Siri ya Baraka za Yakobo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024

Комментарии • 63

  • @dr.amos..ngailomd
    @dr.amos..ngailomd 5 лет назад +4

    Pastor always your lesson teach me how to move on despite of many challenges I face in my life

  • @hassanhussein6161
    @hassanhussein6161 Год назад

    mchungaji mungu akubariki sana kwa masomo yako mazur yananibariki

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Год назад

    Asante mchungaji kwa somo nimepata mawazo mapya nimejifunza vitu vya ziada Asante

  • @pharesooko1452
    @pharesooko1452 4 года назад +1

    Amen , nimekuwa nikiyarudia rudia haya mahubiri -
    it's amazing , pastor!!! Be blessed abundantly

  • @erickonwonga4114
    @erickonwonga4114 3 года назад +1

    God bless you the servant of the Most High God.

  • @Grace-go3cr
    @Grace-go3cr Год назад

    Amen amen

  • @jamaliuisso9203
    @jamaliuisso9203 4 года назад +1

    Thanks for sharing I really do appreciate it.

  • @alicesidi9601
    @alicesidi9601 2 года назад

    Amen 🙏

  • @mwanjalalulu2933
    @mwanjalalulu2933 6 лет назад +1

    Asante kwa somo zuri kiukweli umenitia moyo sana.. nimepata nguvu ya kusonga mbele, Barikiwa

  • @sheilaombongi8086
    @sheilaombongi8086 4 года назад

    Pastor asante kwasomo nzuri yakubarikiwa nakutuelemisha juu ya msaliwa wakwaza,wakati ndugu yangu alikua hosipitali wakati tulikua tunaenda kumuona tulikua tunamuomba nauli yakurudi ukweli kabisa Amina Amina mbarikwa sana sana

  • @janekwahada580
    @janekwahada580 5 лет назад +1

    AMEN AMEN mahubiri yako yanaeliweka thanks glory to God

  • @mussaharuni2250
    @mussaharuni2250 Год назад

    unanibariki sana ubarikiwe sana

  • @christophermalilah7110
    @christophermalilah7110 5 лет назад

    AMEN mtumishi Mungu akubariki nabarikiwa saana na ujumbe wako

  • @veronicamalale2153
    @veronicamalale2153 4 года назад

    Mungu akubariki

  • @GODisable7573
    @GODisable7573 6 лет назад

    umenibariki sana Mchungaji kwa somo hili. nimekuwa nikikufatilia mahubiri na mafundisho yako nahisi kubarikiwa na kutiwa nguvu. MUNGU azidi kukutumia kwa kiwango Cha pekee na akizidi kukubariki🙏

  • @angel-y
    @angel-y 6 лет назад +1

    Amen. God bless you Pastor, I have learnt so much and I appreciate.

  • @Grace-go3cr
    @Grace-go3cr Год назад

    Pastor sinde kuniombea . Mimi na family

  • @doktamathew
    @doktamathew 10 месяцев назад

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841 4 года назад

    Ubarikiwe pastor

  • @graceymaghema2753
    @graceymaghema2753 6 лет назад

    Amina barikiwa Mtumishi

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 4 года назад

    Amen mchungaji umenifungua.

  • @nippermshana9260
    @nippermshana9260 5 лет назад +1

    Ahsante kwa somo

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @paschalrnrichard9717
    @paschalrnrichard9717 5 лет назад

    Hakika tangu nimeanza kufuatilia haya mahubiri yananigusa kabisaa ubarikiweee pastor wetu

  • @davidmisiwa4622
    @davidmisiwa4622 6 лет назад +6

    Nimekuwa mfuatiliaji wa haya mahubiri hakika hayaja wahi kuniacha bure kila ninapo yasikiliza

    • @namsamson3443
      @namsamson3443 6 лет назад

      Yaani David, Mungu Ni Mkuu kila hubiri Lina kipengele changu kinachonisumbua..Mungu ambariki Sana Pastor

    • @davidmisiwa4622
      @davidmisiwa4622 6 лет назад

      @@namsamson3443 amen yuster barikiwa sn sn tena sn,, lkn pia kuna mengine ame post yanahusu kuhesabiwa haki kwa imani,
      Zipo sehem tatu ni mazuri kuliko maelezo, pia baraka za imani na nguvu ya agano

    • @shideashidea5570
      @shideashidea5570 4 года назад

      @@davidmisiwa4622kila point ni kama amenijua nilivyo maishani Mwangu abarikiwe zaidi ya kushinda

