PENZI LA KIJANA MASIKINI NA BINTI MWENYE TAMAA💞 Love Story | DONTA TV
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- #dontatv #Kelvin #clam #bongomove #trending #trending #komasava #cookingvillage #like #live #mapenzi #clamvevo #comedy #kelvinkhan #peteyaajabu #dontatv #clamvevo #mapenzi #love #penzilamtotowaboss #bongomovie
KILA SIKU TINA NDIO MBAYA HUMU TUKO NA MOVIE KAMA 3 MPAKA SASA ZINAZO TOKA KILA SIKU KWANINI TINA YAN 😂😂😂
😒😂
@@Malesa255..1 movie nzuri ila jitahidini kubadili watu tina tunamchoka na roh mbaya yake
Ndo nashangaa jamani kila siku TINA au ndo yy anaweza Mambo hayo
anaweza kusumbua watu anaweza
@@UmmuIsmaili😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ila muendelezo unachelewesha sana ❤❤❤tunapenda kazi yako
Asante karibu sana
Hongerani sana Wana donta tv, Kelivn nakikosi chako mngu awazidishie
Yan Tina Jamani kila move yeye ni mtata tu hajawai kuwa mstarabu hata kidogo khaaaa 🙌🙌🙌😂😂😂
🤣🤣
Nawapenda sana Kwa KAZI nzuri mnaoifanya
Malesa unajua ongeza juhudi unakitu kikibwa ❤❤❤❤❤😊
Nakubali
May Jah bless your hand work ila tamu 😂
Tina n mfano mzuri Kwa gilrs wenye tamaa in this world of today congratulations to all members of donta TV mungu awazidishie kipawa chenu
🥹🙏🫡
Kanumba umeuwa mungu akusimamie kaka
Asante sana kak yangu
i loving your movie mr Kevin me ime tanzania but ime from zambia MY Provence kigomatz
Tina nitatizo Kila sehem, Hafai kuishi katika Dunia hii
Hapana lkn huo ndo uhuska wake tu ,Tinah
Welcome back my broo May God bless you in your work❤❤
Wa kwanza hapa kutokea 🇰🇪🇰🇪
😂😂😂😂😂😂😂
Mwenyezi Mungu awape afya njema ndugu zangu na penda sana kazi zenu zote 🤲🤲🤲🤲
Asante sana🥰😍🙏
Ila kev, unanifulaisha sana namisimamo yako
Congratulations good job
Sijapenda😏Dakika kidogo muendelezo haupo kabsaa mnachosha 😌
Upo unatoka kesho kutwa
Tuwekeeni shanaiza na shanganzi bna . Tina tumemchoka nna khaa😅
Ama mimwenzen nitayasikia ty mapenz kwenye mitandao ila sitak yafik kwenye moy wang wacha nitafut hel mapenz shikamoooo 😂😂😂😂😂😂
Tunajifunza mambo mengi kupitia move zenu wanafamilia wa Donta TV tunawapenda sanaa 🎉🎉🎉🎉❤
Karibu sana
@@Malesa255..1 🙏🙏
Sijui nizae katoto kasumbufu kama Dina 😂😂😂Dina akizeeka kaendele kusumbua nakupenda Dina❤
🤣
Tina nakukubali mtu wangu😂😂😂 we do unaweza iyo part vizuri kenya
😍✌️💣
@@Malesa255..1 pamoja
Mm langu jicho tu ila Tina hajawahi kuwa mstarabu movies hata moja 😂😂😂😂😂 nawapenda sana from kenya 🇰🇪
Iko bt s nying
Kelvin yy niskta yamalavidav Tina sasa kila sekta mgomvi 😂😂😂😂
😂😂😂😂ᴡᴀᴀᴀᴀʜ ᴛɪɴᴀ ᴛɪɴᴀ😂😂😂
Kazi iko poa sana hongera kwenu 🎉🎉🎉🎉🎉
Asante 🎉❤
Kazi nzuri sana 💯
Msaniii
Ila Tina Un a mdomo sana hebu punguza 😂😂😂😂
😂😂😂jmn tina kwani tina huyu akoje
This bad girl do this
Good job next 🔥
Soon✌️🙏
Endelea kukaza buti kaka siku moja nitaja tuigize sote
Jamani nyie hamchokiii nawatu mnaenda mnabadilisha mniweke basi❤❤
Karibu
Mapenzi shikamo😅😅
🎉 congratulations
Shukurani sana ndugu ❤🙏
Hatar sana🎉🎉🎉
Nakubali Kanumba
