Kocha mpanzu acheze no 10 tuenjoy mana Kuna interview moja nolomsikia kocha wake wa zamani akisema mpanzu akicheza 10 anakuwa mzuri zaidi kuliko akitokea pembeni
Alafu mujue kilamtu anamtazamo wake mimi nashangaa mnavyo msema mzee saidi kama autaki mtazamo wake basi acha kumuangalia sisi tunao taka kucheka tuacheni na mwacheni mzee wetu
Hapa ni pale tulupo ishia, Furaha inaendelea hakuna mzee saidi mwengine huyu ndio original, lazima unywe maji, hii misemo ya mzee Saidi, kinyewa maji, mwaga maji, turbo, niko kwenye nyemo,,,😂😂😂 I say full misemo
Ndgu zangu Watanzania naomba kusema kitu haina haja ya kumchukia mtu maana ni yeye anatomy mawazo yake hata ya kwako kwa mtu mwingne ni hovyo so tuheshimu maoni au mawazo ya mtu
Yanga waache kudhamini timu saba hawapati changamoto kwenye ligi ndio maana kocha kasema ligi dhaifu alishinda kirahisi mechi za Dodoma Jiji na fountain gate
Mzee Said Mimi ni shabiki Yako nafurahishwa sana na Interviews zako,,,,Mzee Said mitano tena
inaonesha wazi hakun mtu chagamba anainjoy kumfanyia interview kam mzee said hhh
😂😂😂
Mzee Saidi ni maarufu sana ni shida😊
Mzee said ni noma❤❤
halafu nyinyi media muwe mnamlipa mzee Said maana mnazivuna nyingi kwasababu ya huyu Mzee Said
Ni kweli kabisa
nakubal sana mzee said
Mzeee wangu asante
Angetuomba lazitu wanasimba yaishe asilete ngenga ngenga nyingi ❤❤❤
🤝
Aombe radhi kwa sabb gan
Huuuu ndo utani wajadi wanguuu nikwamda tuuuu
Mzee 😂😂❤❤
Yaani kweli mimi namkumbuka Gamond Sanaa!!!!
Kocha mpanzu acheze no 10 tuenjoy mana Kuna interview moja nolomsikia kocha wake wa zamani akisema mpanzu akicheza 10 anakuwa mzuri zaidi kuliko akitokea pembeni
Simba nguvu moja
Daah mzee said balaa eti wachezaji wanauliza nimkabe huyu au huyu
Leo ni siku ya kutufulaisha mzee said leo simba inaongoza kila idala na mzee said leo anaongoza kwa kutufulaisha mashabiki zake
Leo mzee said hata kukuckiliza nimeshndwa nitakuckiliza interview ijayo baba asnte sana
😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂 Mzee said tulikuwa tumekumiss sana
Jamn mzee said
Apa ancha ncheke mm 😂😂
Mzee umetisha
😂😂😂😂😂😂Eti mzee saidi anasema wanipigeeeee nimechekaaaaaa😂😂😂😂😂😂
Wape chuma hicho mzee saidi
Mzee saidi Mo inabidi akufikilie
Mimi sitaki kujua anashabikia timu mimi na enjoy interview zake bas hapa full raha
Mzee said 😅😅😅 hapoo sawa
Simba nguvu moja 🦁 💪 🙏
Mzee said mm ni yanga ila wnikosha sna kuchambuwa acha ncheke nakula lunch kribu baba 😂😂😂😂
UYU MZEE SOMETIMES DISH LINAYUMBA INABIDI AOMBE MSAMAA AACHEPOLOJO HATUJASAHAU SHOMBO ZAKE
Alafu mujue kilamtu anamtazamo wake mimi nashangaa mnavyo msema mzee saidi kama autaki mtazamo wake basi acha kumuangalia sisi tunao taka kucheka tuacheni na mwacheni mzee wetu
❤❤❤❤
Mzee said nomber yako sina ningekutumia ya sodaa😂😂
😂😂😂😂😂 Mzee said huohopi
Yan Mzee Said jmn nilikuwa nakusubilia🤣🤣 kwa hamu
😁😁😁 we Mzee saidtunakusubili ligi we jipepetue tu ila ubingwa utausome kwenye makaratasi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yanga joka la kibisa😅😅😅😅, kweli jamani.!