  • @deborahmukendi1928
    @deborahmukendi1928 5 лет назад

    🙏🏻 amen

  • @yusuphcharles911
    @yusuphcharles911 5 лет назад

    mungu akubariki sana

  • @sarahwawuda7638
    @sarahwawuda7638 6 лет назад

    AMEN

  • @davidmmbaga3350
    @davidmmbaga3350 6 лет назад

    Amen

  • @beatricemlemba8551
    @beatricemlemba8551 6 лет назад

    Amen sanaa

  • @annshua6984
    @annshua6984 Год назад

    Nazidi kubarikiwa na mafudisho yakoMungu na azidi kukuzidishia nguvu

  • @naomihannahzephrine9229
    @naomihannahzephrine9229 6 лет назад

    Amina

  • @maureenmuhonja722
    @maureenmuhonja722 6 лет назад +2

    pastor kwanza hili la kuzaliwa wa kwanza hadi kwa cheo yan two in one n fire kwangu God can you heal ma voice and the word of ma mouth🙏 umeeleza vyema hauna hata ile peni ya zaman baada ya muda mchache sms imeingia , au napoteza😭 wakati mwingine naona nkama ndoto , Dear God no matter what Iam passing indication lam going somewhere🙏🙏, Nashkuru sana pastor somo nzuri kila nsikizapo linanijenga na knipa jipu nnapokuwa na swali linalontatiza

  • @beatricealexander1373
    @beatricealexander1373 6 лет назад +2

    Mtumishi wwe ni zaidi ya mwalimu, yaan hili la kuzaliwa wa kwanza kwa cheo,linanitesa sana ukweli unaweza kulala hoi au ukakosa kazi kabisa lakini bado ndg wakauliza unawasaidiaje!

    • @davidmmbaga3350
      @davidmmbaga3350 6 лет назад

      Pole! Nakuombea

    • @beatricealexander1373
      @beatricealexander1373 6 лет назад

      Asante Mtumishi,Mungu azidi kukutumia ili wengi tupone ,somo hili ni lenye baraka maishani mwangu

    • @veronicaenock7292
      @veronicaenock7292 4 года назад

      @@davidmmbaga3350 Hujui tyu unavyonibariki pastor ubarikiwe saana🙏🏻

  • @johnnkwabi1310
    @johnnkwabi1310 5 лет назад

    Hakika huyu ni mtume wa mungu mahubili yake yameniweka huru ASANTE YESU. John juma kahama

  • @bungayamayo7377
    @bungayamayo7377 6 лет назад

    Ujumbe mzuri sana ubarikiwe sana Pastor. Yaani roho inapondeka pondeka haibaki jiwe juu ya jiwe..

    • @gracemagoma6801
      @gracemagoma6801 5 лет назад

      Asante, nakuelewa vzr

    • @mamapendo7290
      @mamapendo7290 5 лет назад

      Asante Mchungaji nimepata mengi kwako.Mungu aendelee kukupa mafunuo Baba

  • @marylucas7433
    @marylucas7433 6 лет назад

    Pastor nabarikiwa sana niombee

    • @neemajohn5811
      @neemajohn5811 2 года назад

      Kuwa na imani yatosha omba mwenyewe weka iman tu

  • @bidafumbuka855
    @bidafumbuka855 6 лет назад +2

    Pr ambao hawajaajiriwa hawatakuelewa ila wakiajiriwa watakiona.

  • @msafiri2946
    @msafiri2946 5 лет назад

    Christopher Msafiri hakika Pastor mahubiri yako yamenigusa

  • @roycejohansen9835
    @roycejohansen9835 4 года назад

    Uko vizuli

  • @hassanmugire1497
    @hassanmugire1497 5 лет назад +1

    huyu pastor na pastir emanuel mbogo wanajua

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 6 лет назад

    aminaaa

  • @msafiri2946
    @msafiri2946 5 лет назад +1

    Hakika pastor mahubiri yako yamenigusa

  • @bidafumbuka855
    @bidafumbuka855 6 лет назад

    Safi pasta

    • @veronicajohn5976
      @veronicajohn5976 6 лет назад

      Barikiwa sana pastor kwa mahubiri mazuri nazidi kuimarika kiroho

  • @sbcheruiyot4419
    @sbcheruiyot4419 6 лет назад +2

    Firstborn are final decision makers

  • @franknawezanikapatailiyota6946
    @franknawezanikapatailiyota6946 5 лет назад

    somo hili huwa linanitoa machozi

  • @lailathussain6492
    @lailathussain6492 6 лет назад

    Pastor naomba namba zako kwaushari zaidi

  • @Grace-go3cr
    @Grace-go3cr Год назад

    Amen amen

  • @mwanjalalulu2933
    @mwanjalalulu2933 6 лет назад

    Asante kwa somo zuri kiukweli umenitia moyo sana.. nimepata nguvu ya kusonga mbele, Barikiwa

  • @mako331
    @mako331 6 лет назад

    Amina

  • @mwanjalalulu2933
    @mwanjalalulu2933 6 лет назад

    Asante kwa somo zuri kiukweli umenitia moyo sana.. nimepata nguvu ya kusonga mbele, Barikiwa