Tunda Man- Simba New Version

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Tunda Man- Simba New Version

Комментарии • 189

  • @shitindisiza453
    @shitindisiza453 5 лет назад +70

    Safi sana Captain wimbo mzuri sanaaa,,,Tunaomba utungwe mwingine kama wimbo wa timu utakaoimbwa na mashabiki wote uwanjani,,pia usitaje majina ya wachezaji ili wimbo uishi miaka mingi zaidi na zaidi!!!,,,Mungu azidi kukubariki mkuu!!!

    • @selle2552
      @selle2552 5 лет назад +1

      Fact bro

    • @mussaabobakar7537
      @mussaabobakar7537 4 года назад +1

      Kwel majina hayafai mana wachezaji wanahama baadae wanakuwa wanahamia mara yanga ngogo fc

    • @sheikhsharifmaduatz2871
      @sheikhsharifmaduatz2871 4 года назад +1

      Hapo ana uwezo wa kuediti hayo majina yakakatwa ikabaki beat na hivyo vipande vingime

    • @sheikhsharifmaduatz2871
      @sheikhsharifmaduatz2871 4 года назад +1

      @@MponjoliEmmanuelSamuelMw-tx9sf naona hakuna ugumu hapo ata editi Basi nyimbo utakuwa saaaawa

    • @tktv8617
      @tktv8617 3 года назад

      Kwelìi injiniia haji manara sasa ni mwananchi

  • @reyjosee9390
    @reyjosee9390 5 лет назад +24

    wasanii wote mashabiki na wapenzi wa Simba waungane kutunga wimbo official wa SSC--- mfn Glory man united

  • @hezronsamwel3197
    @hezronsamwel3197 5 лет назад +42

    Ipo siku mashabiki wote Tanzania wataishabikia simba #simba nguvu moja

  • @lukunielisha96
    @lukunielisha96 Год назад +2

    Duuuuh. Huu wimbo vibes kama zoteeeeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥. Urudiwe na kutoa mistari ambayo ilishapitwa na wakati

  • @frenkphillemon9044
    @frenkphillemon9044 5 лет назад +97

    chama cha wasoma comment twende na like kwa 2nda man injinia manara isome hiyooooo

    • @joshuaowen6822
      @joshuaowen6822 3 года назад

      you probably dont give a shit but if you guys are stoned like me atm you can watch all of the latest movies and series on InstaFlixxer. Have been watching with my gf during the lockdown xD

    • @oakleyjensen6172
      @oakleyjensen6172 3 года назад

      @Joshua Owen yup, been watching on InstaFlixxer for since december myself :D

  • @sixtusndagire6234
    @sixtusndagire6234 5 лет назад +10

    Big up.....brother be blessed. Simba nguvu moja. Simbaaaaaaa

    • @vickysimon3261
      @vickysimon3261 5 лет назад

      jamani mm simba damu. wimbo upo vizur naipenda San simb

  • @joshuaoguna3391
    @joshuaoguna3391 5 лет назад +25

    mimi mwenyewe nakubali kwamba simba nihatari tunda.

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 5 лет назад +21

    Nakupongeza sana Tundaman kwa wimbo bora na mzuri. Naomba uongozi wa simba kupitia kwa mkuu wa kitengo cha habari wa klabu yetu pendwa ya simba sc kuchukua wimbo na kuongea nawe kuufanyia nyongeza ya maboresho ili uwe wimbo wa klabu yetu.
    Mungu atubariki sie wana msimbazi na Mungu akubariki Tundaman. Mchango wako utakumbukwa klabuni na nchi nzima.
    Ni wazo langu na wana simba wengine pia

