Ni uzuni sana kuona majengo yote imearibika,kweli Lusaka naijuwa sana,vyongzi wa Congo wanafanya kazi Gani?barabara ya kasenga,kala zimearibika nauzunika sana,mimi naitwa Kaliba KiIKongo mzaliwa wa kaunga,chefferie ya kansabala,nimesomea kala,institut Kaoze,naishi Rwanda,nauzika sana kuona mambo kama yale
Mungu wangu moba tunapoteza vitu vyote..😢😢😢
First war is bad . Kweli vita nimbaya sana. God help us Congolese. To blow our mind. We need rebuild that place.
Mimi ni Mesoma pale ata nilifanya kazi pale kama vile Greffier wa tribunal
Mwenye eko londre ni nani !
Ni uzuni sana kuona majengo yote imearibika,kweli Lusaka naijuwa sana,vyongzi wa Congo wanafanya kazi Gani?barabara ya kasenga,kala zimearibika nauzunika sana,mimi naitwa Kaliba KiIKongo mzaliwa wa kaunga,chefferie ya kansabala,nimesomea kala,institut Kaoze,naishi Rwanda,nauzika sana kuona mambo kama yale
Ndungu Lienda, mwenyewe kuwa londre ninani!
Contacte moi in box
0811665566
Il faut mutafute mzee wa zamini utupe documentary ya bien
kwahiyo serikali haioni kama shule imeharibika waboreshe. yani wabunge wa congo hawana akili hasa wabunge wa moba hawana akili kabisa.
Inabakiisitoria naniwakujengatena
Mbana sasa ilisha kuwa pori