    • @clearsight2485
      @clearsight2485 5 месяцев назад +1

      May God see you through

  • @edinahmaganga3528
    @edinahmaganga3528 2 года назад +8

    Ameeen Mtumishi kweli Yesu ni mtam Ubarikiwe mtumishi Joshua wimbo huu nimebarikiwa sana 🙏🙏

  • @williamsnkulu7875
    @williamsnkulu7875 6 лет назад +17

    David's dance!!! Let the name of Jesus Christ be lifted high. Glory to God

  • @edmundkapondo4042
    @edmundkapondo4042 2 года назад +4

    Karibu Ngomeni Tena ilikuwa ni🔥🔥🔥🔥

  • @leahchiute9930
    @leahchiute9930 5 лет назад +8

    natamani siku na mimi nisimame na kulisifu jina la bwana

  • @jerymadenge8624
    @jerymadenge8624 3 года назад +4

    Kazi nzuri san bro watu wasumbawanga tunaenjoy sana dante karesa mbeya moja

  • @josephwabwire1691
    @josephwabwire1691 2 года назад +8

    Joshua you bless me so much with you're music ministry.
    This song has blessed and ministered to me for years.

  • @emmycharles8463
    @emmycharles8463 3 года назад +4

    Haleluyaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @teclaaugust829
    @teclaaugust829 6 лет назад +13

    Ubarikiwe mtumishi kwa Huduma njema

  • @danielmumosi444
    @danielmumosi444 3 года назад +6

    This real worship. God bless you, Mtumishi wa Mungu.......

  • @bettyalexander2035
    @bettyalexander2035 Год назад +6

    Yesu, hakika wewe ni baba yangu..👏👏

  • @zilpamoses6829
    @zilpamoses6829 2 года назад +5

    Naipenda saana hii nyimbo jmn❤️🥰💕

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 2 года назад +3

    Joshua ,Mungu akubariki

  • @davidlamso3164
    @davidlamso3164 2 года назад +3

    Ukovizuli mutumishi wa mngu na kuombea kwa mungu adhidi kukupa kipawa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿

  • @godlovewarwa
    @godlovewarwa 3 года назад +3

    Jina la Bwana lihimidiwe. . ubarkiwe sana kaka Joshua

  • @renithaluzabico8271
    @renithaluzabico8271 3 года назад +3

    Hakika wewe ni Mungu.unanitendea maajabu

  • @tumainijames
    @tumainijames Год назад +3

    Wimbo umenibariki, God bless you Man of God

  • @elizabethmwange2930
    @elizabethmwange2930 3 года назад +4

    Mashariki ya mbali nitasifu hallelujahaaaaaaaaaaah

  • @francismwandairo8749
    @francismwandairo8749 2 года назад +3

    The upper room praise.

  • @joycebuberwa7982
    @joycebuberwa7982 2 года назад +2

    Asante Mungu kwa wimbo huu.

  • @jacklinenungu5746
    @jacklinenungu5746 2 года назад +3

    Ubarikiwe sana kaka Joshua kwa huduma yako, Mungu azidi kukuinua juu juu juu zaidi

  • @noelamartha7536
    @noelamartha7536 3 года назад +3

    Amen Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu

  • @prophetessmsolo981
    @prophetessmsolo981 4 года назад +4

    Huu wimbo unanibariki sana
    Asante mtumishi wa Mungu kwa wimbo huu... Mungu akubariki sana katika JINA LA YESU

  • @glorymutalemwa296
    @glorymutalemwa296 2 года назад +3

    Tunakupenda mtumishi hakika nyimbo hii inanibariki

  • @aidaraphael1956
    @aidaraphael1956 2 года назад +3

    Barikiwa mtumishi was Bwana kazi yako ninjema.

  • @nancymgoli3751
    @nancymgoli3751 3 года назад +3

    ubarikiwe baba mwimbo ni mzuri sana

  • @aidamkemwa6393
    @aidamkemwa6393 3 года назад +2

    Hongera sana. uimbaji wako hauchuji mtumishi.Mungu azidi kukuinua.

  • @elizabethchatira5341
    @elizabethchatira5341 2 года назад +3

    This real worship

  • @elizabethkamala832
    @elizabethkamala832 6 лет назад +9

    Barikiwa kwa huduma yako

  • @fadhilidisanula840
    @fadhilidisanula840 3 года назад +3

    Imekaa vizuri sana barikiwa mno

  • @gracemwinuka7503
    @gracemwinuka7503 2 года назад +3

    Barikiwa sana !

