MITIMINGI# 263 WADADA WENGI LEO WANAJIONGEZA MASHEPU, VIKOLOMBWEZO ILI WAPENDWE/WAOLEWE
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Matatizo ni mtaji, pale unapokumbana na matatizo ndio unapata mtaji. Vijana wengi leo wanakimbia matatizo hawafahamu kuwa ndani ya hayo matatizo ndio kuna fursa.
Katika maisha ya leo wapo vijana ambao wanakumbana na changamoto za kutoolewa, na badala ya kuzidi kumtegemea Mungu wao wanajiingiza katika ulimwengu wa zinaa kwa kujihatibu miili yao na kwenda nje ya kusudi la Mungu. Je' kama kijana unapambana vipi na changamoto unazokumbana nazo?
Mch na Mwl. Dr MITIMINGI p. Counseling Psychologist +255 713 18 39 39
Haleluya haleluya
Ameen waambie maana wamezidi duh
Amen ubarikiwe xana mtumishi
Amen ahamini mungu atanipa mume waruho yangu eeh mungu ondowa ofu niangaziye nuru yako yesu kristo
mungu akubaliki sana yan kwan unatitia moyo sana
Amina Anastazia, Barikiwa sana
+MITIMINGI ONLINE TV amina mm Niko nnje ya nchi nafanya kazi na kaz za uku ni ngumu kidog kama unamoyo wa uwezi kufanya sasa nimekuwa nikikusikiliza kupitia you tube huwa napata faraja sana yan mungu azidi kukuongezea mtumishi wa mungu
Amen Barikiwa sana Mchungaji
fantastic
Ameen
Amen
Ongea mtumishiii mana imetoo much
Amen baba Loveness from oman
Barikiwa sana Loveness kutoka Oman, Ukipata Neema ya kuja Tanzania karibu sana WCC
duuuuh
Amen
Amen