MZEE SAID|YANGA WAOMBE MSAMAHA MASHABIKI WAO|YANGA WALA HAINITISHI TENA |MAGOLI YETU UNAOMBEA MKOPO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 122

  • @mauyacharles6322
    @mauyacharles6322 8 дней назад +3

    Mzee Said Mimi ni shabiki Yako nafurahishwa sana na Interviews zako,,,,Mzee Said mitano tena

  • @khamisabdallamohamed5856
    @khamisabdallamohamed5856 12 дней назад +8

    inaonesha wazi hakun mtu chagamba anainjoy kumfanyia interview kam mzee said hhh

  • @evaristgamba4204
    @evaristgamba4204 5 дней назад

    Mzee Saidi ni maarufu sana ni shida😊

  • @HassanEnericko-h3h
    @HassanEnericko-h3h 12 дней назад +5

    Mzee said ni noma❤❤

  • @ManyoriModernFarmMMF
    @ManyoriModernFarmMMF 12 дней назад +16

    halafu nyinyi media muwe mnamlipa mzee Said maana mnazivuna nyingi kwasababu ya huyu Mzee Said

  • @IsayaGarimoshi-x1u
    @IsayaGarimoshi-x1u 4 дня назад

    nakubal sana mzee said

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 12 дней назад +4

    Mzeee wangu asante

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 12 дней назад +12

    Angetuomba lazitu wanasimba yaishe asilete ngenga ngenga nyingi ❤❤❤

  • @LinusSirayo
    @LinusSirayo 12 дней назад +5

    Mzee 😂😂❤❤

  • @sweetbertrwiza5982
    @sweetbertrwiza5982 12 дней назад +4

    Yaani kweli mimi namkumbuka Gamond Sanaa!!!!

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 12 дней назад +6

    Kocha mpanzu acheze no 10 tuenjoy mana Kuna interview moja nolomsikia kocha wake wa zamani akisema mpanzu akicheza 10 anakuwa mzuri zaidi kuliko akitokea pembeni

  • @MwajumaKitungi
    @MwajumaKitungi 9 дней назад +1

    Simba nguvu moja

  • @ismailmtembwe380
    @ismailmtembwe380 10 дней назад +2

    Daah mzee said balaa eti wachezaji wanauliza nimkabe huyu au huyu

  • @GemeloMabula
    @GemeloMabula 12 дней назад +17

    Leo ni siku ya kutufulaisha mzee said leo simba inaongoza kila idala na mzee said leo anaongoza kwa kutufulaisha mashabiki zake

  • @doricehungu5817
    @doricehungu5817 12 дней назад +10

    Leo mzee said hata kukuckiliza nimeshndwa nitakuckiliza interview ijayo baba asnte sana

  • @yustobiswamo1712
    @yustobiswamo1712 11 дней назад +1

    😂😂😂 Mzee said tulikuwa tumekumiss sana

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 12 дней назад +1

    Jamn mzee said

  • @BlackRasta-lu1qj
    @BlackRasta-lu1qj 7 дней назад

    Apa ancha ncheke mm 😂😂

  • @godifreychalesi5394
    @godifreychalesi5394 11 дней назад

    Mzee umetisha

  • @Hancy_barrow
    @Hancy_barrow 12 дней назад

    😂😂😂😂😂😂Eti mzee saidi anasema wanipigeeeee nimechekaaaaaa😂😂😂😂😂😂

  • @AISHAALLY-zl8rz
    @AISHAALLY-zl8rz 8 дней назад +1

    Wape chuma hicho mzee saidi

  • @RahimKomba
    @RahimKomba 10 дней назад +1

    Mzee saidi Mo inabidi akufikilie

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro5147 12 дней назад +1

    Mimi sitaki kujua anashabikia timu mimi na enjoy interview zake bas hapa full raha

  • @AgostinoRaphail
    @AgostinoRaphail 12 дней назад +1

    Mzee said 😅😅😅 hapoo sawa

  • @SamsoniKaka
    @SamsoniKaka 12 дней назад +1

    Simba nguvu moja 🦁 💪 🙏

  • @BlackRasta-lu1qj
    @BlackRasta-lu1qj 7 дней назад

    Mzee said mm ni yanga ila wnikosha sna kuchambuwa acha ncheke nakula lunch kribu baba 😂😂😂😂

