PENZI LA KIJANA MASIKINI NA BINTI MWENYE TAMAA💞 Love Story | DONTA TV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • #dontatv #Kelvin #clam #bongomove #trending #trending #komasava #cookingvillage #like #live #mapenzi #clamvevo #comedy #kelvinkhan #peteyaajabu #dontatv #clamvevo #mapenzi #love #penzilamtotowaboss #bongomovie

Комментарии • 176

  • @UmmuIsmaili
    @UmmuIsmaili 24 дня назад +31

    KILA SIKU TINA NDIO MBAYA HUMU TUKO NA MOVIE KAMA 3 MPAKA SASA ZINAZO TOKA KILA SIKU KWANINI TINA YAN 😂😂😂

    • @Malesa255..1
      @Malesa255..1  24 дня назад +3

      😒😂

    • @UmmuIsmaili
      @UmmuIsmaili 24 дня назад +3

      @@Malesa255..1 movie nzuri ila jitahidini kubadili watu tina tunamchoka na roh mbaya yake

    • @PillyEliasa
      @PillyEliasa 24 дня назад +3

      Ndo nashangaa jamani kila siku TINA au ndo yy anaweza Mambo hayo

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 24 дня назад +3

      anaweza kusumbua watu anaweza

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 24 дня назад +1

      ​@@UmmuIsmaili😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Johar903
    @Johar903 20 дней назад +1

    Ila muendelezo unachelewesha sana ❤❤❤tunapenda kazi yako

  • @user-oz1bb8gc1c
    @user-oz1bb8gc1c 21 день назад +4

    Hongerani sana Wana donta tv, Kelivn nakikosi chako mngu awazidishie

  • @HappyDaudi-ub4hw
    @HappyDaudi-ub4hw 23 дня назад +4

    Yan Tina Jamani kila move yeye ni mtata tu hajawai kuwa mstarabu hata kidogo khaaaa 🙌🙌🙌😂😂😂

  • @JuBoy-
    @JuBoy- 24 дня назад +5

    Nawapenda sana Kwa KAZI nzuri mnaoifanya

  • @OmarysD
    @OmarysD 24 дня назад +5

    Malesa unajua ongeza juhudi unakitu kikibwa ❤❤❤❤❤😊

  • @DarleenWilliam-h6e
    @DarleenWilliam-h6e 24 дня назад +2

    Nakubali
    May Jah bless your hand work ila tamu 😂

  • @annUmazi-s7u
    @annUmazi-s7u 8 дней назад +1

    Tina n mfano mzuri Kwa gilrs wenye tamaa in this world of today congratulations to all members of donta TV mungu awazidishie kipawa chenu

  • @twizydadytv_
    @twizydadytv_ 24 дня назад +4

    Kanumba umeuwa mungu akusimamie kaka

  • @jailomunyuka
    @jailomunyuka 23 дня назад +2

    i loving your movie mr Kevin me ime tanzania but ime from zambia MY Provence kigomatz

  • @KhadijaShah-cg4jm
    @KhadijaShah-cg4jm 24 дня назад +5

    Tina nitatizo Kila sehem, Hafai kuishi katika Dunia hii

  • @AugustinhoManyangaunitedboetz3
    @AugustinhoManyangaunitedboetz3 24 дня назад +2

    Welcome back my broo May God bless you in your work❤❤

  • @twizydadytv_
    @twizydadytv_ 24 дня назад +3

    Wa kwanza hapa kutokea 🇰🇪🇰🇪

  • @shebitz255
    @shebitz255 20 дней назад +1

    Mwenyezi Mungu awape afya njema ndugu zangu na penda sana kazi zenu zote 🤲🤲🤲🤲

  • @KhadijaShah-cg4jm
    @KhadijaShah-cg4jm 24 дня назад +2

    Ila kev, unanifulaisha sana namisimamo yako

  • @MahaSaeed-hf3gs
    @MahaSaeed-hf3gs 23 дня назад +1

    Congratulations good job

  • @sommohd7903
    @sommohd7903 23 дня назад +1

    Sijapenda😏Dakika kidogo muendelezo haupo kabsaa mnachosha 😌

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 24 дня назад +3

    Tuwekeeni shanaiza na shanganzi bna . Tina tumemchoka nna khaa😅

  • @AmenaMm-r5t
    @AmenaMm-r5t 23 дня назад +1

    Ama mimwenzen nitayasikia ty mapenz kwenye mitandao ila sitak yafik kwenye moy wang wacha nitafut hel mapenz shikamoooo 😂😂😂😂😂😂

