LIVE CROWN SPORTS: USAJILI WA ELIA MPANZU VIGOGO WA SIMBA WAFANYA UMAFIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • Karibu kwenye habari zenye kina, uchunguzi zikiongozwa michezo

Комментарии • 42

  • @meadaephraim648
    @meadaephraim648 Месяц назад +6

    Hongera sana king kiba,wajanja woote tuko uku.

  • @HassaniNdundu
    @HassaniNdundu Месяц назад +4

    Crown sports nakubali apo mjengon

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 Месяц назад +8

    Kwa sasa hiyo inawezekana,timu zote Zina mabasi yanayochukuwa watu 60! Kwa nini washindwe kusafirisha vijana 18 tu, wakasafiri na timu yakubwa?

  • @user-nl9xe5bu1x
    @user-nl9xe5bu1x Месяц назад +4

    Itatisha sana , Hans huwa nakukubali sana

  • @AlllyUwesu
    @AlllyUwesu Месяц назад +5

    Nawapata vizul crown midia

  • @LEMEYANDREW-nw1pv
    @LEMEYANDREW-nw1pv 21 день назад

    Hata mimi nakubaliana na Rais Karia, wachezaji wa nje ni muhimu sana kwa sababu wachezaji wa kigeni wanawawezesha wachezaji wetu wa ndani kuiga mambo mengi

  • @JanuaryMassawe-fm2hw
    @JanuaryMassawe-fm2hw 13 дней назад

    Naomba nijuze usajili WA usiku buu WA simba

  • @user-nl9xe5bu1x
    @user-nl9xe5bu1x Месяц назад +2

    Jef hapo Kwa Simba hawaishi na wachezaji wao vizuri hapo tu nimekuelewa Hilo ni kwelii kabisa

    • @hemediaznat3491
      @hemediaznat3491 Месяц назад

      LINI USHAWAHI KUSIKIA MCHEZAJI WA SIMBA AMELALAMIKA UKIACHA YANGA ZAIDI YA MARA 5 MPKA WANAFUNGIWA FIFA

  • @Zuberihaji-h3d
    @Zuberihaji-h3d Месяц назад

    Nakubali sana inshaalah simba itafanya makubwa

  • @MazikuJackobo
    @MazikuJackobo Месяц назад +3

    sana crown

  • @bakarimajaliwa247
    @bakarimajaliwa247 Месяц назад +4

    Home😊

  • @jescamariki8498
    @jescamariki8498 Месяц назад

    Nakubali crown media

  • @Ngimba-t6w
    @Ngimba-t6w 28 дней назад

    Elie mpanzu vp simba wamempata kweli au tunazenguliwa tu

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 Месяц назад +2

    Napendekeza Wachezaji wa kigeni waongezeke wawe 15 kwa timu zenye uwezo wa kufanya hivyo. Tatizo watu wanaangalia Simba, yanga na Azam tu. Hizo timu zimewekeza kwenye timu za Vijana ambao ndiyo wamekuwa wakiisaidia Taifa Stars. Isitoshe hizo timu zina wachezaji wazawa 18 kila moja. Hao wanajifunza kwa wachezaji wakigeni waliopo na wanatosha kuichezea timu ya Taifa na siyo mpaka tupunguze wageni waliopo. Acha wawepo ili Wazawa wapambanie namba.

  • @user-bt7er9uk5v
    @user-bt7er9uk5v Месяц назад

    Hansi ebu tuambie mzee wa vyanzo vya ndani vip mpanzu atatua simba mwaka huu kunawatu maji wataita mmaaaaaaaaaaa hivi mo dewij alikuwa wapi mungu amuweke maisha malefu sio kwa usajili huuuuuuuu

  • @davidadammssika3374
    @davidadammssika3374 Месяц назад

    Tunawapata hadi hapa Port Sudan! Hongereni

  • @EdwardTaus-tc8st
    @EdwardTaus-tc8st Месяц назад

    KAMEMAN MR MCHAFUZI WA CHIUNGUTWA MASASI. NDUGU WAANDISHI TUNAOMBA MKANUSHE KUA MPANZU TAYARI AMESAINI SIMBA AMA LAA

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe Месяц назад +3

    Hapa nyumban

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh Месяц назад +2

    We genz tuachiee clouds fm yetu

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh Месяц назад +3

    Hii radio niyabando tu

  • @mosescalvinnyoha120
    @mosescalvinnyoha120 Месяц назад +3

    🎉🎉🎉

  • @drallan6879
    @drallan6879 Месяц назад +3

    we mwandishi umenena

  • @DOTTOMBUSSA-p6n
    @DOTTOMBUSSA-p6n Месяц назад

    Mko vizuri sana

  • @DaudiAns
    @DaudiAns Месяц назад

    Tupo pamoja by daudi anangisye Toka ikumbi

  • @MussaMacha
    @MussaMacha 29 дней назад

    Naitwa muxa axumani kutoka kambya chui vp kuxu elia mpanzu nimwana mximbazi

  • @ObreyMremy
    @ObreyMremy 27 дней назад

    👑❤❤❤❤

  • @ElenestMhagama
    @ElenestMhagama Месяц назад

    Vp dili la mpanzu

  • @johnmessi6831
    @johnmessi6831 Месяц назад

    Bon* ni neno la kifaransa lenye maana ya nzuri au good, so bon* good 👍🏿 like bon jour * good day jour ni siku au day

  • @user-ll9iv9gc9c
    @user-ll9iv9gc9c Месяц назад

    Crown mnaamba sana

  • @msafirimalima3249
    @msafirimalima3249 4 дня назад

    Unayozungumza ni ya maana sana

  • @AderickAdrian
    @AderickAdrian 26 дней назад

    Tuko pamoja sako kwa bako by adelick adlian wa muleba kager

  • @Juma-z4f
    @Juma-z4f Месяц назад

    Me balamu juma nikweli mupànzu tayali simba

  • @mosescalvinnyoha120
    @mosescalvinnyoha120 Месяц назад +2

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @HAMISISAIDISaidi
    @HAMISISAIDISaidi 29 дней назад

    Vipi kuhusu kibu na mpanzu

  • @nyembobea7285
    @nyembobea7285 Месяц назад +5

    Mchukueni alex lwambano anafaa hapo studio

  • @cosmaskapinga8943
    @cosmaskapinga8943 Месяц назад

    Tatizo lenu mnatumia perception katika kujenga hoja kwenye vitu vinavyohitaji facts

  • @MagehemaGodfrey
    @MagehemaGodfrey Месяц назад

    Shida hatuwekezi kwa wazawa pili mishahara ya wazawa midogo tunawakatisha Tamara au moyo

  • @ZakayoMarcoWilliam
    @ZakayoMarcoWilliam Месяц назад +2

  • @AbelJoseph-h2l
    @AbelJoseph-h2l Месяц назад

    Naitwa abel joseph kutokea pande za shinyanga nilikuwa nauliza tu kwamba mbona cod ya Crown FM shinyanga hatuipati tunaomba mtusaidie km Iko hewan

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila Месяц назад

    Ww wachezaji wa ndani wakikaa pekee Yao hakuna kinachoendelea wakibaki pekee Yao wao Wandani wanakuwa wajinga