Huu ni Ufunguo wa Siri ya Maisha Bora

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 май 2024
  • Ujumbe Huu ni Ufunguo wa Siri ya Maisha Bora.
    Bali kwa kusikiliza hii itakutoa sehemu moja na kukupeleka sehemu bora zaidi kimaendeleo. Fuatilia...
    .
    Tuandikie kile ulichojifunza kwenye comments, gonga “LIKE” pamoja na “ku-share” link ya somo hili kwa wengine. Asante
    .
    KUWA MZUNGUMZAJI MAHIRI KWA KOZI HII:👇🏼
    Boresha uwezo wako sasa wa kuzungumza na utengeneze njia za kuingiza kipato zaidi. Nunua kozi ya “Speaking Skills Course”
    Kwa bei ya punguzo ya 20,000 TZS tu!
    👇🏼👇🏼
    Tuma neno “KOZI” au “COURSE” kwenye whatsapp: 0759-19-10-76
    Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
    .
    NUNUA VITABU:
    Nunua kitabu kitakacho kusaidia kukua na kujiongezea thamani.
    Kupata orodha ya vitabu tuma neno: “KITABU” au “VITABU”
    kwa WhatsApp namba: 0759-19-10-76
    Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
    .
    KOZI YA RUclips CHANNEL MASTERY (BURE):
    Ichukue hapa: / @youtubepesa255
    .
    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
    Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
    chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Media Personnel & An Entrepreneur
    Instagram: / ezdenjumanne
    Twitter: / ezdenjumanne
    Facebook: / ezdenjumanne
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / ezden_voiceover
    .
    KWA MATANGAZO NA BIASHARA:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    - Kutengenezewa tangazo zuri la video na sauti
    Tuwasiliane:
    CALLS: (+255) 759 191 076
    WHATSAPP: wa.me/255759191076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    Kujiboresha, Ukuaji binafsi, Mafanikio, Malengo, Mipango, Kuhamasisha, Ushawishi, Kujitambua, Nidhamu, Kujiamini, Ubunifu, Uwezo, Uongozi, Uhusiano, Afya ya akili, Afya ya mwili, Ustadi wa maisha, Falsafa ya maisha, Mafanikio ya kifedha, Biashara, Ujasiriamali, Uwekezaji, Elimu mtandaoni, Mafunzo, Tabia, Kujenga uwezo, kitabu, vitabu, Kiswahili, Tanzania, Ezden Jumanne, Success Path Network, pesa, chaneli ya elimu, mwalimu wa mafanikio, njia za mafanikio, utajiri, Swahili Motivation,
    .
    #success #path #network

Комментарии • 52

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork  Месяц назад +7

    Nini umejifunza katika somo hili?

    • @zakariachacha7574
      @zakariachacha7574 Месяц назад

      Hapo nmejifunza mambo mengi mfano ukiwa na hela uskimbilie kununua vitu ambavyo havikuingizii hela bali vinatoa mkuu endelea kutupa masoma mazur kwa sisi tunao kufatilia hatuwez kukosea kwenye maisha maana kila ambacho ntakuwa nafanya nakumbuka kina faida kweli naachana nacho

    • @sabrinahomary390
      @sabrinahomary390 Месяц назад

      Huu ufunguo sahihi bro

  • @sakinamyao8284
    @sakinamyao8284 Месяц назад +2

    MashaALLAH ni somo zuri sana
    Haya ni madini adimu sana na adhimu
    Nidhamu ya fedha ni muhimu sana katika maisha
    Tayari najiona nipo kwenye gari la ndoto zangu😅

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Месяц назад +1

      Naam naam... Na soon hiyo ndoto itakuwa kweli! Kila la kheri

    • @sakinamyao8284
      @sakinamyao8284 Месяц назад

      Ameen yaa rabb 🤲

    • @jacklinekanini1213
      @jacklinekanini1213 Месяц назад

      ​@@successpathnetworkmim najiona Nisha nununua shamba na nikajenga

  • @user-nk3dp9cv9c
    @user-nk3dp9cv9c Месяц назад +2

    Kila kitu kinahitaji akil , maarifaa, na upeo mzuri wa kufikir🎉

  • @ZAOFAUDAMBU
    @ZAOFAUDAMBU Месяц назад +3

    Somo lipo vizur

  • @nyambevalentine8293
    @nyambevalentine8293 Месяц назад +2

    Nimejifunza maneno yote uliyoongea yametafsirika kwa picha ya video ya somo hili, Be Blessed Brother

  • @TuntuHassan
    @TuntuHassan Месяц назад +2

    Nimekuwelewa sana brother soon na mm namilik kampun yangu

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Месяц назад

      Kila la kheri, Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi katika hilo

  • @AbeidTunga
    @AbeidTunga Месяц назад +3

    I study to inverst first

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork  Месяц назад +2

    Kitu gani kimoja unaweza kuongeza katika orodha hii ili tujifunze zaidi?

