MISSION IMPOSSIBLE [5]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 400

  • @francksmpole1044
    @francksmpole1044 3 месяца назад +13

    Chado vibande Ni vifupi sana jitahidi japo dakika 30 au mnasemaje team chado gonga❤

  • @TOXYJEPH
    @TOXYJEPH Месяц назад +7

    Nipo kongo🇨🇩 ila wa Tanzania, mpewe eshima yenu tu kwenye filamu nyinyi ni bingwa💪,nawapenda sana ndugu zangu❤❤❤

  • @NajmBaby
    @NajmBaby 24 дня назад +2

    Hii move ni nzuri sana jamn why isiwekwe sinema zetu jamni♥️♥️♥️

  • @edgarlaurian-d8w
    @edgarlaurian-d8w 3 месяца назад +76

    TEAM CHADO NAOMBA MNIFOLLOW NA MNIPE LIKE NYINGI WA KWANZA LEO FROM MOROGORO

  • @JojiVumilia
    @JojiVumilia 2 месяца назад +4

    Sawa mwamba chado joji ap kutoka pagwii❤❤ kazi nzuri upo siriaz nakaZi joji

  • @HerrySeif-r2i
    @HerrySeif-r2i 3 месяца назад +9

    nakubal san brother chado pamoja na baga,mmetisha kweny movie hii

  • @winfrida-kx9bj
    @winfrida-kx9bj 3 месяца назад +13

    Chukua mauwa yako 🌷🌷🌷 uko vzr

  • @ALBATWA5-zh4zk
    @ALBATWA5-zh4zk 3 месяца назад +5

    Wanaume wa dar bwaana
    Yaan unapigwa kibao na mwanamke ulie mtolea mahali tena mbele ya bwana wake ni upumbavu ambao sisi tulio mikoani mnatukela saana pumbav

  • @lumumbajames2169
    @lumumbajames2169 3 месяца назад +10

    Chado masta uko smart Sana kwenye kazi

  • @UmaruBirungi
    @UmaruBirungi 3 месяца назад +41

    Kutoka kenya 🇰🇪 wa kwanza ❤leo sitaki like zenu lakini shabiki namba moja wa chado

  • @ModesterSeverin-rq5uo
    @ModesterSeverin-rq5uo 3 месяца назад +7

    Ngadaya upo vizur. Umejua kucheza kwa hisia

  • @OmalyKhamisi
    @OmalyKhamisi 3 месяца назад +7

    Dahh safi aloo jua kutengeneza mwish

  • @MayengDulu
    @MayengDulu 3 месяца назад +6

    Chado masita unafanya vizuli sana haucheleweshi Ngoma nawakubali sana wanaume wakaazi chapeni kazi ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @angeharushimana7431
    @angeharushimana7431 3 месяца назад +6

    Dady bwana yani unanifurahisha na ubabe wake 😂😂😂😂😂

  • @JuliadaJulianacrisanto-i7y
    @JuliadaJulianacrisanto-i7y 3 месяца назад +14

    Naomba like zangu jaman namuolewa sana Chado🇲🇿

  • @RashidKidume-w8e
    @RashidKidume-w8e 3 месяца назад +20

    Wewe ngadaya ni mjinga unazalilishwa na mkeo na wewe unakubali hakufai huyo achana nao

    • @LeillaThiam
      @LeillaThiam 2 месяца назад

      Sijapenda kwakweli ngadaya amenibowa

  • @HabibaHabiba-z6g
    @HabibaHabiba-z6g 3 месяца назад +4

    Jamani mwanafunzi mdogo sana mapenzi ulifuata nini.kwake

  • @Defannyclassic
    @Defannyclassic 3 месяца назад +9

    Oya eeeh hii bonge la move

  • @HajraIddy
    @HajraIddy 3 месяца назад +6

    Ngaday Kwan huyooo mwanamkeee kakup nn haswaaaa jmn pole sanaaa

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 3 месяца назад +13

    Huyo jamaa fukuza wote s mtu wake wa kwnz hata kama unamadhaifu usiishi kinyonge,

  • @lizard5201
    @lizard5201 3 месяца назад +7

    Huu mziki unaogonga kwa ngadaya jina unaitwaje jmn😂😂

  • @rizikisam6481
    @rizikisam6481 3 месяца назад +7

    Ata mume wangu awe na madhaifu kiasi gani siwezi kusema mbele ya mwanaume mwenzake 😢😢😢😢

