MTU MREFU KULIKO WOTE TANZANIA/MPENZI WAKE ANAMFIKIA KIUNONI/KITANDA ANACHOLALA/CHANGAMOTO/STAMINA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Mtu ambaye anadaiwa kuwa ni mrefu zaidi Tanzania, amefunguka na kusema anapata changamoto nyingi akiwa katika maneno ya watu kutokana na urefu wake.MTU MREFU KULIKO WOTE TANZANIA/MPENZI WAKE ANAMFIKIA KIUNONI/KITANDA ANACHOLALA/CHANGAMOTO/STAMINA

Комментарии • 128

  • @afyayangutime8738
    @afyayangutime8738 4 года назад +1

    Ishallah mwenyezi Mungu azifanye changamoto zake kuwa mafanikio yake kupitia umbile lake

  • @salhamrishoaish9292
    @salhamrishoaish9292 4 года назад +6

    Jamani mimi mtangazaji unanichesha ila 😂😂😂ila pore umepatatikana maana sikwaufupi huo mimi nainjoi hapa naona m2 mrefu na mfupi

  • @kemalswaleh9527
    @kemalswaleh9527 4 года назад

    Ilove u a voice and u a height

  • @daughterofziontv530
    @daughterofziontv530 4 года назад

    But he is handsome, I love his voice, Gods plan I like how God does his things

  • @tatushoke6856
    @tatushoke6856 4 года назад

    pole mtangazaji mana wabadili mikono du mwanakulitaka mwanakulipata mana hapa nacheka mpaka bc hhhhhhhh carry mtangazaji wako kakoma hhhhhhh mara kwapani da pole love

  • @drraizkidume867
    @drraizkidume867 4 года назад +3

    Haka kajamaa karefu kweli dhuuu.. Mi namfikia mpajani tuum from Mozambique

  • @kemalswaleh9527
    @kemalswaleh9527 4 года назад

    Waoooh nice

  • @mukaplatnumz2313
    @mukaplatnumz2313 4 года назад +4

    Mhhhhhhhh hivi kama walete shindano la mapambano nyie wawili nani ambaye anaweza kumchapa mwenzake? 😂😂😂 Brother yuko vizuri mno kwenye kuchuma hembe mtini kwake ateseki.

  • @leonardmanyanza1058
    @leonardmanyanza1058 4 года назад +3

    Jamaa limetulia kwenye interview halina wenge

  • @vennymaxmillian1870
    @vennymaxmillian1870 4 года назад

    Nimekumsi Sana j

  • @glorianishimwe1587
    @glorianishimwe1587 4 года назад +7

    Hahaha nimeceka mutangazaji utacoka shingooo

    • @bahatijoseph8763
      @bahatijoseph8763 4 года назад

      Hahahahaha af eti na yeye anakaza Sauti Kaka Jamaa Tolu

  • @timothmwakakusyu4563
    @timothmwakakusyu4563 4 года назад

    Suruali ya mtangazaji ndo boxa ya bwana Tall 😬😬😬😬😬😬😬🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @salmangassu1011
    @salmangassu1011 4 года назад +2

    Ungechukua ngazi maana huomkono lazima ukauchue😀😀😀

  • @Allelua2024
    @Allelua2024 Год назад

    Nenda rwanda wapo warefu waschana

  • @bahatijoseph8763
    @bahatijoseph8763 4 года назад

    Hahahahahahaha😂😂😂
    Mtangazaji mpaka Mkono umechokaa...

  • @caronmussa3543
    @caronmussa3543 4 года назад +2

    Mashine hapo hatar ndefuuuu

    • @jescamachibya7724
      @jescamachibya7724 4 года назад

      Caron Mussa hahaha una mawazo ka yang inakutoa kizaz

  • @angelokihaka8363
    @angelokihaka8363 4 года назад +1

    Mtangazaji mkono huo utavunjika

  • @AhmedSalah-ri3es
    @AhmedSalah-ri3es 4 года назад +2

    Ndugu mtangazaji naona kma unachoka kunyoosha mkono na shingo hio hhahaha

  • @mashombomashombo9233
    @mashombomashombo9233 4 года назад +1

    Mbona kawaida huyo kwa broo wangu ni mfupi Sana

  • @saadakiyungi6437
    @saadakiyungi6437 4 года назад

    Hatare

  • @Kazubassyathyvry89
    @Kazubassyathyvry89 4 года назад +1

    Duhhhh

  • @hamimhamis2549
    @hamimhamis2549 4 года назад

    Duuuu htr

  • @munyievarist3070
    @munyievarist3070 4 года назад

    vp voice?

