Wanaume wa dar bwaana Yaan unapigwa kibao na mwanamke ulie mtolea mahali tena mbele ya bwana wake ni upumbavu ambao sisi tulio mikoani mnatukela saana pumbav
Kazi nzuri bro Mimi ni shabiki wako tanzia ukiwa mkojani gang nakutambua ila kwa kazi zako hii nzuri bali ukimtafuta character mmoja tu Ngoma nagwa utatisha isee 96 ndio Kodi ya wahuni na hatuchekeshi upande zero upande zufuri tirrnta awiii🇰🇪
Chado vibande Ni vifupi sana jitahidi japo dakika 30 au mnasemaje team chado gonga❤
Nipo kongo🇨🇩 ila wa Tanzania, mpewe eshima yenu tu kwenye filamu nyinyi ni bingwa💪,nawapenda sana ndugu zangu❤❤❤
Ilo nisahihi
Hii move ni nzuri sana jamn why isiwekwe sinema zetu jamni♥️♥️♥️
TEAM CHADO NAOMBA MNIFOLLOW NA MNIPE LIKE NYINGI WA KWANZA LEO FROM MOROGORO
Unafanya shughuri gani?
Nami pia ni team chado from Burundi😊
Hizo like mnapeleka wapi
@@GloryPhilip-n4n kuuza sokoni
@@GloryPhilip-n4n Tigo pexa
Sawa mwamba chado joji ap kutoka pagwii❤❤ kazi nzuri upo siriaz nakaZi joji
nakubal san brother chado pamoja na baga,mmetisha kweny movie hii
Chukua mauwa yako 🌷🌷🌷 uko vzr
Wanaume wa dar bwaana
Yaan unapigwa kibao na mwanamke ulie mtolea mahali tena mbele ya bwana wake ni upumbavu ambao sisi tulio mikoani mnatukela saana pumbav
Chado masta uko smart Sana kwenye kazi
Kutoka kenya 🇰🇪 wa kwanza ❤leo sitaki like zenu lakini shabiki namba moja wa chado
Ngadaya upo vizur. Umejua kucheza kwa hisia
Dahh safi aloo jua kutengeneza mwish
Chado masita unafanya vizuli sana haucheleweshi Ngoma nawakubali sana wanaume wakaazi chapeni kazi ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Dady bwana yani unanifurahisha na ubabe wake 😂😂😂😂😂
Naomba like zangu jaman namuolewa sana Chado🇲🇿
Wewe ngadaya ni mjinga unazalilishwa na mkeo na wewe unakubali hakufai huyo achana nao
Sijapenda kwakweli ngadaya amenibowa
Jamani mwanafunzi mdogo sana mapenzi ulifuata nini.kwake
Oya eeeh hii bonge la move
Ngaday Kwan huyooo mwanamkeee kakup nn haswaaaa jmn pole sanaaa
Huyo jamaa fukuza wote s mtu wake wa kwnz hata kama unamadhaifu usiishi kinyonge,
Kabisa 😢😢😢
Huu mziki unaogonga kwa ngadaya jina unaitwaje jmn😂😂
Chine=aniue
Chine=aniue
Ata mume wangu awe na madhaifu kiasi gani siwezi kusema mbele ya mwanaume mwenzake 😢😢😢😢
Nikwli dada ata aujakosea
Iyo saut ya mziki niyaaka katoto jmn❤
Ndio
Chado na najma wanapendana jamni 😂❤ningepata kaka Kam huyu kwakweli sjui ningelikuaje😂 😂😂
Napenda movi zako sana chado
Ngadaya pole kaka😢,madhaifu gani hayo mwanamke akudhalilisha jaman...mission impossible iko top notch 👌 👏
Kazi nzuri bro Mimi ni shabiki wako tanzia ukiwa mkojani gang nakutambua ila kwa kazi zako hii nzuri bali ukimtafuta character mmoja tu Ngoma nagwa utatisha isee 96 ndio Kodi ya wahuni na hatuchekeshi upande zero upande zufuri tirrnta awiii🇰🇪
Mwanafunzi umecheza vizuri
Dah bonge moja la kitu natamani kila saa kitoke kipande
❤❤❤ nawapenda sana nyie nakz zenu kama naww unaungana namm gonga like hapa
❤❤❤❤❤❤❤kazi nzuriii❤❤ chado master unajuwa kuingiza naomba move inayokuja igiza kama shekhe
Kumbe chado ni kipenzi chetu wa 2000 na atujui 😂
Kandamiza chadoooooooooo mastaaaaaaassss
Jina la wimbo jamani filamu nzuri hii❤❤
brother wa haka kadada namkubali unyama mwingi bro unajua sana 😅🙌
Jamniiii jamniiii nataka hiii nyimbo chado❤❤❤
Una waz mapenz tu
Unashingua Sana bwana chado congratulations 👏 Kwa kazi nzuri 🎉🎉❤
