MBWADUKE:OHOOO! BEKI KIBOKO YAO NI HUYU/ MAGOLI YA OVYO-OVYO SASA BAASS..!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...

Комментарии • 49

  • @deogratiusdaud3577
    @deogratiusdaud3577 Месяц назад +4

    Mkuu unaumanya kisawasawa mpira wa miguu
    Big up!

  • @charleslucas4365
    @charleslucas4365 Месяц назад +3

    Mbwaduke nakukubali sana

  • @user-cz7lp1le4e
    @user-cz7lp1le4e Месяц назад +2

    Big up mbwaduke pamoja sana

  • @buramohamedi5174
    @buramohamedi5174 Месяц назад

    Uchambuzi wa kiwango cha Dunia pokea maua yako🌹🌻

  • @lesemomole6286
    @lesemomole6286 Месяц назад +1

    Mchambuzi wangu Bora wa muda wote huwa namaliza bando kwa kusikiliza uchambuzi wake
    God bless you brother

  • @AbelJoseph-ef8bf
    @AbelJoseph-ef8bf Месяц назад

    Baba unajua sana nakupenda unajua sana

  • @ramadhanimteluye9233
    @ramadhanimteluye9233 Месяц назад +1

    Thanks alot mwamba, tupatie uchambuzi wa FADLU DAVIDS tafadhali

  • @AbdumajidAjnan
    @AbdumajidAjnan Месяц назад

    Nakukubari sana we baba

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  Месяц назад

      Kwa taarifa rasmi ziIilizotolewa na Kamwe ni kwamba bado yupo kikosini Yanga.

  • @farajmanuar3589
    @farajmanuar3589 Месяц назад +2

    Uchambuz mzur sana mwl wa mpira..

  • @setheliazery8168
    @setheliazery8168 Месяц назад +1

    Kweli umekuwa mwalim mzuri wa ball na enjoy sana kwa statistics unazotoa , thanks

  • @SamwelLameck-rv3fd
    @SamwelLameck-rv3fd Месяц назад

    Kwell😅❤

  • @Mariampaul-me7qo
    @Mariampaul-me7qo Месяц назад

    We mchambuzi wangu boraa kwasasa❤

  • @user-rg7tx2cc1l
    @user-rg7tx2cc1l Месяц назад

    Anayejua anajua 🎉🎉🎉🎉

  • @adv.benedictpius
    @adv.benedictpius Месяц назад

    Umbile mnara🔥🔥🔥🔥🔥

  • @nicholausrutayuga4458
    @nicholausrutayuga4458 Месяц назад

    Asante Mbwaduke

  • @josephatisidori3060
    @josephatisidori3060 Месяц назад +2

    Huyu mwamba ni mrithi wa Kashasha hazina ya taifa💪

  • @peterzephania-n7z
    @peterzephania-n7z Месяц назад

    Nakukubali sana kwa uchambuzi wa bori

  • @allyhuyu1892
    @allyhuyu1892 Месяц назад

    Kwani kuna anateseka kutokana na ubora wa mnyama kwenye rankings za caf

  • @WilliamFilipatali
    @WilliamFilipatali Месяц назад

    Unajua sana

  • @zakayomgaya2758
    @zakayomgaya2758 Месяц назад +2

    ❤❤❤❤❤❤💪💪💪💪💪💪💪

  • @sharifusaidi461
    @sharifusaidi461 Месяц назад +1

    Kipaji kikubwa sana

  • @LababaZircoijoxboy-hm2ud
    @LababaZircoijoxboy-hm2ud Месяц назад

    Mwambaa,,,, mtu wa mahana kbs

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 Месяц назад +1

    Magoli ya mangungu na wenzake hayo

  • @AllyAlly-g2o
    @AllyAlly-g2o Месяц назад +1

    Kwel nakubal jaman huy mwamba huna mpinzan kwa style ya uchambuz wako

  • @user-kn1yw2oq3o
    @user-kn1yw2oq3o Месяц назад

    Simba nguvu moyaaaa

  • @revocatusmalimi4525
    @revocatusmalimi4525 Месяц назад

    Naomba nitofautiane kidogo na mchambuzi wetu huhusu sifa ya urefu japo namwamini na kumpenda sana.Tumewahi kuwa na mlinzi George Magele Masatu alikuwa mfupi lakini alikiwasha kwa hatari.Kikubwa ni uwezo wa mchezaji

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  Месяц назад

      Sahihi sana Bro. Hata pale Yanga msimu wa 2022/23 Job ndiye alikuwa kinara wa kucheza mipira ya juu ingawa si mrefu wa kufikia futi 6+. Lakini mabeki wa vimo virefu wanakuwa na faida zaidi kwa mipira ya juu na pia vipaji special vya mabeki aina ya Masatu na Job si vingi.

  • @user-wg7cl1mc8n
    @user-wg7cl1mc8n Месяц назад +4

    Mkuu tunahitaji ushambuzi wa kocha wa simba mpya ❤❤❤❤ plz

  • @TumainiSalufu-v4i
    @TumainiSalufu-v4i Месяц назад

    Ilibidi uwe professor

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  Месяц назад

      Ha ha ha haaa. Tutamfikishia ujumbe wake Mzee wa Data.

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 Месяц назад

    Faza,kwa niaba ya mashabiki wako naomba uweke na ule uwanja wa kudisplay pitch na mchezo tuone uchambuzi kwa position kabisa,ukiwa unafanya uchambuzi.ASANTE

  • @user-rz6bc6nf5z
    @user-rz6bc6nf5z Месяц назад +1

    Baba mwaduke ww nimwalimu wa wachambuzi wote tz,

  • @romanambelle6356
    @romanambelle6356 Месяц назад

    Yaan wew ndo unatamanisha kukusikiliza si wajinga wanaolipwa kutwa kuchambua ujinga wape somo

  • @rahimsiraju9880
    @rahimsiraju9880 Месяц назад

    Simba nguvu mojaaaa

  • @Leeeeeeee-96
    @Leeeeeeee-96 Месяц назад

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AbdallahChindo
    @AbdallahChindo Месяц назад

    Mkuu tunaitaji utambulisho wakocha mpya wasimbaa

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  Месяц назад

      Soon...Mzee wa Data atafanya hivyo. Kaa tayari!

  • @PaulNyanda-g8h
    @PaulNyanda-g8h Месяц назад

    Simba kuna thank you ngap?

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  Месяц назад

      Mmmh...swali zuri lakini tusubiri wamalize mchakato huo.