MITIMINGI # 242 KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA MWANAUME YAPASWA KUYAJUA HAYA MAMBO YA MSINGI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Moja kati ya migogoro inayotokea kwenye ndoa ni watu/wachumba kuto kuwa wakweli, baadhi ya wanaume wakati wa kwenda kuposa wamekuwa wakiazima vitu ambavyo sio vyao, vitu sio halisi, kama ni magari ya kuazima, suit ya kuazima. Ukitaka uwe na ndoa safi na yenye afya BE ORIGINAL, BE WHO ARE YOU.
    Mch na Mwl. Dr MITIMINGI p. Counseling Psychologist +255 713 18 39 39

Комментарии • 6