Kuna jamaa mmoja wa Kicheche kacheza lamba lamba kama mwenyekiti anaendana sana na BUTUA wakikaa sceen moja wanaweza kufanya kitu kikubwa ❤ kiingereza cha BUTUA na kiingereza cha yule mtaalamu wanaweza kufanya kazi kubwa. Ni wataalamu wa kuongea kwa hisia na sirious ❤❤❤
Mwakatobe champion 🇨🇩 RDC nipe like zangu kama unamupenda mwakatobe
good mwakatobe wakomeshe wachaw❤❤❤
😂😂😂😂😂😂kiuno typing,,,,
V
uko vizur mkari
Mwakatobe kaka nakupenda sana naomba ata like yako moja tu
Jamani yani mmi nacheka tu,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂,sjui nicoment ,et,akachwiiiiiii,we noma san mwakatobe
Wamenibuaga kam zigo wamenitupa chini puu kam fuko la chaka nyonga inaumaa😂😂😂 penda san❤
😂😂😂😂😂
Mwakatob jamani nakupenda sana.we Zuchu tu kutoka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮Chapion
Kazi nzuri sana mwakatobe Nakukubali sana❤❤❤❤
Professor mwakatobe mganga wa taifa
Kazizuri sana mwakatobe sijachelewa sana mimi wa 29 naomba like ata 29
Good job mwakatobe 🎉🎉🎉❤❤
Wow kwa kweli mwakatobe wewe ni mwigizaji Bora duniani good work bro ❤kutoka kenya 🇰🇪
Mwaka Mwakatobe we ni gwiji sana Wa hizi Kazi Love from +257 hahahaha tumenengeneka na miuno ya uzazi
❤❤❤❤kazi mzuri sana Mwakatobe Mungu akuzidishie kipaji
Wa kwanza kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mwakatobe wewe n shujaa yaaani ujai shindwa na jambo much love from Kenya
Nakukubali san mwakatobe yani unanifurasha sana siyo kwakunichekesha eti umaraya tu kuoga aaa😂😂😂😂
Kazi nzuri sana mwakatobe naona muda so mrefu unafika mbali MUNGU AZIDI KUKUBARIKI
🎉
Napenda sana jamaa aitwae mwakatobe😂😂😂asante kwa kazi nzuri walahi nimeipenda sana movie zako🎉🎉🎉
Much love from 🇰🇪 next episode plz
Kuna jamaa mmoja wa Kicheche kacheza lamba lamba kama mwenyekiti anaendana sana na BUTUA wakikaa sceen moja wanaweza kufanya kitu kikubwa ❤ kiingereza cha BUTUA na kiingereza cha yule mtaalamu wanaweza kufanya kazi kubwa. Ni wataalamu wa kuongea kwa hisia na sirious ❤❤❤
Kweliiii🤙🤙🤙😊
@@Carlos_furaha umeona ee!
🤙🤙🤙
Ata ivyo mwalimu wao wa sanaa ni mmoja
@@DaCaty kweli?. Ni nani mwalimu wao?
Yn mwakatobe anajua sana daah Maua yako chkuwa🎉🎉🎉
Tunaomkubali Mwakatobe gonga like zakutosha hapa
wamiya leo toka RDC Congo FIZI BARAKA nipeni lik
Hongeren san Kwa kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂 ila mwakatobe jamani ety mwakachwiiiii ❤❤🎉 nakukubali sana
Kazi kazi mwakatobe mnyama 💪🏻🙏🙏💪🏻💪🏻
agacwiiiiiiiiiiii.... Bigap tope umetisha sana mwanangu unyama nimwingi ubunifu pia powa sana nawakubari Na Mwamba Vevo clam
Kazi nzur sana ila acha niendelee kusoma comment mana zinanifuraisha sana
Big up mwakatobe
Episode ninzuri sana nanitahifatilia mpaka mwisho❤❤
Shobo Ka mwiko aiyayaya uyu masta ni noma
Mwakatobe uyo dada anacoka msaidiye mbona uyu dada nimeona ameuwawa na maman yake na sengo bado hayi🇧🇮
Mwamba mwakatobee nipo apa shabiki lako Toka kahama nakuku Bali mwambaa
Waigizaji wa 🇹🇿tz woote wanaocheza muvi za mganga kwannavoona mimi hakuna kama mwakatobe ila ananiuzi kuchelewesha muvi.