Akii n uyo camera 📸 man yenu n kali napenda hiyo mapause wasee No1
Thanks you
Nakubali hii n comedy plus
Chado we ni moto wakuotea mbali bro💪💪💪💪💪
Baba masta hii umeuwa
Wakwanza mm naomba like
Jina la wimbo tafadhali
Chine=aniue
Kama Kawa mzigo huu hapa anifa Yuko wapi ??? watching from 🇰🇪🇰🇪
Afadhalin ata angekuwa angechukua nafasi kindege upepo bwana..😅😅😅😅
Wa kwanza leo gonga like pls
Shadow had mm nampenda sio najima pekeake😂😂😂
Kaz nzr chado❤❤
Chado master iLike sans mov yen umfany vzur mom no shabiki wake mpya
Poleee kipenzi ❤❤ uliopigwa kibaoooo mwaya ndo changamotooooo ❤❤
Haaa pichakama hiziuwa nazipenda jamani mtaniuwa bure jamani nawapenda bure mauwayenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂
Napata Homaa snaa ikipitaa skuu bilaa kutokaa move tunaombaa iwe inatokaa kilaa siku
Leo hii hii yahaa kwer Ameyatimba kubabake
Wa pili Mimi like zangu
Ngadaya wangu 😢😢,😭😭daah
Pole jmn 😅😂
Nampenda sas 😂😢@@Hawatito
Chado mi camera man
Wayi na kazi nzuri chado ❤❤❤❤
Unyama ni mwingi broo kazi nzuri 💯 broo one live ❤💯💯🌷🥀🇹🇿
Kaka achashobo mtoto kamuzkmikiya chado umo😂😂
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💘🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦 chado keep it up brother ALLAH will protect you always
Unyamaa kama Nini nakubaliii 🎉
Long timer Tusha Fanya mzee chado ongera kwa kazi nzuri
Atari we uogopi mko vizuli Sana
Ulikua unasubiri nn kuanziasha gang yako bro 😂😂😂 kunawatu kitambo Ila bro apana hawakufkiii
Anajua mpk anakera
This is love from Mozambique🇲🇿❤
Wazee its better ukawa umezaliwa na tatizo la nguvu za kiume ila sio kwa kuathirika kwa kujichua madhara yake ndio haya big up bro😢
Mr chado master vizuri sana KBS
Napenda xna muve zenu nainjoi kutoka kenya in saudiarabia thank you❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Daaaaah kweli dangaya😅😂😂
Bro anazingua sas
😂😂😂 najma jasili aogop ndevu ye ana injoy mwenyewe
Oyaa weeeee da bonge la kzi iyo usipo lia hii
Ali dady wajina unajua sana. Chado master 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
aah oyaa hii episode... Mchizi kapigwa kofi na mkewe mbele ya muhun
Mambo ni, 🔥🔥🔥mauwa yako chado master
Na ongeza dakika kak chache san alafu kazi nzur kun mda natmn kuicheki2 ncmalize
Hongeraa sana chado.
Chado masta umekutana na baga mteme muhuni mwenyewe🎉🎉🎉🎉
Shida yangu huu wimbo unaimbwaa aniuwee bsi aniuweee nina utaka jamani😢
Vraiment inafika pazuli, mujikaze imalizike yote
Hili kundi lote linajuwa kuigiza kabisa bong la move 👍🙏
Wakwanza Leo nipeni likes ata moja❤
Nimeisubuli sana part5
Chado nimejifunza mambo mengi sana kwenye hili filamu yako
Kazi poa sanaaa kk ila ongeza dkk kidg kk ht 30 bc 15 au 16 dkik ndg xn mzeiy chado
Eti madhaifu Yako unayajua usitake nionqee khaaaaa kwahio alikuwa haombi maji 😅😅😅😅😅 dadek wanawake mna rohobaya sana 😢😢
Sema chado unajuwa
Iyi nayo naon 😂😂😂😂😂😂 mapenzi chijam😅😅
Hahahahaaah chado nakupend bure
Chado hii filamu tamu sana❤🎉
Mr. Chado kazi nzuri
Tuko Sisi kwani shingap chado nakupenda hatari😂😂😂😂
❤❤❤ kupedwa laha jamani chedo
Nkajua nagwa kumbe chado🔥🔥🔥
Heey Chado big up mwana❤❤❤❤❤
❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉imekaaa kwa style yake hii imebeba utamu wake ❤🎉❤🎉❤
Nc job 🎉🎉
Jamani chado haki katoto umekapea nn jamani
Ongezeni dakika zimekuwa Chache sana🎉
Kumbe mtu akifumaniwa ndo anakuwa hivi 😂😂😂
Chado lkn wee handsome mi mwenyewe nakupenda