Sawa Azam mna watangazaji wengi wazuri kama barack mpenja na kabombe lkn NURDINI SULEIMAN ni kiboko namkubali xna jinsi anavotangaza hasa kwa kutaja majina matatu ya wachezaji naomba kwenye mech hasa za simba Nurdin atangaze mechi hzo
Gyz, aca niyambiye wafana wote wa timu ya simba. muace coacha masudi afanye kazi yake kidogo kidogo , am sure he will give us a success in our team of simba sport club. thx
Ni kweli Simba imeshinda lakini wamefanya makosa mengi kwenye defence ambayo yakiwakuta washambuliaji makini watawaadhibu sana tu. Bado defence haiko sawa inapaswa kuimarishwa
sana anacheza na siklojia ya wachezaji sana nakujua apa uyu ayupo kwenye fomu au laaaha ww angalia mwinyi kazimoto alivifanyiwa sabu kuingia fabrigas wa bongo ndemla mchezo umekuwa moto assist zimetolewa na magoli yamepatikana kwailo Big up masoud ase tunamuitaji sana tena sana
kichuya hii assist ulio toa kwa okwiii goli la tatu daaa eban nitamu ulivo uchopu mpira nae mwenye simba akakapoza mguuni hahha kumbe okwi mkali kushinda morata 😈
yaaani majilan mmeshindwa kula chamchana Etti mnawai uwanja wataifa mapema kwenda kushuudia mnyama akichunwa ngozi haa mmeshinda njaa na mmeongezewa njaa ingine tena this is simbaaaaaaaa msitake tufanane nyie pambaneni na hali zenu
MASSUD DJUMA ANASTAHIKI KUBAK KAMA KOCHA MKUU WA SIMBA NA MZUNGU YEYE NI SIFA PEKE.KAMA ALIFANYA VIZURI NIIZO ZAMA SIO KWA LEO.MASSUD NI KOCHA PEKE ANA CHEZA MPIRA NA WA CHEZAJI WAK NA KUWAPA TECHNIC NYINGI SANA
Jamn AZAM tv mnawaumbua mno marefa wetu ambao wengi wao ni mburura . pia jaribuni kurudia kila tukio kwa taratibu na kwa picha mnato make baadhi ya matukio hamyaoneshi vzr ,mfano ktk mechi ya simba vs singida manyika alionekana km amedakia nje lkn hamkurudia kuonesha hilo tukio , n.k
hii mechi watu weengii walikuwa na matokeo ya mapinduzi Zanzibar hivyo waliipatia nafasi singida zaidi lkn watu watambue kuwa kundi gumu nfiyo liliweza kumtoa bingwa na mshindi Wa pili. hivyo singida hakuwa mzuti kivileee kwani mchezo aliouonyesha walipocheza na yanga hakikuwa kipimo
Singida wajifunze ku funga goal..wana uwezo kuzidi simba. 4really
Asante asante kwass na kichuya na mwenye Tim okwiiiiiiiii simba noma sana waleeeeeeeeeefj
3-5-2
mambo nii motto
fireeee
well done simba sc
let's focus forward
Will miss u Masoud Djuma Ilambona.
Mwaka wetu huu simba....
Niugen keye grupu LA Sumba
Daaah Hili Goal La Kichuya ni Hatariii Si La nchi Hii katikati Ya Mabeki Wale wote ila Ufupi wake unamsaidia Sana Huyu kijana.... Well Done Simba.
Mathias Wambua hahahahaha
Jaman kwasiiii anatisha
Mathias Wambua asie ipenda simba mnafiki
Salumu Ally kabisaa Ndugu Kwanza Naweza Nkasema Simba Kwa Sasa Tuna Bland kubwa Nchini kuliko Team zote Tz
Jonas silas kale Kajamaa Tangu mbao Goal Lake linaniuma Lile alipokiwa lipuli alivyomhadaa manula Ile faulo😂😂😂
adamu mwamba legend Mimi ni simba sports club mnyama
simba. na kagera sugar
kama unaamini simba hatari weka like yako hap
Wise hamida
Simba ipovyema
big up xana okwi pamoja na wachezaj wote Simba sc
Kichuya goli tamu sana
Okwi Ni Fundi Mwisho!
