Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Naipenda Tanzania 🇹🇿 ♥️
Naipenda nchi yangu hongera kwa yeyote anaesimamia miladi hii
I'm proud to be a Tanzanian now
Magufuli baba tutakukumbuka
Hili jengo limeishia wapi
Duuuuh hii dodomacomplex noma Sana
Hongera kwa Tamisemi kwa kuendelea kubadilisha miji pamoja na jiji la Dodoma
mradi mzuri ukamilike kwa wakati
Nice
Hayo yote ni tz yangu bongo sihami JPM oyee
Wonderful,
Kazi nzuri sana
Kweli wekeni jina la kiswahili au kigogo
Huyo nnzi simwelewi
Dah yan complex ya mwanza niusaka tupu watu.
Huu mradi upo sehemu gani
Mbona Kama Rock city mall
watz tafuteni majina ya Lugha ya kiswahili, acheni mambo ya Kizungu, kwa hakuna mbadala wa Complex? na kadhalika???
Tungeanza sisi wenyewe binafsi, tuache kutumia majina ya wakoloni wa kizungu na kiarabu kama John na Mohammed, mengine yatakuwa rahisi
Wewe mwenyewe umeandika Stay blessed😂😂😂, Sio kila kitu lazima uite Kiswahili au kibantu. Moro Kuna soko la Kingalu hyo sa hvi😂😂😂
samahani kwa maandishi changanisha.
Cement oyeee viwanda oyee
Sasa jamani serikali inaingia mpaka kujenga hoteli Sasa wananchi watafanya nn
We unashida unajuaa icho ni nin
Unateseka
Ni miradi ya mapato ya halmashauri!!?tatizo liko wapi?
Lengo halimashauri ziongeze kipato
Naona umevurugwa pole
Raha kuona sura zetu zikichapa kazi,ajira kwa watanzania. Watu wananiuliza huku Magufuli anapata wapi hizi hela za miradi mingi hii kila kona
Ukawajibuje?
Uwanja utakuwa mzr sana
@@fatemaligalawa1918 pesa za walipa kodi
Naipenda Tanzania 🇹🇿 ♥️
Naipenda nchi yangu hongera kwa yeyote anaesimamia miladi hii
I'm proud to be a Tanzanian now
Magufuli baba tutakukumbuka
Hili jengo limeishia wapi
Duuuuh hii dodomacomplex noma Sana
Hongera kwa Tamisemi kwa kuendelea kubadilisha miji pamoja na jiji la Dodoma
mradi mzuri ukamilike kwa wakati
Nice
Hayo yote ni tz yangu bongo sihami JPM oyee
Wonderful,
Kazi nzuri sana
Kweli wekeni jina la kiswahili au kigogo
Huyo nnzi simwelewi
Dah yan complex ya mwanza niusaka tupu watu.
Huu mradi upo sehemu gani
Mbona Kama Rock city mall
watz tafuteni majina ya Lugha ya kiswahili, acheni mambo ya Kizungu, kwa hakuna mbadala wa Complex? na kadhalika???
Tungeanza sisi wenyewe binafsi, tuache kutumia majina ya wakoloni wa kizungu na kiarabu kama John na Mohammed, mengine yatakuwa rahisi
Wewe mwenyewe umeandika Stay blessed😂😂😂, Sio kila kitu lazima uite Kiswahili au kibantu. Moro Kuna soko la Kingalu hyo sa hvi😂😂😂
samahani kwa maandishi changanisha.
Cement oyeee viwanda oyee
Sasa jamani serikali inaingia mpaka kujenga hoteli Sasa wananchi watafanya nn
We unashida unajuaa icho ni nin
Unateseka
Ni miradi ya mapato ya halmashauri!!?tatizo liko wapi?
Lengo halimashauri ziongeze kipato
Naona umevurugwa pole
Raha kuona sura zetu zikichapa kazi,ajira kwa watanzania. Watu wananiuliza huku Magufuli anapata wapi hizi hela za miradi mingi hii kila kona
Ukawajibuje?
Uwanja utakuwa mzr sana
@@fatemaligalawa1918 pesa za walipa kodi