😆😆😆😆 kocha wa simba anaroho mbaya hadi anaweza kujilipuwa mwenyewe
Hahha mamelody tuleteen yanga hahahhahaaj😅😅😅😅
Huyu Mzee nilimpenda Sana lakini Kuna muda alikua mnoko anaiponda Timu ata kwenye mazuri
Mnafki mnafki uyu mzee😢😢😢
Mzee said baba😂😂😂😂😅😂😅😂😅😂😅😂
Mzeee said kweli bado tunamkumbka Gamondi😂
Yukio Msbr Mzee Saidi Tujuane
Ubaya ubwela.😂😂😂😂
Hapa ni pale tulupo ishia, Furaha inaendelea hakuna mzee saidi mwengine huyu ndio original, lazima unywe maji, hii misemo ya mzee Saidi, kinyewa maji, mwaga maji, turbo, niko kwenye nyemo,,,😂😂😂 I say full misemo
Mzee said mnafki ww kama mna undugu na Ashura cheupe
😅😅😅😅😅
Chama angewafungua wale
Huyu mzee mie binafsi namkubali huyu ni mtego kwa wengine
Ndgu zangu Watanzania naomba kusema kitu haina haja ya kumchukia mtu maana ni yeye anatomy mawazo yake hata ya kwako kwa mtu mwingne ni hovyo so tuheshimu maoni au mawazo ya mtu
Ila Mzee said kboko😂😂😂
Ahahaahahhha Side Boy
Yanga waache kudhamini timu saba hawapati changamoto kwenye ligi ndio maana kocha kasema ligi dhaifu alishinda kirahisi mechi za Dodoma Jiji na fountain gate
Mbona una haraka subili mda unakuja wa kumlaum GSM
😂😂😂 mzee side mdogo wako huko anaitwa mwalimu side ramadhan kasema ligi haina intensity ndio maana timu yake inacheza mechi kwa dakika 25 tu😂
😂😂😂
Kosaa kucheleva kuja
Tuwekekeen namba ya mzee said tuwe tunampa hela ya soda maana mzee huyu anatakiwa awe msemaje wa simba
Gamond tunamtaka
Mzee said tar8 tutawawek 2 hao uto fc
huyu mzee 🤣
chagamba muulize mzee said baba mkwe yuko salama kweli maana akiona hii video
Walikuwa bize na kalukuleta na kutufwatilia sisi kufungiwa
haka kazeee ni kachawa kanatafuta kiki kanafiki kakubwa...hatuna haja na maluki
Chagamba uso hauloani kweli kwa huyu mzee Said
🦁🏆♥️♥️💪💪💪💪💪🙏🙏
sijawahi kiangalia interview mpaka mwisho ila hii nimeangalia mpaka mwisho jamaa linachekesha
😂😂😂😂😂😂😂
Mzee said
Mnafki2 huyu
Tulio msbr Mzee Saidi tujuane
Mzee said anafurahisha sana,chagamba naomba cku mkutanishe Mzee saidi na masatu kwa pamoja alafu uwahoji
Walimkimbiza pale station
Hujamtaja modo wa chasambi
Mwambie huyo hili ai timu lioo kamili, huo upepo uliwapitia tu,siku mbaya kazini
Haha😂
Ww hakili huna
Chama munamuongelea wanini ,mlishasema Mzee? Mlimuacha wenyewe
Tuna jinaa jipya haitwi yanga yaitwa makundi fc😂😂😂😂😂
Au mama jehn
Ila side
Assalam alaykum Babu swala la Muda tu yanga bado itawaliza wengi tukutane NBC
Huko.cheza mwenyewe sisi hatuchezi na nyani
😂😂😂😂
SAUTI hmuna
Me kiukwel sijaamin yanga kutok makundi..maan wanatimu jmn daah ila ndo mpira
Ana. Ongea kwa nguvu kama katumwa muongo muongo
Chagamba hii kazi ni yako unaijuwa saana sio wengine wanafkitu.
Mzee bhn😂😂😂
We chagamba uyo mgogo hana akili
Mnafiki ww hunampango tumekuzarau
😂😂
CHAGAMBA MNAFIKI MBONA UMEZAMIA SANA KWENYE MECH YA YANGA? UMEMUPUNGUZIA MZEE SAID FRAHA
Mzeee3 wang kuna laki 3 zako hapa
Huyu ni shabiki wa yanga
Ama kweli Mo amewatelekeza Simba na kuwaacha yatima! Yaani hata timu ikicheza hapa 'Kwa Mkapa'
Azim Dewji haukumuona!???
Unataka afanye nini kwani yanga wanaofuatana na raisi wao wako wapi wewe mshamba
@@januarysungura8119 Bwege .kubwa we, nenda shule kwanza...!
Mmetelekezwa nyie mlo kosa hata makundi.kenge kabisa.
Robo 5times, no medal uanga medal hahaaaaaa
Huyu mzee mnafki sana
Yeye si ndo alisema hatuwezi kuongoza kundi, kiko wapi sasa
Hapo sasa😂😂😂😂
Uyu mzee ni chura
mzee nakuona kabisa furaha yako unailazimisha
inakuuma sana yanga kutolewa nuluyako inaonekana kabisa kwa mtu anae kufatilia wara haulizi
Sanaaaaaaaaaaaa,nafki sana hili zee
Jamani mi nampenda baba angu hata kama yupo yanga mi nampenda sanaaaah
Familia ugali wako baba huna maajabu
Mzee saidi hatukuelewi content zako zinatuchanganya wewe ni 🐸🐸🐸inabidi wanasimba wakujue bhana 😂😂😂
Huna lolote kavu tu wewe
😂😂😂😂😂😂
❤❤
😂😂😂😂
❤❤
❤❤❤❤❤
😂😂😂