Комментарии •

  • @danielmwijage3045
    @danielmwijage3045 Год назад +11

    Mama pepo meingia moja kwa moja ni wachache watakao watakao pata hii fulsa. Ewe Mola tujalie mwisho mwema kama ulivyomjalia mama yetu. Amin

  • @husna34562
    @husna34562 Год назад +56

    Mashallah mpka naona wivu wallah Allah amjalie awe pamoja na watu wema nas atupe mwisho mwema

    • @mwanaikaomar8628
      @mwanaikaomar8628 Год назад +7

      Namie ndo hivohivo naona wivu mwenzangu.jambo sio dogo hili.asiekuwa na wivu Kwa hili Hana akili.Allah atupe shahada wakati wa kufa kwetu na sisi Yaa Rabbiy

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Год назад +2

      Amiiiiiiiin yaaa rabbil aaaalamiiiiin🙏

    • @Tatafati-uk8vy
      @Tatafati-uk8vy Год назад +2

      Amin

    • @husna34562
      @husna34562 Год назад +2

      @@mwanaikaomar8628 Amiin

    • @aminaabrahim9656
      @aminaabrahim9656 Год назад +2

      Allahhumma Aamiin yarrab

  • @asiaiddi2539
    @asiaiddi2539 Год назад +41

    Daaah Yan mtu akifa hivyo m hua naona wivu...Allah nijalie mm na wenzang tufe ilhal n waumin....

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Год назад +24

    Mashaallah mama kenda salama kbs hd raha jmn 😢😢mungu ampe pepo ya pamoja na kipenz cha waislamu ( mtume ,s , w ) inshallah na mungu atupe mwisho mwema inshallah 🤲🤲😢😢

  • @shi5a_
    @shi5a_ Год назад +19

    M mungu amrehem amlaze pema pepon amiin na waislam wote amiin

  • @nasrahozza9231
    @nasrahozza9231 Год назад +17

    Mashaallah yarab atujalie mwisho mwema

  • @rahmajaffar794
    @rahmajaffar794 Год назад +11

    Alhamdulilah MashaAllahMwenyeEnzi Mungu Amjaalie heri kaburini na siku ya kufufuliwa na siku ya hukumu. Na sisi Mungu atusamehe na asituachie tukawa miongoni mwa waliopotea, atujaalie tutimize nguzo Tano zote za uislam na atujaalie janat iwe makazi yetu

  • @AsyaKombo
    @AsyaKombo 3 часа назад

    Mashallah nataman nipit njia kam hii, Allah amkubalie mazur yak na amsameh makosa yak yotee, nasi atup mwish mwema tufurahike.Aaamin

  • @latifahali8228
    @latifahali8228 Год назад +18

    Mashaaallah wallah mpaka unaona wivu allah atupe husnu khatima

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Год назад

      Inshaallah

    • @fairunalhashy6938
      @fairunalhashy6938 Год назад

      Mashaallah hajjat bi akiba amepata bahati kubwa nataman inikute na mm yarabi marhum akiba Allah akurehem akupe kauli thabit

  • @user-tn5gl6zu2v
    @user-tn5gl6zu2v 4 дня назад +1

    Ma shaa Allah Alla amjalie pepo kama alinyo omba mwenyew😢😢😢

  • @abuuhanan6686
    @abuuhanan6686 Год назад +5

    Zaman mtu akifa kifo kibaya watu wanashangaa saiv mtu akiwa na mwisho mzur ndo ajabu Allah amempikea mja wake mashallah

  • @zulfahafidh7796
    @zulfahafidh7796 Год назад +5

    Ma sha Allah mwenyez mungu awajaalie jannatul firdaus wote walotangulia mbele za haki Amiin🤲

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Год назад +10

    Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun Mwenye Enzi Mungu amrehemu amlaze pema peponi amjaalie katika as'habul yamiin ampe kauli thabit yaarab ampe kitabu chake kwa mkono wake wa kulia allahumma ameen yaarab

  • @user-vs1my5bn7c
    @user-vs1my5bn7c 3 дня назад +1

    Mungu amrehem amlaze pema pepon amiin na waislam wote amiin

  • @jacquelinemabula2519
    @jacquelinemabula2519 Год назад +15

    Mungu alipanga kifo chake kitokee akiwa hija kuna haja ya kutafakari sisi je sisi kitatukuta tukiwa wapi?

