MTU MREFU KULIKO WOTE TANZANIA/MPENZI WAKE ANAMFIKIA KIUNONI/KITANDA ANACHOLALA/CHANGAMOTO/STAMINA
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Mtu ambaye anadaiwa kuwa ni mrefu zaidi Tanzania, amefunguka na kusema anapata changamoto nyingi akiwa katika maneno ya watu kutokana na urefu wake.MTU MREFU KULIKO WOTE TANZANIA/MPENZI WAKE ANAMFIKIA KIUNONI/KITANDA ANACHOLALA/CHANGAMOTO/STAMINA
Ishallah mwenyezi Mungu azifanye changamoto zake kuwa mafanikio yake kupitia umbile lake
Asante
Jamani mimi mtangazaji unanichesha ila 😂😂😂ila pore umepatatikana maana sikwaufupi huo mimi nainjoi hapa naona m2 mrefu na mfupi
Ilove u a voice and u a height
But he is handsome, I love his voice, Gods plan I like how God does his things
pole mtangazaji mana wabadili mikono du mwanakulitaka mwanakulipata mana hapa nacheka mpaka bc hhhhhhhh carry mtangazaji wako kakoma hhhhhhh mara kwapani da pole love
Haka kajamaa karefu kweli dhuuu.. Mi namfikia mpajani tuum from Mozambique
Hahahaha
Waoooh nice
Mhhhhhhhh hivi kama walete shindano la mapambano nyie wawili nani ambaye anaweza kumchapa mwenzake? 😂😂😂 Brother yuko vizuri mno kwenye kuchuma hembe mtini kwake ateseki.
Jamaa limetulia kwenye interview halina wenge
Hahahaa, utulivu
Nimekumsi Sana j
Me more dear
Hahaha nimeceka mutangazaji utacoka shingooo
Hahahahaha af eti na yeye anakaza Sauti Kaka Jamaa Tolu
Suruali ya mtangazaji ndo boxa ya bwana Tall 😬😬😬😬😬😬😬🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Ungechukua ngazi maana huomkono lazima ukauchue😀😀😀
😀😀
Nenda rwanda wapo warefu waschana
Hahahahahahaha😂😂😂
Mtangazaji mpaka Mkono umechokaa...
Mashine hapo hatar ndefuuuu
Caron Mussa hahaha una mawazo ka yang inakutoa kizaz
Mtangazaji mkono huo utavunjika
Ndugu mtangazaji naona kma unachoka kunyoosha mkono na shingo hio hhahaha
Mbona kawaida huyo kwa broo wangu ni mfupi Sana
Mmmmm
Hatare
Duhhhh
Duuuu htr
vp voice?
😂😂😂😂😂mtangazaji mpaka unapata tabu kumuhoji😅😅
Uyo ukitembea na yeye akitembea polepole wewe unakimbia
Kwa kwel ni mref na anajikubal sana
Kazi unayo ukimfikishia maiki nae anainua shingo juu leo umempata wakukupa adabu kazini
Baraka Samson alionyeshwa na ITV mwaka 2016 alikuwa mrefu zaidi. Ana futi 7 na nchi 4.
Uyu nae c saba na pont zke na ww,uwe unasikiliza vizur
Kweli ila baraka hayupo tz Toka ameenda tibiwa nyonga hajalud tz kwaiyo kwa Sasa bro ndo mrefu zaid
Kwan mtangazaji amekaa au amesima...coz sielew hiyo distance
Hahahahahaha jmn duuh mimi ni mrefu ila huyu..
Muulize kuhusu ndonga yake inaulefu gani??
mnasena uyo ni mrefu kuliko wote je mshawai kutana na mimi?
Ndo wakome kuoji watu...wamezoea piereliquid
Kuna mwingine mrefu tunakaa naye jirani .ni mpole sana sijui huyo uliemkuta sabasaba ground.
