Mze wa Belton missour Nakuuliza Ukiwa una Green card ya DV na ukitaka uraia hio miaka mitano usitoke nje ya nchi au unaweza kutoka na ukaingia Km kawa na ukapata PS ya USA
Ahsante na samahani kwa kukusumbua na swali kuhusu ds 260. Ni kuhusu swala la watoto je wanataka kujua ni watoto wangapi kwa ujumla hata na wale ambao umri wao ni wa juu ya miaka 21, nawajumulisha hapo? Ahsante.
ASANTE NA POLE NA MAJUKUMU. EBM MIMI NAITWA DERICK NIMEKUTAFUTA SANA NINA ISSUE PRIVATE KIDOGO NILIHITAJI KUONGEA NAWEWE ILA NIMEKUTUMIA UJUMBE KWENYE EMAIL LAKINI SIJAPATA MAJIBU NAOMBA UNIPE NAMNA NTAONGEA NAWEWE BABA 🙏
Mambo vipi kaka EBM ninaomba kuuliza swali,Ikiwa mtu ana miaka mi5 ya ndoa na amepata green card je hapo hatapaswa kusubiria miaka miwli ili aombe uraia? au atapaswa asubirie tena miaka miwili ndio aombe uraia?
Ahsante EBM hebu tueleze advance parole nasikia tu watu wakipata kibali cha kazi unaweza kuomba advance parole ukiwa unataka kusafiri hii ikoje EMB.
Asnte WA Jina wangu kwa masomo mazuri unayo tupa kila siku Mungu akubarik San
Mze wa Belton missour Nakuuliza Ukiwa una Green card ya DV na ukitaka uraia hio miaka mitano usitoke nje ya nchi au unaweza kutoka na ukaingia Km kawa na ukapata PS ya USA
So Broo EBM wonderful information very nice thx alot
Thanks ebm your so informative be blessed
Great brother
Ahsante na samahani kwa kukusumbua na swali kuhusu ds 260. Ni kuhusu swala la watoto je wanataka kujua ni watoto wangapi kwa ujumla hata na wale ambao umri wao ni wa juu ya miaka 21, nawajumulisha hapo? Ahsante.
Kaka tunaomba utufanyie video utufafanulie kuhusu Visa ya Asylum seekers tuelewe zaidi
Ebm kwani jeshi la marekani haliangalii umri?
ASANTE NA POLE NA MAJUKUMU. EBM MIMI NAITWA DERICK NIMEKUTAFUTA SANA NINA ISSUE PRIVATE KIDOGO NILIHITAJI KUONGEA NAWEWE ILA NIMEKUTUMIA UJUMBE KWENYE EMAIL LAKINI SIJAPATA MAJIBU NAOMBA UNIPE NAMNA NTAONGEA NAWEWE BABA 🙏
Hello mbona youtube adsense yangu inasema automatic payment bank transfer
Mambo vipi kaka EBM ninaomba kuuliza swali,Ikiwa mtu ana miaka mi5 ya ndoa na amepata green card je hapo hatapaswa kusubiria miaka miwli ili aombe uraia? au atapaswa asubirie tena miaka miwili ndio aombe uraia?
Wakwanza leo 😂
Elimu bila mipaka
Chukua maua yako
Chukua maua yako