Kontawa feat Maua Sama - SIKUACHI (official audio lyrics)
HTML-код
- Опубликовано: 27 сен 2024
- Your favorite boy Tawa has released a new song The song is called Sikuachi!
It’s kontawa feat Maua Sama
Sikuachi is a beutyfull song ever 🔥
Take your time to listen and enjoy the great music!
For booking: Kontawa
Contact:
-+255712530267
E-mail:
abaone4@gmail.Com
Lyrics video kwekaa
Contact:
+25562 639 2616
Audio produced by isgily
Contact:
+255742 426 287
#kontawa #Sikuachi #Mauasama
Wanae mkubali kontawa tujuane kwa like ifike hata200
Ngoma imetoka leo but comment imecomentiwa 9dys ago how come??
💥
@@najmashumbu 💥
@@kabweremwita6567 😂😂😂😂😂😂
San
Ngoma nimeiludia zaidi y mala 5 kontawa 🔥🔥 nakubali baba from Burundi 🇧🇮🇰🇪 Ngoma ina message bro wp like za kontawa km unamukubali
Kabla hata sijaisikia hii masterpiece naomba iwekewe lamination ifike salama na iwe kumbukumbu kwa vizazi vijavyo 🙌
💥
Twendeni na huku jamani 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗ruclips.net/video/WLa97naM9JM/видео.html
Bonge moja la hit song🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kontowa 🔥🔥🔥🔥lazima iwe hits uhawahii kosea.kaka 🙌🙌🙌🙌
💥
💥
Moto
Ngoma kali sana flow kali kinyama samaa ameua humu ndan gonga like kama na ww umeikubal hii ngoma
Alie skia kontawa kasema Minachekagaa tu,like happ
Anada banger from hit boy and hit girl
Nimeisikilizaa zaid ya mala mojaa🔥🔥
Kontawa ❤from Burundi 🇧🇮 nakupenda sana kaka wewe unaweza sanaa kijana wetu piga kaziiii kabisa
💥
Bongo talented. Nakubari siku 9 si nyingi
💥
@@najmashumbu 💥
another banger 💪💪💪💪💣💣💣💣💣💣💣
💥
💥
Twendeni na huku jamani 🤗🤗🤗🤗🤗ruclips.net/video/WLa97naM9JM/видео.html
KAMA WEWE HAUTA MUACHA MPENZI WAKO ❤ KWENYE RAHA NA SHIDA NAOMBA LIKE 👍 HATA! 💯 tuuu!!!😜
💥
@@najmashumbu ❤❤❤❤❤❤❤
Kunakipindi nilisanda Hadi nikatamani nikupeleke kudanga, unyama mwingi Kaka🔥🔥🔥🔥
Kontawa n moja ya wasanii wanaofany muziki nzur alaf ndan yak kuna maisha halisi ambay wat tumepitia n tunapitia, wameptia HONGERA SANA
"Ata Usipoona Siku zako, Mi Ntakutaftia" Tawa🙌🏼💯 Best lyricist ever
Balaa..
Jamaa miyeyusho Sana 😁😁😁
nice music big brother show support to my song also
ruclips.net/video/oeAZlqn4Bow/видео.html
finally nime nyosha mikono na miguu na mguu wa tatu juu kwa kontawa✌️✌️✌️
KAMA UME IKUBALI HII NGOMA naomba like ❤
love this song
💥
💥
@@najmashumbu ❤
Twendeni na huku jamani 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗ruclips.net/video/WLa97naM9JM/видео.html
Fantastic song, the real music.🇰🇪🇰🇪
Huyo ni Kontawa moto sana
#Poetic Smartic
Hii nyimbo n testimony yangu ....we still on it💪
Kontawa! 🔥🔥🔥
Hizi ndo ngoma tunazoziexpect toka kwako kontawa 🚀💯♥️♥️
Ata usipoona siku zako ntakutaftia😂😂😂😂😂umetisha sana mzee zaidi ya zote tutatoboa tu hamna kucheat milele daima amina
Nice song...pure talent from tawa boy..lemme see likes for this legend
💥
💥
Nmenyoosha mikono mzee unajua kwa mbele
Had nikinunua ugovi nilikua nadai risiti 😀 nouma sana 🇶🇦
💥💥💥💥💥🔥🔥🔥🔥🔥 nice song Kontawa ata usipoona siku zako mi nitakutafutia💪💪💪💪
Full upendo...kitu kipo juu🌟
manzee wapi likes safi ya kontawa,kitu safi with very clear lyric n melodic tuning,nipo ndaaaani yake kunabishwaaaaaa moootooooo.