  • @catherinricherd1709
    @catherinricherd1709 3 года назад +3

    Mungu wa mbinguni akubariki kwa kazi nzuri uifanyayo

  • @veronicajerome1184
    @veronicajerome1184 Год назад +2

    Nyimbo zake na sipenda sana kaka jeshua mungu akubariki

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 2 года назад +7

    One the most humble servants of God I know

  • @ev.gifthsanga8965
    @ev.gifthsanga8965 4 года назад +4

    Ubarikiwe sana kwa wimbo mzuri sana una mwinua Mungu kwa utukufu mkuu sana anaogmfanya kwetu ..naipenda sana huu wimbo hakika

  • @aidaraphael1956
    @aidaraphael1956 2 года назад +2

    Barikiwa mtumishi, yani nabarikiwa mno, mungu akuinue sana tu.

  • @frankagray7618
    @frankagray7618 2 года назад +2

    Brother Joshua wewe ni mwamba wa miamba usiye tikisika jina la bwana libarikiwe

  • @jamescosmetic1384
    @jamescosmetic1384 2 года назад +3

    God bless you broo

  • @paulkulwagambishi1997
    @paulkulwagambishi1997 5 лет назад +3

    Kazi nzuri mtumishi Mungu akubariki

  • @bennysanga2873
    @bennysanga2873 2 года назад +4

    Barikiwa sana mtumishi

  • @farajamichael7574
    @farajamichael7574 2 года назад +3

    MUNGU Wetu ni mwema sana najiskia furaha Kwa nyimbo hii.

  • @angelkimaro3634
    @angelkimaro3634 3 года назад +3

    Mungu ni mwema kila wakati

  • @annabaldwinmwamunyange4442
    @annabaldwinmwamunyange4442 4 года назад +3

    Unanibariki sana huu wimbo hakika wewe no Mungu Wa hali ya juu..

  • @getrudeleonard639
    @getrudeleonard639 4 года назад +4

    Hakika wewe Ni baba Asante yesu kwa rehena zako maishani mwangu🙏🙏❤️❤️❤️

  • @furahabarayati2403
    @furahabarayati2403 3 года назад +2

    Amen nyimbo nzr brother Joshua

  • @omanoman1371
    @omanoman1371 2 года назад +4

    Ameeen Ameeen ni wewe

  • @dotosaloon9827
    @dotosaloon9827 2 года назад +2

    Wimbo unanibarki sana Mungu akuinue pakubwa kwa sababu unamtumikia katk roho na kweli.

  • @clearsight2485
    @clearsight2485 7 месяцев назад +1

    Hongera Joshua wimbo mzuri sana

  • @bigsam986
    @bigsam986 Год назад +1

    Hii nyimbo itaishi milele....mungu ambariki sana Joshua mlelwa

  • @princessglamorous543
    @princessglamorous543 6 лет назад +20

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu hakika nimeona nguvu za Bwana kipitia huu wimbo

  • @JAFARIJACKSON
    @JAFARIJACKSON Год назад +1

    Joshua Mlelwa Mungu akubariki mno na ainue zaidi huduma yako ya uimbaji

  • @mbokimartin7910
    @mbokimartin7910 2 года назад +1

    bonge la wimbo amenifurahisha sana mzuka wake umeenda sawa na muziki

  • @gracejason5443
    @gracejason5443 5 лет назад +4

    Hakika Wewe ni Mungu

  • @lilylekulelilylekule5242
    @lilylekulelilylekule5242 Год назад +4

    To God be Glory 🙏🙏🙏

  • @robertkawishe5382
    @robertkawishe5382 7 лет назад +12

    Nakumbuka mbali Sana,barikiwa bro joshua

  • @hectonmbilinyi8007
    @hectonmbilinyi8007 6 лет назад +3

    kaka Joshua wimbo huu nakumbuka mbali Mungu acheni aitwe Mungu

  • @juneludwinsky7642
    @juneludwinsky7642 3 года назад +3

    Princess June of United Kingdom beautiful song

  • @noelswai2660
    @noelswai2660 6 лет назад +38

    Wimbo huu unanibariki sana kweli, Mungu azidi kukuinua mtumishi wa Mungu.

  • @kelvinhappygod3706
    @kelvinhappygod3706 Год назад

    MUNGU mwenye huruma, kubariki, Kuponya, kulinda, kutoa na kuchukua

  • @noelnthangu810
    @noelnthangu810 6 лет назад +30

    Joshua is my favorite singer of all time, bless u bro

  • @silasjoseph9033
    @silasjoseph9033 2 года назад +3

    HALLELUJAH 🙌

  • @akonaaycaroline5225
    @akonaaycaroline5225 4 года назад +2

    Ubarikiwe mtumishi

  • @vivianmosha2669
    @vivianmosha2669 3 месяца назад

    Ni kwel mungu anatutetea GOD bless you brother joshua

  • @ambassadorofchrist6983
    @ambassadorofchrist6983 5 месяцев назад

    I hope this isn't pastor Joshua mulema of kahawa sukari.
    From wambui wa mwangi channel 😢