  • @frankmsai7461
    @frankmsai7461 7 дней назад

    UYU MZEE SOMETIMES DISH LINAYUMBA INABIDI AOMBE MSAMAA AACHEPOLOJO HATUJASAHAU SHOMBO ZAKE

  • @abdulrazaqjafary654
    @abdulrazaqjafary654 12 дней назад +1

    Alafu mujue kilamtu anamtazamo wake mimi nashangaa mnavyo msema mzee saidi kama autaki mtazamo wake basi acha kumuangalia sisi tunao taka kucheka tuacheni na mwacheni mzee wetu

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 12 дней назад +3

    ❤❤❤❤

  • @westonyjob1747
    @westonyjob1747 12 дней назад +3

    Mzee said nomber yako sina ningekutumia ya sodaa😂😂

  • @VeronicaNyondo
    @VeronicaNyondo 12 дней назад

    😂😂😂😂😂 Mzee said huohopi

  • @VigiriaKomba
    @VigiriaKomba 12 дней назад +1

    Yan Mzee Said jmn nilikuwa nakusubilia🤣🤣 kwa hamu

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn 12 дней назад +1

    😁😁😁 we Mzee saidtunakusubili ligi we jipepetue tu ila ubingwa utausome kwenye makaratasi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 10 дней назад

    Yanga joka la kibisa😅😅😅😅, kweli jamani.!

  • @ismailmtembwe380
    @ismailmtembwe380 10 дней назад

    😆😆😆😆 kocha wa simba anaroho mbaya hadi anaweza kujilipuwa mwenyewe

  • @AloyceAlex-k7n
    @AloyceAlex-k7n 11 дней назад

    Hahha mamelody tuleteen yanga hahahhahaaj😅😅😅😅

  • @ManenoAnthonyMachaku-dt4jm
    @ManenoAnthonyMachaku-dt4jm 7 дней назад

    Huyu Mzee nilimpenda Sana lakini Kuna muda alikua mnoko anaiponda Timu ata kwenye mazuri

  • @TanzaniaHome
    @TanzaniaHome 12 дней назад +3

    Mnafki mnafki uyu mzee😢😢😢

  • @skipperkassim44
    @skipperkassim44 12 дней назад

    Mzee said baba😂😂😂😂😅😂😅😂😅😂😅😂

  • @mashakakitwana2824
    @mashakakitwana2824 11 дней назад

    Mzeee said kweli bado tunamkumbka Gamondi😂

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp 12 дней назад

    Yukio Msbr Mzee Saidi Tujuane

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 12 дней назад

    Ubaya ubwela.😂😂😂😂

  • @AhmedmussaMussa
    @AhmedmussaMussa 12 дней назад +1

    Hapa ni pale tulupo ishia, Furaha inaendelea hakuna mzee saidi mwengine huyu ndio original, lazima unywe maji, hii misemo ya mzee Saidi, kinyewa maji, mwaga maji, turbo, niko kwenye nyemo,,,😂😂😂 I say full misemo

  • @ZabibuMwenda
    @ZabibuMwenda 10 дней назад

    Mzee said mnafki ww kama mna undugu na Ashura cheupe

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 10 дней назад

    😅😅😅😅😅

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 10 дней назад

    Chama angewafungua wale

  • @AllyMwinyi-rx8gr
    @AllyMwinyi-rx8gr 12 дней назад +2

    Huyu mzee mie binafsi namkubali huyu ni mtego kwa wengine

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 12 дней назад

    Ndgu zangu Watanzania naomba kusema kitu haina haja ya kumchukia mtu maana ni yeye anatomy mawazo yake hata ya kwako kwa mtu mwingne ni hovyo so tuheshimu maoni au mawazo ya mtu