Huyu pia nimpole Sana... Anapenda utani kucheka pia ila ukimkolofisha anakuhama tyuuu hapendi makuu namtu
Mtangazaji umeikala ama umeshimama?🤣🤣🤣🤣🇨🇩💪
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ameikala huyo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ameichalaa😂😂
Hahaha wauliza jamaa Kama kwao yeye ndio mfupi peke yake au mrefu ww vipi huoni
Roja umefinikwa yaan kama katoto😁😁😁ninavyo kuangalia😁😁😁
Mtangazaj8 kuuliza umezaliwa hivihivi inashangaza kwakweli. Mtu azaliwe hivyo na ukubwa na urefu hivyo mtangazaji anauliza maswali ya ajabu sana. Binadamu anakua kwa miaka 38 mwisho haendelei kukua. Mtangazaji alipokuwa shuleni hakuwa makini kujifunza.
Maswali yake kwanza yanamnyanyapaa, Mimi ningemtia kofi
Sijaelewa mtangazani alivyouliza "umezaliwa hivi hivi?" Viwanja vya jeikeei
Leo roja umekomejeeee
Hahaaa
Inamana Mtangazaji umeshindwa kyjiongeza kumuomba akae?
Akikaa mtamuonaj kama kwel mrefu yeye ndio angesimamia stul maana anaumia shingo
Tumeshamuona kwamna nimrefu ila after angemuomba akae
Uyo co mchz
Mama yangu Mdogo anaitwa Joyce ni mrefu kuliko huyo Dodoma
Dodoma wapi ako na futile ngapi
Mtto wa Kisukima huyo mbengu
Huyo ni Mkurya sio msukuma acha kudanganya watu
🤣🤣🤣🤣🤣 Mtangazaji Umetia Akili, Mkono Una Maumivu. Hongera kwake.
Kipen bsnes
IVi MTANGAZAJI KAKAA AU AME SIMAMA🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha una utan kinoma
Sauti kama ya konk🤣
Huyu ungekuwa huku USA lazima angekuwa mbali sana Team za Basketball wangempigania
USA Huo urefu ni wa kawaida, wapo wengi sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kabila gani huyo mwamba?
Daaa
Asili yake ni mtu wawapi huyu jamaa?
Duuu huyu mrefu
Sasa mbona kama mzee kisha eti bado mda wa kuoa,duh
Anamboo kubwa awez kuoa
Rashid Mohamedi 😂
@@rashidmohamedi1495 😂😂🙌🙌umeionea wapi jamani wee umwniacha hoi
Mtangazaji kwanini umempigia magoti jamaa?
Kweli ntaomba akiniowa mtu kama huyu tusinunue gari anibebe tu mgongoni inatosha tena safari itakuwa fupi kwa mastor njian
Ndoa unaitaka?
@@khalfaniyesu8912Yaap Kwa ukoo wa Yesu tena🙌🙌🙌
@@cheiknamouna2058 Upo tayari kuolewa na mm?
@@khalfaniyesu8912 Kwani jamani ndo wewe kweli au unatania
@@cheiknamouna2058 Nitumie number yako, nikutumie picha
😂😂😂 eti umekata wingu 😂😂😂😂
Mbavu zinaniuma jmn nilivyo ona mtangazaji na mhojiwa
Hahaha hahaha
Uyu mwamba ni wale wa Black American kabisa
Ma black America awakuwagi ivo😅
😂mtangazaji panda kistuliii
Safi urefu ni mzuri mimi mwenyewe nimempenda
Ofcourse hapo atakuwa amerith kutoka kwa babu yake by genetic concept
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mtangazaj leo umepatikana hay maswal yako nimejikuta nacheka mwenyew
Hahahaha
🤣🤣🤣🤣
Wewe mrefuu😛nataka uniowe
Njoo nikuowe mm salha nipe namba yako!
Salha inaonekana unapenda vitu virefu unajua ana machine ndefuu
@@AhmedSalah-ri3es 😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣
@@AhmedSalah-ri3es Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
0689591590
Itakua wame m zoom😂
Hahaha hahaha
Ni kabila gan huyu jamaa?
msukuma
Mman'gati🤭🤣🏃
Duuh uyu mtu mashine yake ipoje jamaniii 🙄
Hahahahaha
😂😂😂
Atakutoboa ww
Kwani Kuna uhusiano ktk urefu na ufupi na viungo nijuzeni jmn
@@JoumahB 🤣🤣
Tuone viatu miguu yake
Roja mwambie akae huyo atakuumiza shingo
mbofinya link kuwona movie part 1 ruclips.net/video/E4IgUJ-4-Go/видео.html
Duhhhh
Jamaa limetulia kwenye interview halina wenge
Limetulia haswa