Kuli kutanta mantekele Iyo Vip?😎
Anacheza movie nyingi snake boy na hii hivyo hawezi kutoa Kila wakati
Mwakatobe ni stima ya kuoteya mbali 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Haha ha ha unawaza ngono mda woteee bwegeeeeeeeeeee wee utawekwaaa utawekwa kwenye kundi la kina mariooo
Bravo mwakatobe ❤❤😂
Mambo ni moto huu mchozo ni mzuri sana ❤❤❤
Unachelewesha sana kipala ka kario😂
Good job mwakatobe
Wa mwisho leo ila mwakatobe nakupenda sana from kenya mombasa 🇰🇪
Iyo kumla nyama kila mda munaitaja inaondoa laza
Nakubali sengo bi migomba mnajua sana
mwakatone hatr sana😂😂😂😂
Kazi nzuri bro mwakatobe
Butua ntakubutua😂😂😂😂husband material 😂😂🙌
Mwakatobe achwiiiii jmn ananipa raha nampenda sana mwakatobe nafeatilia sana move zake kama alivyotisha kwa snek boy na huku ni atari na nusu❤❤❤❤
Sengoo😂😂😂 atih huyuuu😅😅😅 🙌 # mwakatobe kazi zote ila hii 🔥 🔥
Very good selection mwakatobe sengo
Acta mzur huyu I like him from kenya
Wakwaza leo jamani naitaji likes zangu
Wakwanz Mimi Leo Nipeni At Like 5 Tu
Aga chwiiiiii🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪💪💪tunakubali kazi yako we zuchu tu
Kaz nzur sana
Sema mbona kam mnachelewa sana kutupia tunasubr sana siku nne sijuh nying sana
Anacheza na snake boy lazima achelewe
sema nini mwakatobe unazichelewesha sana fanya bc uwe unawaisha
Mwakatobe😂😂😂 mbavu zangu mie eti akachwiiiiii😂😂😂😂
Eti tutumiye husband matériel😅😅
Love you mwakatobe❤
Mwakatobe 😂😂😂😂😂 Mwamba mtu na Nusu Keep it up Bro Mungu azidi kukutunza na kukuongezea Kipaji Chako
Mwakatobe we nomaaaa
Munacherewa Sana kuweka mwenderezo 🎉😊😊
Use of R and L.......😂
Ushari sasa huo😂😂😂@@jamessamwel9456
Nakukubalisana ila mnakawia kutowa yani
Mwakatobe ni chef😊
Kaz nzuri san tz
Nakupenda Sana mwakatobe❤❤😂
Nakupendaaa sanaa mwakatobe😅😅❤
Hatariii mzeee nakubali kaz
😂😂😂😂😂 Sengo Eti eeeeeeh huwoooooooo😅😅😅
Movie kari sana❤❤❤❤
Sengo pole sana kwa uhalisia wa kuliwa muda oot🎉
Mwaka Tobe ni baba lao
Mwakatobeeee falaaaa san😅😅😅😅😅😅😅
mwamba unaweza bhana congratulation 👏👏👏👏
😂😂😂 utawekwa 😂😂 mwakatobe ww
Mzee mzima kuoga aah
Mwakatobe hatarii
Nyama nyama nyamaaaaaa....! Nyama ya #sengo...
Courage mingi❤❤
Mwakatobe unataly❤😂😢🎉🎉
😂😂😂😂mwakatobe mjinga sana uyu
Akachwiiiiiiiii😂😂😂😂😂utaondokaaaaa😅
Wanajitahidi kuwa watoto wao ila naona wanaka vijumba masikini😅
😂😂😂😂umalaya tu kuoga aaàah
Unge muhacha akapelekewa mot😂😂😂😂
Wakwanza mimi kutoka America,hapa Florida Jacksonville
Hata ndaniiii hajaingiaaa😂
What is this country .nice joy to that country
Mimi mKenya na jamii yangu nmemfata mwakatobe😂😂😂
Zingatiya maokoto😊😊
Sengo umalaya tu kuog aaa😂😂
Umalayaa tuuu kuogaaaa haaaa😅
Sengo nawe acha washa washa unatetewa ww😂😂😂😂😅
Duh! Kwahiyo kumaanisha haya mambo yapo kweli aisee !
Following from Mombasa Kenya
Mwaka tobe umetisha hahahahahahahaha 😂😂😂 kibaaa kama kario
hahahaha hahah mwakatobe baraaah
Nyonga inauma😅😅😅😅 ❤❤❤❤
Butua unanibamba na kingereza 😂😂😂😂
Na wachawi nao huwa wanalala du!!!! Wanatupunja
Mganga ana ganga huku anachamba😂😂😂😂
Ha haha ha ha watu wana roho mbaya wanaroga mpk kiumbe
Series kali sana
Mwakatobe we kiboko 😅😅😅