  • @user-yv5wh1yk9t
    @user-yv5wh1yk9t 9 дней назад

    Tunajifunza mambo mengi kupitia move zenu wanafamilia wa Donta TV tunawapenda sanaa 🎉🎉🎉🎉❤

  • @hadihadi9167
    @hadihadi9167 21 день назад +1

    Sijui nizae katoto kasumbufu kama Dina 😂😂😂Dina akizeeka kaendele kusumbua nakupenda Dina❤

  • @joycemuenimutua4506
    @joycemuenimutua4506 21 день назад +1

    Tina nakukubali mtu wangu😂😂😂 we do unaweza iyo part vizuri kenya

  • @user-jo7wr4gs3k
    @user-jo7wr4gs3k 21 день назад +1

    Mm langu jicho tu ila Tina hajawahi kuwa mstarabu movies hata moja 😂😂😂😂😂 nawapenda sana from kenya 🇰🇪

  • @AishaDiddi
    @AishaDiddi 23 дня назад +1

    Kelvin yy niskta yamalavidav Tina sasa kila sekta mgomvi 😂😂😂😂

  • @priscahmahenzo642
    @priscahmahenzo642 23 дня назад +1

    😂😂😂😂ᴡᴀᴀᴀᴀʜ ᴛɪɴᴀ ᴛɪɴᴀ😂😂😂

  • @Antonybuleo
    @Antonybuleo 24 дня назад +3

    Kazi iko poa sana hongera kwenu 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @relaxstarman
    @relaxstarman 23 дня назад +1

    Kazi nzuri sana 💯

  • @user-zo2jx3ff4i
    @user-zo2jx3ff4i 24 дня назад +4

    Ila Tina Un a mdomo sana hebu punguza 😂😂😂😂

    • @KuinAlaska
      @KuinAlaska 23 дня назад

      😂😂😂jmn tina kwani tina huyu akoje

  • @CyrusMwayo
    @CyrusMwayo 23 дня назад +1

    This bad girl do this

  • @SakinaHassani-xm7ti
    @SakinaHassani-xm7ti 18 дней назад +1

    Good job next 🔥

  • @becadoksultan8144
    @becadoksultan8144 22 дня назад +1

    Endelea kukaza buti kaka siku moja nitaja tuigize sote

  • @user-bb1np6ln9l
    @user-bb1np6ln9l 24 дня назад +2

    Jamani nyie hamchokiii nawatu mnaenda mnabadilisha mniweke basi❤❤

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 22 дня назад +1

    Mapenzi shikamo😅😅

  • @Echo254_
    @Echo254_ 24 дня назад +1

    🎉 congratulations

  • @IbuniKilapaya
    @IbuniKilapaya 23 дня назад +1

    Hatar sana🎉🎉🎉

  • @sasiNJ
    @sasiNJ 24 дня назад +2

    Nakubali Kanumba

  • @user-ue8rz3om4h
    @user-ue8rz3om4h 23 дня назад +2

    Yaani Kila filamu Tina ye ukuwag mtu wa tamaa na Mali za wenyewe duuh kiukweli ueda kiualisia uko hivoh ..movie kadhaaa anakuwag aki act mtu wa tamaa za mali

