Safi sana Captain wimbo mzuri sanaaa,,,Tunaomba utungwe mwingine kama wimbo wa timu utakaoimbwa na mashabiki wote uwanjani,,pia usitaje majina ya wachezaji ili wimbo uishi miaka mingi zaidi na zaidi!!!,,,Mungu azidi kukubariki mkuu!!!
you probably dont give a shit but if you guys are stoned like me atm you can watch all of the latest movies and series on InstaFlixxer. Have been watching with my gf during the lockdown xD
Nakupongeza sana Tundaman kwa wimbo bora na mzuri. Naomba uongozi wa simba kupitia kwa mkuu wa kitengo cha habari wa klabu yetu pendwa ya simba sc kuchukua wimbo na kuongea nawe kuufanyia nyongeza ya maboresho ili uwe wimbo wa klabu yetu. Mungu atubariki sie wana msimbazi na Mungu akubariki Tundaman. Mchango wako utakumbukwa klabuni na nchi nzima. Ni wazo langu na wana simba wengine pia
I'm from Kenya 🇰🇪 I don't take part in either of the teams (Msimbazi and Yanga) but I advise you guys to appreciate the opposition from each other for opposition makes one to improve on their weaknesses. LOVE YOU GUYS. KEEP THE GAME ON♡
Tuna asante Sana kwa nyimbo unatukosha mashabiki sasa tunakupa jukumu kutunga nyimbo ya timu pale inapo kuwa uwanjani tunakuwa tunaimba wote uwanja wote popote iendapo timu pia usitaje majina ya wachezaji ili uwe wimbo Wa timu pia uangalie vitu vizuri vya kuiremba nyimbo hiyo tafadhari Kaka fanya ivyo
Ifike wakati huu wimbo uuboreshe kwa kuufanya uishi. Usitaje majina ya wachezaji ila utaje vtu vinavyoiunda simba sifa za timu na utamadun wa timu ili huu wimbo uanze kutumika kama wimbo rasm wa timu..rekebisha wimbo broo wachezaj wanakj na kuondoka.. Kaz nzuri
@@TundaMan brother kwanza hongera kwa remix nzuri ambayo imetoka wakati muafaka kabisa. Kama wengi walivyotangulia kupendekeza na mimi nasisitiza kukuomba utoe remix ya tatu ambayo itakuwa haina majina ya wachezaji. Pia ningependekeza kipande cha "WANAONA HAYA WAMEFANYWA VIBAYA" kiwe kibwagizo (KIITIKIO) hivyo ukirudie zaidi ya mara tatu katika hiyo remix ya tatu. Tafadhali tunakuomba uendelee kutupa furaha Sisi washabiki wa Simba sports.
Hili chama linanipa wazimu yaani huwa nalikubali sana na huu wimbo ndo kabisa ila mzee baba tengeneza wimbo mwingine usitaje wachezaji ila utaje mambo mazuri yanayotuunganisha wanamsimbazi wote big up sana brother
Ushabiki wa Timu za Tanzania ni wa ajabu sana. Ingekuwa vyema tukaacha tabia ya kutukanana. Msikilizeni muimbaji kaanza vipi na wimbo wake. Any way kila heri Simba.
Safi sn simba mnyama mkali wa mapori yote dunian hongera kw mashabik wote kw ubigwa wakihalali kabisa japo faul za utopolo zilikuwa nyingi ktk hii final... ⚽🦁👊
Am from china i dont understand thia language but hii nyimbo nikali sana inaamsha hisia kudadeki kila nkiwa na icheza najiona kama niko uwanjani hii simba ingekuwa tu team ya taifa hahahhaha😂😂😂😂😂
inabidi irekebishwe coz majina ya wachezaji kwenye nyimbo ya club hawatakiwi leo wapo na kesho wako kwingine au atakua na kazi ya kurekodi na kubadilisha kila msimu nashauri kusiwepo majina tuiimbie club yetu na kuisifia yenyewe wachezaji ni wafanyakazi tu kesho watakua kwingine
Safi sana Captain wimbo mzuri sanaaa,,,Tunaomba utungwe mwingine kama wimbo wa timu utakaoimbwa na mashabiki wote uwanjani,,pia usitaje majina ya wachezaji ili wimbo uishi miaka mingi zaidi na zaidi!!!,,,Mungu azidi kukubariki mkuu!!!
Fact bro
Kwel majina hayafai mana wachezaji wanahama baadae wanakuwa wanahamia mara yanga ngogo fc
Hapo ana uwezo wa kuediti hayo majina yakakatwa ikabaki beat na hivyo vipande vingime
@@MponjoliEmmanuelSamuelMw-tx9sf naona hakuna ugumu hapo ata editi Basi nyimbo utakuwa saaaawa
Kwelìi injiniia haji manara sasa ni mwananchi
wasanii wote mashabiki na wapenzi wa Simba waungane kutunga wimbo official wa SSC--- mfn Glory man united
Ipo siku mashabiki wote Tanzania wataishabikia simba #simba nguvu moja
Sanaaa
Kweli
Duuuuh. Huu wimbo vibes kama zoteeeeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥. Urudiwe na kutoa mistari ambayo ilishapitwa na wakati
chama cha wasoma comment twende na like kwa 2nda man injinia manara isome hiyooooo
you probably dont give a shit but if you guys are stoned like me atm you can watch all of the latest movies and series on InstaFlixxer. Have been watching with my gf during the lockdown xD
@Joshua Owen yup, been watching on InstaFlixxer for since december myself :D
Big up.....brother be blessed. Simba nguvu moja. Simbaaaaaaa
jamani mm simba damu. wimbo upo vizur naipenda San simb
mimi mwenyewe nakubali kwamba simba nihatari tunda.