  • @ramamambo4082
    @ramamambo4082 5 лет назад +170

    Kama umependa namna wimbo unavyoanza na lile biti kali nifate na like zote apaa

  • @everjames4791
    @everjames4791 5 лет назад +20

    Nimeipnda sana yani nairudia kila dakika kuisikiliza safi kiongzi

  • @patrickmakoye4054
    @patrickmakoye4054 5 лет назад +31

    Oyooooooo wa Kwanza kucoment

    • @TundaMan
      @TundaMan  5 лет назад +1

      We noma nimekuona captain

  • @musamgavilwa8685
    @musamgavilwa8685 5 лет назад +16

    amsha hongrraaaa fahari kwetu wana simba ...Allah akutangulie

  • @limbumboyi1233
    @limbumboyi1233 5 лет назад +60

    Kama wewe ni mwanasimba kama mimi gonga like kwa tundaman

  • @khadijaymohammed4002
    @khadijaymohammed4002 5 лет назад +43

    Injinia haji manaraa somaaaaa hiyooooo

  • @MakaloHamisi-pf4tn
    @MakaloHamisi-pf4tn Год назад +1

    I'm from Kenya 🇰🇪 I don't take part in either of the teams (Msimbazi and Yanga) but I advise you guys to appreciate the opposition from each other for opposition makes one to improve on their weaknesses. LOVE YOU GUYS. KEEP THE GAME ON♡

  • @babaifrah1532
    @babaifrah1532 5 лет назад +3

    Tuna asante Sana kwa nyimbo unatukosha mashabiki sasa tunakupa jukumu kutunga nyimbo ya timu pale inapo kuwa uwanjani tunakuwa tunaimba wote uwanja wote popote iendapo timu pia usitaje majina ya wachezaji ili uwe wimbo Wa timu pia uangalie vitu vizuri vya kuiremba nyimbo hiyo tafadhari Kaka fanya ivyo

  • @iamclvzoya3313
    @iamclvzoya3313 5 лет назад +49

    Ifike wakati huu wimbo uuboreshe kwa kuufanya uishi. Usitaje majina ya wachezaji ila utaje vtu vinavyoiunda simba sifa za timu na utamadun wa timu ili huu wimbo uanze kutumika kama wimbo rasm wa timu..rekebisha wimbo broo wachezaj wanakj na kuondoka.. Kaz nzuri

    • @TundaMan
      @TundaMan  5 лет назад +13

      Sawa boss nimekuelewa sawa respect kwako

    • @kelvinmatita1516
      @kelvinmatita1516 5 лет назад

      Iamclv zoya kwel kabisa

    • @andreatwite9930
      @andreatwite9930 5 лет назад +1

      Naunga mkono hoja

    • @andreatwite9930
      @andreatwite9930 5 лет назад +2

      @@TundaMan hiyo itakuwa bora zaidi

    • @allyissa2000
      @allyissa2000 5 лет назад +1

      @@TundaMan brother kwanza hongera kwa remix nzuri ambayo imetoka wakati muafaka kabisa.
      Kama wengi walivyotangulia kupendekeza na mimi nasisitiza kukuomba utoe remix ya tatu ambayo itakuwa haina majina ya wachezaji.
      Pia ningependekeza kipande cha "WANAONA HAYA WAMEFANYWA VIBAYA" kiwe kibwagizo (KIITIKIO) hivyo ukirudie zaidi ya mara tatu katika hiyo remix ya tatu.
      Tafadhali tunakuomba uendelee kutupa furaha Sisi washabiki wa Simba sports.

  • @msyanituntufye3441
    @msyanituntufye3441 5 лет назад +12

    Hili chama linanipa wazimu yaani huwa nalikubali sana na huu wimbo ndo kabisa ila mzee baba tengeneza wimbo mwingine usitaje wachezaji ila utaje mambo mazuri yanayotuunganisha wanamsimbazi wote big up sana brother

  • @martha284
    @martha284 Месяц назад +3

    Kama Tunda unaona hii comment pls rudia huu wimbo weka wachezaji wapya....

