Waziri Jafo aridhishwa na ujenzi wa Dodoma Complex

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 дек 2020

Комментарии • 35

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Год назад

    Naipenda Tanzania 🇹🇿 ♥️

  • @jumaadam9890
    @jumaadam9890 3 года назад +7

    Naipenda nchi yangu hongera kwa yeyote anaesimamia miladi hii

  • @ndulamwakitalima7505
    @ndulamwakitalima7505 3 года назад +6

    I'm proud to be a Tanzanian now

  • @silvamsophe4392
    @silvamsophe4392 2 года назад +2

    Magufuli baba tutakukumbuka

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 2 года назад

    Hili jengo limeishia wapi

  • @josephemmanuel3175
    @josephemmanuel3175 3 года назад +2

    Duuuuh hii dodomacomplex noma Sana

  • @kudisalashija9823
    @kudisalashija9823 3 года назад

    Hongera kwa Tamisemi kwa kuendelea kubadilisha miji pamoja na jiji la Dodoma

  • @lucasmogoile7097
    @lucasmogoile7097 3 года назад +1

    mradi mzuri ukamilike kwa wakati

  • @amzamrid3571
    @amzamrid3571 3 года назад

    Nice

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 3 года назад +1

    Hayo yote ni tz yangu bongo sihami JPM oyee

  • @e.jack.47
    @e.jack.47 3 года назад +1

    Wonderful,

  • @nassibuduma7162
    @nassibuduma7162 3 года назад

    Kweli wekeni jina la kiswahili au kigogo

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 3 года назад

    Huyo nnzi simwelewi

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 3 года назад

    Dah yan complex ya mwanza niusaka tupu watu.

  • @pascalsabugo9673
    @pascalsabugo9673 3 года назад

    Huu mradi upo sehemu gani

  • @nuraansuhail2578
    @nuraansuhail2578 3 года назад

    Mbona Kama Rock city mall

  • @gisthevictorperiod.9763
    @gisthevictorperiod.9763 3 года назад +3

    watz tafuteni majina ya Lugha ya kiswahili, acheni mambo ya Kizungu, kwa hakuna mbadala wa Complex? na kadhalika???

    • @mwamengele
      @mwamengele 3 года назад +1

      Tungeanza sisi wenyewe binafsi, tuache kutumia majina ya wakoloni wa kizungu na kiarabu kama John na Mohammed, mengine yatakuwa rahisi

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 3 года назад

      Wewe mwenyewe umeandika Stay blessed😂😂😂, Sio kila kitu lazima uite Kiswahili au kibantu. Moro Kuna soko la Kingalu hyo sa hvi😂😂😂

    • @gisthevictorperiod.9763
      @gisthevictorperiod.9763 3 года назад +1

      samahani kwa maandishi changanisha.

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 3 года назад

    Cement oyeee viwanda oyee

  • @elisantemrita9894
    @elisantemrita9894 3 года назад

    Sasa jamani serikali inaingia mpaka kujenga hoteli Sasa wananchi watafanya nn

  • @mimifineliving2010
    @mimifineliving2010 3 года назад

    Raha kuona sura zetu zikichapa kazi,ajira kwa watanzania. Watu wananiuliza huku Magufuli anapata wapi hizi hela za miradi mingi hii kila kona