MITIMINGI# 263 WADADA WENGI LEO WANAJIONGEZA MASHEPU, VIKOLOMBWEZO ILI WAPENDWE/WAOLEWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Matatizo ni mtaji, pale unapokumbana na matatizo ndio unapata mtaji. Vijana wengi leo wanakimbia matatizo hawafahamu kuwa ndani ya hayo matatizo ndio kuna fursa.
    Katika maisha ya leo wapo vijana ambao wanakumbana na changamoto za kutoolewa, na badala ya kuzidi kumtegemea Mungu wao wanajiingiza katika ulimwengu wa zinaa kwa kujihatibu miili yao na kwenda nje ya kusudi la Mungu. Je' kama kijana unapambana vipi na changamoto unazokumbana nazo?
    Mch na Mwl. Dr MITIMINGI p. Counseling Psychologist +255 713 18 39 39

Комментарии • 17