    • @MwanaharusiShafii
      @MwanaharusiShafii 14 дней назад

      kwl bhn afany hv wimb mkali sana huu🫡🫡pamoj sana🔥🤤

  • @glorycharles1382
    @glorycharles1382 5 лет назад +2

    Jamani huu wimbo uliimba bana yaani nausikilizaga kwa siku mara mia ila sihuchoki hatare saana na hongera tundamani💥💥❤❤😍😘💯💯

  • @aminasamaki5355
    @aminasamaki5355 5 лет назад +6

    umetisha sana captain

  • @tizzomsafi4577
    @tizzomsafi4577 5 лет назад +3

    Ooooyyoooo bonge nyimbo show love tundq kazi zuli

  • @allymohammed7708
    @allymohammed7708 3 года назад +2

    Wangapi tumekuja kuisikiliza baada Mnyama kumfunga utopolo ktk Azam federation cup 25th July 2021

  • @patrickmakoye4054
    @patrickmakoye4054 5 лет назад +12

    Achia videos mzeeee

  • @RioIpo
    @RioIpo 4 года назад +2

    Jamanii naipenda Simba Sc mie

  • @AncoePrisha
    @AncoePrisha Год назад +1

    Unyamaaaaa sana 😁😁😁😁

  • @maumnazareti3954
    @maumnazareti3954 Год назад +1

    Mi sio simba ila hii nyimbo naipenda aseee

  • @reyjosee9390
    @reyjosee9390 5 лет назад +22

    #Mwamba wa Lusaka,*3 Chamaaa @Tuloskia huo mstari mikono juuuuu

  • @michaelchaima9684
    @michaelchaima9684 5 лет назад +1

    Huu wimbo unaniamsha mzukaaaa sanaaaa nkiwa nauckia na kpondo tunacho endelea kutoa hiki bac acha kabsa,YES WE CAN

  • @DavidMbwambo-tc4bf
    @DavidMbwambo-tc4bf Год назад

    Nakubali sana Simba mshabiki wa damu mie taifa kubwa simba🎉🎉

  • @joackimmbonde4125
    @joackimmbonde4125 5 лет назад

    Aiseee mesen selekta popote ulipo ..🙌🙌 ilo gitaa ulilipiga haswaaa jamaaa

  • @mackdonardbaharia5699
    @mackdonardbaharia5699 5 лет назад +4

    Kaliii captain 👊

  • @everlastthebad4441
    @everlastthebad4441 5 лет назад +2

    Yeaaaaah chama la waanaaaaa

  • @LuckyLucky-iu2ho
    @LuckyLucky-iu2ho 5 лет назад

    Naipenda sana SIMBA asante sana Tunda for the best and nice song

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 5 лет назад +17

    Ushabiki wa Timu za Tanzania ni wa ajabu sana. Ingekuwa vyema tukaacha tabia ya kutukanana.
    Msikilizeni muimbaji kaanza vipi na wimbo wake.
    Any way kila heri Simba.

  • @sweetaromakitchen8194
    @sweetaromakitchen8194 4 года назад

    Naipenda simba shabiki wa damu..piga kelele kwa simba akeee weuweeee

  • @ngassadundo3863
    @ngassadundo3863 5 лет назад +2

    noma sana bonge la song twende sawa

  • @aminaibrahim2227
    @aminaibrahim2227 5 лет назад +1

    well done 2nda man 4ur good song due to simba

  • @jumamangombe6493
    @jumamangombe6493 Год назад

    Tafadhali naomba huu wimbo urekebishwe kwa kuondoa majina ya viongozi na wachezaji. Naamini huu ndo wimbo bora wa wakati kwa simba.

  • @shigangamussa2967
    @shigangamussa2967 4 года назад +2

    NANI YUKO HAPA LEO WAZEE WANGU WA MNYAMA MKALIIIIII LIKE TUJUANE AISEEEE

  • @saidomar6806
    @saidomar6806 3 года назад

    Safi sn simba mnyama mkali wa mapori yote dunian hongera kw mashabik wote kw ubigwa wakihalali kabisa japo faul za utopolo zilikuwa nyingi ktk hii final... ⚽🦁👊

  • @franckphocas8136
    @franckphocas8136 5 лет назад +6

    Safi sana tundamani

  • @rojasaudax676
    @rojasaudax676 3 года назад

    Wanao ipenda Simba wote mikono juuuuuu!!!!

