Shukran sheikh darsa yenye makumbusho Muhimu sana Kwa Ummah. Allah akuhifathi tuzidi kuelimika akupe Afya nzuri na akulipe Pepo ya Firdausi soteni Jamil Islam . Amin
Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu Alhamdhulillah Allaahumma Salii wa saliim Ala Sayyidina Muhammad wala alihi wa Ass habihi wa Salaamu ♥️🥰 Allaahumma Amiin yaa rabbil Aalamiin 🤲🏾
Shekh mtufunguwe macho hasa hii arafa ni lini ,oman twaambiwa arafa jumapili ,hapo hapo waoman wameenda makka ila watasimma jumamos ,ssi tulioko huku twaambiwa arafa jumapili iddi jumatatu
Ni kweli tuko sawa ila wakati wa Ibada zetu ziko tafauti....kwa sababu wao kusimamisha Ibada zao wako mbele...Alfajiri Yao hatuwezi kuwa sawa na wao na Kuna baadhi ya nyakati tunatafautiana....kwa sababu wasomi wa falaki wakiislam wanatwambia nchi ambayo munapishana Dakika 30 au 45 usifate nyakati zao za Ibada ....kwa sababu Kuna wakati mutakuwa sawa na wakati mwengine mwatafautiana...
Shukran sheikh darsa yenye makumbusho Muhimu sana Kwa Ummah.
Allah akuhifathi tuzidi kuelimika akupe Afya nzuri na akulipe Pepo ya Firdausi soteni Jamil Islam
.
Amin
Allaahumma Amiin yaa rabbil Aalamiin ❤ na jaamia Muslimin yaa rabb
Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu
Alhamdhulillah
Allaahumma Salii wa saliim Ala Sayyidina Muhammad wala alihi wa Ass habihi wa Salaamu ♥️🥰
Allaahumma Amiin yaa rabbil Aalamiin 🤲🏾
جزاك الله خيرا يا شيخ
Nimependa Zaiyidi darsa zako
SubhanaAllah
Maa Shaa ALLAH 💚💚💚
Subhanna Allah
Shekh mtufunguwe macho hasa hii arafa ni lini ,oman twaambiwa arafa jumapili ,hapo hapo waoman wameenda makka ila watasimma jumamos ,ssi tulioko huku twaambiwa arafa jumapili iddi jumatatu
M nipo Qatar arafa ni Leo jumamosi ila fuata huko ndo sawa
@@Mohaa4309arafa tunafuata saudia watu wanaposimama sio nchi ulokuwepo
Sheikh hapo maneno yake yako wazi kabisaa..
Fwata tarehe ya mahali ulipo sio Saudia wala sehemu nyengine...
Omani wametangaza Eid hawajachangaza arafa
Omani wametangaza Eid hawajachangaza arafa
Arafa yenyewe mnazuia wafuas wenyu kupata thawab mnawachezea wafunge yaumul idd
ايهما افضل سدوم ولامو ننتظر الجواب من زعيم التكفيري لمسجد الشيبو
Asalam aleikum, nina swali mm niko Saudia na kima saa kenya na Saudia tuko sawa ila dakika chache tuu, sasa sisi kufunga wakisimama Arafa haifai?
Ws kama waishi saudia fwata muandamo wa huko..so long as ni tarehe 9 kwenu hiyo ni Siku ya Arafa..
Ni kweli tuko sawa ila wakati wa Ibada zetu ziko tafauti....kwa sababu wao kusimamisha Ibada zao wako mbele...Alfajiri Yao hatuwezi kuwa sawa na wao na Kuna baadhi ya nyakati tunatafautiana....kwa sababu wasomi wa falaki wakiislam wanatwambia nchi ambayo munapishana Dakika 30 au 45 usifate nyakati zao za Ibada ....kwa sababu Kuna wakati mutakuwa sawa na wakati mwengine mwatafautiana...
Kwa ufupi subiri wakati wako wa Ibada ufike na usimamishe ibada
arafa mmeikataa,?mkaichia ikapita waumini mkawakosesha fadhila kubwa!!
enyi masufi mcheni mlo wenu na muwe na uadilifu ktk fatawa za ibada!!