Asante sana mwalimu, naweza kupata video ya jinsi ya kushona linda box ya shift ambayo inakuwa na marinda kwa mbele(Namaanisha yani kwenye hilo linda box ndo kuna tumarinda ivi) Nisaidie
kwa nn kwa upande wa nyuma urefu umelingana na wa mbele wakati nyuma kuna makalio ambayo nilihisi labuda siket yetu itakuwa fupi kwa nyuma naomba msaada hapo
Asante sana dada ❤❤,Mungu akubariki sana kwa mafundisho mazur nimekuelewa mwanzo had mwisho .
Ahaaaa nakuelewa xan dadanguuuu upo vizuriii xanaaa nimependa
asante fundi tunajifunza mambo mazuri
Hongera sana dada nimekuelewa❤❤
Nakupenda Sana mungu akubariki kwa na akupe mafanikio inshaallah n
Nitakuwa mwanafunz wako Bora kabisa, asante dia, Mungu akupe afya na akili daima uzidi kutufundisha, utuhamishie knowledge yako
Asantee sana dear ,,Mungu akuongoze
Asante sana kwa SoMo nitakuwa mwanafunzi wako barikiwa
Asante Dada naomba unifundishe kukata shati lashule
Agatha
Nimefurahia Sana video yako nigependa kujua dress ya should Yani chunik
Asante san dada Mungu akubark ila tu sauti yko jaman ni ndogo dadaang inakuwa shida kuskia kwa usahahihi
Asante sana fundi unafundisha vizuri
Vizuri unafundisha vizuri
Je! Video ya kukata au vipimo ndio Ina kuwaje? Mwalimu mzuri ❤.
Asante sana mwalimu, naweza kupata video ya jinsi ya kushona linda box ya shift ambayo inakuwa na marinda kwa mbele(Namaanisha yani kwenye hilo linda box ndo kuna tumarinda ivi) Nisaidie
Hongera
Mwalim mzur sana
Asante dear naomba jinsi ya kuweka mifuko
Asante mwalimu nami Leo nimeshoma
Asante sana ndg
Asante dada unafundisha vizur san
Ahsant madama❤ pia samahani nina swali ko kwenye kupanga malinda nakadilia tu
Dada naelewa Sana mafundisho yako natamani kujua zaidi
Juu
Naomba unifundishe nibijuwe zaidi
Ubarikiwe sana.
Thanks
Asante my nimekuelewa
Mm naomba ya malinda yakawaida
Uko vizur dada, samahan Naomba namba ako naitaji kujifunza zaid mishono
Ahsante sana
Naomaba nisaidie kukata shat LA shule best
Dada nakuelewa sana Yan Yan mafund wengine unawapa Hela lakini hawakufundish Kwa moyo
🥰🥰🙏🙏🙏
Naomba niunganishe nijifunze
Niunge kweny group lako
❤❤❤❤❤
Safi sana.unapatikana wapi?
Nimekupenda bure yani unafundisha kitu adi kina ingia kwenye ubongo
Well done
Waoo Asante
Naomba no yako my dear
Sasa fundi utakisiaje haya marinda ukue ndio saiz ya kiuno Cha mteja?
❤🥰🥰🥰
Asnte sana
Naomba namba yako dada
Safi sana
Nimefuat maelrkezo nimewez
Hello dada una taka kazi ?
Unapatikana wapi
Unafundisha vinzuri sana
Hiki kitambaa kinakuwa na ukubwa gani? Yaan mita ngapi?
Naomba unifundishe gauni la mtoto wa nusery
Samahi dada unaweza tuonesha unavochukua vipimo
Huk nikitk kuunguz kitambaa nilianz kunyoosh
Mbona husemi kitambaa ni mita ngapi kwa hiyo saiz ya sketi?
Unapatikan wapi dada angu
Sijakuelewa unaikunjia kwa wapi ndani au nje?
Naomba uelekeze na kuweka mfuko
Nimekusoma fund
Dada naomba unitumie no yako kz nzuri
Mi natamani huyo fundi angekuwa Mimi jamaniiii ongela sana fundi
HICHO KITAMBAA NIMITA NGAPI?
My siket ya Linda kisu mbele jee
Je hayo Malinda n nchi. Tatu au ngap
Nataka nijifunze jinsi ya kukata nguo
Nahtaji kujua mengi kupitia kwako
❤🎉
,namba zako
Nnaomba unielekez nanna y kukat shat
Asnte dada
Dada nisaidie namba yako nahitaji kujua na Mimi
Hilo belt Halina stif
Naomba blouz ya shule
Uko wap my dear
Tuelekeze kukata na sketi zile zenye rinda moja kubwa na pembeni yanakuwa mawili upande moja na upande mwingine mawili
Kwani kitambaa kinakua nusu
Wew ni mwalim unayajua kumwelesha mtu
🥰🥰 asantee dear
Jins y'a kujifunza gaun LA Sol
😍😍
Mashaallah
Kea mototo wa miaka mitano anatumia kitamba mita ngapi
Nirahisi lakini ningumu kama siyo muelewa nimependa
Waoooo
Sister naomba namba yako unielekeze namna ya kushona sketi ndo inanishinda tu
Natamani kufahamu kukata shati la shule, kama hutajali naomba utuwekee video.
Shati la shule
Wap unapatikana my
Nice
Skert ya shule inatakiwa uwe na ktambaa mita ngap??
Inategemea na ukubwa wa mtoto
Sorry dada una group la WhatsApp
Natamn kujua jamni ongera
Hakika we nimwalimu
Nitatoa comment zangu baada ya kupata nambayako
sijaelewajamani my
Unatumia nini kuchukua video
kwa nn kwa upande wa nyuma urefu umelingana na wa mbele wakati nyuma kuna makalio ambayo nilihisi labuda siket yetu itakuwa fupi kwa nyuma naomba msaada hapo
Gud
Yupo vizuri kiukweli
Upana wke Ni ngapi
unakunja Mara ngap kabla ya kukata
My dear unakunja x2
My dear niunge kwenye group lako la whatsap 0623956513
Asante sana dada yangu unafundisha vizuri
Hongera
❤❤❤