Nakupongeza sana Tundaman kwa wimbo bora na mzuri. Naomba uongozi wa simba kupitia kwa mkuu wa kitengo cha habari wa klabu yetu pendwa ya simba sc kuchukua wimbo na kuongea nawe kuufanyia nyongeza ya maboresho ili uwe wimbo wa klabu yetu.
Mungu atubariki sie wana msimbazi na Mungu akubariki Tundaman. Mchango wako utakumbukwa klabuni na nchi nzima.
Ni wazo langu na wana simba wengine pia
Kama umependa namna wimbo unavyoanza na lile biti kali nifate na like zote apaa
Rama Mambo
Sio poa
Nimeipnda sana yani nairudia kila dakika kuisikiliza safi kiongzi
Mwamba Lusaka hapo patamu 😁😁
Oyooooooo wa Kwanza kucoment
We noma nimekuona captain
amsha hongrraaaa fahari kwetu wana simba ...Allah akutangulie
Kama wewe ni mwanasimba kama mimi gonga like kwa tundaman
Injinia haji manaraa somaaaaa hiyooooo
Khadijay Mohammed hi
JUMA BAKARI hello
Khadijay Mohammed da poa sana mm nipo dar
I'm from Kenya 🇰🇪 I don't take part in either of the teams (Msimbazi and Yanga) but I advise you guys to appreciate the opposition from each other for opposition makes one to improve on their weaknesses. LOVE YOU GUYS. KEEP THE GAME ON♡
Tuna asante Sana kwa nyimbo unatukosha mashabiki sasa tunakupa jukumu kutunga nyimbo ya timu pale inapo kuwa uwanjani tunakuwa tunaimba wote uwanja wote popote iendapo timu pia usitaje majina ya wachezaji ili uwe wimbo Wa timu pia uangalie vitu vizuri vya kuiremba nyimbo hiyo tafadhari Kaka fanya ivyo
Ifike wakati huu wimbo uuboreshe kwa kuufanya uishi. Usitaje majina ya wachezaji ila utaje vtu vinavyoiunda simba sifa za timu na utamadun wa timu ili huu wimbo uanze kutumika kama wimbo rasm wa timu..rekebisha wimbo broo wachezaj wanakj na kuondoka.. Kaz nzuri
Sawa boss nimekuelewa sawa respect kwako
Iamclv zoya kwel kabisa
Naunga mkono hoja
@@TundaMan hiyo itakuwa bora zaidi
@@TundaMan brother kwanza hongera kwa remix nzuri ambayo imetoka wakati muafaka kabisa.
Kama wengi walivyotangulia kupendekeza na mimi nasisitiza kukuomba utoe remix ya tatu ambayo itakuwa haina majina ya wachezaji.
Pia ningependekeza kipande cha "WANAONA HAYA WAMEFANYWA VIBAYA" kiwe kibwagizo (KIITIKIO) hivyo ukirudie zaidi ya mara tatu katika hiyo remix ya tatu.
Tafadhali tunakuomba uendelee kutupa furaha Sisi washabiki wa Simba sports.
Hili chama linanipa wazimu yaani huwa nalikubali sana na huu wimbo ndo kabisa ila mzee baba tengeneza wimbo mwingine usitaje wachezaji ila utaje mambo mazuri yanayotuunganisha wanamsimbazi wote big up sana brother
uliliona hili mapema kaka
Kama Tunda unaona hii comment pls rudia huu wimbo weka wachezaji wapya....
kwl bhn afany hv wimb mkali sana huu🫡🫡pamoj sana🔥🤤
Jamani huu wimbo uliimba bana yaani nausikilizaga kwa siku mara mia ila sihuchoki hatare saana na hongera tundamani💥💥❤❤😍😘💯💯
umetisha sana captain
Ooooyyoooo bonge nyimbo show love tundq kazi zuli
Wangapi tumekuja kuisikiliza baada Mnyama kumfunga utopolo ktk Azam federation cup 25th July 2021
Achia videos mzeeee
Jamanii naipenda Simba Sc mie
Unyamaaaaa sana 😁😁😁😁
Mi sio simba ila hii nyimbo naipenda aseee
#Mwamba wa Lusaka,*3 Chamaaa @Tuloskia huo mstari mikono juuuuu
Rey Josee mikono juu mwendo wa msimbaz
Huu wimbo unaniamsha mzukaaaa sanaaaa nkiwa nauckia na kpondo tunacho endelea kutoa hiki bac acha kabsa,YES WE CAN
Nakubali sana Simba mshabiki wa damu mie taifa kubwa simba🎉🎉
Aiseee mesen selekta popote ulipo ..🙌🙌 ilo gitaa ulilipiga haswaaa jamaaa
Kaliii captain 👊
Yeaaaaah chama la waanaaaaa
Naipenda sana SIMBA asante sana Tunda for the best and nice song
Ushabiki wa Timu za Tanzania ni wa ajabu sana. Ingekuwa vyema tukaacha tabia ya kutukanana.
