NYAMA YA MWANANGU. EPISODE 8 MAMA YANGU MCHAWI ANATAKA KUNILA NYAMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 268

  • @user-oe5ze5uq8m
    @user-oe5ze5uq8m 4 месяца назад +41

    Mwakatobe champion 🇨🇩 RDC nipe like zangu kama unamupenda mwakatobe

  • @AsmaEdgar
    @AsmaEdgar 3 месяца назад +8

    Mwakatobe kaka nakupenda sana naomba ata like yako moja tu

  • @RehemaSalim-d3g
    @RehemaSalim-d3g 3 месяца назад +9

    Jamani yani mmi nacheka tu,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂,sjui nicoment ,et,akachwiiiiiii,we noma san mwakatobe

  • @mukandamaakbar599
    @mukandamaakbar599 4 месяца назад +14

    Wamenibuaga kam zigo wamenitupa chini puu kam fuko la chaka nyonga inaumaa😂😂😂 penda san❤

  • @ShimirimanaMarsa
    @ShimirimanaMarsa 3 месяца назад +5

    Mwakatob jamani nakupenda sana.we Zuchu tu kutoka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮Chapion

  • @madymag6926
    @madymag6926 3 месяца назад +5

    Kazi nzuri sana mwakatobe Nakukubali sana❤❤❤❤

  • @AbdulMahmud-ut7ee
    @AbdulMahmud-ut7ee 4 месяца назад +19

    Professor mwakatobe mganga wa taifa

  • @MupendaKevin-ho7vb
    @MupendaKevin-ho7vb 4 месяца назад +16

    Kazizuri sana mwakatobe sijachelewa sana mimi wa 29 naomba like ata 29

  • @malkiamommy293
    @malkiamommy293 3 месяца назад +5

    Good job mwakatobe 🎉🎉🎉❤❤

  • @user-mi8lu8jn1x
    @user-mi8lu8jn1x 4 месяца назад +6

    Wow kwa kweli mwakatobe wewe ni mwigizaji Bora duniani good work bro ❤kutoka kenya 🇰🇪

  • @jadixtheblacker3411
    @jadixtheblacker3411 3 месяца назад +4

    Mwaka Mwakatobe we ni gwiji sana Wa hizi Kazi Love from +257 hahahaha tumenengeneka na miuno ya uzazi

  • @Johar903
    @Johar903 3 месяца назад +4

    ❤❤❤❤kazi mzuri sana Mwakatobe Mungu akuzidishie kipaji

  • @aganzeroger
    @aganzeroger 4 месяца назад +16

    Wa kwanza kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @user-ec6ow2cx7c
    @user-ec6ow2cx7c 3 месяца назад +2

    Mwakatobe wewe n shujaa yaaani ujai shindwa na jambo much love from Kenya

  • @ndayiragijekennedy76
    @ndayiragijekennedy76 3 месяца назад +3

    Nakukubali san mwakatobe yani unanifurasha sana siyo kwakunichekesha eti umaraya tu kuoga aaa😂😂😂😂

  • @mustaphakijazi9807
    @mustaphakijazi9807 3 месяца назад +3

    Kazi nzuri sana mwakatobe naona muda so mrefu unafika mbali MUNGU AZIDI KUKUBARIKI

  • @Nailah736
    @Nailah736 3 месяца назад +3

    Napenda sana jamaa aitwae mwakatobe😂😂😂asante kwa kazi nzuri walahi nimeipenda sana movie zako🎉🎉🎉

  • @sharlnanyanje1930
    @sharlnanyanje1930 3 месяца назад +2

    Much love from 🇰🇪 next episode plz

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 3 месяца назад +16

    Kuna jamaa mmoja wa Kicheche kacheza lamba lamba kama mwenyekiti anaendana sana na BUTUA wakikaa sceen moja wanaweza kufanya kitu kikubwa ❤ kiingereza cha BUTUA na kiingereza cha yule mtaalamu wanaweza kufanya kazi kubwa. Ni wataalamu wa kuongea kwa hisia na sirious ❤❤❤

  • @HabasiMaganda-jx2zi
    @HabasiMaganda-jx2zi 3 месяца назад +2

    Yn mwakatobe anajua sana daah Maua yako chkuwa🎉🎉🎉

  • @maxmiliankadawiibalaja2198
    @maxmiliankadawiibalaja2198 3 месяца назад +12

    Tunaomkubali Mwakatobe gonga like zakutosha hapa

  • @KashindizabloFidel-mx2kv
    @KashindizabloFidel-mx2kv 3 месяца назад +4

    wamiya leo toka RDC Congo FIZI BARAKA nipeni lik

  • @wilsonayoma6810
    @wilsonayoma6810 3 месяца назад +2

    Hongeren san Kwa kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ZaldaM.ramadhani
    @ZaldaM.ramadhani 3 месяца назад +1

