FADHLA ZA SIKU YA ARAFA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 21

  • @abdullahiiddi4109
    @abdullahiiddi4109 3 месяца назад +7

    Shukran sheikh darsa yenye makumbusho Muhimu sana Kwa Ummah.
    Allah akuhifathi tuzidi kuelimika akupe Afya nzuri na akulipe Pepo ya Firdausi soteni Jamil Islam
    .
    Amin

    • @rahmamohammed9678
      @rahmamohammed9678 3 месяца назад

      Allaahumma Amiin yaa rabbil Aalamiin ❤ na jaamia Muslimin yaa rabb

  • @rahmamohammed9678
    @rahmamohammed9678 3 месяца назад

    Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu
    Alhamdhulillah
    Allaahumma Salii wa saliim Ala Sayyidina Muhammad wala alihi wa Ass habihi wa Salaamu ♥️🥰
    Allaahumma Amiin yaa rabbil Aalamiin 🤲🏾

  • @challengepcn7982
    @challengepcn7982 3 месяца назад

    جزاك الله خيرا يا شيخ
    Nimependa Zaiyidi darsa zako

  • @halimamuketi6738
    @halimamuketi6738 3 месяца назад

    SubhanaAllah

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 3 месяца назад

    Maa Shaa ALLAH 💚💚💚

  • @NafisaAhmed-g9k
    @NafisaAhmed-g9k 3 месяца назад

    Subhanna Allah

  • @munaomar9532
    @munaomar9532 3 месяца назад +3

    Shekh mtufunguwe macho hasa hii arafa ni lini ,oman twaambiwa arafa jumapili ,hapo hapo waoman wameenda makka ila watasimma jumamos ,ssi tulioko huku twaambiwa arafa jumapili iddi jumatatu

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 3 месяца назад

      M nipo Qatar arafa ni Leo jumamosi ila fuata huko ndo sawa

    • @irhadiddi94
      @irhadiddi94 3 месяца назад

      @@Mohaa4309arafa tunafuata saudia watu wanaposimama sio nchi ulokuwepo

    • @khadijamohamad3915
      @khadijamohamad3915 3 месяца назад

      Sheikh hapo maneno yake yako wazi kabisaa..
      Fwata tarehe ya mahali ulipo sio Saudia wala sehemu nyengine...

    • @uiavajiwgav5441
      @uiavajiwgav5441 3 месяца назад

      Omani wametangaza Eid hawajachangaza arafa

    • @uiavajiwgav5441
      @uiavajiwgav5441 3 месяца назад

      Omani wametangaza Eid hawajachangaza arafa

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu2408 3 месяца назад

    Arafa yenyewe mnazuia wafuas wenyu kupata thawab mnawachezea wafunge yaumul idd

  • @hassanmohamedabdalla4108
    @hassanmohamedabdalla4108 3 месяца назад

    ايهما افضل سدوم ولامو ننتظر الجواب من زعيم التكفيري لمسجد الشيبو

  • @serahmohamed6513
    @serahmohamed6513 3 месяца назад

    Asalam aleikum, nina swali mm niko Saudia na kima saa kenya na Saudia tuko sawa ila dakika chache tuu, sasa sisi kufunga wakisimama Arafa haifai?

    • @khadijamohamad3915
      @khadijamohamad3915 3 месяца назад

      Ws kama waishi saudia fwata muandamo wa huko..so long as ni tarehe 9 kwenu hiyo ni Siku ya Arafa..

    • @muktarkassim6647
      @muktarkassim6647 3 месяца назад

      Ni kweli tuko sawa ila wakati wa Ibada zetu ziko tafauti....kwa sababu wao kusimamisha Ibada zao wako mbele...Alfajiri Yao hatuwezi kuwa sawa na wao na Kuna baadhi ya nyakati tunatafautiana....kwa sababu wasomi wa falaki wakiislam wanatwambia nchi ambayo munapishana Dakika 30 au 45 usifate nyakati zao za Ibada ....kwa sababu Kuna wakati mutakuwa sawa na wakati mwengine mwatafautiana...

    • @muktarkassim6647
      @muktarkassim6647 3 месяца назад

      Kwa ufupi subiri wakati wako wa Ibada ufike na usimamishe ibada

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 3 месяца назад

    arafa mmeikataa,?mkaichia ikapita waumini mkawakosesha fadhila kubwa!!
    enyi masufi mcheni mlo wenu na muwe na uadilifu ktk fatawa za ibada!!