Leo umepoa sana mzee Kuna siku nlikuambia Yanga ilivyoanza kupata matokeo mazur ulitoka kuongelea mpra ukaanza kuzungumza kishabiki Leo mpra umekufundxha unazungumza uwalisia wa mpra Sasa na bado msifos kuwa na ukubwa ambao amna
Kuna kitu Utopolo hawakisemi kwamba mmeanza na wapinzani wabovu vital goli kumi na CBE goli saba nandio maana vibonde walio afadhali kidogo Al hilal na MC Alger wakawakanda mbili mbili.HILI LIKAMFANYA KOCHA ASEME LIGI DHAIFU KUMBE MMEKUTANA NA TIMU DHAIFU
Leo umepoa sana mzee Kuna siku nlikuambia Yanga ilivyoanza kupata matokeo mazur ulitoka kuongelea mpra ukaanza kuzungumza kishabiki Leo mpra umekufundxha unazungumza uwalisia wa mpra Sasa na bado msifos kuwa na ukubwa ambao amna
Dosa ndo kipenzi cha watanga he is our best football analysist from Tanga Tanzania
Dosa Mungu Akulinde, Wana yanga wanaroho za kishetani
Mzee masatu nampenda san ila dossa hampendi😂😂😂😂
Point sana mabeki wa pemben wa yanga wamewafelisha
Ila sisi simba tumefurah😂😂😂
Ubaya ubwela tyu dadeki 😂😂🎉🎉
Mungu akubariki sana Dossa umekuwa msema ukweli mpaka raha kusikiliza interviews zako kwa kubalance story, well deserved kongole
Noma sana watani 😂😂😂😂❤
Dosa mm zuu mashabiki wa simba ubaya ubwela 🦁 lkn nakukubali sana nakupata kutoka oman katila mashabiki wa Yanga ww uwa unaongea fact 🌿🌷🌿
Na mm nakupenda
@MazoyaSamson 🙏🤝pamoja sana
Asante na mimi ni yanga kutoka tanga Tanzania pia nakukubali saana mtani
😅😅😅Chagamba nimecheka sana Etiii Inatosha Nisije nikaongea maneno mengine siooo😂
unajua dosa ana uyanga lakini anajua football mm napenda sana. na nampa pole sanaa kwa kwelj
Sema HAWAMOOO 😀😁😁
Mie shabiki ako Sana sogea hapa bandalini Kwa mwanao idd uchukue juiceeeeeeee
Jamani mzee said wap
Poleni😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Na ndilo lililowapatia point mukafika hapo mlipo eti leo wanalibeza akina kamwe na priva mwanya
Heee😂😂
Dosa unajua mpira yanga kama watakutumia watapata kitu ila Kwa sababu ya ushabiki wengi wanakubeza hao achana nao
NENDE KWAMLUGU mabibo
Chagamba soma coment zetu acha kumkatizia milaji akiwa anaongea 😅 ukimuuliza swali muache ajibu vizur mpaka amalize 😊
We chagamba mwambie huyu kk hana udole wa kumfikia MCHOME anajigonga×2 tuuu mshabiki maandazi tena ya mm Ashura😂😂😂
Wew ndo zuwena sasa
❤
Max vp chagamba embutuulizieni chagamba
POLENI WAZEE WA SUPU NA BAHASHA 😀, UBAYA UBWELA UKO KAZINI..
Dosa chagamba yanga uyo 😅😅
😂😂namjua huyuuu
Wana Simba tunakukubal
Kuna kitu Utopolo hawakisemi kwamba mmeanza na wapinzani wabovu vital goli kumi na CBE goli saba nandio maana vibonde walio afadhali kidogo Al hilal na MC Alger wakawakanda mbili mbili.HILI LIKAMFANYA KOCHA ASEME LIGI DHAIFU KUMBE MMEKUTANA NA TIMU DHAIFU
Chagamba bro huyu Dosa anajua mpira anajua kuongelea mpira mimi simba lakini kaongea point sana nahitaji kumpa hata hongera yake
Chagamba og acha maswali ya kichokozi mwanetu
Dosa ndo mwana yanga pekee alie kuwa akikili mech ya yanga ni ngumu kwa mkapa
Mtu wa boli
Kk dosa me shabiki yako