Namie ndo hivohivo naona wivu mwenzangu.jambo sio dogo hili.asiekuwa na wivu Kwa hili Hana akili.Allah atupe shahada wakati wa kufa kwetu na sisi Yaa Rabbiy
Mashaallah mama kenda salama kbs hd raha jmn 😢😢mungu ampe pepo ya pamoja na kipenz cha waislamu ( mtume ,s , w ) inshallah na mungu atupe mwisho mwema inshallah 🤲🤲😢😢
Alhamdulilah MashaAllahMwenyeEnzi Mungu Amjaalie heri kaburini na siku ya kufufuliwa na siku ya hukumu. Na sisi Mungu atusamehe na asituachie tukawa miongoni mwa waliopotea, atujaalie tutimize nguzo Tano zote za uislam na atujaalie janat iwe makazi yetu
Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun Mwenye Enzi Mungu amrehemu amlaze pema peponi amjaalie katika as'habul yamiin ampe kauli thabit yaarab ampe kitabu chake kwa mkono wake wa kulia allahumma ameen yaarab
Ewe Mwezi Mungu mwingi wa rehma mwenye kurehem kwa unyenyekevu tunakuomba utujaalie kabla lmauti tawban , Wai'nda lmaut shahadan , wabaada lmaut jannat wanaiman wamulkan kabiira. Amin
MashaaAllah tabaraka Rahman hakika mama etu aliipa mgogo dunia na akaitengeneza khara yake nakwauwezo wa Allah amefanikisha ilo Allah atujaharia nasio tuwe wenye kufanya kheriii na atupe mwisho mwema 👏
Mashallah namim nimetaman kufa kama alivyo kufa uyu mama mungu nijaalie niweze kubadilika niwe ni mja mnyenyekevu kwako unipe mwisho mwema nimeyakinai matendo yang uyu mama ni muongozo kanifundisha
Sasa nimeamini ule msemo usemao kifo ni sherehe , kwa huyu mama bi akiba kweli ni sherehe kaondoka vizuri duniani , eeh Mungu tujalie mwisho mwema kama huyu bi akiba, Mana dalili ya mvua mawingu
Inna lilahi wainna ilayhi rajiuun. WALLAHY L-ADHIM moyo wng umefurrahi kwa huyu ukht safari yake ya mwisho imemfikia akiwa kwenye ibada .. alhamdulilah. Yaa Allah tupe nasi khucni lkhatima. Nawe ukht ampe malazi mema na furaha ktk kabri yake . Moyo na mwili umenisisimka wallahy. Na machozi ya furaha na huzini😭😭😭😭😭
Allah anisameh, atusameh sote , atuongoze sisi na vizazi vyetu, atujalie tawba kablal mauti, atujalie husnl khatima yaa Rabb, atutangamanishe na waja wake wema. Kisa Cha huyu mama etu kiwa sadaqatul jariya kwake kwa kila atakae pata zingatio kupitia mauti yake
Innalillah wa innailayhi rajiuuni Daaaah Allah amuweke na waja walio wema Yaarabb hakika ya mauti ni Mawaidha tosha kabisa kwetu ss tuliobaki Daaaah kaondoka vzr saan mama etu nasi tumuombe Allah atufishe hali ya kuwa ameturidhia Amiiyn
Innalilah waina ilaih rajiun.allah amsamehe dhambi zake ampe nuru katika kaburi lake firdausi iwe makazi yake allah amuweke na waja wema peponi. Poleni wafiwa wote allah atupe subira hata mimi ni mmoja walio ondokewa kipindi hiki cha eid lhaj kwani mama yangu mzazi alifunga swaum siku 9 ambao ni siku ya arafa.siku ya eid alfajiri hakujaaliwa kuinuka tena ndio ikawa safari yake.innalilah waina ilaih rajiun.😭😭
Mama pepo meingia moja kwa moja ni wachache watakao watakao pata hii fulsa. Ewe Mola tujalie mwisho mwema kama ulivyomjalia mama yetu. Amin
Mashallah mpka naona wivu wallah Allah amjalie awe pamoja na watu wema nas atupe mwisho mwema
Namie ndo hivohivo naona wivu mwenzangu.jambo sio dogo hili.asiekuwa na wivu Kwa hili Hana akili.Allah atupe shahada wakati wa kufa kwetu na sisi Yaa Rabbiy
Amiiiiiiiin yaaa rabbil aaaalamiiiiin🙏
Amin
@@mwanaikaomar8628 Amiin
Allahhumma Aamiin yarrab
Daaah Yan mtu akifa hivyo m hua naona wivu...Allah nijalie mm na wenzang tufe ilhal n waumin....