  • @cartoonpati2914
    @cartoonpati2914 24 дня назад +3

    Jamani tumemiss shanizer

  • @GaudenciaMadirisha
    @GaudenciaMadirisha 22 дня назад +1

    Tina acha tamaaa Kila movie 🎥 ww tyuuu 😂😂😂

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 23 дня назад +1

    Tina tena heee,,,tumemchoka bhana kila move yupo na roho mbaya yake duuh

  • @TunguNhonge
    @TunguNhonge 24 дня назад +2

    I like it,

  • @masterkeys_tz1595
    @masterkeys_tz1595 24 дня назад +2

    Noma sana kaka

  • @Faudhani-u7t
    @Faudhani-u7t 24 дня назад +2

    Unaweza kaka

  • @DianaDamas-y3q
    @DianaDamas-y3q 23 дня назад +2

    Malesa hunabahat kwenye mapenzi kabisa ila ukoviziru❤

  • @shiichannel5623
    @shiichannel5623 24 дня назад +2

    Tina 😂.ww

  • @Latifa123Latifa12
    @Latifa123Latifa12 23 дня назад +1

    Saf sana

  • @magrethmarwa7759
    @magrethmarwa7759 23 дня назад +1

    Kiukweli Tina anaitendea haki nafasi yake much ❤ baby girl

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 23 дня назад +1

    Uku Kelvin na candy...wako kwenye penzi zito.....wakati Kwa dada wa kaz n pamba na moto...aky mapenz ww...😅

  • @TonyMasterog
    @TonyMasterog 15 дней назад +1

    Malesa mjukuu😂😂😂😂😂

  • @TeshmonyAntonio
    @TeshmonyAntonio 23 дня назад +2

    Nelly nimependa jinsi unavyo mshauri rafiki yako ila nothing hurts like painful on broken hearted 💔 bro

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 14 дней назад +2

    Ila Nely muda mwngn n mtu wa maana sana,

  • @sirkomba
    @sirkomba 23 дня назад +1

    Mwanamke hasomeshwi 😅😅

    • @Malesa255..1
      @Malesa255..1  23 дня назад

      Nimeyakanyaga ila sikubali 🫣😂

  • @ESTHERMUGAMBI-k2c
    @ESTHERMUGAMBI-k2c 20 дней назад +1

    Alafu brown alienda wapi amepotea sana wakiwa na Vicky

  • @merryclement-f4o
    @merryclement-f4o 24 дня назад +3

    Af mtoto tinaa anakuag jau

  • @priscahmahenzo642
    @priscahmahenzo642 23 дня назад +1

    ᴜᴢʀɪ ɴ ᴀᴄᴛ ʙᴛ ʟᴢᴍᴀ ᴀᴡᴇ ᴜᴋᴏ ʜᴠʏᴏ😂😂😂😂😂😂ʜɪɪ ɴᴅɪᴏ ʟɪғᴇ ʏᴋᴇ😅😅😅😅ᴀᴜ ᴍɴᴀʙɪsʜᴀ😂😂

  • @NishimweDiego
    @NishimweDiego 21 день назад +1

    Ombi langu mue munabadirisha majina ndoo mouvie itakuwa nzuri jammani apana majina yareyaye jamani

    • @Malesa255..1
      @Malesa255..1  21 день назад

      Sawa asante tutalipitia ✍️🙏❤️

  • @ScolaBahati-i3r
    @ScolaBahati-i3r 20 дней назад +1

    Tina ajui kuongea na wanaume wasitalabu kama kev kazoea kufokeana na kunambi

  • @KalimboKombo-ph2su
    @KalimboKombo-ph2su 24 дня назад +2

    Inaonekana Ako ivyo

  • @Malesa255
    @Malesa255 24 дня назад +2

    Babuuuu

  • @eliasicharlesi
    @eliasicharlesi 21 день назад +1

    Oyo mnatuboa muv ammalizi

  • @Zahara-l3l
    @Zahara-l3l 23 дня назад +1

    😂😂 fumaninzi

  • @Linetmokogoti
    @Linetmokogoti 24 дня назад +2

    ❤❤❤❤🎉🎉

  • @NeemaMbuji-i7s
    @NeemaMbuji-i7s 12 дней назад +1

    Tina unajua kuwaliza wezako kwa usaliti jmn we mdada hujambo ila mko pw cn hongelen

  • @user-ry6rc3fg9c
    @user-ry6rc3fg9c 24 дня назад +2

    ❤❤❤🎉

  • @ZulfaMaganza
    @ZulfaMaganza 18 дней назад +1

    ℳ𝓈𝒾𝒻𝓊𝓅𝒾𝓈𝒽𝑒 𝒮𝒶𝓃𝒶 jamani

  • @Emmyk3483
    @Emmyk3483 24 дня назад +6

    Mim wa pili jmn naombani na mim like nijione mwenye bahati😅

  • @Halima-d8s
    @Halima-d8s 23 дня назад +1

    Shida yenu maogezi ni mengi kuliko vitendo halaf dakika zenu nikidogo sana kma hi penzi la mtoto wa boss naona sai zimefika 25 kunakoelekea zitafika hata kumi na Tano mna tuboo

    • @Malesa255..1
      @Malesa255..1  23 дня назад

      Asante kwa maoni tuta yafanyia kazi🎉❤

  • @ntahangarwaemmanuel1675
    @ntahangarwaemmanuel1675 23 дня назад +2

    Kwani hii ni full movie au ni season?