  • @MichaelKapinga-f9r
    @MichaelKapinga-f9r 12 дней назад

    Ila Mzee said kboko😂😂😂

  • @mrenjoyfootball8403
    @mrenjoyfootball8403 12 дней назад

    Ahahaahahhha Side Boy

  • @AbdallahOnga
    @AbdallahOnga 12 дней назад +1

    Yanga waache kudhamini timu saba hawapati changamoto kwenye ligi ndio maana kocha kasema ligi dhaifu alishinda kirahisi mechi za Dodoma Jiji na fountain gate

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 12 дней назад

    😂😂😂 mzee side mdogo wako huko anaitwa mwalimu side ramadhan kasema ligi haina intensity ndio maana timu yake inacheza mechi kwa dakika 25 tu😂

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 10 дней назад

    Kosaa kucheleva kuja

  • @jimmymwanisawa6684
    @jimmymwanisawa6684 12 дней назад +1

    Tuwekekeen namba ya mzee said tuwe tunampa hela ya soda maana mzee huyu anatakiwa awe msemaje wa simba

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 10 дней назад

    Gamond tunamtaka

  • @Mumlion2624
    @Mumlion2624 12 дней назад +1

    Mzee said tar8 tutawawek 2 hao uto fc

  • @hamissuleyman
    @hamissuleyman 12 дней назад

    huyu mzee 🤣

  • @shaibuhamisi8715
    @shaibuhamisi8715 12 дней назад +1

    chagamba muulize mzee said baba mkwe yuko salama kweli maana akiona hii video

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 12 дней назад +1

    Walikuwa bize na kalukuleta na kutufwatilia sisi kufungiwa

  • @hassanshunda5226
    @hassanshunda5226 12 дней назад

    haka kazeee ni kachawa kanatafuta kiki kanafiki kakubwa...hatuna haja na maluki

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 12 дней назад +1

    Chagamba uso hauloani kweli kwa huyu mzee Said

  • @SamsoniKaka
    @SamsoniKaka 12 дней назад

    🦁🏆♥️♥️💪💪💪💪💪🙏🙏

  • @kingdanielhandrick8764
    @kingdanielhandrick8764 12 дней назад

    sijawahi kiangalia interview mpaka mwisho ila hii nimeangalia mpaka mwisho jamaa linachekesha

  • @CharlesFadelis-te5fp
    @CharlesFadelis-te5fp 12 дней назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @fridafranco315
    @fridafranco315 12 дней назад

    Mzee said

  • @AmiriSaidi-rz9qn
    @AmiriSaidi-rz9qn 8 дней назад

    Mnafki2 huyu

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp 12 дней назад

    Tulio msbr Mzee Saidi tujuane

  • @FrankKaijage
    @FrankKaijage 12 дней назад

    Mzee said anafurahisha sana,chagamba naomba cku mkutanishe Mzee saidi na masatu kwa pamoja alafu uwahoji

  • @ramadhanshaban4694
    @ramadhanshaban4694 12 дней назад

    Hujamtaja modo wa chasambi

  • @Shubbykm
    @Shubbykm 12 дней назад

    Mwambie huyo hili ai timu lioo kamili, huo upepo uliwapitia tu,siku mbaya kazini

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 12 дней назад

    Haha😂

  • @MathiasDudu-p5p
    @MathiasDudu-p5p 11 дней назад

    Ww hakili huna

  • @Shubbykm
    @Shubbykm 12 дней назад

    Chama munamuongelea wanini ,mlishasema Mzee? Mlimuacha wenyewe

  • @mrcharm166
    @mrcharm166 12 дней назад +2

    Tuna jinaa jipya haitwi yanga yaitwa makundi fc😂😂😂😂😂

  • @billynangludichris9322
    @billynangludichris9322 12 дней назад

    Ila side

  • @BATULIMUSSA-j6w
    @BATULIMUSSA-j6w 12 дней назад +1

    Assalam alaykum Babu swala la Muda tu yanga bado itawaliza wengi tukutane NBC

  • @FabiDthree-ro1ms
    @FabiDthree-ro1ms 12 дней назад

    😂😂😂😂

  • @CarlosRule-p6v
    @CarlosRule-p6v 12 дней назад +2

    SAUTI hmuna

  • @Mumlion2624
    @Mumlion2624 12 дней назад +1

    Me kiukwel sijaamin yanga kutok makundi..maan wanatimu jmn daah ila ndo mpira

  • @CharlesBaina
    @CharlesBaina 12 дней назад +1

    Ana. Ongea kwa nguvu kama katumwa muongo muongo

  • @MnengerwamohamudMnengerwamoham
    @MnengerwamohamudMnengerwamoham 12 дней назад

    Chagamba hii kazi ni yako unaijuwa saana sio wengine wanafkitu.