Amin yarrab
Allahuma Amiin yaraab
Àamin yaraby
Ameeen
Ameen
Mashaallah mama kenda salama kbs hd raha jmn 😢😢mungu ampe pepo ya pamoja na kipenz cha waislamu ( mtume ,s , w ) inshallah na mungu atupe mwisho mwema inshallah 🤲🤲😢😢
𝐀𝐦𝐢𝐢𝐧 𝐤𝐰𝐚𝐬𝐨𝐭𝐞 𝐢𝐬𝐡𝐚𝐚𝐥𝐥𝐚𝐡
@@user-oy8go8zs7e 🤲🤲
Amina
Amin yarrab
Allahouma ameen 😥🤲
M mungu amrehem amlaze pema pepon amiin na waislam wote amiin
Mashaallah yarab atujalie mwisho mwema
Ameen ya rabb
Alaahumaa Amiin yarab
Alhamdulilah MashaAllahMwenyeEnzi Mungu Amjaalie heri kaburini na siku ya kufufuliwa na siku ya hukumu. Na sisi Mungu atusamehe na asituachie tukawa miongoni mwa waliopotea, atujaalie tutimize nguzo Tano zote za uislam na atujaalie janat iwe makazi yetu
Allahumma aamiinn yaa Rabbi I aalamiin 🤲🏽
Amin
Amin allahuma Amin
Aamiin
Mashallah nataman nipit njia kam hii, Allah amkubalie mazur yak na amsameh makosa yak yotee, nasi atup mwish mwema tufurahike.Aaamin
Mashaaallah wallah mpaka unaona wivu allah atupe husnu khatima
Inshaallah
Mashaallah hajjat bi akiba amepata bahati kubwa nataman inikute na mm yarabi marhum akiba Allah akurehem akupe kauli thabit
Ma shaa Allah Alla amjalie pepo kama alinyo omba mwenyew😢😢😢
Zaman mtu akifa kifo kibaya watu wanashangaa saiv mtu akiwa na mwisho mzur ndo ajabu Allah amempikea mja wake mashallah
naam kaka maana dunia imechafuka mnoo
Ma sha Allah mwenyez mungu awajaalie jannatul firdaus wote walotangulia mbele za haki Amiin🤲
Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun Mwenye Enzi Mungu amrehemu amlaze pema peponi amjaalie katika as'habul yamiin ampe kauli thabit yaarab ampe kitabu chake kwa mkono wake wa kulia allahumma ameen yaarab
Amin yarrab
Mungu amrehem amlaze pema pepon amiin na waislam wote amiin
Mungu alipanga kifo chake kitokee akiwa hija kuna haja ya kutafakari sisi je sisi kitatukuta tukiwa wapi?
Utafaishi kimatendo yako na harakat zako na imani yako ndio utakavyokuwa.kifo chako ila tuwache hanasa na maovu Inshallah
Kweli kabisa
Innalillah wainnaillah raj'uun. Wallah nimetamani Hadi kulia. Allah atujaalie waislam mwisho mwema
Amiiina rabillaa miin.....
