TAFSIR SURAT AN-NAML. AYA YA 17; SISIMIZI NI MWALIM WA MWANADAM. SHEYKH; HASSAN AHMED
HTML-код
- Опубликовано: 25 июн 2023
- TAFADHALI
+ USISAHAU KUSUBSCRIBE
+ LIKE
+NA USHARE
+PIA WAWEZA CHANGIA KUPITIA LIPA NAMBA AIRTEL `1297069` TIGO `7638500`
+ AMA PIGA NO. +255 710 627 824
+Email; alhidayahcenter22@gmail.com
Tunakupenda sheikh wetu Allah akujaalie umri mrefu .
Marshall
Nakupenda kwa ajili ya Allah alonijaaliya kukujua kupitia RUclips, Alhamdullillah, mungu akupe umri sheikh wangu
MaashaAllah
Shukran sana sheikh wetu M.mungu azidi kukupa daraja ishaallah
ALLAH TABARAKAH WATAALLAH AKUHIFADHI SHEIKH WETU UZIDI KUTUELIMISHA, MAWAIDHA MENGI NILIYOSIKILIZA KUTOKA KWAKO DHUMUNI HASA NI TAWHEED NA MWENYE TAWHEED YA ALLAH TABARAKAH WATAALLAH AMEFAULU NA WALA HATAITAKA DUNIA KABISA HATA APEWE YOTE
Jazakallah sheikh
Jazaakallah khairan Sheikh!
Allah akuhifadhi wewe na waislam wote duniani hata Akhera.
Mashallah, Allah akujaze kila LA kheri
Mashallah
Anaa uhibuka
Mashallah,Allah akupe umri mrefu , akujaze kheri za Dunia na akhera.
Allahuma Aamyn kwa sote
Shukran
shukran sheikh
Tupende kuskilza mawaiza tuskilze nyimbo zilzkuwa hazina mana
""""Shukran """
Mashaallah tabarakaah
"""Sheikh wetu mungu akupe umri mrefu mawaiza mazuri sana ""
Kupenda kwajili ya ALLAH
@ naomba kujua siku za darsa online
Ok. Nyingi zina recordiwa mubashara ni mala chache sana ajili ya vifaa duni.
Mashallah Allah akujalie umri mrefu uzidi kutuelimisha inshaallah
Alhidayahonline sura hii tunaanza na aya ya 17? Au mimi ndio nimekosa mwanzo wake?
Naam alitafsir aya ya 17 na 18 pekee.
Nakupenda kwanjir yaAllah
@@niyorHamiss-yv4rm Allah akupende kama unavotupenda. Aamyn