@Lady jay Dee nakupendaka sana tena sana ❤❤❤I started listening to you music when I was 8 years old , I love you ❤ all the way from United State of America ,🇿🇼🇨🇩🇺🇸
Wa tanzania 🇹🇿 munachekesha sana tena sana munapo wacheka hao ambao hawawezi kuimba ndoo kuwatia moyo?lekebisheni uwepo wenu ili wajisikiye kufika mbali kbs
Hata kama Mtu hajui kuimba ma judge ACHENI KUCHEKA CHEKA NA MANENO MACHAFU KUMKATISHA MTU unaweza kuta anajua kuimba mnaongea ongea mnamcheka Cheka tabia mbaya sana na majibu ya kashfa si jambo zuri igeni kwa wenzenu hata East African got talent
Kuna wadada humu wanatakiwa wakikosa muziki niwa tangazaji wazuri sana wana jiamini yaani presenters ko wapambanie gepu wakiweza wanitafute Chanel kibao niwaoneshe njia npo kanda ya ziwa mimi
Mm nko kanda ya ziwa nai rudia sana hii show watu was mwanza na kanda ya ziwa tuna matatizo kama haya Uzungu mwingi kwa madada Hatuko makini na tunacho Fanya Wakurupukaji Hatuna ushirikiano ambapo tunakosa MTU wa kutuambia yaan kutu panga tunapo kuwa hatuko sawa Yako mengi ila Nina movement kanda ya ziwa nitasema na vijana wa huku home
Walichopatia BSS season hii, Ni kumweka IDRIS kuwa HOST. Creative, Funny and Smart man. .BIG UP IDRIS👍👍👍👍
Wana rangi nzuri....soo natural wanavutia😍viuno sasa juu kama nyigu chini kontena 😲😲😲
Kwani salama jabiri yuko wapi kama wewe ni shabik ya salama jabiri gonga like hapa
Dullah Man Dullah Man iko nakazi nyigine njomana ayupo
Analea
Dullah Man Dullah Man ruclips.net/video/E2iUxMvJbEc/видео.html
Dullah Man Dullah Man
ruclips.net/video/E2iUxMvJbEc/видео.html
Ka Mama Kamatimbwili 😂😂😂😂😂
Jamani kama kuna uwezekano salama jabil aludishwe bongo starsearche imepooza 😚😙
Brother K alie muona gonga like
Hahahahahahahahhaahhaahahahauaua
Dully mjambj
@@happylaurent1742 og
Aliyesikia bongo status gonga like za kutosha
Walio mmiss salama kama Mimi tujuane
Tukooo
Jamani sijawahi kupata like 20 😊 gonga like hapa nami nifurahi
Kiukweli salama jabir ndiyo anachangamsha sana bongo star search. Imepooza sanaa
Uwiii bongo status km umesikia uiii na management naomb like
Watyuu wamepinda jaman...wimbo wa taifa kwa mluzi😂😂😂
Nmecheka kinyamaa😂😂
😂😂😂😂😂
Winchars Madata 😀😀😀😀😀
Mwanza nixhidaaaaaaaa,,,,gonga like twende sawa,,,km mwanza fireee
dully jaman mwswahiliiiii🤣🤣🤣🤣kiherehere lakin sio.mbaya anachangamsha
😂🤣Mimi nimekuja kusoma comments kama tuko pamoja gonga like @bossholland hapa
Mambo ni motoooo🔥🔥🔥🔥🔥
Delaya Nkeshimana nkeshimana mm muha mwenzako walaye??
mambo motomoto
@@lameckntahondi8073 oké karibu kigoma nitume 0 yako
Delaya Nkeshimana hahahaha
Ha haha haha haha haha hah amezimiaaaa😂😂😂😂😂😂haki hii ni COMEDY START SEARCH
braza K asante kwa kunitoa machozi
Haahaaaaa
😂😂😂 brother k, umekuja kupoteza muda wa wengine.
Aliye sikia bongo status kama mm sehemu ya kulike hapa
ruclips.net/video/E2iUxMvJbEc/видео.html
Hemedi b abdallah hahahhhahahahahh huyu sister duu bhna et bongo status
Hahahaaa brother K nimekuelewa mwenzio hahahaaaaa
Nimekuja kusoma comments...Kama unaikubali hii show gonga like tukisonga👍
Anaemuona lady JD mpole agonge like
22:11 yani naimba sana shida management 😂😂😂😂😂😂
Hahaaa that guy has really touched me,,,much love from +254
daaa yaani nimecheka kisenge kwer
😂😂😂😂😂😂
Huyo dada mtangazaj mumsaidie jmn anasaut nzur san, mungu atawabarik
Tausi Ngomeni
ruclips.net/video/E2iUxMvJbEc/видео.html
@@Zanzibar_quiztv kuna nn huko 😂😂
Tausi Ngomeni
Ww nenda ucwaze wala nini
@@Zanzibar_quiztv tayar
Tausi Ngomeni
Umeona nn
Walio cheka ambao sio rahisi kucheka hata comedy iweje... twende pamoja 😀😆😀😆😉
Mwanzaaaa loh mnaniua mbavu😂😂😂😂
@Lady jay Dee nakupendaka sana tena sana ❤❤❤I started listening to you music when I was 8 years old , I love you ❤ all the way from United State of America ,🇿🇼🇨🇩🇺🇸
Dada yule anaye igiza UTANGAZAJI
Aise nimempenda Sana
MUSIMUACHE
Kuja na hisia ukasahau sauti nyumbani😂😂😂
Huyooo bintii prezentaaaa yuko sawaa kabisaa tatizooo duly mushambaa Sana'a na maguoo ykee yaaa kishambaa yulee Dada plezentaaaaa munamubaniaa tyuu
NATAKA LIKES 1K HAPA kwa wanaoamini SALAMA JABIR arudishwe maana Bila Salama No BSS. GONGA LIKE
Jamani salam arudishwe plz...