Mm nimelia kwa furaha lkn nataman na mm nifikie hivo
mashaallah
nimejifunza mengi allah amlaze mahal pema
Kwahakika mama huyu mungu amemjalia pepo ndunguzangu tuzilindeni nafsi zetu juu yamabaya kwahakika mungu anamalipo mazuri aherah amina
Innalillah wainnailaihirajiun mashallah.Allah atujaalie mwisho mwema na sisi sote Amin🤲
Mashaallah jmn Mama ameenda vizuri sana,😪😪😪Allah atujalie mwisho mwema
Allah amrehemu na amsamehe makosa yake sisi tupo nyuma yake Allah atujalie mwisho mwema
Zanzibarkaswida
Allah amuhifadhi masha Allah mama ame ondoka kwa history nzuri
Na Sisi Allah atupe Mwisho mwema! In Shaa Allah
@@muddymuzungu4357 amiin yarabil alamiin
Allah nasisi atupe mwisho mwema
Amiin yarab
@@PEPMIS4770 Amiin yarab
Ina lillah wainah illah rajiun Allah amjaalie Jannatul firdaus iwe maakazi yake nasi atupe mwisho
Ewe Mwezi Mungu mwingi wa rehma mwenye kurehem kwa unyenyekevu tunakuomba utujaalie kabla lmauti tawban , Wai'nda lmaut shahadan , wabaada lmaut jannat wanaiman wamulkan kabiira. Amin
Amin thuma amen
Amin
Amiiiin yaarabih
Amiin
Ameen yaa Rabby
ALLAH AKBAR ALLAH atujaliye mwisho mwema ss na vizazi vetu kwa ujumla AMEEN 🤲
Masha allah!Allah atujaalie na sie mwisho mwema na Atusameh makosa yetu🤲
MashaaAllah tabaraka Rahman hakika mama etu aliipa mgogo dunia na akaitengeneza khara yake nakwauwezo wa Allah amefanikisha ilo Allah atujaharia nasio tuwe wenye kufanya kheriii na atupe mwisho mwema 👏
Aamiin
Masha all ah ,,,,, bi Akiba Allah akujalie pepo y firdaus Ya rabby tupe mwisho mwema na sisi
Mashallah namim nimetaman kufa kama alivyo kufa uyu mama mungu nijaalie niweze kubadilika niwe ni mja mnyenyekevu kwako unipe mwisho mwema nimeyakinai matendo yang uyu mama ni muongozo kanifundisha
Allahu maa aaaamin yaa rabb. Allah akujaalie biidhnillah.
Allahuma ghufirllaha warhamha waaskinaha filjanat 🤲🏼
Sasa nimeamini ule msemo usemao kifo ni sherehe , kwa huyu mama bi akiba kweli ni sherehe kaondoka vizuri duniani , eeh Mungu tujalie mwisho mwema kama huyu bi akiba, Mana dalili ya mvua mawingu
Allahuma amiin
Kaabis yan
Mashallah Allahumma ghfirlaha warhamha waskanaha fil jannal
Jannat firdous yarab
Amiin yaarab
Mashallah Allah amjalie kheir katka kabri lke
MashaAllah, Allah atujaalie mwisho mwema.
Hongera mama Akiba Kwa kupata Pepo
Kwa maelezo tu yatosha kujua kua mama alikua mwema.
Ya Rabbi muweke fasi ya mtume (Saw)
Hakika 🤝🤝amiin 🤲pia
Amin na waislam wote kwa ujumla
Aamin na Kila mja wa kiislam Kwa rehma zake In Shaa Allah
Amin
@@hawamashauri1218 mmh kila sehemu upo?!
Inna lilahi wainna ilayhi rajiuun. WALLAHY L-ADHIM moyo wng umefurrahi kwa huyu ukht safari yake ya mwisho imemfikia akiwa kwenye ibada .. alhamdulilah. Yaa Allah tupe nasi khucni lkhatima. Nawe ukht ampe malazi mema na furaha ktk kabri yake . Moyo na mwili umenisisimka wallahy. Na machozi ya furaha na huzini😭😭😭😭😭
Amin
Amiin yaarabbi thumma amiin inshllah
Yaa Allaah, MSAMEHE, MREHEMU NA MLAZE PEPONI
mashallah namm Allah anipe HUSNLHATMA 🤲
Amin kwa sote
Allah akupe Pepo ya juu mamangu naamini wema hawadumu lkn hatuna cha kusema ni kusema alhamdilah nasi wafiwa mungu atupe nguvu 😭😭😭😭🤦🏿
Polen sanaa Ila hongeren mama yenu amefuzu mashallah...