Lazaro Lazaro kweli kabisa okwi anafaa. Nidhamu tu ajitahidi kidogo
Simba ni team mashuri
Hangalia nafasi nyepesi za kufunga,hata kiwete anamalizia,mzungu faraaaa sana.
This is Simbaa....
hongera Simba
hongera masoud jumaa
Hatari zaidi
hongeren shabiki wote wa simba kaz nzur
Jackson Mkome
Jackson Mkome raha saana kushangilia simba asante mungu enderea kuwanyesha vura face kama mwaka wa mnyama kura alcohol sitahili simbaaa oyeeeeeee
Jackson Mkome
ushindi simba kamakawa
@@rosemarykaroli9572 best master
Simba noma aiseee
this is simba aaaaaaa
Simba noma
Simba 🔥🔥🔥👍
Simba mnanipa raha sana jmn
okwiiiiii ni noma kichuya ni nomaaa
kichuya noma sana namkubali atali
Hatal sana hongela simba
Simba rahaaaaa
Masoud yupo vzry kuliko hawa wazungu tunaoletewa,hapa simba.hangalia mpira kama ulaya.
kocha ni masudi , tunamutaka afanye kazi mu timu yetu
Gonga like kama bado unaangalia hii mechi
simba iyoooo
Ni shida simba ya mwaka huu
sanaaaaaaaaaaah!!!
Simba hatare
Sawa Azam mna watangazaji wengi wazuri kama barack mpenja na kabombe lkn NURDINI SULEIMAN ni kiboko namkubali xna jinsi anavotangaza hasa kwa kutaja majina matatu ya wachezaji naomba kwenye mech hasa za simba Nurdin atangaze mechi hzo
Kocha kijana na kipenzi cha wanasimba
Karibu Kagera ila mkija kwa sifa mnachukua hizo 4, jipange mnajua uwanja wa kaitaba bahati yenu ni ndogo sana
This is Simbaaa
Iyo ni zawadi Kwa kocha mpya
Okwinhooooo ni htr
Gyz, aca niyambiye wafana wote wa timu ya simba. muace coacha masudi afanye kazi yake kidogo kidogo , am sure he will give us a success in our team of simba sport club. thx
Ndemla tunakupenda
Jaman simba masoud Djumaa awepo kocha msaidizi plz
Ni kweli Simba imeshinda lakini wamefanya makosa mengi kwenye defence ambayo yakiwakuta washambuliaji makini watawaadhibu sana tu.
Bado defence haiko sawa inapaswa kuimarishwa
Exactly!! ....bado defence haijiamini!!
hii ni simba brother
THIS IS SIMBAAA......
simba na mbao
great team work done by simba
S.Ndemla endelea kuwa na macho mengi uwanjani big up!
Wale tunaoangalia 2020 tukisubiri ligi iaze tujuane
okwi hatar sana
Simba ni hatari
This is simba brother
Niozima vipi jama ametemwa simba au la
Singida
Mines
Niko na hofu mzungu kutuharibia pace. Afadhali ata angeanza msimu mpya. Kwa sasa tukaendelea tu na Masoud.
Mohamed Said Hahahahahah licha ya kutolewa kwenye mashindano mengine asee masoud bado nifundi asee watuachie kwanza mzungu akae ale upepo
Brother Masoud japo Sio fundi kihivyo lakini mhamasishaji mzuri kwa kweli
sana anacheza na siklojia ya wachezaji sana nakujua apa uyu ayupo kwenye fomu au laaaha ww angalia mwinyi kazimoto alivifanyiwa sabu kuingia fabrigas wa bongo ndemla mchezo umekuwa moto assist zimetolewa na magoli yamepatikana kwailo Big up masoud ase tunamuitaji sana tena sana
Mohamed Said umenena vyema kaka.
Maana simba ya siku hz kama arsenal.
Hata akiongoza point 10,
Napo mashaka.