  • @killerwizzyofficial2157
    @killerwizzyofficial2157 12 дней назад

    Mzee bhn😂😂😂

  • @MsuyaMapuga
    @MsuyaMapuga 12 дней назад

    We chagamba uyo mgogo hana akili

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 12 дней назад

    Mnafiki ww hunampango tumekuzarau

  • @VenaceBoniphac
    @VenaceBoniphac 12 дней назад

    CHAGAMBA MNAFIKI MBONA UMEZAMIA SANA KWENYE MECH YA YANGA? UMEMUPUNGUZIA MZEE SAID FRAHA

  • @PaulTungu-t2r
    @PaulTungu-t2r 12 дней назад +1

    Mzeee3 wang kuna laki 3 zako hapa

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 12 дней назад +1

    Huyu ni shabiki wa yanga

  • @africaendlesscruisingltd
    @africaendlesscruisingltd 12 дней назад

    Ama kweli Mo amewatelekeza Simba na kuwaacha yatima! Yaani hata timu ikicheza hapa 'Kwa Mkapa'

    • @melissa_garden
      @melissa_garden 12 дней назад +1

      Azim Dewji haukumuona!???

    • @januarysungura8119
      @januarysungura8119 12 дней назад +1

      Unataka afanye nini kwani yanga wanaofuatana na raisi wao wako wapi wewe mshamba

    • @africaendlesscruisingltd
      @africaendlesscruisingltd 11 дней назад

      @@januarysungura8119 Bwege .kubwa we, nenda shule kwanza...!

    • @FatumaIbrahim-u5k
      @FatumaIbrahim-u5k 11 дней назад

      Mmetelekezwa nyie mlo kosa hata makundi.kenge kabisa.

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 12 дней назад

    Robo 5times, no medal uanga medal hahaaaaaa

  • @ellennorahjoseph4399
    @ellennorahjoseph4399 12 дней назад +5

    Huyu mzee mnafki sana
    Yeye si ndo alisema hatuwezi kuongoza kundi, kiko wapi sasa

  • @Shija.c.milele
    @Shija.c.milele 12 дней назад

    mzee nakuona kabisa furaha yako unailazimisha
    inakuuma sana yanga kutolewa nuluyako inaonekana kabisa kwa mtu anae kufatilia wara haulizi

    • @LindaMbilinyi-n3n
      @LindaMbilinyi-n3n 12 дней назад

      Sanaaaaaaaaaaaa,nafki sana hili zee

    • @fatumasophu5855
      @fatumasophu5855 12 дней назад

      Jamani mi nampenda baba angu hata kama yupo yanga mi nampenda sanaaaah

  • @HadijaHuseni
    @HadijaHuseni 12 дней назад

    Familia ugali wako baba huna maajabu

  • @EliasCosmas-qp6gn
    @EliasCosmas-qp6gn 12 дней назад +2

    Mzee saidi hatukuelewi content zako zinatuchanganya wewe ni 🐸🐸🐸inabidi wanasimba wakujue bhana 😂😂😂

  • @SophiaJumbee
    @SophiaJumbee 12 дней назад

    Huna lolote kavu tu wewe

  • @OmbeniLupondo
    @OmbeniLupondo 10 дней назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @josephkihembe1800
    @josephkihembe1800 12 дней назад

    ❤❤

  • @AbdulhalimMohamed-o8x
    @AbdulhalimMohamed-o8x 12 дней назад

    😂😂😂😂

  • @josephkihembe1800
    @josephkihembe1800 12 дней назад

    ❤❤

  • @dicksonvedastus3306
    @dicksonvedastus3306 12 дней назад

    ❤❤❤❤❤

  • @NancyAroko-o7m
    @NancyAroko-o7m 10 дней назад

    😂😂😂