  • @kellyroselwinga7999
    @kellyroselwinga7999 6 лет назад +2

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu ,Mungu azidi kukutumia na kukubariki milele na hata milele

  • @victorkayungi7764
    @victorkayungi7764 3 года назад +7

    Unamwabudu Mungu katika roho na kweli barikiwa sana.This is the meaning of praise and worship

  • @leahlawrence1183
    @leahlawrence1183 4 года назад +2

    Hakika wewe Ni Mungu asanteee

  • @albamwanja4304
    @albamwanja4304 Месяц назад

    Hii nyimbo hado ina uhai ndani yake. Asante sna Brother Joshua kwa wimbo huu

  • @hoseaprotv418
    @hoseaprotv418 Год назад

    amen amen amen barikiwa mtumish wa mungu nyimbo naipenda mno barikiwa

  • @marinaanathory7710
    @marinaanathory7710 7 лет назад +10

    hakika nimebalikiwa na huu wimbo balikiwa sana mtumishi wa mungu. songa mbele na yesu

    • @annaabraham5457
      @annaabraham5457 7 лет назад

      Mungu akubariki sana joshua wimbo unagusa sana

  • @aidaraphael1956
    @aidaraphael1956 Год назад

    MUNGU AKUONGEZEE UPAKO ZAIDI, YANI UNAIMBA KATKA ROHO.

  • @paulinacosmas6355
    @paulinacosmas6355 6 лет назад +11

    Nakukubar sana kwenye huduma yako ubarikiwe na BWANA

  • @theresiagasto7911
    @theresiagasto7911 5 лет назад +4

    Ivi awa watu wanaodislike kma hamtaki kucomment si muache Mungu anawaona kbsa

  • @farajagordon4724
    @farajagordon4724 3 года назад

    Jamani ilipendeza ulipoimba kijito nyama nawale wengine

  • @sophiahezron3797
    @sophiahezron3797 Год назад

    Nilichelewa kutujua huu wimbo jmn

  • @ezekielnjau8818
    @ezekielnjau8818 6 лет назад +12

    Anajua sana Joshua, namuona yesu nikimsikia akiimba

  • @oliversanga1498
    @oliversanga1498 3 года назад

    Mtumishi mbona umetoa nyimbo ingia zizini kero

  • @JaphalSpilia
    @JaphalSpilia Год назад

    Nabarikiwa sana MUNGU ukutunze

  • @GeophreyTanzania
    @GeophreyTanzania 4 года назад +2

    2020

  • @enocaroni9763
    @enocaroni9763 3 года назад +1

    Moyo wangu wakusifu roho yangu yakufulahia hallelujah 2021 twende p1

  • @aidaraphael1956
    @aidaraphael1956 Год назад

    Nawapenda sana watumishi was MUNGU.

  • @teddymtawa3408
    @teddymtawa3408 4 года назад +2

    Hakika yuko MUNGU

  • @priscajohn2220
    @priscajohn2220 6 лет назад +7

    wimbo mzuri sana unanibariki sana amen mkubwa Joshua

  • @cindymanguli4318
    @cindymanguli4318 4 года назад +1

    Huu wimbo unaishi haujawahi kuisha nguvu. Jina la Bwana lihimidiwe

  • @salomehazael8912
    @salomehazael8912 Год назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Utukufu ni wako Yahwe

  • @jemimahaloyce4740
    @jemimahaloyce4740 Год назад

    Watamwimbia Bwana kwa Roho na kweli ndio hii.

  • @gloryswai2740
    @gloryswai2740 6 лет назад +4

    Mbarikiwe sana

  • @danielkenani7667
    @danielkenani7667 3 года назад +2

    Be blessed bro Jo

  • @JaphalSpilia
    @JaphalSpilia Год назад

    Nabarikiwa sana Ongela sana kaka

  • @ZakariaKasambo
    @ZakariaKasambo 11 месяцев назад

    Amina

  • @braynenoc1911
    @braynenoc1911 2 года назад

    daaa wimbo unaniludiaha Kwa bwana uuu kanan

  • @lizzynkifu4179
    @lizzynkifu4179 6 лет назад +5

    Mungu mzuri

  • @dorotheagabriel7677
    @dorotheagabriel7677 3 месяца назад

    HAKIKA MUNGU NI MWEMA SANA

  • @MarthaAlly-y7s
    @MarthaAlly-y7s 10 месяцев назад

    Nakupenda sana kaka Joshua

  • @chrisnambahu7342
    @chrisnambahu7342 Год назад

    I love the song very much Mr kaskas

  • @aidaraphael1956
    @aidaraphael1956 Год назад

    Haleeluuya aaaa,barikiwa