Inalilahi waina ilahi rajiun. Allah awape subra katika kipindi hichi,poleni sanaa,Allah ampe kauli thabit
In Shaa Allah
Poleni wapendwa ,,Allah awatie nguvu Insha'Allah
Mungu msamehe makosa yake na sisi atujaalie mwisho mwema atusamehe makosa yetu. Amiin
إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
Hakika kifo ni mawaidha lakini chako ni shuhuda nzitoo.
Allah atujaalie mwisho mwema
Mwenye zimungu amsamehe zambi zake amenn
Masha allah mwenyezi mungu ampe pepo ya daraja ya juu mwenyewe alokuwa akililia na inshallah atampa na sisi tulobaki mwenyezimungu atupe mwisho mwema
mashallah allah awazidishie kheri inshallah na sisi atujaalie mazuri katika mazuri ya allah na wafiwa awape subra
Allah anisameh, atusameh sote , atuongoze sisi na vizazi vyetu, atujalie tawba kablal mauti, atujalie husnl khatima yaa Rabb, atutangamanishe na waja wake wema. Kisa Cha huyu mama etu kiwa sadaqatul jariya kwake kwa kila atakae pata zingatio kupitia mauti yake
Amin allahuma Amin
Mashallah yarabi ampe pepo daraja la juu nasisi tuliobaki yarabi husnikhatima
Inna lilahi waina ileihi rajiun mungu amueke mahali pema inshallah ampe kauli thabit inshallah
Amin
Inalillah waina illah rajiun 😭🤲🏻🤲🏻😭😭Allah atujalie mwisho mwema ameen🤲🏻🤲🏻
Innalillah wa innailayhi rajiuuni Daaaah Allah amuweke na waja walio wema Yaarabb hakika ya mauti ni Mawaidha tosha kabisa kwetu ss tuliobaki Daaaah kaondoka vzr saan mama etu nasi tumuombe Allah atufishe hali ya kuwa ameturidhia Amiiyn
𝐀𝐦𝐢𝐢𝐧
Ni amefariki Hajj ya mwaka huu?
Ya allah tupe nasi mwisho mwema😭😭 biakiba mwenzetu kaupata mwisho mwema😭
الله اكبر
اللهم اغفر له وثبتها
Mungu amlaze pema. Peponi amina
ALLAH ATUPE KHUSNIL KHATIMA NA AMSWAMEH BI'AKIBA,ALLAH AMLAZE MAHALI PEMA PEPONI...
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH MAMA ALLAH AKUJAALIE PEPO YAKE INSHALLAH TUMEJIFUNGA KITU INSHALLAH TUDHIDI KUMUOMBA ALLAH ATUJAALI MWISHO MWEMA INSHALLAH
Amiin yarab
Bismillah mashaAllah innallillah wainna illahy rajiuun Allah ampe kaully thaabit
Maalim siasa mwalim wangu
Qaadiriya.
mashallah mungu amlaze Mahala Pema peponi amiin
Innalilah wainna illah rajiun Allah atujaalie mwisho mwema na atuongoze kwenye kufanya kher
Subhanallah allahuma ghfrillahaa warhamhaa waskanal filjanna innallillah wainailaihi raajiun
AlHamduLilAllah MaaShaaAllah may Allah Bless Us in Shaa Allah,
Masha allah
Jazakallah khayran
Innalilah waina ilaih rajiun.allah amsamehe dhambi zake ampe nuru katika kaburi lake firdausi iwe makazi yake allah amuweke na waja wema peponi. Poleni wafiwa wote allah atupe subira hata mimi ni mmoja walio ondokewa kipindi hiki cha eid lhaj kwani mama yangu mzazi alifunga swaum siku 9 ambao ni siku ya arafa.siku ya eid alfajiri hakujaaliwa kuinuka tena ndio ikawa safari yake.innalilah waina ilaih rajiun.😭😭
pole ndugu yangu Allah ampe kauli thabit kaburi lake liwe na nuru roho yake iwe mahali pema peponi Allah akupeni subra amin
Mashaallah.. Allahumma Ghfir laha.