  • @LovenessJames-j9o
    @LovenessJames-j9o 3 месяца назад +6

    Iyo saut ya mziki niyaaka katoto jmn❤

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 Месяц назад +1

    Chado na najma wanapendana jamni 😂❤ningepata kaka Kam huyu kwakweli sjui ningelikuaje😂 😂😂

  • @rojamohd1844
    @rojamohd1844 21 день назад +1

    Napenda movi zako sana chado

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 3 месяца назад +1

    Ngadaya pole kaka😢,madhaifu gani hayo mwanamke akudhalilisha jaman...mission impossible iko top notch 👌 👏

  • @gekaraphilip7037
    @gekaraphilip7037 3 месяца назад +2

    Kazi nzuri bro Mimi ni shabiki wako tanzia ukiwa mkojani gang nakutambua ila kwa kazi zako hii nzuri bali ukimtafuta character mmoja tu Ngoma nagwa utatisha isee 96 ndio Kodi ya wahuni na hatuchekeshi upande zero upande zufuri tirrnta awiii🇰🇪

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 2 месяца назад +5

    Mwanafunzi umecheza vizuri

  • @BrightRichard-e9i
    @BrightRichard-e9i 3 месяца назад +3

    Dah bonge moja la kitu natamani kila saa kitoke kipande

  • @NasraKingazi
    @NasraKingazi 3 месяца назад +3

    ❤❤❤ nawapenda sana nyie nakz zenu kama naww unaungana namm gonga like hapa

  • @SelemaniIddy-nc1n
    @SelemaniIddy-nc1n 3 месяца назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤kazi nzuriii❤❤ chado master unajuwa kuingiza naomba move inayokuja igiza kama shekhe

  • @rizikisam6481
    @rizikisam6481 3 месяца назад +5

    Kumbe chado ni kipenzi chetu wa 2000 na atujui 😂

  • @collboySantos
    @collboySantos 3 месяца назад +6

    Kandamiza chadoooooooooo mastaaaaaaassss

  • @Summaiyyah
    @Summaiyyah Месяц назад +1

    Jina la wimbo jamani filamu nzuri hii❤❤

  • @didamseto8280
    @didamseto8280 3 месяца назад +4

    brother wa haka kadada namkubali unyama mwingi bro unajua sana 😅🙌

  • @UbahSeen-fk9rc
    @UbahSeen-fk9rc 3 месяца назад +2

    Jamniiii jamniiii nataka hiii nyimbo chado❤❤❤

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c 3 месяца назад +1

    Unashingua Sana bwana chado congratulations 👏 Kwa kazi nzuri 🎉🎉❤

  • @MashMashile
    @MashMashile 3 месяца назад +2

    Akii n uyo camera 📸 man yenu n kali napenda hiyo mapause wasee No1

  • @ericmwendwa5552
    @ericmwendwa5552 3 месяца назад +2

    Nakubali hii n comedy plus

  • @aminimwazani9483
    @aminimwazani9483 День назад

    Chado we ni moto wakuotea mbali bro💪💪💪💪💪

  • @RafiiabasiRafiiabasi
    @RafiiabasiRafiiabasi 3 месяца назад +1

    Baba masta hii umeuwa

  • @Ezra20029
    @Ezra20029 3 месяца назад +6

    Wakwanza mm naomba like

  • @mjsteven3297
    @mjsteven3297 3 месяца назад +7

    Jina la wimbo tafadhali

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie 3 месяца назад +8

    Kama Kawa mzigo huu hapa anifa Yuko wapi ??? watching from 🇰🇪🇰🇪

    • @YeriKahindi
      @YeriKahindi 3 месяца назад +1

      Afadhalin ata angekuwa angechukua nafasi kindege upepo bwana..😅😅😅😅

  • @nicholausmissana2018
    @nicholausmissana2018 3 месяца назад +12

    Wa kwanza leo gonga like pls

  • @AshulaMbola
    @AshulaMbola 2 месяца назад +1

    Shadow had mm nampenda sio najima pekeake😂😂😂

  • @MwanaidiHussein-u9w
    @MwanaidiHussein-u9w 3 месяца назад +5

    Kaz nzr chado❤❤

  • @QuluthumuRajabu
    @QuluthumuRajabu Месяц назад

    Chado master iLike sans mov yen umfany vzur mom no shabiki wake mpya

  • @DalilaHasani-m2i
    @DalilaHasani-m2i 3 месяца назад +1

    Poleee kipenzi ❤❤ uliopigwa kibaoooo mwaya ndo changamotooooo ❤❤

  • @TalwaSuzana
    @TalwaSuzana Месяц назад

    Haaa pichakama hiziuwa nazipenda jamani mtaniuwa bure jamani nawapenda bure mauwayenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂