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 Год назад +1

      Utafaishi kimatendo yako na harakat zako na imani yako ndio utakavyokuwa.kifo chako ila tuwache hanasa na maovu Inshallah

    • @kbadijasalim5682
      @kbadijasalim5682 Год назад

      Kweli kabisa

  • @fathmaoman1186
    @fathmaoman1186 Год назад +7

    Innalillah wainnaillah raj'uun. Wallah nimetamani Hadi kulia. Allah atujaalie waislam mwisho mwema

  • @omanruwi4935
    @omanruwi4935 Год назад +7

    mashaallah
    nimejifunza mengi allah amlaze mahal pema

  • @sadafinanivako3991
    @sadafinanivako3991 Год назад +3

    Kwahakika mama huyu mungu amemjalia pepo ndunguzangu tuzilindeni nafsi zetu juu yamabaya kwahakika mungu anamalipo mazuri aherah amina

  • @mapishiyakwetu
    @mapishiyakwetu Год назад +6

    Innalillah wainnailaihirajiun mashallah.Allah atujaalie mwisho mwema na sisi sote Amin🤲

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Год назад +6

    Mashaallah jmn Mama ameenda vizuri sana,😪😪😪Allah atujalie mwisho mwema

  • @swalehbinaliy9413
    @swalehbinaliy9413 Год назад +8

    Allah amrehemu na amsamehe makosa yake sisi tupo nyuma yake Allah atujalie mwisho mwema

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Год назад +15

    Allah amuhifadhi masha Allah mama ame ondoka kwa history nzuri

  • @umminelson8487
    @umminelson8487 Год назад +6

    Ina lillah wainah illah rajiun Allah amjaalie Jannatul firdaus iwe maakazi yake nasi atupe mwisho

  • @dazuujuma941
    @dazuujuma941 Год назад +9

    Ewe Mwezi Mungu mwingi wa rehma mwenye kurehem kwa unyenyekevu tunakuomba utujaalie kabla lmauti tawban , Wai'nda lmaut shahadan , wabaada lmaut jannat wanaiman wamulkan kabiira. Amin

  • @faizanassor6336
    @faizanassor6336 Год назад +6

    ALLAH AKBAR ALLAH atujaliye mwisho mwema ss na vizazi vetu kwa ujumla AMEEN 🤲

  • @shadyasaid5828
    @shadyasaid5828 Год назад +2

    Masha allah!Allah atujaalie na sie mwisho mwema na Atusameh makosa yetu🤲

  • @halimahalima1488
    @halimahalima1488 Год назад +4

    MashaaAllah tabaraka Rahman hakika mama etu aliipa mgogo dunia na akaitengeneza khara yake nakwauwezo wa Allah amefanikisha ilo Allah atujaharia nasio tuwe wenye kufanya kheriii na atupe mwisho mwema 👏

  • @zainabmohammed6700
    @zainabmohammed6700 Год назад +2

    Masha all ah ,,,,, bi Akiba Allah akujalie pepo y firdaus Ya rabby tupe mwisho mwema na sisi

  • @pilisalehe4562
    @pilisalehe4562 Год назад +1

    Mashallah namim nimetaman kufa kama alivyo kufa uyu mama mungu nijaalie niweze kubadilika niwe ni mja mnyenyekevu kwako unipe mwisho mwema nimeyakinai matendo yang uyu mama ni muongozo kanifundisha

    • @allymohamed6265
      @allymohamed6265 Год назад

      Allahu maa aaaamin yaa rabb. Allah akujaalie biidhnillah.

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 Год назад +5

    Allahuma ghufirllaha warhamha waaskinaha filjanat 🤲🏼

  • @basumaadam2686
    @basumaadam2686 Год назад +5

    Sasa nimeamini ule msemo usemao kifo ni sherehe , kwa huyu mama bi akiba kweli ni sherehe kaondoka vizuri duniani , eeh Mungu tujalie mwisho mwema kama huyu bi akiba, Mana dalili ya mvua mawingu

  • @fatmamdidi8108
    @fatmamdidi8108 Год назад +7

    Mashallah Allahumma ghfirlaha warhamha waskanaha fil jannal

  • @munayaaalmiskiry4378
    @munayaaalmiskiry4378 Год назад +4

    Mashallah Allah amjalie kheir katka kabri lke

  • @miskiaayallah1872
    @miskiaayallah1872 Год назад +1

    MashaAllah, Allah atujaalie mwisho mwema.
    Hongera mama Akiba Kwa kupata Pepo

  • @saheedali7467
    @saheedali7467 Год назад +6

    Kwa maelezo tu yatosha kujua kua mama alikua mwema.
    Ya Rabbi muweke fasi ya mtume (Saw)