😂
Yaani Kila filamu Tina ye ukuwag mtu wa tamaa na Mali za wenyewe duuh kiukweli ueda kiualisia uko hivoh ..movie kadhaaa anakuwag aki act mtu wa tamaa za mali
Jamani tumemiss shanizer
Tina kimekuta uwonga haufaii sikuzote
Tina acha tamaaa Kila movie 🎥 ww tyuuu 😂😂😂
Tina tena heee,,,tumemchoka bhana kila move yupo na roho mbaya yake duuh
Pole
I like it,
Pamoja
Noma sana kaka
Sanaaaa
Unaweza kaka
Malesa hunabahat kwenye mapenzi kabisa ila ukoviziru❤
Tina 😂.ww
Saf sana
❤️😍
Kiukweli Tina anaitendea haki nafasi yake much ❤ baby girl
🩸🙏❤️❤️
Uku Kelvin na candy...wako kwenye penzi zito.....wakati Kwa dada wa kaz n pamba na moto...aky mapenz ww...😅
Malesa mjukuu😂😂😂😂😂
😂😂😂
Nelly nimependa jinsi unavyo mshauri rafiki yako ila nothing hurts like painful on broken hearted 💔 bro
Ila Nely muda mwngn n mtu wa maana sana,
Kabisa🥰
Mwanamke hasomeshwi 😅😅
Nimeyakanyaga ila sikubali 🫣😂
Alafu brown alienda wapi amepotea sana wakiwa na Vicky
Wapo Donta family ⚒️
Af mtoto tinaa anakuag jau
❤️❤️
ᴜᴢʀɪ ɴ ᴀᴄᴛ ʙᴛ ʟᴢᴍᴀ ᴀᴡᴇ ᴜᴋᴏ ʜᴠʏᴏ😂😂😂😂😂😂ʜɪɪ ɴᴅɪᴏ ʟɪғᴇ ʏᴋᴇ😅😅😅😅ᴀᴜ ᴍɴᴀʙɪsʜᴀ😂😂
Ombi langu mue munabadirisha majina ndoo mouvie itakuwa nzuri jammani apana majina yareyaye jamani
Sawa asante tutalipitia ✍️🙏❤️
Tina ajui kuongea na wanaume wasitalabu kama kev kazoea kufokeana na kunambi
😒
Inaonekana Ako ivyo
Babuuuu
🎉❤
Oyo mnatuboa muv ammalizi
😂😂 fumaninzi
😀
❤❤❤❤🎉🎉
Tina unajua kuwaliza wezako kwa usaliti jmn we mdada hujambo ila mko pw cn hongelen
Asante sanaaa
❤❤❤🎉
ℳ𝓈𝒾𝒻𝓊𝓅𝒾𝓈𝒽𝑒 𝒮𝒶𝓃𝒶 jamani
Sawa part 2 itaongezeka
Mim wa pili jmn naombani na mim like nijione mwenye bahati😅
❤🎉
🎉🎉
Shida yenu maogezi ni mengi kuliko vitendo halaf dakika zenu nikidogo sana kma hi penzi la mtoto wa boss naona sai zimefika 25 kunakoelekea zitafika hata kumi na Tano mna tuboo
Asante kwa maoni tuta yafanyia kazi🎉❤
Kwani hii ni full movie au ni season?
Season part 2 inakuja
Dina ubadiliki
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Skuping family 🔥🔥🔥
💣🦾
Iv nyie ko movie zenu kila siku zitakuwa mapenz mapenz tu kwan kwenye jamii hakuna kitu kingine kinachoendelea zaid ya mapenz
Mnatuchosha bn😡😡
Pole 😭❤️🙏
😂
Pore kaka zangu
Asante❤️
Tina Hana tamaa
😂
❤❤❤❤
❤️❤️❤️
Tina hyo ni tabia yko ama vipi
Muendelezo tafadhali
Kesho kutwa 🥰🙏
@@Malesa255..1 mungu akipenda fanya hima ina bamba salimia tina🤣🤣🤣✌️nampenda bureee from kenya
Mm ishawai nitokea kudanganya na mwenyewe akafanya uchunguzi akajua ukweli 😢😢…chenye nilijifunza tangu hio siku n kwamba mwanaume anapenda kuambiwa ukweli hata kama unauma ju atakusamehe Ila ukimdanganya itachukua mda kukusamehe
Pole 😒
❤❤❤
❤️❤️❤️
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
🩸
Kkkkkkk
💯
🙏
😊😊
Tina zilipendwa.jamani
Kipaji Mali
S😂🎉uuy
🤣🤣🤣
Kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉❤❤
Asante 😒🙏❤️
Tina 😂.ww
Malesa hunabahat kwenye mapenzi kabisa ila ukoviziru❤
🥹😊
❤❤❤❤❤
❤️❤️❤️❤️
Tina 😂.ww
@@shiichannel5623 mko vizuli sana ila kevi nakupendea msimamo wako na busala zako