    😂😂😂 ila mwakatobe jamani ety mwakachwiiiii ❤❤🎉 nakukubali sana

  • @MoTalentTz
    @MoTalentTz 3 месяца назад +4

    Kazi kazi mwakatobe mnyama 💪🏻🙏🙏💪🏻💪🏻

  • @RubanzintwariJeanclaude
    @RubanzintwariJeanclaude 3 месяца назад +2

    agacwiiiiiiiiiiii.... Bigap tope umetisha sana mwanangu unyama nimwingi ubunifu pia powa sana nawakubari Na Mwamba Vevo clam

  • @MsalabaniReko
    @MsalabaniReko 2 месяца назад +1

    Kazi nzur sana ila acha niendelee kusoma comment mana zinanifuraisha sana

  • @HelefuHelefu
    @HelefuHelefu 3 месяца назад +2

    Big up mwakatobe

  • @shilakodeni2853
    @shilakodeni2853 3 месяца назад +1

    Episode ninzuri sana nanitahifatilia mpaka mwisho❤❤

  • @MikaBisimwa
    @MikaBisimwa 2 месяца назад +1

    Shobo Ka mwiko aiyayaya uyu masta ni noma

  • @samyabahatialhiani401
    @samyabahatialhiani401 3 месяца назад +2

    Mwakatobe uyo dada anacoka msaidiye mbona uyu dada nimeona ameuwawa na maman yake na sengo bado hayi🇧🇮

  • @frankmushi9304
    @frankmushi9304 4 месяца назад +7

    Mwamba mwakatobee nipo apa shabiki lako Toka kahama nakuku Bali mwambaa

  • @user-zc1qh6ti2p
    @user-zc1qh6ti2p 3 месяца назад +5

    Waigizaji wa 🇹🇿tz woote wanaocheza muvi za mganga kwannavoona mimi hakuna kama mwakatobe ila ananiuzi kuchelewesha muvi.

    • @IssaMangala
      @IssaMangala 3 месяца назад

      Kuli kutanta mantekele Iyo Vip?😎

    • @MRJ1308
      @MRJ1308 3 месяца назад +1

      Anacheza movie nyingi snake boy na hii hivyo hawezi kutoa Kila wakati

  • @RACHIDDOG-SINATAS666
    @RACHIDDOG-SINATAS666 3 месяца назад +2

    Mwakatobe ni stima ya kuoteya mbali 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @Twahamwela-ch5lz
    @Twahamwela-ch5lz 4 месяца назад +4

    Haha ha ha unawaza ngono mda woteee bwegeeeeeeeeeee wee utawekwaaa utawekwa kwenye kundi la kina mariooo

  • @Iryne-m6f
    @Iryne-m6f 4 месяца назад +4

    Bravo mwakatobe ❤❤😂

  • @WardatWardat-oh6ih
    @WardatWardat-oh6ih 3 месяца назад +1

    Mambo ni moto huu mchozo ni mzuri sana ❤❤❤

  • @edsonfredrick7994
    @edsonfredrick7994 4 месяца назад +8

    Unachelewesha sana kipala ka kario😂

  • @GabrielChengula
    @GabrielChengula 3 месяца назад +2

    Good job mwakatobe

  • @immaculatenkirote4076
    @immaculatenkirote4076 3 месяца назад +2

    Wa mwisho leo ila mwakatobe nakupenda sana from kenya mombasa 🇰🇪

  • @ZarruZarru-dv6vh
    @ZarruZarru-dv6vh 3 месяца назад +2

    Iyo kumla nyama kila mda munaitaja inaondoa laza

  • @MwaishambaKipanga-bu9sz
    @MwaishambaKipanga-bu9sz 3 месяца назад +2

    Nakubali sengo bi migomba mnajua sana

  • @bbs9030
    @bbs9030 2 месяца назад +2

    mwakatone hatr sana😂😂😂😂

  • @AliMunga-c8n
    @AliMunga-c8n 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri bro mwakatobe

