#TBC

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • ndelea kufuatilia matangazo kupitia mitandao yetu ya kijamii ya TBConline, tutakujuza mengi yatanayoendelea kwenye safari ya kwanza ya majaribio ya treni ya Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma.

Комментарии • 8

  • @salumumakombo
    @salumumakombo 5 месяцев назад +6

    Hii project inakwenda tofauti na vile ambavo alipangalia mwamba jpm

  • @TetiWatson1919
    @TetiWatson1919 5 месяцев назад +1

    Mhhhhhh sielewi project wakuu

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 5 месяцев назад +2

    Hii nchi kuendelea kimpangilio itakuchukua muda sana yani kila siku ni story ya train

  • @deborasalumtwa
    @deborasalumtwa 2 месяца назад

    Dodoma inatoka saa aabh

  • @deborasalumtwa
    @deborasalumtwa 2 месяца назад

    Dodoma inatoka sàa ngapi asbh

  • @MoMoney-ft1kz
    @MoMoney-ft1kz 5 месяцев назад +1

    kwan ratiba yao na safari zita anza rasmi lini

  • @DudddyWhyCant
    @DudddyWhyCant 3 месяца назад

    Jambo muhimu ni kutunza, hii ni mali yetu watanzania, sasa isije ikatokea hujuma ,maana kuna tabia za watu wakiwemo viongozi kutopenda hali ya namna hii ( kutopenda vya nyumbani )

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 5 месяцев назад

    Mi nashangaa majaribio kila siku kwani hamna uhakika na mlichokifanya?! Hii ni kuitia hasara tu serikali treni ya kupanda watu elfu wanafanyiwa majaribiobwatu 50😊