Medani ya Vita Part 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 июн 2012
  • Wenyeji Afmadhow washerehekea ushindi wa KDF. Kila nyumba ilikuwa ikitozwa Sh 1,600 na Al Shabaab.
    Kukombolewa kwa mji wa Afmadhow na wanajeshi wa Kenya wakishirikiana na wale wa serikali ya mpito ya Somalia kulikuwa ni sawa na kuwasili kwa mwokozi kwa wenyeji wa mji huo. Kwa muda wa miaka minne , wenyeji walikuwa wakilazimishwa kulipa ada ya shilingi elfu moja na mia sita kila chumba kwa kundi hilo. Kando na hayo, mkuu wa wilaya ya afmadhow alifukuzwa kutoka kwa afisi zake na zikawa zikitumika kama afisi za kundi hilo haramu. Franklin Macharia anaarifu katika sehemu ya pili ya makala ya medani ya vita.

Комментарии • 29

  • @mutasimbilah3798
    @mutasimbilah3798 12 лет назад +2

    اللهم أعزّ الاسلام والمسلمين ودمّر أعداء الدين .. واخذل مَن خذل الدين
    اللهم انزل عليهم رجزك وعذابك اٍله الحق اللهم انزل بأسك الذي لايرد عن القوم المجرمين اللهم عليك با كينيا فانهم لا يعجزونك
    اللهم منزل الكتاب ، مجري السحاب ، هازم الأحزاب اهزمهم

  • @mutasimbilah3798
    @mutasimbilah3798 12 лет назад +6

    Mungu Awaangamize makafiri na washirika wao

    • @martinmutiso9633
      @martinmutiso9633 5 лет назад +1

      Mungu hawezi angamiza watu pengine yule wako wa kishetani

  • @bashkaclassic6832
    @bashkaclassic6832 2 года назад +1

    Somalian don't fear Economy must continue .Bravo my people

  • @machax002
    @machax002 11 лет назад +10

    THE BRAVEST MILITARY KDF.

  • @arnoldanodeh3816
    @arnoldanodeh3816 5 лет назад +3

    Watajia hawajui. Hii ni KDF

  • @bakarikalama6099
    @bakarikalama6099 5 лет назад

    Saa hii wanarapiwa na wanajeshi

  • @TheCassonovaa
    @TheCassonovaa 12 лет назад +2

    i salute you guy'z well done

  • @hasanpochnene4542
    @hasanpochnene4542 Год назад

    Kaiala

  • @yusufbakari1935
    @yusufbakari1935 12 лет назад +2

    Still work starts now

  • @saamiya2445
    @saamiya2445 Год назад

    ❤️🩸Alshabab dalka ayaga leh kabaxa nacaladi idin dhashay wase😏🦧

  • @pierreniyindagiye5457
    @pierreniyindagiye5457 Год назад

    11

  • @boqortoyostudio4280
    @boqortoyostudio4280 2 года назад +1

    somali asxanka ayey Hilmamen

  • @selemanmtipu6644
    @selemanmtipu6644 5 лет назад

    mmmmh wakiwakataza mambo dini ilo si kweli

  • @e_know4d222
    @e_know4d222 4 года назад

    healla, kwajil ya kununua silaha na wsnaowauzia je??

  • @yusufbakari1935
    @yusufbakari1935 12 лет назад

    Ni urongo walikua hawalipi chochote

  • @abuumansur9007
    @abuumansur9007 6 лет назад +1

    Nyie makafir wa Kenya mutauliwa wote insha allah

    • @rodgersbruno6300
      @rodgersbruno6300 5 лет назад +2

      Do don't know wat u are talking about, you have no idea of urself

    • @martinmutiso9633
      @martinmutiso9633 5 лет назад

      Yaani washangilia kuuwawa kwao alafu wasema inshallah ju huyo mungu wako ni shetani apendae kifo cha watu, you need to change

    • @jezabellvidiinamalwa9041
      @jezabellvidiinamalwa9041 4 года назад

      Mmmmmhh...uongo mtupu

  • @wahaaabi7663
    @wahaaabi7663 4 года назад +1

    JIHAAD. JIHAAD. JIHAAD.! Hakika wale walio kufuru watatumia Mali zao. Kuizuwia njia ya ALLAH.? KDF Ni makafiri tu popote walipo watauwawa Kisha. Popote pale.......

    • @yassinnjige7484
      @yassinnjige7484 4 года назад +2

      ALLAH ata ili nda dini yke inshallah na mjaheedeen watashinda kwa uwezo wa ALLAH

    • @vincentnyawa
      @vincentnyawa 3 года назад

      Ona vile wananchi wanavyofurahia kazi iliyofanywa na kdf. No ishara tosha shabaab walikuwa wanawagandamiza wananchi.

  • @machax002
    @machax002 11 лет назад +1

    MUNGU GANI? MUNGU WA AL SHABAAB NI WEAK.