YEAH! Online
Tatizo letu huwa hatupendi kuelezwa ukwel.....big up kwa majudge mko makin
Asanteni washiriki mmeniongezea muda wa kuishi, mecheka😄😄😄
Waaooh brother k kanichekeshaaa
Huyu mshiliki aliyeingia wa pili kanifurahisha Sana coz kaja na mbwembwe mnoo afu kazingua🤣🤣
Acha tu 😆
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yaaaaniii 😂
Mbona hawa wat wa mwanza kiswahili chao kama cha kenya
No , wakenya nairobi wanaongea sheng na msa wanaongea tofauti
😂😂😂huwezi ipata mana bongo status hamnaaa😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂. Brother k kanifurahisha sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣, kwa 2020
Poleni sana majaji mnakutana na vituko ningekuwa mm washiriki wengine ningewachapa fimbo kwa kuwapotezea muda.
Idrisa umezingua brother 🤣🤣🤣mshikaji ni mlemavu wa macho yaani kipofu alafu unamuuliza unalionaje game🤣🤣🤣🤣daah umeyumba brother 😂😂😂
Jamn mbavu zangu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahhahaa alafu kweli
🤣🤣🤣
Hahahaha amefeli sio kitoto
Jide anauwezo wa kuona kipaji cha mtu! Much love to u Anakonda jidee
Angel Mwoleka namimi namupenda sana Jide iko naona mbali sana
Eti dakika ya 17:50 "umekuja na hisia ukasahau sauti nyumbani...!!!" Idrisi fala Sana🤣🤣
Yaani nimecheka sana
Plz judges punguzeniii kuwakataaa watu kwa kejeliii .....mkatae kwa namna yakumpaaa motishaaa na sio akitokaaa hapo ajioneee hafai kufanyaaa kitu
Who realised that once dully got the word characteristics hakuiwacha tena 😁😁😁😂😂😂😂😂
😂😂😂 je ni mimi tu nilienotice kuwa hio characteristics yenyew anaikosa kos kwnye matamshi
Madam N jide Best Judge
Dully chenga tu
Characteristics device is not English and dosnt exit in any dictionary but 😂 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Dully Kakaa Kimalaya Tu Apo 😂😂
Huyo wa mluzi kaniacha hoii😂😂😂😂
Star bongo ni baba lao mond
Km umesikia dully kasema wew mbona km umejirudia gonga meza kwa like
Haaaaaa yani nimemiss sana SALAMA🙌
Madame Ritha amemwangalia ile mbaya Dully 😂🗣 ,afanye kilicho mpeleka kila mwanamke anamshobokea
Precious Benedict hahahha jilo jicho angeliona basi angetulia kbx mbwembwe zingeksha
😂😂😂😂😂 kumbe umemwona eeh
1.Characteristic device😂😂😂
2. Bongo status 😂😂😂
3.Milion Naini 😂😂😂
Naomba muongozo wa haya maneno
Kizazi zaidi 🤸♂️🤸♂️
Hahahaaaa
Queen Bernard 😀😀😀😀😀😀
😂😂😂
Queen Bernard
Duuuh.
Uko makini kusikiliza 🤔
😀😀😀😀daaaaa brother k kauwa kinomaa😂😂😂😂
Kitete sio kitu kizuri achana na kitete 😂😂bongo sihami hat hali iwe ngumu vip
Yaan majaji mnafaidi vituko hm ndani hahahaaa mbavu zang jmn!!!
