INTERNAT YA LUSAKA(moba), WATANGAZAJI WAMETEMBELEYA JENGO ILI LA ZAMANI LA KI HISTORIA PALE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 окт 2024

Комментарии • 12

  • @LeopoldSam-e8n
    @LeopoldSam-e8n 2 месяца назад

    Mungu wangu moba tunapoteza vitu vyote..😢😢😢

  • @alexkabazo1886
    @alexkabazo1886 7 месяцев назад

    First war is bad . Kweli vita nimbaya sana. God help us Congolese. To blow our mind. We need rebuild that place.

  • @richardmukoyo5350
    @richardmukoyo5350 11 месяцев назад +1

    Mimi ni Mesoma pale ata nilifanya kazi pale kama vile Greffier wa tribunal

  • @KM-hx8zy
    @KM-hx8zy 11 месяцев назад

    Mwenye eko londre ni nani !

  • @MbabaziJoise
    @MbabaziJoise 6 месяцев назад

    Ni uzuni sana kuona majengo yote imearibika,kweli Lusaka naijuwa sana,vyongzi wa Congo wanafanya kazi Gani?barabara ya kasenga,kala zimearibika nauzunika sana,mimi naitwa Kaliba KiIKongo mzaliwa wa kaunga,chefferie ya kansabala,nimesomea kala,institut Kaoze,naishi Rwanda,nauzika sana kuona mambo kama yale

  • @KM-hx8zy
    @KM-hx8zy 11 месяцев назад +1

    Ndungu Lienda, mwenyewe kuwa londre ninani!

  • @micofilm2022
    @micofilm2022 11 месяцев назад

    Il faut mutafute mzee wa zamini utupe documentary ya bien

  • @hamisstimu
    @hamisstimu 8 месяцев назад +1

    kwahiyo serikali haioni kama shule imeharibika waboreshe. yani wabunge wa congo hawana akili hasa wabunge wa moba hawana akili kabisa.

  • @kimetemugunga5019
    @kimetemugunga5019 9 месяцев назад

    Inabakiisitoria naniwakujengatena

  • @kimplemapeka1734
    @kimplemapeka1734 11 месяцев назад

    Mbana sasa ilisha kuwa pori