  • @fatmabhai2812
    @fatmabhai2812 Год назад +3

    Inna lilahi wainna ilayhi rajiuun. WALLAHY L-ADHIM moyo wng umefurrahi kwa huyu ukht safari yake ya mwisho imemfikia akiwa kwenye ibada .. alhamdulilah. Yaa Allah tupe nasi khucni lkhatima. Nawe ukht ampe malazi mema na furaha ktk kabri yake . Moyo na mwili umenisisimka wallahy. Na machozi ya furaha na huzini😭😭😭😭😭

  • @masoudsaid7971
    @masoudsaid7971 Год назад

    Yaa Allaah, MSAMEHE, MREHEMU NA MLAZE PEPONI

  • @lailatamour9927
    @lailatamour9927 Год назад +4

    mashallah namm Allah anipe HUSNLHATMA 🤲

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar439 Год назад +5

    Allah akupe Pepo ya juu mamangu naamini wema hawadumu lkn hatuna cha kusema ni kusema alhamdilah nasi wafiwa mungu atupe nguvu 😭😭😭😭🤦🏿

    • @asiaiddi2539
      @asiaiddi2539 Год назад +1

      Polen sanaa Ila hongeren mama yenu amefuzu mashallah...

    • @wildernesstanzania1746
      @wildernesstanzania1746 Год назад

      Inalilahi waina ilahi rajiun. Allah awape subra katika kipindi hichi,poleni sanaa,Allah ampe kauli thabit

    • @aviwaomar439
      @aviwaomar439 Год назад

      In Shaa Allah

    • @mejumwinyi5404
      @mejumwinyi5404 Год назад

      Poleni wapendwa ,,Allah awatie nguvu Insha'Allah

  • @rizikisuleiman2139
    @rizikisuleiman2139 Год назад +4

    Mungu msamehe makosa yake na sisi atujaalie mwisho mwema atusamehe makosa yetu. Amiin

  • @is-hakaalkindi9220
    @is-hakaalkindi9220 Год назад +2

    إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ

  • @mohamedissakaishema9895
    @mohamedissakaishema9895 Год назад +3

    Hakika kifo ni mawaidha lakini chako ni shuhuda nzitoo.
    Allah atujaalie mwisho mwema

  • @fatumasaidi497
    @fatumasaidi497 Год назад +6

    Mwenye zimungu amsamehe zambi zake amenn

  • @fatumakingi9753
    @fatumakingi9753 Год назад

    Masha allah mwenyezi mungu ampe pepo ya daraja ya juu mwenyewe alokuwa akililia na inshallah atampa na sisi tulobaki mwenyezimungu atupe mwisho mwema

  • @ashaali1912
    @ashaali1912 Год назад +1

    mashallah allah awazidishie kheri inshallah na sisi atujaalie mazuri katika mazuri ya allah na wafiwa awape subra

  • @aminaabdalla9532
    @aminaabdalla9532 Год назад +1

    Allah anisameh, atusameh sote , atuongoze sisi na vizazi vyetu, atujalie tawba kablal mauti, atujalie husnl khatima yaa Rabb, atutangamanishe na waja wake wema. Kisa Cha huyu mama etu kiwa sadaqatul jariya kwake kwa kila atakae pata zingatio kupitia mauti yake

  • @ilhamrashid1125
    @ilhamrashid1125 Год назад +1

    Mashallah yarabi ampe pepo daraja la juu nasisi tuliobaki yarabi husnikhatima

  • @hafidhamana325
    @hafidhamana325 Год назад +3

    Inna lilahi waina ileihi rajiun mungu amueke mahali pema inshallah ampe kauli thabit inshallah

  • @lutfiaali888
    @lutfiaali888 Год назад +2

    Inalillah waina illah rajiun 😭🤲🏻🤲🏻😭😭Allah atujalie mwisho mwema ameen🤲🏻🤲🏻

  • @mwajumaissa2358
    @mwajumaissa2358 Год назад +4

    Innalillah wa innailayhi rajiuuni Daaaah Allah amuweke na waja walio wema Yaarabb hakika ya mauti ni Mawaidha tosha kabisa kwetu ss tuliobaki Daaaah kaondoka vzr saan mama etu nasi tumuombe Allah atufishe hali ya kuwa ameturidhia Amiiyn

  • @sinangoarashid504
    @sinangoarashid504 Год назад +1

    Ya allah tupe nasi mwisho mwema😭😭 biakiba mwenzetu kaupata mwisho mwema😭

  • @ammaryabubakari6121
    @ammaryabubakari6121 Год назад +4

    الله اكبر
    اللهم اغفر له وثبتها

  • @user-ym6hw2ks8x
    @user-ym6hw2ks8x 7 дней назад

    Mungu amlaze pema. Peponi amina

  • @iymansaciid9492
    @iymansaciid9492 Год назад +2

    ALLAH ATUPE KHUSNIL KHATIMA NA AMSWAMEH BI'AKIBA,ALLAH AMLAZE MAHALI PEMA PEPONI...