I like the one with nation song 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kama umeona majaji wengine hucheka kwa kukatisha tamaa gonga like twende sawa
Huyo dada wa kwanza Diana ameimba vizurii
Sure yan sem wamemkazia
Sana yaan nmeumia
Kwel kabisa jaman
😂😂😂😂😂😂 I'm soli baby 😂😂😂😂
Kama umesikia mtu amekula vitumbua 60 Like twende sawa
So vtumbua 60 tu waga anakula na wali kilo mbili ata chapata 50 anakulaga
nakupenda bure idrisa kaka angu ur the best bro
Wengi halafu wote hewa/Chuga itabaki kuwa juu kama unaamini gonga like
Wasukuma bhn ati muwimbo wa udhuni🤣
Dully sykes kama mkali wenu kama umegundua gonga like😆😆
Wa tanzania 🇹🇿 munachekesha sana tena sana munapo wacheka hao ambao hawawezi kuimba ndoo kuwatia moyo?lekebisheni uwepo wenu ili wajisikiye kufika mbali kbs
Jamani wanaomtaka salama jabili Kama Mimi aludi kwenye nafasi yake nipeni like
has anyone seen madam lita the way z looking at dully at 30:52 ?hahahah
Madamme najua unapitia comments zetu Mrudishe ben pol ktk majaji anaujua music
Gastor Dominic well said,,,,syo dully mzushi
🤣🤣🤣 nmecheka saanaa et bongo statasi 🤣🤣
Hata kama Mtu hajui kuimba ma judge ACHENI KUCHEKA CHEKA NA MANENO MACHAFU KUMKATISHA MTU unaweza kuta anajua kuimba mnaongea ongea mnamcheka Cheka tabia mbaya sana na majibu ya kashfa si jambo zuri igeni kwa wenzenu hata East African got talent
Ukiwa unataka arudi Salama Jabir weka like
👇🏾
Jamani Dully na kifarasa chake jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂
yan dully simpendi ana kiherehere
Mwanza ni washamba jmn 🤣🤣🤣😂😆😆😆😆 mnakwama wapi lakin
Sophie Nguve mamako ww
Ayoub Chacha mwenyew 😂😂😂 pole kama unakaa mwanza 😆😆😆😆😆😆😆
Gonga like Kama unaamini harmonize alikuwa sahihi kusema kinaw2 walimpinga kuwa Hana kipaji
By that time aliimba vibya kwel 😂😂 ttzo hua ni saut yko tu unvyoifnyia kz
Mie Napita Tyuuu😂😂😂Maana Kugumu Hapa😁😅
Madam Rita nakupenda buree
😂😂😂idris si kwa kchokonoa huko dully... Toka arusha mpaka mwanza mpumzishe mwenzio😂😂
Dully kihelehele mpaka anataka kutukana,kama umesikia tusi la dully kwa mshiriki anaeitwa Agness james namba 457 gonga like hapa
😅😅
Huyo wa kupiga uluzi mm hoi as cjui saut itajulikanaje
Kuna wadada humu wanatakiwa wakikosa muziki niwa tangazaji wazuri sana wana jiamini yaani presenters ko wapambanie gepu wakiweza wanitafute Chanel kibao niwaoneshe njia npo kanda ya ziwa mimi
Mmmh
Mm nipo
@@jackjohn5663
Whatsup me 0768738506
Daaaah 😂😂😂😂.....Master J wewe ni noma kila Demu anaimbia puani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 aisee kuna watu wanachekesha duuh 😂😂😂
Kabeba watu watano alafu anatuimbia taarabu apa 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Dulysykes okoa jahazi broo mn we ndo Legend jaribu kumpinga master J
Kitete tu mungu akuwezeshe broo kaza utafika mbali
Daaah washiriki wengine are so funny!
Big up madam ritha, kingereza kisiwasumbue
Yaan dully sykes amekaaa kitamaa tamaa ya wanawake huko kambini sijui itakuaje ni kama fisi kakabiziwa bucha
Kweli kabisa
Yaani mpk anatia aibu
Kweli kabhisa
Kama na wewe unafikiria characteristic device nini ngonga like
bila dully Sykes, hii kitu haichekeshi,dully safi sana
Dully kifaransa nakupa non 😂 nimependa sana big up bro 🙌🏾
Dully acha kiherehere acha majaji wenzako nafasi ya kujaji Bora mgempa Benpol hiyo nafasi
Nyiee naoo ni kumaaa tyuuu master jey na wenzakooo
Kama unasapoti Dully afunzwe kiingereza na Jay D. besic of it twende na like..
Watu wa mwanza mnakwama wapi 😂😄😄
Huuu
Mm nko kanda ya ziwa nai rudia sana hii show watu was mwanza na kanda ya ziwa tuna matatizo kama haya
Uzungu mwingi kwa madada
Hatuko makini na tunacho Fanya
Wakurupukaji
Hatuna ushirikiano ambapo tunakosa MTU wa kutuambia yaan kutu panga tunapo kuwa hatuko sawa
Yako mengi ila Nina movement kanda ya ziwa nitasema na vijana wa huku home
Twambie ww tunakwama wapi m🙉🙉🙉
Mwanz ndipo mxhnd alpotoka mxm ulioixha
Wimbo wa taifa unapigwa mnacomment😳🤨😳😁😁😁
Sasa jaji hajui kingerez jaji Wa wapi huyo, huyu misifa hajaacha kwan dully na ww jide usimuige dully misifa😂😂madam rita hanag makuu
I'm solly baby 🤣🤣🤣🤣🤣
Nilichogundua watu wanaukataa uafrika wao
Umeona eeh maana wanajifanya hawajuwi kiswahili
Bongo status🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 you guys are funny
Idrisa nakuelewa sanaa