  • @Boaz22
    @Boaz22 4 года назад

    😂😂😂😂😂mtangazaji mpaka unapata tabu kumuhoji😅😅

  • @chaliwachuga519
    @chaliwachuga519 4 года назад +3

    Uyo ukitembea na yeye akitembea polepole wewe unakimbia

  • @jacklinemwanga1691
    @jacklinemwanga1691 4 года назад +1

    Kwa kwel ni mref na anajikubal sana

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 4 года назад

    Kazi unayo ukimfikishia maiki nae anainua shingo juu leo umempata wakukupa adabu kazini

  • @humphreymwihambi4330
    @humphreymwihambi4330 4 года назад

    Baraka Samson alionyeshwa na ITV mwaka 2016 alikuwa mrefu zaidi. Ana futi 7 na nchi 4.

    • @jackinemsechu1231
      @jackinemsechu1231 4 года назад

      Uyu nae c saba na pont zke na ww,uwe unasikiliza vizur

    • @vennymaxmillian1870
      @vennymaxmillian1870 4 года назад

      Kweli ila baraka hayupo tz Toka ameenda tibiwa nyonga hajalud tz kwaiyo kwa Sasa bro ndo mrefu zaid

  • @ashamfinanga6216
    @ashamfinanga6216 4 года назад

    Kwan mtangazaji amekaa au amesima...coz sielew hiyo distance

  • @esterelias8189
    @esterelias8189 4 года назад

    Hahahahahaha jmn duuh mimi ni mrefu ila huyu..

  • @florabaruti8032
    @florabaruti8032 4 года назад

    Muulize kuhusu ndonga yake inaulefu gani??

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 4 года назад

    mnasena uyo ni mrefu kuliko wote je mshawai kutana na mimi?

  • @ashuuyusuf3978
    @ashuuyusuf3978 4 года назад

    Ndo wakome kuoji watu...wamezoea piereliquid

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 4 года назад

    Kuna mwingine mrefu tunakaa naye jirani .ni mpole sana sijui huyo uliemkuta sabasaba ground.

    • @vennymaxmillian1870
      @vennymaxmillian1870 4 года назад

      Huyu pia nimpole Sana... Anapenda utani kucheka pia ila ukimkolofisha anakuhama tyuuu hapendi makuu namtu

  • @jonesnyembo7094
    @jonesnyembo7094 4 года назад +4

    Mtangazaji umeikala ama umeshimama?🤣🤣🤣🤣🇨🇩💪

    • @devidydevidy2301
      @devidydevidy2301 4 года назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ameikala huyo

    • @adbashtv6701
      @adbashtv6701 4 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @tajo8276
      @tajo8276 4 года назад

      Ameichalaa😂😂

  • @youngyayoo2805
    @youngyayoo2805 4 года назад +1

    Hahaha wauliza jamaa Kama kwao yeye ndio mfupi peke yake au mrefu ww vipi huoni

  • @mariamothman7404
    @mariamothman7404 4 года назад

    Roja umefinikwa yaan kama katoto😁😁😁ninavyo kuangalia😁😁😁

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 4 года назад

    Mtangazaj8 kuuliza umezaliwa hivihivi inashangaza kwakweli. Mtu azaliwe hivyo na ukubwa na urefu hivyo mtangazaji anauliza maswali ya ajabu sana. Binadamu anakua kwa miaka 38 mwisho haendelei kukua. Mtangazaji alipokuwa shuleni hakuwa makini kujifunza.

    • @emmamatemu8225
      @emmamatemu8225 4 года назад

      Maswali yake kwanza yanamnyanyapaa, Mimi ningemtia kofi

  • @azorindege3583
    @azorindege3583 4 года назад

    Sijaelewa mtangazani alivyouliza "umezaliwa hivi hivi?" Viwanja vya jeikeei

  • @lelyafriaq4240
    @lelyafriaq4240 4 года назад +1

    Leo roja umekomejeeee

  • @elizabethkisogole34
    @elizabethkisogole34 4 года назад +1

    Inamana Mtangazaji umeshindwa kyjiongeza kumuomba akae?

    • @beautyibrahim8428
      @beautyibrahim8428 4 года назад +1

      Akikaa mtamuonaj kama kwel mrefu yeye ndio angesimamia stul maana anaumia shingo

    • @elizabethkisogole34
      @elizabethkisogole34 4 года назад +1

      Tumeshamuona kwamna nimrefu ila after angemuomba akae

  • @mwalimuuomary2674
    @mwalimuuomary2674 4 года назад

    Uyo co mchz

  • @zephanialubuva9208
    @zephanialubuva9208 4 года назад

    Mama yangu Mdogo anaitwa Joyce ni mrefu kuliko huyo Dodoma

  • @zuleajuma7697
    @zuleajuma7697 4 года назад +2

    Mtto wa Kisukima huyo mbengu

    • @akshaydavid159
      @akshaydavid159 4 года назад

      Huyo ni Mkurya sio msukuma acha kudanganya watu

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣 Mtangazaji Umetia Akili, Mkono Una Maumivu. Hongera kwake.