  • @ashashaban6484
    @ashashaban6484 Год назад +1

    MASHALLAH MASHALLAH ALLAH MAMA ALLAH AKUJAALIE PEPO YAKE INSHALLAH TUMEJIFUNGA KITU INSHALLAH TUDHIDI KUMUOMBA ALLAH ATUJAALI MWISHO MWEMA INSHALLAH

  • @wemakalama6458
    @wemakalama6458 Год назад +2

    Bismillah mashaAllah innallillah wainna illahy rajiuun Allah ampe kaully thaabit

  • @alihamad6046
    @alihamad6046 Год назад +5

    Maalim siasa mwalim wangu

  • @user-ur6zr7wc8n
    @user-ur6zr7wc8n Год назад +1

    mashallah mungu amlaze Mahala Pema peponi amiin

  • @nas2800
    @nas2800 Год назад +1

    Innalilah wainna illah rajiun Allah atujaalie mwisho mwema na atuongoze kwenye kufanya kher

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 Год назад +2

    Subhanallah allahuma ghfrillahaa warhamhaa waskanal filjanna innallillah wainailaihi raajiun

  • @abdimgua798
    @abdimgua798 Год назад

    AlHamduLilAllah MaaShaaAllah may Allah Bless Us in Shaa Allah,

  • @aminaalabri4170
    @aminaalabri4170 Год назад +3

    Masha allah

  • @a.856
    @a.856 Год назад +1

    Jazakallah khayran

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 Год назад +1

    Innalilah waina ilaih rajiun.allah amsamehe dhambi zake ampe nuru katika kaburi lake firdausi iwe makazi yake allah amuweke na waja wema peponi. Poleni wafiwa wote allah atupe subira hata mimi ni mmoja walio ondokewa kipindi hiki cha eid lhaj kwani mama yangu mzazi alifunga swaum siku 9 ambao ni siku ya arafa.siku ya eid alfajiri hakujaaliwa kuinuka tena ndio ikawa safari yake.innalilah waina ilaih rajiun.😭😭

    • @fatmamossadeq3072
      @fatmamossadeq3072 Год назад

      pole ndugu yangu Allah ampe kauli thabit kaburi lake liwe na nuru roho yake iwe mahali pema peponi Allah akupeni subra amin

  • @abdallahamad4682
    @abdallahamad4682 Год назад +1

    Mashaallah.. Allahumma Ghfir laha.

  • @fadhilasuleiman1611
    @fadhilasuleiman1611 Год назад

    Mashaalah shekh Allah awsimamie

  • @bibah-h2133
    @bibah-h2133 Год назад

    MashaAllah, innalillahi wainna ilaihi rajiun
    Allah atujaalie mwisho mwema wallah natamani kifo km hiki InshaAllah

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 Год назад +2

    Na sie atupe mwisho mwema yaarab mama etu kaondoka vizuri yaarab

  • @basumaadam2686
    @basumaadam2686 Год назад +2

    Yan nataman kweli kwel kama ningekuwa me Mana ya Dunia wamenichosha

  • @bishumbanamohd6137
    @bishumbanamohd6137 Год назад +2

    Mashaalah

  • @latifahali8228
    @latifahali8228 Год назад +2

    Mashaaallah Mashaaallah

  • @latiffaomar6429
    @latiffaomar6429 Год назад

    MashaALLAH MashaALLAH ALLAH atupe mwisho mwema in shaa ALLAH

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Год назад +1

    maashaallah mama kapat neema ya kufia saudia mji mtakatifu

  • @zakiyasalim9847
    @zakiyasalim9847 Год назад +3

    INNA LILLAHI WAINNA ILAYHI RAJIUN

  • @fadhilakayungi1919
    @fadhilakayungi1919 Год назад

    Mashaaallah yarab tujaalie mwisho mwemaa 🙏🙏

  • @asyaabdallah756
    @asyaabdallah756 Год назад

    Innalillahi wainna ilaihi raj un. Allah amjaalie pepo ya darja la juu.inshaallah nasi atujaalie mwisho mwema pamoja na vizazi vyetu