  • @user-qq4zr3sk2g
    @user-qq4zr3sk2g 3 месяца назад +2

    Butua ntakubutua😂😂😂😂husband material 😂😂🙌

  • @HopeShirima
    @HopeShirima 3 месяца назад

    Mwakatobe achwiiiii jmn ananipa raha nampenda sana mwakatobe nafeatilia sana move zake kama alivyotisha kwa snek boy na huku ni atari na nusu❤❤❤❤

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 3 месяца назад

    Sengoo😂😂😂 atih huyuuu😅😅😅 🙌 # mwakatobe kazi zote ila hii 🔥 🔥

  • @FredowPalangPalangmurumbFreddy
    @FredowPalangPalangmurumbFreddy 3 месяца назад +1

    Very good selection mwakatobe sengo

  • @emmanuelmbito9108
    @emmanuelmbito9108 3 месяца назад +1

    Acta mzur huyu I like him from kenya

  • @BernadetteBN
    @BernadetteBN 4 месяца назад +10

    Wakwaza leo jamani naitaji likes zangu

  • @husseinkiture4860
    @husseinkiture4860 4 месяца назад +16

    Wakwanz Mimi Leo Nipeni At Like 5 Tu

  • @KusahBadboy-g9t
    @KusahBadboy-g9t 3 месяца назад +2

    Aga chwiiiiii🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪💪💪tunakubali kazi yako we zuchu tu

  • @Alexismadimo
    @Alexismadimo 4 месяца назад +3

    Kaz nzur sana
    Sema mbona kam mnachelewa sana kutupia tunasubr sana siku nne sijuh nying sana

    • @MRJ1308
      @MRJ1308 3 месяца назад

      Anacheza na snake boy lazima achelewe

  • @piasonNicholas-us1wh
    @piasonNicholas-us1wh 3 месяца назад +1

    sema nini mwakatobe unazichelewesha sana fanya bc uwe unawaisha

  • @ShamsaFahad-n8v
    @ShamsaFahad-n8v 2 месяца назад +1

    Mwakatobe😂😂😂 mbavu zangu mie eti akachwiiiiii😂😂😂😂

  • @NanaMarly-mn7ci
    @NanaMarly-mn7ci 3 месяца назад +2

    Eti tutumiye husband matériel😅😅

  • @FatramMakopa
    @FatramMakopa 3 месяца назад +1

    Love you mwakatobe❤

  • @dullamuso6955
    @dullamuso6955 3 месяца назад +1

    Mwakatobe 😂😂😂😂😂 Mwamba mtu na Nusu Keep it up Bro Mungu azidi kukutunza na kukuongezea Kipaji Chako

  • @Mubarakaashim
    @Mubarakaashim 3 месяца назад +2

    Mwakatobe we nomaaaa

  • @user-dm4yk4xn8i
    @user-dm4yk4xn8i 4 месяца назад +3

    Munacherewa Sana kuweka mwenderezo 🎉😊😊

    • @jamessamwel9456
      @jamessamwel9456 4 месяца назад

      Use of R and L.......😂

    • @kadijaa7771
      @kadijaa7771 2 месяца назад

      Ushari sasa huo😂😂😂​@@jamessamwel9456

  • @CadrahNation
    @CadrahNation 4 месяца назад +6

    Nakukubalisana ila mnakawia kutowa yani

  • @MikaBisimwa
    @MikaBisimwa 2 месяца назад +1

    Mwakatobe ni chef😊

  • @KareemDaddy
    @KareemDaddy 2 месяца назад +1

    Kaz nzuri san tz

  • @user-ys2fx1nj2e
    @user-ys2fx1nj2e 3 месяца назад +1

    Nakupenda Sana mwakatobe❤❤😂

    • @MimaKassim
      @MimaKassim 3 месяца назад

      Nakupendaaa sanaa mwakatobe😅😅❤

  • @JaphetNoah
    @JaphetNoah 3 месяца назад +1

    Hatariii mzeee nakubali kaz

  • @saifullahalimas3002
    @saifullahalimas3002 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂 Sengo Eti eeeeeeh huwoooooooo😅😅😅