Mashaalah shekh Allah awsimamie
MashaAllah, innalillahi wainna ilaihi rajiun
Allah atujaalie mwisho mwema wallah natamani kifo km hiki InshaAllah
Na sie atupe mwisho mwema yaarab mama etu kaondoka vizuri yaarab
Amin
Yan nataman kweli kwel kama ningekuwa me Mana ya Dunia wamenichosha
Mashaalah
Mashaaallah Mashaaallah
MashaALLAH MashaALLAH ALLAH atupe mwisho mwema in shaa ALLAH
maashaallah mama kapat neema ya kufia saudia mji mtakatifu
INNA LILLAHI WAINNA ILAYHI RAJIUN
Mashaaallah yarab tujaalie mwisho mwemaa 🙏🙏
Innalillahi wainna ilaihi raj un. Allah amjaalie pepo ya darja la juu.inshaallah nasi atujaalie mwisho mwema pamoja na vizazi vyetu
Mashaalah
Alwah
Atupe
Mwisho
Kwema
Alhamdulillah
Mashaallah Allah atupe mwisho mwema 🤲🤲
Aaamin
Aaamin
Aaamina Yaa Rabby
Amiiiin yaa Rabbi🙏🙏🙏🙏
Amin thummah amin
Mwandishi wahabari ingependeza zaidi ungevaa kanzu ya msikitini kuliko kuvaaa jezii
Allah hamueke mahali pema peponi nasi pia hatujalie mwisho mwema insha'Allah
Inna lillahi wainnaa ilayh Raajiuun. Allah akulipe pepo ya darja ya juu mama angu. Tutakukumbuka sana mama .
Innalillahi Wainna Ilayhii Rajiuun Allah Amsamehe makosa yake
MashaAllah LailahaillaAllah
اللهم اغفرلها ورحمها
Inna lillah wainna ilayh rajiuun bi hajjat kaupata mwisho mwema na sie Allah atujaalie mwisho mwema yaraab
أللهم أغفر لها وارحمها واسكنها فسيح جناته
رب اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناته مع النبيين والصديقين والصالحين والشهداء وحسن اؤلاءك رفيقا اللهم امييين
Mashallah Allah nijalie nami hatma njema yarab nisiondoke mpaka Allah awe ameniridhia Amiin
Ina Lillahi waina ilayhi rajiuna allah amjaaliye makaz mema nasi pia atupe mwisho mwema inshaallah 😢😢😢😢😢😢😢😢🙏🙏🙏
Mambo hayo kwa wenzetu huyaoni kabisa anaondoka kama mnyama tu😊😅😅
Masha allah masha llah mashallah 🤲🤲🤲
innalilah wainnailah rajion
Mmungu amuweke mahala pema peponi Amin Amin Amin
Tafadhali sheikh ongea kiswahili tukuelewe humu kenya hatujui hiyo lugha
Innah lilaih wainnah lilaih rajiuon pole kwa msiba ,Allah awape Subrah wakati huu mgumu
Allah amrehem ailaze mahali pema peppni nafsi yake KUL nafsi zaalikal maut😭
Alhamdulilah. Lkn na kivazi chako angalia unapoingia kwenye interview hizo.
kivazi kipi sasa?!!.
Kivazi kina nini?
Kwani amekaa uchi huyo?
Tuangalie content na tujifunze kitu
Tupu ya Mwanaume ni kuanzia kwenye magot mpk kweny kitov
Inna Lilah wainna ilahy rajiun allahumma ghafirhaa warahamaha waaskanaha fill jannah
Amin
Allahuma aghfirlaha warhamha waaskinaha fi jannat
Innalillahi wainnailaihi raajiuna Allah mpe pepo njema nac utufishe salama inshaallah
mm nilijuwa sheikh chizenga wanefanana Sana na sheikh Hassan chizenga..!
Inna Lillahi Wainna Illayhi Raajiuun. Allahumma Aghfirlahu Wa Arhamaha Wa Askinha Fi Jannat Ya Rabb. Amiin Amiin Amiin Ya Rabbal Al Amiin