  • @siwajafari5125
    @siwajafari5125 4 года назад

    Kipen bsnes

  • @happysalva9480
    @happysalva9480 4 года назад +3

    IVi MTANGAZAJI KAKAA AU AME SIMAMA🤣🤣

  • @chancequeen4710
    @chancequeen4710 4 года назад +1

    Sauti kama ya konk🤣

  • @halima23862
    @halima23862 4 года назад +2

    Huyu ungekuwa huku USA lazima angekuwa mbali sana Team za Basketball wangempigania

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 года назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @johnsigara2062
    @johnsigara2062 4 года назад

    Kabila gani huyo mwamba?

  • @ramadhansagutangu5902
    @ramadhansagutangu5902 4 года назад

    Daaa

  • @emilyibraimo5032
    @emilyibraimo5032 4 года назад

    Duuu huyu mrefu

  • @Kazubassyathyvry89
    @Kazubassyathyvry89 4 года назад +1

    Sasa mbona kama mzee kisha eti bado mda wa kuoa,duh

  • @pindabutter2736
    @pindabutter2736 4 года назад

    Mtangazaji kwanini umempigia magoti jamaa?

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 4 года назад +1

    Kweli ntaomba akiniowa mtu kama huyu tusinunue gari anibebe tu mgongoni inatosha tena safari itakuwa fupi kwa mastor njian

    • @khalfaniyesu8912
      @khalfaniyesu8912 4 года назад

      Ndoa unaitaka?

    • @cheiknamouna2058
      @cheiknamouna2058 4 года назад

      @@khalfaniyesu8912Yaap Kwa ukoo wa Yesu tena🙌🙌🙌

    • @khalfaniyesu8912
      @khalfaniyesu8912 4 года назад

      @@cheiknamouna2058 Upo tayari kuolewa na mm?

    • @cheiknamouna2058
      @cheiknamouna2058 4 года назад

      @@khalfaniyesu8912 Kwani jamani ndo wewe kweli au unatania

    • @khalfaniyesu8912
      @khalfaniyesu8912 4 года назад

      @@cheiknamouna2058 Nitumie number yako, nikutumie picha

  • @zaharajuma5019
    @zaharajuma5019 4 года назад

    😂😂😂 eti umekata wingu 😂😂😂😂

  • @worldwide9207
    @worldwide9207 4 года назад +2

    Uyu mwamba ni wale wa Black American kabisa

  • @salhamrishoaish9292
    @salhamrishoaish9292 4 года назад +3

    😂mtangazaji panda kistuliii

    • @fettyakida5580
      @fettyakida5580 2 года назад

      Safi urefu ni mzuri mimi mwenyewe nimempenda

  • @geofreylucas9469
    @geofreylucas9469 4 года назад +1

    Ofcourse hapo atakuwa amerith kutoka kwa babu yake by genetic concept

  • @mwanaidhassan229
    @mwanaidhassan229 4 года назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 4 года назад

    Mtangazaj leo umepatikana hay maswal yako nimejikuta nacheka mwenyew

  • @scanyboytz8937
    @scanyboytz8937 4 года назад

    Hahahaha

  • @SamsungA-su2qj
    @SamsungA-su2qj 4 года назад

    🤣🤣🤣🤣

  • @salhamrishoaish9292
    @salhamrishoaish9292 4 года назад

    Wewe mrefuu😛nataka uniowe

  • @aisha-ro5fr
    @aisha-ro5fr 4 года назад

    Itakua wame m zoom😂

  • @michaelsimon9908
    @michaelsimon9908 4 года назад

    Ni kabila gan huyu jamaa?

  • @mrsochu-hv7bm
    @mrsochu-hv7bm 4 года назад +3

    Duuh uyu mtu mashine yake ipoje jamaniii 🙄

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 4 года назад

    Tuone viatu miguu yake

  • @aishanatamaniningekuepoktk5062
    @aishanatamaniningekuepoktk5062 4 года назад

    Roja mwambie akae huyo atakuumiza shingo

  • @Soccer_Life2
    @Soccer_Life2 4 года назад

    mbofinya link kuwona movie part 1 ruclips.net/video/E4IgUJ-4-Go/видео.html

  • @Kazubassyathyvry89
    @Kazubassyathyvry89 4 года назад

    Duhhhh

  • @leonardmanyanza1058
    @leonardmanyanza1058 4 года назад

    Jamaa limetulia kwenye interview halina wenge