  • @Ummy-cr9nf
    @Ummy-cr9nf 3 месяца назад +2

    Napata Homaa snaa ikipitaa skuu bilaa kutokaa move tunaombaa iwe inatokaa kilaa siku

  • @Uwezokudura-rz8eg
    @Uwezokudura-rz8eg 3 месяца назад +3

    Leo hii hii yahaa kwer Ameyatimba kubabake

  • @qstartz4854
    @qstartz4854 3 месяца назад +6

    Wa pili Mimi like zangu

  • @arafaramadan6234
    @arafaramadan6234 3 месяца назад +4

    Ngadaya wangu 😢😢,😭😭daah

    • @Hawatito
      @Hawatito 3 месяца назад

      Pole jmn 😅😂

    • @arafaramadan6234
      @arafaramadan6234 3 месяца назад

      Nampenda sas 😂😢​@@Hawatito

  • @ChenLee-ui9ej
    @ChenLee-ui9ej 3 месяца назад +3

    Chado mi camera man

  • @ZAKARIATV-of4cx
    @ZAKARIATV-of4cx 3 месяца назад +2

    Wayi na kazi nzuri chado ❤❤❤❤

  • @MzeeRaca
    @MzeeRaca 3 месяца назад

    Unyama ni mwingi broo kazi nzuri 💯 broo one live ❤💯💯🌷🥀🇹🇿

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 3 месяца назад +2

    Kaka achashobo mtoto kamuzkmikiya chado umo😂😂

  • @FatmasaidAhmed-ws1rs
    @FatmasaidAhmed-ws1rs 3 месяца назад +2

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💘🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦 chado keep it up brother ALLAH will protect you always

  • @dulliebullieentertainment809
    @dulliebullieentertainment809 3 месяца назад +3

    Unyamaa kama Nini nakubaliii 🎉

  • @maikoscofield2843
    @maikoscofield2843 3 месяца назад

    Long timer Tusha Fanya mzee chado ongera kwa kazi nzuri

  • @shebymango
    @shebymango 2 месяца назад +1

    Atari we uogopi mko vizuli Sana

  • @baboubakari1103
    @baboubakari1103 3 месяца назад +2

    Ulikua unasubiri nn kuanziasha gang yako bro 😂😂😂 kunawatu kitambo Ila bro apana hawakufkiii

    • @rogynee8135
      @rogynee8135 3 месяца назад +1

      Anajua mpk anakera

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 3 месяца назад +1

    This is love from Mozambique🇲🇿❤

  • @mwamakuladijei3743
    @mwamakuladijei3743 Месяц назад

    Wazee its better ukawa umezaliwa na tatizo la nguvu za kiume ila sio kwa kuathirika kwa kujichua madhara yake ndio haya big up bro😢

  • @MashaPromise
    @MashaPromise 3 месяца назад +1

    Mr chado master vizuri sana KBS

  • @Naema-x7p
    @Naema-x7p 26 дней назад

    Napenda xna muve zenu nainjoi kutoka kenya in saudiarabia thank you❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @KiduBoyJr.
    @KiduBoyJr. 3 месяца назад +2

    Daaaaah kweli dangaya😅😂😂

  • @ElijahMcEndy
    @ElijahMcEndy Месяц назад

    Bro anazingua sas

  • @Mrsmick712
    @Mrsmick712 3 месяца назад +1

    😂😂😂 najma jasili aogop ndevu ye ana injoy mwenyewe

  • @KadidiTz
    @KadidiTz 3 месяца назад +3

    Oyaa weeeee da bonge la kzi iyo usipo lia hii

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 3 месяца назад +1

    Ali dady wajina unajua sana. Chado master 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @faheemwasingle8488
    @faheemwasingle8488 Месяц назад

    aah oyaa hii episode... Mchizi kapigwa kofi na mkewe mbele ya muhun

  • @winielema-lf9kz
    @winielema-lf9kz 3 месяца назад +1

    Mambo ni, 🔥🔥🔥mauwa yako chado master

  • @athumaniashimu1568
    @athumaniashimu1568 3 месяца назад +1

    Na ongeza dakika kak chache san alafu kazi nzur kun mda natmn kuicheki2 ncmalize

  • @JafariNdembo
    @JafariNdembo 2 месяца назад

    Hongeraa sana chado.

