Tundaman ft Dj Ally B -Tikinya(Lyrics Video)
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- #tikinya lyrics video by Tundaman ft Dj Ally B.
Stream and download
onerpm.link/93...
Boomplay:www.boomplay.c...
Audiomack:audiomack.com/...
Sportify:open.spotify.c...
Itunes; / tikinya-feat-dj-ally-b...
Deezer:deezer.page.li...
Produced by ;MR LG
Mixed By ;Mix Killer
Video By:Bendouble9
Cact up With Tundaman
Instagram; / tundamantz
Tiktok; / tundamantz
Booking:tundamancaptain@gmail.com
ruclips.net/video/pJWlZykiCEU/видео.htmlsi=njQqNtIkxNuFSFw1
ruclips.net/video/pJWlZykiCEU/видео.htmlfeature=shared
ruclips.net/video/WTAljl9lN0c/видео.html
Kama unamkubali 2ndaman gonga likes zakutosha hapa😅
Namkubal kinoma na me nahitaj like kama zote ucnisahau
Kutoka Kenya Mombasa 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 TUSHAHIKUBALI Tunda🔥🔥🔥🔥🫶🫶🫶🫶🫶🫶
Niambie hii nyimbo itasumbua sana kwenye harusi zile za kwetu za vijijini na uswailini kuliko na kijivumbi fran isee sijui Mimi tunda umeuwa msalimie huyo dogo Mr LG uyo dogo ni mdudu ❤️❤️❤️ athumani 🔥🔥 imepita hii .ata ukipita bila ku hit like sha toa mauwa kwa wana tayari🥱🥱🤣🤣❤️.
Tundaman my guy🔥🔥
Lakini mbona ukamfunika Yule dada WA nyuma 😂😂 otherwise am your biggest fan from Kenya 🇰🇪
fungua maskio ukaone 🤣🤣🤣
Sasa mulimuwekea nini huyo dada mumetuzinia hapo
Mmeficha tikinya ya uyo demu sijapenda😢
Tunda man jaman mimi kama team kiba fan nimeipitisha hii kuwa hit song ya taifa naomba basi mtafte boss king kiba tunataka Remix naona best collaboration of the year apa nani mwingine kaona kama mimi jaman .
KUNA HAJA GANI YA KUMUWEKA HUYO DEMU THEN MNAMZIBA
Sasa huo dem wanini kma mumeziwiya Kila kitu
Wakwanza mm leo naombeni like zangu
Mbona huo msambwanda mmeuziba😂😂
Bora msingemueka huyo dem kama mnamfunika it means haikuwa na ulazima wa kuwepo😢😢😢
😅😂😂😂😂Dada wa watu kajitahidi mwenyewe alaf wamemfunika😅😂😂😂
Ila me cja penda kumficha huyo dada mme halibu vibe lake tuone 😂😂
Ss kuna mana gan kumuwek uyo mwnmk apo mpk mfich kumpotezy mdaa wk tu yn mwnyew amejichezsh zk ksh nyny mnafcha sjpnd
Emoji za nini sijapenda
ila mimi sijafulai kwann uyoo mmemuekea tunda mbele hapo tunapaswa tuone sabwanda linavyo tikisa
Hamna kitu apo mbvu iy goma unazidiwa had na zuchu w😂😂😂😂😂
Unaingelea zuchu mtoto mdogo hili dude la kiume acha uchoko
Sawa kaka
Huyo mdada maskini licha ya kutumia miguvuu kutikinya mmemziba
Tunaomba urudie video ya huu wimbo unachezeka kabisa hujautendea haki
Tunda napenda sna ila hpa cjui umeiba nni ila fresh tu huo mzuka uko swa vibe kma lote aya twende nalo aaasumàniiii
😂was waiting for the tomato 🍅emoji to disappear 😢😂
Sasa mbona tikinya mmeificha uko nyuma mh sijapenda ata😏😏😏
Tunda ajawai tuangushaa fundi sana aliy b❤❤❤❤ nipeni like zangu hapa za tunda
Mbona kama honey ya zuchu.... eeh aubasi mdomo koma😊
Dj adhuman na samaje
Mkongwe kurudi kwa kipig🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wani hilo tunda linasemaje hapo hauoni kama lina tuzibia
Hili dj ally linamizuka 😅😂😂 eti aaachumanii
Mbona ukafuniko kiuno kinacho sasambua apo nyuma?
Makosa makubwa ni kumfunika tikinya na hilo tunda
Sasa inamaana gani yakuweka dada wawatu acheze Kisha mnatuwekea ilo tunda kati . Mngelikua wenyewe2
Huyo dada uko nyuma anahangaika tu bure maskini bora ata wasinge mweka sijapenta
Kote ni kumoto🔥🔥
kwanini umeziba matako ya mrembo bro ,watukosea😢
Ilikuwa haina haja ya kumweka yule mwanamke acheze pale maana umeharibu Kwann umfunike No
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🏆
Kulikuwa na haja gani sasa ya kuwepo huyo dada ikiwa munamficha??
Sasa hiyo nyashi mbona mmeiziba
Ushaur tu boss Wang nyimbo hii hii ipige remix ila kwa simba bonge moja
Naona kuna mdada hapo nyuma ana tikinya ila mmemziba sijui kwa nini
Inajulikana we nimkale tangu zaman bro
Lile unoooooo vp mshikaji unatubania
Oyo achia mahit kama yote
sana imeenda
Muachie huyo Dada naye abaing ❤❤❤🎉🎉💤💥💥💥💤💤💤🤑🤑
Noma sanaaa
Ngoma ya kwenda hii 🙌🇶🇦
Hatari weweeeh!
Hii imeenda
Mdangaji kakutana na bonge la dude😂
Kopi imeshaliwa muda sana
club banger
Uyo dada apo nyuma anafanya nn😂
Derva mbona apindashingosana nyuma kunanini😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ngoma kali baba asilimia mia
kali sana captain
Sopoa umetsha
Nimeskia kikuyu mahali 😢. Ndigithia
Tunda ni yule yule
Sasa apple la nn hapo💔
Achana na Muziki kaka
Mbovu nyimbo mbaya
Mm nakupenda htr❤❤❤❤
ungetoa tunda ilooo
Yani hii kibokoo n vibe yke yakufanya kichwa balaa balaaa wahh 🔥 wapi kelele y tunda man
Unyama mwing 🙏
Nomaaa
Chef for bongo flava
Naaaaam
Tikinya 😂😂😂
Kweli kitu kiko vizuli san
Mamaeeeeeee! hili songi ni motoooo bazeee.....!!!
Mbupuuuuuuu!!
Asumaniiiiiiiiiiii🎉
2:09 tundaman 🇨🇩🇨🇩💫💫❤
IMEEENDA HIOOOOOOOO
🔥🔥🔥🔥🔥 👊
Hatariiiiiii. Love from 254
ngoma kali sanaa
🏂🏂🏂
🎉
Honey !!!!! Hooooooney!!!😅😅😅
Huyo malaya wanyuma anajiashua ujinga
I like bro
Back to back tunda
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🚀🚀🚀🚀
🔥🔥
❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Ooyaaa 🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
Tundaman weww unazingua Kwan weww haujui kama zuchu Tu WA Jan anakuzidi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🔥🔥🔥👍👍👍🔥🔥
This song never gets old 🥶🫵🏿🔥🔥🔥