Mm yanga kwa penat nasign paccome apige penat zote na anapiga anapata zote ama chama. Sema Nassor Kapama nimeamini yeye ni Mutenje wa kagera😂😂 alivyoongea juzi nilizani hatofichwa na aucho
KWA MTU MWENYE KIWANGO KIKUBWA CHA SAIKOLOJIA YA SOKA AKIUTAZAMA KWA MCHEZO JICHO LA TAU MCHEZO YANGA NA KAGERA UTAGUNDUA MENGI YALIYOJIFICHA CHINI YA ZURIA.
Mm yanga kwa penat nasign paccome apige penat zote na anapiga anapata zote ama chama. Sema Nassor Kapama nimeamini yeye ni Mutenje wa kagera😂😂 alivyoongea juzi nilizani hatofichwa na aucho
Au max nzengeli anatumia akili nying nguvu kidgo
Good attacking football, 3 important away points with plenty of goals, YANGA are still in the title race, its not over until it's over.
Nakupenda sana miraji unavyo uchambua mpira
Love ❤miraji😂😂😂
Duh! Hilo bega Lita pooza mpe nalakushoto😂😂😂😂
Miraji yanga wanacheza mechi nyepesi saaana
Gusa achia twende kwao kisha tuludi kwetu😅😅😅😅🎉🎉
Miraji hapa ndipo saidi kocha wa yanga alimanisha ligi dhaifu
yeap miraji karibu home
Kwan chagamba una shati ngp nyumbn😂😂😂😂😂mbona hilo unalipenda sanaa😢
Achaushamba hiyoni jezi ya kazini huoni ina nembo
KWA MTU MWENYE KIWANGO KIKUBWA CHA SAIKOLOJIA YA SOKA AKIUTAZAMA KWA MCHEZO JICHO LA TAU MCHEZO YANGA NA KAGERA UTAGUNDUA MENGI YALIYOJIFICHA CHINI YA ZURIA.
Miraji chegovala
Kama Kawa recoooooord😂😂
Nawakubali sana miraji lakini kocha wa yanga akuna kitu labda apate kama kagera tu lakin awenzi timu kubwa
nimeamin maneno ya Ramovic ligi dhaifu, si umeona huku anajipigia tuu, ila klabu bingwaa chaliiii😅😅
Hii yanga ya sasa striker Angekua mayele timu nyinyi Africa zingepigwa kama ngoma
Kama kawa miraji tupo pamoja
Chagamba mwambie miraji refa Ali wanyonya sana Kagera Kagera wenyewe wali kuwa hawajui Wana taka nini
Kagera wame cheza vibaya sana
mlivyocheza nao nyie,walicheza vzr? maana nyie mliwala tano
Kaka bega.uweunamchukulia vvan
Mechi ya Jana wamecheza mtu na mdogo wake kwahyo walikuwa tayar wanamatokeo kabla hata hawajaingia
Kama ilivyo simba kwa yanga. Na nyie ni wadogo zetu, usione wivu na wenzako wakifungwa kama wewe.
Acha ushamba wewe ni muwamba ngozi nimekusoma
Nkubal miraj na chagamba
Kama kawa recoord 😂😂