Msikilizeni muimbaji kaanza vipi na wimbo wake.
Any way kila heri Simba.
Naipenda simba shabiki wa damu..piga kelele kwa simba akeee weuweeee
noma sana bonge la song twende sawa
well done 2nda man 4ur good song due to simba
Tafadhali naomba huu wimbo urekebishwe kwa kuondoa majina ya viongozi na wachezaji. Naamini huu ndo wimbo bora wa wakati kwa simba.
NANI YUKO HAPA LEO WAZEE WANGU WA MNYAMA MKALIIIIII LIKE TUJUANE AISEEEE
Safi sn simba mnyama mkali wa mapori yote dunian hongera kw mashabik wote kw ubigwa wakihalali kabisa japo faul za utopolo zilikuwa nyingi ktk hii final... ⚽🦁👊
Safi sana tundamani
Wanao ipenda Simba wote mikono juuuuuu!!!!
hatari sana tunda man simba nimeikubali
Nakupenda sana tuna Kwa pigo zako tu
Manara inakuchoma sana hiyo nyimbo
Am from china i dont understand thia language but hii nyimbo nikali sana inaamsha hisia kudadeki kila nkiwa na icheza najiona kama niko uwanjani hii simba ingekuwa tu team ya taifa hahahhaha😂😂😂😂😂
Sasha Gwao haaaaaaaaaaaaaa
Mi naipenda simba🔥🔥🔥💃💃💃
Im me cjutii kuipenda simba hatareeeee
pamoja sna kamanda,ila fanyeni wimbo mwngne uwe kma wimbo rasmi wa simba usiwe na majina ya wachezaji ila ue kivyake na simba yake
Like kwa tundaman kauaaaaaa
Taifa kubwa simba shabalala na simba hatari sanaaaa
Leo 30/12/2022 nakusikiliza ngoma hii kwa furaha sana Simba 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Kwel nimekubal chama cha simba....Ega ufee.....this is simba
Wimbo mzuri sana
Tunda we unajua, woyoooo
I love simba sports club chama languuuu +255....👆
Umeuwa 🙌
Mikono juu kwa SIMBA
Kizazi Sana tunda.
Oyooo safiii tunda
joseph sererya
iv we tunda nkupe nn maana kila nkiusikya wmbo wako nakuwa na aman sana najiona npo na wew
aiseeeee wee noma kaka
Waambie waelewe kaka maana wanajifanya wagumu kuelewa hao
Hii ndio simba kaka
Uliekuja huku baada ya wimbo Wa diamond Simba gonga like
Naipendasimba,kulikougali
Nachoshukuru wasanii wote ninaowapenda simbaaa
Kati ya nyimbo ya simba uliyo ua iyo namba 1 nasikiliza ingawa niyanga
Wangapi wamerudi Leo baada kuwapiga yanga 4_1
Nice song,naipend San hii timu jamn
Tunda umezingua kidog 2 stering okwi umemuachaaaa
Me yanga ila imenoga hii ngoma
Good song🥰 congratulations
Nyimbo kali sana 🔥
I love you simba
Leo tarehe 3 _ 7_2021
Kariakoo derby pigaaaaaaa keleeeeeeeee
wajomba alitowa wakati wachezaji walipokuwa wanataburishwa kwhyo ilibidituu atajemajina
OKwi anakosaje
Okwi anaondoka Simba😁
Safiii kk
Nyie jmn sijui mtaimba nn tem hii
Bora hii ndo iwe official song ya club kuliko huu uchafu mliotoa leo ni aibu kubwa
Simba 😀😀🙌🙌
Huu ndo uwe official Song... Waondoe tu majina ya hao wachezaji Ili usipitwe na wakati... Ila ni Goma zuri sana na linachezeka
Tundaman mzik mpya
Vr good simba
Safi sn bonge la song achana ule alowataja wale wa chura
Safi sana
Good 👍
inabidi irekebishwe coz majina ya wachezaji kwenye nyimbo ya club hawatakiwi leo wapo na kesho wako kwingine au atakua na kazi ya kurekodi na kubadilisha kila msimu nashauri kusiwepo majina tuiimbie club yetu na kuisifia yenyewe wachezaji ni wafanyakazi tu kesho watakua kwingine
Nishida simbasc
Noumaaaa
Oyooooooooooh Simba Simba
Wangu mbna unaimba kama unakivua
una tixha tunda sio poa bb
Tajir chui fire
Kweli mwana
this is simba
Hii iko vzr
Chama lawajanja simbaaaaaaa
Tumerudi wenye simba yetu
Oyooooooooooooooo
Oyoooo piga kelele
Tuliorud baada ya kumpiga widad 1-0 gonga like😅