  • @tatuisihaka1229
    @tatuisihaka1229 Год назад

    Mashaalah
    Alwah
    Atupe
    Mwisho
    Kwema

  • @zainaballymashaaallahmasha9562
    @zainaballymashaaallahmasha9562 Год назад +2

    Alhamdulillah

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo Год назад +4

    Mashaallah Allah atupe mwisho mwema 🤲🤲

  • @Meme-sr1gl
    @Meme-sr1gl Год назад +1

    Mwandishi wahabari ingependeza zaidi ungevaa kanzu ya msikitini kuliko kuvaaa jezii

  • @sikukuumshihirisikukuumshi5468

    Allah hamueke mahali pema peponi nasi pia hatujalie mwisho mwema insha'Allah

  • @nasramzee1131
    @nasramzee1131 Год назад

    Inna lillahi wainnaa ilayh Raajiuun. Allah akulipe pepo ya darja ya juu mama angu. Tutakukumbuka sana mama .

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 Год назад +2

    Innalillahi Wainna Ilayhii Rajiuun Allah Amsamehe makosa yake

  • @mejumwinyi5404
    @mejumwinyi5404 Год назад

    MashaAllah LailahaillaAllah

  • @hafswaanassor1298
    @hafswaanassor1298 Год назад +2

    اللهم اغفرلها ورحمها

  • @hamidaayoub744
    @hamidaayoub744 Год назад

    Inna lillah wainna ilayh rajiuun bi hajjat kaupata mwisho mwema na sie Allah atujaalie mwisho mwema yaraab

  • @salumhamed5074
    @salumhamed5074 Год назад +5

    أللهم أغفر لها وارحمها واسكنها فسيح جناته

    • @rahmaaltoki9835
      @rahmaaltoki9835 Год назад

      ‎رب اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناته مع النبيين والصديقين والصالحين والشهداء وحسن اؤلاءك رفيقا اللهم امييين

    • @mwamgazamuya9825
      @mwamgazamuya9825 Год назад +1

      Mashallah Allah nijalie nami hatma njema yarab nisiondoke mpaka Allah awe ameniridhia Amiin

  • @nuraynmakoya803
    @nuraynmakoya803 Год назад

    Ina Lillahi waina ilayhi rajiuna allah amjaaliye makaz mema nasi pia atupe mwisho mwema inshaallah 😢😢😢😢😢😢😢😢🙏🙏🙏

  • @hassanmfaume4522
    @hassanmfaume4522 10 дней назад

    Mambo hayo kwa wenzetu huyaoni kabisa anaondoka kama mnyama tu😊😅😅

  • @fatumakingi9753
    @fatumakingi9753 Год назад

    Masha allah masha llah mashallah 🤲🤲🤲

  • @bishumbanamohd6137
    @bishumbanamohd6137 Год назад +3

    innalilah wainnailah rajion

  • @nassorsubah3100
    @nassorsubah3100 Год назад

    Mmungu amuweke mahala pema peponi Amin Amin Amin

  • @mushken65
    @mushken65 Год назад

    Tafadhali sheikh ongea kiswahili tukuelewe humu kenya hatujui hiyo lugha

  • @bebbybebby655
    @bebbybebby655 Год назад

    Innah lilaih wainnah lilaih rajiuon pole kwa msiba ,Allah awape Subrah wakati huu mgumu

  • @stinaismail846
    @stinaismail846 Год назад +1

    Allah amrehem ailaze mahali pema peppni nafsi yake KUL nafsi zaalikal maut😭

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 Год назад +2

    Alhamdulilah. Lkn na kivazi chako angalia unapoingia kwenye interview hizo.

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 Год назад +2

    Inna Lilah wainna ilahy rajiun allahumma ghafirhaa warahamaha waaskanaha fill jannah

  • @fakihisilima3414
    @fakihisilima3414 Год назад +1

    Innalillahi wainnailaihi raajiuna Allah mpe pepo njema nac utufishe salama inshaallah

  • @hassanmfaume4522
    @hassanmfaume4522 Год назад +1

    mm nilijuwa sheikh chizenga wanefanana Sana na sheikh Hassan chizenga..!

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Год назад +1

    Inna Lillahi Wainna Illayhi Raajiuun. Allahumma Aghfirlahu Wa Arhamaha Wa Askinha Fi Jannat Ya Rabb. Amiin Amiin Amiin Ya Rabbal Al Amiin