  • @issahasani9574
    @issahasani9574 5 лет назад +3

    hatari sana tunda man simba nimeikubali

  • @khadijamataka7680
    @khadijamataka7680 2 года назад

    Nakupenda sana tuna Kwa pigo zako tu

  • @MMB-kb7kd
    @MMB-kb7kd 2 года назад

    Manara inakuchoma sana hiyo nyimbo

  • @sashah_ace8598
    @sashah_ace8598 4 года назад +1

    Am from china i dont understand thia language but hii nyimbo nikali sana inaamsha hisia kudadeki kila nkiwa na icheza najiona kama niko uwanjani hii simba ingekuwa tu team ya taifa hahahhaha😂😂😂😂😂

    • @TundaMan
      @TundaMan  4 года назад +1

      Sasha Gwao haaaaaaaaaaaaaa

  • @dechaggagirl1614
    @dechaggagirl1614 4 года назад

    Mi naipenda simba🔥🔥🔥💃💃💃

  • @abdulyshomvi3148
    @abdulyshomvi3148 5 лет назад +1

    Im me cjutii kuipenda simba hatareeeee

  • @dismashaule1631
    @dismashaule1631 5 лет назад +6

    pamoja sna kamanda,ila fanyeni wimbo mwngne uwe kma wimbo rasmi wa simba usiwe na majina ya wachezaji ila ue kivyake na simba yake

  • @faustineilembile9168
    @faustineilembile9168 5 лет назад +5

    Like kwa tundaman kauaaaaaa

    • @masukesasa7785
      @masukesasa7785 5 лет назад +1

      Taifa kubwa simba shabalala na simba hatari sanaaaa

  • @janatselemani
    @janatselemani Год назад

    Leo 30/12/2022 nakusikiliza ngoma hii kwa furaha sana Simba 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘

  • @antonymsinga3521
    @antonymsinga3521 5 лет назад

    Kwel nimekubal chama cha simba....Ega ufee.....this is simba

  • @hassanipuntina3149
    @hassanipuntina3149 5 лет назад +2

    Wimbo mzuri sana

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 5 лет назад

    Tunda we unajua, woyoooo

  • @gabrielfanuel7539
    @gabrielfanuel7539 2 года назад

    I love simba sports club chama languuuu +255....👆

  • @alexjeremia7686
    @alexjeremia7686 5 лет назад +1

    Umeuwa 🙌

  • @mirajikinuke9849
    @mirajikinuke9849 5 лет назад +1

    Mikono juu kwa SIMBA

  • @deuselizeo9694
    @deuselizeo9694 5 лет назад +2

    Kizazi Sana tunda.

  • @josephsererya9218
    @josephsererya9218 5 лет назад +1

    Oyooo safiii tunda

    • @peterkivike5944
      @peterkivike5944 5 лет назад

      joseph sererya
      iv we tunda nkupe nn maana kila nkiusikya wmbo wako nakuwa na aman sana najiona npo na wew

  • @sleimanhemed6109
    @sleimanhemed6109 5 лет назад +1

    aiseeeee wee noma kaka

    • @jumajuma7727
      @jumajuma7727 5 лет назад

      Waambie waelewe kaka maana wanajifanya wagumu kuelewa hao
      Hii ndio simba kaka

