Hongera kijana Mahinyila, unakubalika nyumbani mpaka Taifani. Mungu akulinde, akutunze daima. Jitahidi hakikisha vijana wanajiunga na Chadema kwa ajili ya mapambano kupigania haki na kulikomboa Taifa hili kutoka mikono ya hawa majambazi watawala wasiyokuwa na huruma kwa wananchi maskini.
Hongera sana kamanda kwa mapokezi balaa, Mungu akulinde na hila zote za wale jamaa wasiotak kutenda hak(wezi), tuko pamoja nanyi na tunaendelea kuwaombea kwa Mungu viongoz wote wa CDM ili awalinde.
Hongera kijana Mahinyila, unakubalika nyumbani mpaka Taifani. Mungu akulinde, akutunze daima. Jitahidi hakikisha vijana wanajiunga na Chadema kwa ajili ya mapambano kupigania haki na kulikomboa Taifa hili kutoka mikono ya hawa majambazi watawala wasiyokuwa na huruma kwa wananchi maskini.
Hongera sana kamanda kwa mapokezi balaa, Mungu akulinde na hila zote za wale jamaa wasiotak kutenda hak(wezi), tuko pamoja nanyi na tunaendelea kuwaombea kwa Mungu viongoz wote wa CDM ili awalinde.
Asante
Berege.nifurahi
Nikiwa.mbali
Kama.niko.hapo
Kijana.nilimona.tangu
Uchaguzi.mlimani.wakichuana.pole.tangaza.sela
Chadema.wimbo.tunakuja.kundi
Kubwa
Loveeee so much big up mwamba
Mungu akutunze na kukulinda daima. Kapige kazi
Ongeleeni Sana wagogo kuwa kijana maarufu Kama huyo,Mungu amsaidie saaaaana pipoooooooz mpwampwa
Mungu ibariki chadema
Hongela kamanda mahinyila unakubakika toka nyumbani paka Taiga
Such love
Even the youngest generations are taking pictures for future reference
Big love ❤️ Asanteni sana strong together 💪
Chama chenye hofu ya Mungu chama kinacho penda haki
Hapo nyumbani sasa😂😂😂
Mbona ni zaidi ya mapokezi ya Wasira kule BUNDA
😂😂😂😂😂 awajalipwa hao Nimapenzi Yaotu Sy Cc Wasani Mia Asikali wote Naboda boda Kulipiwa Mafuta Cdm 4life
Chadema raha
ccm mpaka wachukuwe wasani
Ni kijijini sana ila watu wameelimika
dah
brg haijawahi poa
Kuna jamaa hapo mrefu kweli kuliko wote........iwe heri bro
Ashimu thabiti
Chadema ins nguvu kuliko ccm hspa nchini
Hogela kina
Kongole