Mpaka ligi iishe ndo uhakika
Asateee k
Washeza whotewa simba kazimzuli
Djuma inn
simba noumaaa.....
okwi ni shinda
Saana chama lang,ubingwa wetu
This is SIMBA bhna+974
simba noomaaaaaa mpaka lahaa
kichuya hii assist ulio toa kwa okwiii goli la tatu daaa eban nitamu ulivo uchopu mpira nae mwenye simba akakapoza mguuni hahha kumbe okwi mkali kushinda morata 😈
Nguvu moja tuwape sapoti makocha wote
Baba mwenye nyumba karudi anamaliza matatizo yote yaliyo kuwepo
okwiiii
huyu kichuya anazidi kuwatesa singida
simba yanga
Hii ndio simba bana
eonardexavel
Jumankamia swedymwinyi hemedijongo waritishsanaaaaa
Ndemla nuksi aise
Fredrick Budeba mmmm
okwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
HUYO NDIOOOOOOOOOOOO MNYAMAAAASSSSS MKALUIIIIIIIIII
OKWIIII hatari jumla wachezaj wote wamecheza hivi ndo 2navotaka Mashabiki wachezaj. mnakaza mwanzo mwisho
Haridy Mohamedy okwiii poa
kichuyaaaaaaaaaaa!!!!!
Kichuya kwenye ubora wake Kama Luis miqueson
hii simba ni shida mwaka huu tumejipigia wauza mafuta ya alizeti
Simba ni hatariii
ximba nimakuna tuu
simba yangu jaman
nampenda sana mkude
Simba ni Noma
yaaani majilan mmeshindwa kula chamchana Etti mnawai uwanja wataifa mapema kwenda kushuudia mnyama akichunwa ngozi haa mmeshinda njaa na mmeongezewa njaa ingine tena this is simbaaaaaaaa msitake tufanane nyie pambaneni na hali zenu
shizo be classic zxv.
okwiiiiiii nizaidi ya lukaku
MASSUD DJUMA ANASTAHIKI KUBAK KAMA KOCHA MKUU WA SIMBA NA MZUNGU YEYE NI SIFA PEKE.KAMA ALIFANYA VIZURI NIIZO ZAMA SIO KWA LEO.MASSUD NI KOCHA PEKE ANA CHEZA MPIRA NA WA CHEZAJI WAK NA KUWAPA TECHNIC NYINGI SANA
bkrhassanbkr bkr kweli kabisa.... Yaani angebaki djuma
Tanzania
Jamn AZAM tv mnawaumbua mno marefa wetu ambao wengi wao ni mburura . pia jaribuni kurudia kila tukio kwa taratibu na kwa picha mnato make baadhi ya matukio hamyaoneshi vzr ,mfano ktk mechi ya simba vs singida manyika alionekana km amedakia nje lkn hamkurudia kuonesha hilo tukio , n.k
Kuna kosa kwnz akidakia nje ni nn km ni hvooo basi faul ingewekw
MASUKA MARCO powa
kichuyaaa
kichuyaaaa
kichuyaaaaaaaaa
Simba nguvu moja
Dah this is simbaaaaa brother wana cmbaaa mpooooooooooo?
Safi sana simba mmetupa raha mpaka siyo vizuli
This is simba brother
Bingwa c c.
Nice simba
hiii ximba wakaxome
mpira wa leo azam vs yanga
Simba 4 Singida 0
Simba vs mbeya cit
kichuya so wa kisport sport
Bado watu wengi wanaichukulia simba poa poa wakifikiri ni ile ya mwaka jana.
Daud kasuka kweli simba c yamchezo mchezo
Simba wamejitahidi
nice simbaa
Safi mzimbaz
adamu mwamba
Masoud djuma anatosha kua kocha mkuu 7bu anajua sana mshkaji?
Ali Abdalla Said ,vigeugeu
Ali Abdalla Said masoud nikocha licha ya kutolewa mashindano mengine bado tunaamuamini natutaendelea kumuamini asanteni kwakuja singida
Ali Abdalla Said kwl aisee
Mbwa kumng'ata tajiri wake labda awe na kichaa.Nani akubali kumwaga ugali na mboga yake.
hii mechi watu weengii walikuwa na matokeo ya mapinduzi Zanzibar hivyo waliipatia nafasi singida zaidi lkn watu watambue kuwa kundi gumu nfiyo liliweza kumtoa bingwa na mshindi Wa pili. hivyo singida hakuwa mzuti kivileee kwani mchezo aliouonyesha walipocheza na yanga hakikuwa kipimo
HAMIS maulana Ww ni simba
kichuya noma
Simba raha xana
wamebahatisha tu, hao
FIFA
kwa simba hii hadi raha
Comed
Jamila pete
mszo shoo
ruclips.net/video/mjYgRjxLpro/видео.html gusa hii link uone maajabu
Ř
Ansate