  • @kabilamalasy9964
    @kabilamalasy9964 4 года назад

    Uliekuja huku baada ya wimbo Wa diamond Simba gonga like

  • @JohnKombo-n6q
    @JohnKombo-n6q Год назад

    Naipendasimba,kulikougali

  • @asyahsuntah1008
    @asyahsuntah1008 3 года назад

    Nachoshukuru wasanii wote ninaowapenda simbaaa

  • @chazzyclassicboy
    @chazzyclassicboy 3 месяца назад

    Kati ya nyimbo ya simba uliyo ua iyo namba 1 nasikiliza ingawa niyanga

  • @ibrahimmajan2052
    @ibrahimmajan2052 4 года назад +2

    Wangapi wamerudi Leo baada kuwapiga yanga 4_1

  • @nasramgeni9119
    @nasramgeni9119 2 года назад

    Nice song,naipend San hii timu jamn

  • @yasserarafat2774
    @yasserarafat2774 5 лет назад

    Tunda umezingua kidog 2 stering okwi umemuachaaaa

  • @nyambulilazaro2740
    @nyambulilazaro2740 4 года назад +3

    Me yanga ila imenoga hii ngoma

  • @NyanzalaKulwa-kl5pc
    @NyanzalaKulwa-kl5pc Год назад

    Good song🥰 congratulations

  • @makikomagongojr
    @makikomagongojr 3 года назад

    Nyimbo kali sana 🔥

  • @lindatesha5487
    @lindatesha5487 Год назад

    I love you simba

  • @abdulishaban6573
    @abdulishaban6573 3 года назад

    Leo tarehe 3 _ 7_2021
    Kariakoo derby pigaaaaaaa keleeeeeeeee

  • @mupapaokiula7722
    @mupapaokiula7722 5 лет назад +3

    wajomba alitowa wakati wachezaji walipokuwa wanataburishwa kwhyo ilibidituu atajemajina

  • @salimissah2086
    @salimissah2086 5 лет назад +9

    OKwi anakosaje

  • @jasmininasabi495
    @jasmininasabi495 5 лет назад +3

    Safiii kk

  • @celinabujiku5449
    @celinabujiku5449 3 года назад

    Nyie jmn sijui mtaimba nn tem hii

  • @kareemmkamba3590
    @kareemmkamba3590 5 лет назад +1

    Bora hii ndo iwe official song ya club kuliko huu uchafu mliotoa leo ni aibu kubwa

  • @aishasaleh291
    @aishasaleh291 5 лет назад +1

    Simba 😀😀🙌🙌

  • @obedmwakalonge1372
    @obedmwakalonge1372 3 года назад

    Huu ndo uwe official Song... Waondoe tu majina ya hao wachezaji Ili usipitwe na wakati... Ila ni Goma zuri sana na linachezeka

  • @zenajuma64
    @zenajuma64 2 года назад

    Tundaman mzik mpya

  • @salumjuma6408
    @salumjuma6408 2 года назад

    Vr good simba

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 5 лет назад +3

    Safi sn bonge la song achana ule alowataja wale wa chura

  • @MMB-kb7kd
    @MMB-kb7kd 2 года назад

    Safi sana

  • @NyanzalaKulwa-kl5pc
    @NyanzalaKulwa-kl5pc Год назад

    Good 👍

  • @benedictkapama2234
    @benedictkapama2234 5 лет назад +5

    inabidi irekebishwe coz majina ya wachezaji kwenye nyimbo ya club hawatakiwi leo wapo na kesho wako kwingine au atakua na kazi ya kurekodi na kubadilisha kila msimu nashauri kusiwepo majina tuiimbie club yetu na kuisifia yenyewe wachezaji ni wafanyakazi tu kesho watakua kwingine

  • @mosesisaya6543
    @mosesisaya6543 5 лет назад +4

    Nishida simbasc

  • @marthamaduhu1028
    @marthamaduhu1028 4 года назад

    Noumaaaa

  • @mariajulius943
    @mariajulius943 4 года назад

    Oyooooooooooh Simba Simba

  • @hassanmagoro4027
    @hassanmagoro4027 2 года назад

    Wangu mbna unaimba kama unakivua

  • @zulehaaliy5403
    @zulehaaliy5403 5 лет назад +1

    una tixha tunda sio poa bb

  • @AncoePrisha
    @AncoePrisha Год назад

    Tajir chui fire

  • @imasmimasam2945
    @imasmimasam2945 3 года назад

    Kweli mwana

  • @jamesdenis9698
    @jamesdenis9698 5 лет назад +2

    this is simba

  • @chorakimata7459
    @chorakimata7459 5 лет назад

    Hii iko vzr

  • @hawahashim8241
    @hawahashim8241 4 года назад

    Chama lawajanja simbaaaaaaa

  • @RioIpo
    @RioIpo Год назад

    Tumerudi wenye simba yetu

  • @abdalahhamdani1843
    @abdalahhamdani1843 5 лет назад +2

    Oyooooooooooooooo

  • @rwechungulareonald8422
    @rwechungulareonald8422 4 года назад

    Oyoooo piga kelele

  • @ismailwaryoba1671
    @ismailwaryoba1671 Год назад

    Tuliorud baada ya kumpiga widad 1-0 gonga like😅