    • @CollisBill-mu3zp
      @CollisBill-mu3zp Месяц назад +1

      Tubadiriii fikra zetu.. na tuona itajii mafanikio tuache mahusiano ( Ya ndoa au Mapenz) yatutafute maana tukiyatafuta sisi tutatoka kweny reliii🎉

    • @CollisBill-mu3zp
      @CollisBill-mu3zp Месяц назад +2

      Tubadiriii fikra zetu..Pia tuache (mahusiano Ya ndoa au Mapenz) yatutafute maana tukiyatafuta sisi tutatoka kweny reliii ya mafanikio

  • @tunsumemwajumba7149
    @tunsumemwajumba7149 Месяц назад +2

    Kuweka naenda sana lakini kipato changu hakitoshi nafanyaje

  • @EdwardShebughe
    @EdwardShebughe Месяц назад +1

    Naendelea kujifunza
    Each one Teach one 👍

  • @yahyatweitin
    @yahyatweitin Месяц назад +2

    Clear lesson

  • @ZAOFAUDAMBU
    @ZAOFAUDAMBU Месяц назад +2

    Dah Somo zuri sana ila nawezaje kuacha ajira na nimeishia darasa lanne

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Месяц назад +1

      Tuwasiliane kwa muongozo mzuri zaidi. Niandikie hiyo comment yako kwenye wahstapp pamoja na kujitambulisha vizuri. 0759191076

    • @joelparmwat6029
      @joelparmwat6029 Месяц назад +1

      Hello bro kubadilisha maisha yako aitaji masoma inataji bidii yako na kujituma mbona kuna watu wajasoma Sana wameajiri watu walio soma Sana

  • @TuntuHassan
    @TuntuHassan Месяц назад +2

    Nimejifunza uwez kuwa Tajir kwa kufanya kaz kwa mtu

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Месяц назад +1

      Ila ni sehemu nzuri pa kuanzia kujitafuta na kutengeneza msingi

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp Месяц назад +2

    Kuna ujumbe muhmu sana umuu🎉🎉🎉🎉 Asante sana ❤

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Месяц назад +1

      Karibu sana Collis

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Месяц назад +1

      Karibu sana Collis

    • @CollisBill-mu3zp
      @CollisBill-mu3zp Месяц назад +1

      @@successpathnetwork Asante
      Niko iringa..
      Siku nitakapo kuja Dar es salaam cha kwanza kabsa ni kuulizia Success path network makaoo makuu yako wapii

    • @CollisBill-mu3zp
      @CollisBill-mu3zp Месяц назад +1

      @@successpathnetwork Nimejifunza mengii kupitia hii Media

  • @abilityemmanuel3000
    @abilityemmanuel3000 Месяц назад +2

    umuhimu wa kutunza mda , naanza na kuzingatia ratiba bila kuweka visingizio

  • @fistomugume518
    @fistomugume518 Месяц назад +2

    Big up kaka kwa muekeo sahihi

  • @AziziAlly-fy5ke
    @AziziAlly-fy5ke Месяц назад

    Mungu akupe afya njema tuendelee kunufaika na elimu yakipekee unayotoa

  • @user-vn6in1rb4x
    @user-vn6in1rb4x Месяц назад

    asante sana br

  • @joelparmwat6029
    @joelparmwat6029 Месяц назад

    Hello bro mzima Mimi nimejifunza vitu nyingi Sana god bless you forever and always endelea kujifunza kila wakati na usishoke

  • @RadjabuUlimwengu-lb9yz
    @RadjabuUlimwengu-lb9yz Месяц назад +1

    Nimekuelew ipaswavy

  • @JoackimVincent-qr6bs
    @JoackimVincent-qr6bs Месяц назад

    Maisha ya sasa yanaitaj akili Maalim na kujiwekez katika jambo fulani na kuiheshimu pesa ninach Amin hakuna pesa ndogo ni kujiongez tu

  • @user-lk4jc7bs3m
    @user-lk4jc7bs3m Месяц назад

    axante sana kwa somo lako

  • @user-xy8vz8ln6p
    @user-xy8vz8ln6p Месяц назад

    Mafanikio yanihitaji believes katika hii dunia

  • @zakariachacha7574
    @zakariachacha7574 Месяц назад

    Bro tuko pamoja

  • @greacembwnwilibati8197
    @greacembwnwilibati8197 Месяц назад +1

    Asante kuna kitu nimejifunza 🙏🙏

  • @ZAOFAUDAMBU
    @ZAOFAUDAMBU Месяц назад +2

    Somo lipo vizur

  • @ZAOFAUDAMBU
    @ZAOFAUDAMBU Месяц назад +2

    Somo lipo vizur