Tofauti baina ya kiswahili cha Kenya na Kiswahili cha Tanzania ni mada ya kuvutia sana. Kuna tofauti nyingi. Nilipokaa Arusha, kama nilitaka kitu, ningesema "naomba" kila wakati. Naomba maji, naomba saladi, naomba juisi etc. Wakenya hawasemi naomba. Pia, wakenya, hata watu kutoka coast, huchanganya Kiingereza na Kiswahili mara nyingi. Kwa mfano, jana nilisikia "nitacome" badala ya "nitakuja", na "kuorder" badala ya "kuagiza", kucelebrate" badala ya "kusherehekea"
Kweli kabisa.. tutazungumzia mada hii tena katika siku zijazo...kwa kweli watu wengi kutoka Kenya huchanganya Kiswahili na Lugha ya Kiingereza au pia lugha ya mama.. Vile vile watu wengi hapa Kenya hutumia “lugha ya amri" ilhali watu wengi Tanzania hutumia “lugha bembelezi" kama ilivyosema huko watu mara nyingi husema ninaomba... Ilhali hapa watu husema ninataka..
Hapo umedangaya kweupe wa coast wanaongea kiswahili said n lamu waongea kama wa zanziber lafudhi yao alafu chimbuko la kiswahili Lamu ndio chimbuko kikaenda msa mpaka unguja na kila sehemu
Ninapenda your lessons mwalimu.
Ni mazungumzo ya kivutia Asante ‘Abdulkarims’! Ingawa Sauti si wazi sana.
Asante sana... kamera ilikuwa mbele kidogo
Mazungumzo mazuri!!! Abdulkarim wawili 😊
Asante sana
Tanzania tuna dagaa wa aina nyingi sana mwalimu
Nimefurahi sana mwalimu kuitembelia Tanzania 🇹🇿 kalibu tena
Asante sana..nitakuja tena
Vizuri sana kuwapo pamoja ndugu wawili
Asante sana ndugu
You are amazing and help alot in learning Swahili. Can you please add subtitles? it will help more. Thanks in advance 💕
I will try to add subtitles... though am still learning how to add subtitles.. because it takes a lot of time
Subtitles will go a long way in teaching us this language. Please do your best. All the way from Zimbabwe.
Pia sisi Kenya tunaita ba na bi mdogo au mkubwa....
Mimi najua lafudhi lkni sijawahi sikia rafudhi ambaye mwalimu makare anatumia 👍asanteni
Tanzania
zaidi sawa
Sawa
Asante
Is it possible to put the subtitles in swahili please? It will help a lot. I understand the main topic but not some details.
I will try
Kaka wa mama si baba mdogo ni mjomba hapo umekosea kidongo baba mdogo ni mdogo wake na baba
Asante sana kaka 🙏
Huyo anaongea ki-mrima
Tofauti baina ya kiswahili cha Kenya na Kiswahili cha Tanzania ni mada ya kuvutia sana. Kuna tofauti nyingi.
Nilipokaa Arusha, kama nilitaka kitu, ningesema "naomba" kila wakati. Naomba maji, naomba saladi, naomba juisi etc. Wakenya hawasemi naomba.
Pia, wakenya, hata watu kutoka coast, huchanganya Kiingereza na Kiswahili mara nyingi. Kwa mfano, jana nilisikia "nitacome" badala ya "nitakuja", na "kuorder" badala ya "kuagiza", kucelebrate" badala ya "kusherehekea"
Kweli kabisa.. tutazungumzia mada hii tena katika siku zijazo...kwa kweli watu wengi kutoka Kenya huchanganya Kiswahili na Lugha ya Kiingereza au pia lugha ya mama..
Vile vile watu wengi hapa Kenya hutumia “lugha ya amri" ilhali watu wengi Tanzania hutumia “lugha bembelezi" kama ilivyosema huko watu mara nyingi husema ninaomba... Ilhali hapa watu husema ninataka..
@@KiswahiliWithAbdulkarim Watanzania wakarimu sana na wanyenyekivu
@@mariamjuma4136 ndiyo
Hapo umedangaya kweupe wa coast wanaongea kiswahili said n lamu waongea kama wa zanziber lafudhi yao alafu chimbuko la kiswahili Lamu ndio chimbuko kikaenda msa mpaka unguja na kila sehemu
Hao wanasema hivo ni wabara hakuna mcoast yuwaongea hivo
Mwalimu Murungu hiyo lahaja yako ni kama ni Kimvita au nimekosea?
Kweli kabisa, ila sitoki huko
Ugali tena 🤣
😅😅😅
Lakin hata kama wazinzibari wanavuruta kiswahili ...wamombasani wanavuruta zaidi
Sasa kama nyote ni walimu wa kiswahili basi mnaongea kiswahili kimoja... Sanifu=kiunguja
Ndiyo
@@KiswahiliWithAbdulkarim Mimi nazungumza Kiswahili cha majengo kimvitha
@@-xm6qj Vizuri sana kaa💪💪