DOSA|KILA TIMU INATAMANI KUWA KAMASIMBA TUMEUMIA WAMEBAKI MICHUANO YA CAF|LIGI KUU HAKUNA FARAJA PIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 37

  • @fareedkhalipher3590
    @fareedkhalipher3590 12 дней назад +10

    Leo umepoa sana mzee Kuna siku nlikuambia Yanga ilivyoanza kupata matokeo mazur ulitoka kuongelea mpra ukaanza kuzungumza kishabiki Leo mpra umekufundxha unazungumza uwalisia wa mpra Sasa na bado msifos kuwa na ukubwa ambao amna

  • @hemedmwandaro1264
    @hemedmwandaro1264 12 дней назад +1

    Dosa ndo kipenzi cha watanga he is our best football analysist from Tanga Tanzania

  • @johnmwita9370
    @johnmwita9370 12 дней назад +3

    Dosa Mungu Akulinde, Wana yanga wanaroho za kishetani

  • @JescacasianChaho
    @JescacasianChaho 10 дней назад

    Mzee masatu nampenda san ila dossa hampendi😂😂😂😂

  • @fredyhacker7322
    @fredyhacker7322 12 дней назад +5

    Point sana mabeki wa pemben wa yanga wamewafelisha
    Ila sisi simba tumefurah😂😂😂

  • @BensonGoodluck-f2i
    @BensonGoodluck-f2i 6 дней назад

    Ubaya ubwela tyu dadeki 😂😂🎉🎉

  • @MordAlly-ng8jj
    @MordAlly-ng8jj 12 дней назад

    Mungu akubariki sana Dossa umekuwa msema ukweli mpaka raha kusikiliza interviews zako kwa kubalance story, well deserved kongole

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 12 дней назад +1

    Noma sana watani 😂😂😂😂❤

  • @Zuubaby-lp9uj
    @Zuubaby-lp9uj 11 дней назад +2

    Dosa mm zuu mashabiki wa simba ubaya ubwela 🦁 lkn nakukubali sana nakupata kutoka oman katila mashabiki wa Yanga ww uwa unaongea fact 🌿🌷🌿

    • @MazoyaSamson
      @MazoyaSamson 11 дней назад +1

      Na mm nakupenda

    • @Zuubaby-lp9uj
      @Zuubaby-lp9uj 11 дней назад

      @MazoyaSamson 🙏🤝pamoja sana

    • @DosaMohamed-l3t
      @DosaMohamed-l3t 11 дней назад

      Asante na mimi ni yanga kutoka tanga Tanzania pia nakukubali saana mtani

  • @HappySeafood1410
    @HappySeafood1410 12 дней назад

    😅😅😅Chagamba nimecheka sana Etiii Inatosha Nisije nikaongea maneno mengine siooo😂

  • @MaryBlass-d3d
    @MaryBlass-d3d 11 дней назад

    unajua dosa ana uyanga lakini anajua football mm napenda sana. na nampa pole sanaa kwa kwelj

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 12 дней назад

    Sema HAWAMOOO 😀😁😁

  • @SalumContawa
    @SalumContawa 11 дней назад

    Mie shabiki ako Sana sogea hapa bandalini Kwa mwanao idd uchukue juiceeeeeeee

  • @HassanEnericko-h3h
    @HassanEnericko-h3h 12 дней назад +1

    Jamani mzee said wap

  • @Josephtibu-l9e
    @Josephtibu-l9e 12 дней назад

    Poleni😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @SalmaRashid-t9x
    @SalmaRashid-t9x 12 дней назад +1

    Na ndilo lililowapatia point mukafika hapo mlipo eti leo wanalibeza akina kamwe na priva mwanya

  • @VeronicaNyondo
    @VeronicaNyondo 11 дней назад

    Heee😂😂

  • @DanielJamesNgulo
    @DanielJamesNgulo 11 дней назад

    Dosa unajua mpira yanga kama watakutumia watapata kitu ila Kwa sababu ya ushabiki wengi wanakubeza hao achana nao

  • @OmarrySingano-kf9il
    @OmarrySingano-kf9il 12 дней назад +2

    NENDE KWAMLUGU mabibo

  • @Zuubaby-lp9uj
    @Zuubaby-lp9uj 11 дней назад

    Chagamba soma coment zetu acha kumkatizia milaji akiwa anaongea 😅 ukimuuliza swali muache ajibu vizur mpaka amalize 😊

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 12 дней назад +1

    We chagamba mwambie huyu kk hana udole wa kumfikia MCHOME anajigonga×2 tuuu mshabiki maandazi tena ya mm Ashura😂😂😂

  • @OmarrySingano-kf9il
    @OmarrySingano-kf9il 12 дней назад

  • @AllyTeza
    @AllyTeza 12 дней назад

    Max vp chagamba embutuulizieni chagamba

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 12 дней назад

    POLENI WAZEE WA SUPU NA BAHASHA 😀, UBAYA UBWELA UKO KAZINI..

  • @Zuubaby-lp9uj
    @Zuubaby-lp9uj 11 дней назад

    Dosa chagamba yanga uyo 😅😅

  • @christinawarioba8226
    @christinawarioba8226 12 дней назад

    Wana Simba tunakukubal

  • @rashidmaulid7312
    @rashidmaulid7312 12 дней назад

    Kuna kitu Utopolo hawakisemi kwamba mmeanza na wapinzani wabovu vital goli kumi na CBE goli saba nandio maana vibonde walio afadhali kidogo Al hilal na MC Alger wakawakanda mbili mbili.HILI LIKAMFANYA KOCHA ASEME LIGI DHAIFU KUMBE MMEKUTANA NA TIMU DHAIFU

  • @DEBORANATHANAEL
    @DEBORANATHANAEL 12 дней назад

    Chagamba bro huyu Dosa anajua mpira anajua kuongelea mpira mimi simba lakini kaongea point sana nahitaji kumpa hata hongera yake

  • @ROJAOMARY-ys7xb
    @ROJAOMARY-ys7xb 12 дней назад

    Chagamba og acha maswali ya kichokozi mwanetu

  • @EdwinKabasa
    @EdwinKabasa 12 дней назад

    Dosa ndo mwana yanga pekee alie kuwa akikili mech ya yanga ni ngumu kwa mkapa

  • @christinawarioba8226
    @christinawarioba8226 12 дней назад

    Mtu wa boli

  • @IbrahimMakonga
    @IbrahimMakonga 12 дней назад

    Kk dosa me shabiki yako