  • @JosephineMomanyi-jp8tv
    @JosephineMomanyi-jp8tv 21 день назад +1

    Dina ubadiliki

  • @relaxstarman
    @relaxstarman 23 дня назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @djisley1400
    @djisley1400 14 дней назад

    Skuping family 🔥🔥🔥

  • @GloryKalengo
    @GloryKalengo 24 дня назад +1

    Iv nyie ko movie zenu kila siku zitakuwa mapenz mapenz tu kwan kwenye jamii hakuna kitu kingine kinachoendelea zaid ya mapenz
    Mnatuchosha bn😡😡

  • @marwajuma8322
    @marwajuma8322 22 дня назад +1

    😂

  • @ayshaysah6228
    @ayshaysah6228 17 дней назад +1

    Pore kaka zangu

  • @cartoonpati2914
    @cartoonpati2914 24 дня назад +2

    Tina Hana tamaa

  • @MignonBips
    @MignonBips 24 дня назад +2

    ❤❤❤❤

  • @ZeinabBakar-je4nr
    @ZeinabBakar-je4nr 21 день назад +1

    Tina hyo ni tabia yko ama vipi

  • @selinacharo9350
    @selinacharo9350 14 дней назад +1

    Muendelezo tafadhali

    • @Malesa255..1
      @Malesa255..1  14 дней назад

      Kesho kutwa 🥰🙏

    • @selinacharo9350
      @selinacharo9350 14 дней назад

      @@Malesa255..1 mungu akipenda fanya hima ina bamba salimia tina🤣🤣🤣✌️nampenda bureee from kenya

  • @stacymutindi7699
    @stacymutindi7699 23 дня назад

    Mm ishawai nitokea kudanganya na mwenyewe akafanya uchunguzi akajua ukweli 😢😢…chenye nilijifunza tangu hio siku n kwamba mwanaume anapenda kuambiwa ukweli hata kama unauma ju atakusamehe Ila ukimdanganya itachukua mda kukusamehe

  • @mariammariam5723
    @mariammariam5723 19 дней назад +1

    ❤❤❤

  • @SalamaTaura
    @SalamaTaura 23 дня назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @ChristopherBonfils-dk1tx
    @ChristopherBonfils-dk1tx 24 дня назад +1

    Kkkkkkk

  • @SabrinaShaibu
    @SabrinaShaibu 9 дней назад

    💯

  • @Faudhani-u7t
    @Faudhani-u7t 24 дня назад +1

    😊😊

  • @user-gm6sc8qu7e
    @user-gm6sc8qu7e 23 дня назад +1

    Tina zilipendwa.jamani

  • @Faudhani-u7t
    @Faudhani-u7t 24 дня назад +1

    Kipaji Mali

  • @EliaGersondamsonkilonji-xw1lm
    @EliaGersondamsonkilonji-xw1lm 2 дня назад +1

    S😂🎉uuy

  • @Aisha-ld3ol
    @Aisha-ld3ol 24 дня назад +1

    Kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @shiichannel5623
    @shiichannel5623 24 дня назад +2

    Tina 😂.ww

  • @DianaDamas-y3q
    @DianaDamas-y3q 23 дня назад +1

    Malesa hunabahat kwenye mapenzi kabisa ila ukoviziru❤

  • @fatimafatuma4848
    @fatimafatuma4848 23 дня назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @shiichannel5623
    @shiichannel5623 24 дня назад +2

    Tina 😂.ww

    • @KhadijaShah-cg4jm
      @KhadijaShah-cg4jm 17 дней назад

      @@shiichannel5623 mko vizuli sana ila kevi nakupendea msimamo wako na busala zako