  • @NasraGigi
    @NasraGigi 3 месяца назад +1

    Movie kari sana❤❤❤❤

  • @dastopadady2402
    @dastopadady2402 2 месяца назад

    Sengo pole sana kwa uhalisia wa kuliwa muda oot🎉

  • @boubamachana2434
    @boubamachana2434 3 месяца назад +1

    Mwaka Tobe ni baba lao

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 3 месяца назад +1

    Mwakatobeeee falaaaa san😅😅😅😅😅😅😅

  • @irenegalus8079
    @irenegalus8079 3 месяца назад

    mwamba unaweza bhana congratulation 👏👏👏👏

  • @purityneema-gh6jc
    @purityneema-gh6jc 3 месяца назад +1

    😂😂😂 utawekwa 😂😂 mwakatobe ww

  • @ABDULIHAMISI-xt8xd
    @ABDULIHAMISI-xt8xd 3 месяца назад +1

    Mzee mzima kuoga aah

  • @AsiaSaid-tq4yw
    @AsiaSaid-tq4yw 3 месяца назад +4

    Mwakatobe hatarii

  • @MOASLLY
    @MOASLLY 3 месяца назад +1

    Nyama nyama nyamaaaaaa....! Nyama ya #sengo...

  • @user-cl3uy5oy4x
    @user-cl3uy5oy4x 3 месяца назад +1

    Courage mingi❤❤

  • @AbyMzTheDymng-nc7ke
    @AbyMzTheDymng-nc7ke 4 месяца назад +4

    Mwakatobe unataly❤😂😢🎉🎉

  • @MwaishambaKipanga-bu9sz
    @MwaishambaKipanga-bu9sz 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂mwakatobe mjinga sana uyu

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 3 месяца назад +1

    Akachwiiiiiiiii😂😂😂😂😂utaondokaaaaa😅

  • @mwanakheri-c5u
    @mwanakheri-c5u 3 месяца назад +2

    Wanajitahidi kuwa watoto wao ila naona wanaka vijumba masikini😅

  • @MwaishambaKipanga-bu9sz
    @MwaishambaKipanga-bu9sz 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂umalaya tu kuoga aaàah

  • @KareemDaddy
    @KareemDaddy 2 месяца назад +1

    Unge muhacha akapelekewa mot😂😂😂😂

  • @user-im1js3mk2v
    @user-im1js3mk2v 4 месяца назад +3

    Wakwanza mimi kutoka America,hapa Florida Jacksonville

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 3 месяца назад +1

    Hata ndaniiii hajaingiaaa😂

  • @Simonorio
    @Simonorio 3 месяца назад +1

    What is this country .nice joy to that country

  • @damarismwajefwa9891
    @damarismwajefwa9891 2 месяца назад +1

    Mimi mKenya na jamii yangu nmemfata mwakatobe😂😂😂

  • @MikaBisimwa
    @MikaBisimwa 2 месяца назад +1

    Zingatiya maokoto😊😊

  • @imohussein8612
    @imohussein8612 3 месяца назад +1

    Sengo umalaya tu kuog aaa😂😂

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 3 месяца назад +1

    Umalayaa tuuu kuogaaaa haaaa😅

  • @fatumakushonda4277
    @fatumakushonda4277 3 месяца назад +1

    Sengo nawe acha washa washa unatetewa ww😂😂😂😂😅

  • @fatumasalehe8636
    @fatumasalehe8636 3 месяца назад +1

    Duh! Kwahiyo kumaanisha haya mambo yapo kweli aisee !

  • @dosaathman2176
    @dosaathman2176 3 месяца назад

    Following from Mombasa Kenya

  • @BarakaNestory-x7z
    @BarakaNestory-x7z Месяц назад

    Mwaka tobe umetisha hahahahahahahaha 😂😂😂 kibaaa kama kario

  • @seleufuta2711
    @seleufuta2711 2 месяца назад +1

    hahahaha hahah mwakatobe baraaah

  • @MayaOuthman-bd8bg
    @MayaOuthman-bd8bg 3 месяца назад +1

    Nyonga inauma😅😅😅😅 ❤❤❤❤

  • @vivianiravuha628
    @vivianiravuha628 2 месяца назад +1

    Butua unanibamba na kingereza 😂😂😂😂

  • @MrRavini
    @MrRavini 3 месяца назад +1

    Na wachawi nao huwa wanalala du!!!! Wanatupunja

  • @772moana
    @772moana 3 месяца назад +1

    Mganga ana ganga huku anachamba😂😂😂😂

  • @Twahamwela-ch5lz
    @Twahamwela-ch5lz 4 месяца назад +3

    Ha haha ha ha watu wana roho mbaya wanaroga mpk kiumbe

  • @muhammadamir2901
    @muhammadamir2901 3 месяца назад

    Series kali sana
    Mwakatobe we kiboko 😅😅😅