Utofauti wa Green Card ya Ndoa na ya Njia Zingine

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.lo...
    DONATE TO EBM SCHOLARS
    1. PayPal www.paypal.com...
    2. CASH APP cash.app/$EBMS...

Комментарии • 16

  • @saidmrusi7605
    @saidmrusi7605 6 месяцев назад

    Ahsante EBM hebu tueleze advance parole nasikia tu watu wakipata kibali cha kazi unaweza kuomba advance parole ukiwa unataka kusafiri hii ikoje EMB.

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 6 месяцев назад

    Asnte WA Jina wangu kwa masomo mazuri unayo tupa kila siku Mungu akubarik San

  • @salumsalum8866
    @salumsalum8866 6 месяцев назад +1

    Mze wa Belton missour Nakuuliza Ukiwa una Green card ya DV na ukitaka uraia hio miaka mitano usitoke nje ya nchi au unaweza kutoka na ukaingia Km kawa na ukapata PS ya USA

  • @binabeid3980
    @binabeid3980 6 месяцев назад

    So Broo EBM wonderful information very nice thx alot

  • @robertchuma6408
    @robertchuma6408 6 месяцев назад

    Thanks ebm your so informative be blessed

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 6 месяцев назад

    Great brother

  • @SirajSeruwu
    @SirajSeruwu 6 месяцев назад

    Ahsante na samahani kwa kukusumbua na swali kuhusu ds 260. Ni kuhusu swala la watoto je wanataka kujua ni watoto wangapi kwa ujumla hata na wale ambao umri wao ni wa juu ya miaka 21, nawajumulisha hapo? Ahsante.

  • @zubeaslay6566
    @zubeaslay6566 6 месяцев назад

    Kaka tunaomba utufanyie video utufafanulie kuhusu Visa ya Asylum seekers tuelewe zaidi

  • @issahassan8515
    @issahassan8515 6 месяцев назад

    Ebm kwani jeshi la marekani haliangalii umri?

  • @advinofficial6570
    @advinofficial6570 6 месяцев назад +1

    ASANTE NA POLE NA MAJUKUMU. EBM MIMI NAITWA DERICK NIMEKUTAFUTA SANA NINA ISSUE PRIVATE KIDOGO NILIHITAJI KUONGEA NAWEWE ILA NIMEKUTUMIA UJUMBE KWENYE EMAIL LAKINI SIJAPATA MAJIBU NAOMBA UNIPE NAMNA NTAONGEA NAWEWE BABA 🙏

  • @andrewchangawa8185
    @andrewchangawa8185 6 месяцев назад

    Hello mbona youtube adsense yangu inasema automatic payment bank transfer

  • @rashidhamad6782
    @rashidhamad6782 6 месяцев назад

    Mambo vipi kaka EBM ninaomba kuuliza swali,Ikiwa mtu ana miaka mi5 ya ndoa na amepata green card je hapo hatapaswa kusubiria miaka miwli ili aombe uraia? au atapaswa asubirie tena miaka miwili ndio aombe uraia?

  • @imanrogers5309
    @imanrogers5309 6 месяцев назад

    Wakwanza leo 😂

  • @NasibuMbaraka
    @NasibuMbaraka 6 месяцев назад

    Elimu bila mipaka

  • @smsno1415
    @smsno1415 6 месяцев назад

    Chukua maua yako

  • @smsno1415
    @smsno1415 6 месяцев назад

    Chukua maua yako