  • @selemanisozi936
    @selemanisozi936 3 месяца назад +1

    Chado masta umekutana na baga mteme muhuni mwenyewe🎉🎉🎉🎉

  • @MaalimkhamisiLiyumba
    @MaalimkhamisiLiyumba Месяц назад +1

    Shida yangu huu wimbo unaimbwaa aniuwee bsi aniuweee nina utaka jamani😢

  • @FrancoisElesambo
    @FrancoisElesambo 3 месяца назад +1

    Vraiment inafika pazuli, mujikaze imalizike yote

  • @HeroJoseph-nm8pv
    @HeroJoseph-nm8pv 3 месяца назад

    Hili kundi lote linajuwa kuigiza kabisa bong la move 👍🙏

  • @MustafaSaid-l8c
    @MustafaSaid-l8c 3 месяца назад +7

    Wakwanza Leo nipeni likes ata moja❤

  • @JacksonDominicko
    @JacksonDominicko 3 месяца назад +3

    Nimeisubuli sana part5

  • @JAMESHENURY
    @JAMESHENURY Месяц назад

    Chado nimejifunza mambo mengi sana kwenye hili filamu yako

  • @IbrahZadock
    @IbrahZadock 3 месяца назад +1

    Kazi poa sanaaa kk ila ongeza dkk kidg kk ht 30 bc 15 au 16 dkik ndg xn mzeiy chado

  • @dullyboy3937
    @dullyboy3937 2 месяца назад

    Eti madhaifu Yako unayajua usitake nionqee khaaaaa kwahio alikuwa haombi maji 😅😅😅😅😅 dadek wanawake mna rohobaya sana 😢😢

  • @adamibrahim8489
    @adamibrahim8489 3 месяца назад +3

    Sema chado unajuwa

  • @SibijaliLim
    @SibijaliLim 3 месяца назад +1

    Iyi nayo naon 😂😂😂😂😂😂 mapenzi chijam😅😅

  • @OnesmusCharo-dd2si
    @OnesmusCharo-dd2si 3 месяца назад +2

    Hahahahaaah chado nakupend bure

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Месяц назад

    Chado hii filamu tamu sana❤🎉

  • @MasauShida
    @MasauShida 3 месяца назад +1

    Mr. Chado kazi nzuri

  • @عائشه-ن2ق
    @عائشه-ن2ق 2 месяца назад

    Tuko Sisi kwani shingap chado nakupenda hatari😂😂😂😂

  • @helinasubila987
    @helinasubila987 3 месяца назад +1

    ❤❤❤ kupedwa laha jamani chedo

  • @EurickMwangunda-wb9wo
    @EurickMwangunda-wb9wo 3 месяца назад

    Nkajua nagwa kumbe chado🔥🔥🔥

  • @ashajao
    @ashajao 3 месяца назад

    Heey Chado big up mwana❤❤❤❤❤

  • @J74251
    @J74251 3 месяца назад

    ❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉imekaaa kwa style yake hii imebeba utamu wake ❤🎉❤🎉❤

  • @FitinaWilondja-m7c
    @FitinaWilondja-m7c 3 месяца назад +2

    Nc job 🎉🎉

  • @SusanJulius-cu8xp4vx4m
    @SusanJulius-cu8xp4vx4m 3 месяца назад +2

    Jamani chado haki katoto umekapea nn jamani

  • @rizikishoo9084
    @rizikishoo9084 3 месяца назад +1

    Ongezeni dakika zimekuwa Chache sana🎉

  • @AnifaMusa
    @AnifaMusa Месяц назад +1

    Kumbe mtu akifumaniwa ndo anakuwa hivi 😂😂😂

  • @IslamPeto-fd6wr
    @IslamPeto-fd6wr 3 месяца назад

    Chado lkn wee handsome mi mwenyewe nakupenda