Tawa never diserpoints am your fan from kenya
Ishakuwa Ngoma bola ya mwezi teali Leo Leo👏🔥🔥🔥🇹🇿
Kontawa yaniii mwanangu me nasema tu ukweli hunampinzani kwenye maandishi bongo nzima #Respect mwanangu
IT'S OUR "YE" AGAIN
💥
💥
Tawaa unajua sana 💪 zidi kuwakimbuza
Huyu kontawa achongewe sanamu lake 🔥🔥🔥🙏🙏
Sikuachiii😍😍😍
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
💥
💥
Twendeni na huku jamani 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗ruclips.net/video/WLa97naM9JM/видео.html
mauwa dada yangu kweli wewe fundi🌏🌏💰
Nimependa sana iih kitu Nipeni like jmn
Kakaangu nimekuwait kabisa
mwendooo wa hit mpakaa wakomeee 💪💪💪💪💪💪💣💣💣💣💣💣
Mi nachekaga tu unyama mwingi yaani tawa to the next level kijana anajua sanaa wapi live ya kontawa wadau ...nimeiskiza zaidi ya mara kumi ....
You are living in your own world brother,,umejitafuta umejipata,
energy ya kutosha sana ...i appreciate sana Tawa🔥🔥🔥
💥
💥
kazi nikubwa sana 🔥 🔥🔥
Tulio rudiarudia ngoma hili🔥🔥🔥🔥 tujuaje
Kontawaaa 🔥🔥🔥 hata usipo ona siku zako takutafutia 😂😂🙌🏾🙌🏾
Ukiona nabana pua ujue kunanuka, mzee hakuna kuachia pua mpaka harufu iishe. Hatari balaa
tawa jamani ....😂😂 hauna baya broo... la mwaka ili👏👏👏 tumetoboa
Tawa hujawahi niangusha alafu uyo bibie nae simtoto kwa game kabsaa nangoja hitt mimi najua hutoniangusha kabsaaa
Masterpiece...
Huitaji kuwaomba support ukiwa na kitu kizuri.
Sisi tupo pamoja na wewe endelea kufanya vitu ma men.
Najua hiyo collaboration itakuwa hatari sana mdogo wangu,
Good music on top
Kontawa mi nachekaka tuu 🇨🇩 tayari j'adore cette chanson vraiment très belle chanson 🇨🇩
Kontawa to the fullest,,,,kazi nzuri kaka,,,💖💖💖💖from🇰🇪🇰🇪
Mi nachekaga tu❤️❤️❤️
Eagerly waiting for it
💥
💥
Safi sana🔥🫡 ntawa ft sama 🔥🔥
Kaka huna baya live long nyimbo ni Kali Sana Kaka
yoo baba yoo yoo
Hatumtendei haki huyu jamaa kwa kweli inatakiwa ngoma zake zifikishe 1M kwa siku 2 tu
Hata kama hupendi wali lazima utafute mchele, Penda sana huu mstari
Hiti Kali Kama utalipata wapi tofauti na kwa kontawa tu ngoj like hapa kama umelikubali
Another Darassa!!kazi safi
I can’t wait 😛
My favorite msanii ❤
💥
💥
Kontawa unajua mwamba. Mziki mzuri sana sis8 mashabiki zako tuna enjoy 👊🏽🤍
Chumba kimoja Cha kupanga 🔥🔥🔥🔥🔥
Huyu jamaaa atali xanaa
hili dude litafanya mapinduzi sana wazee amini wanangu nishidaa 🔥🔥🔥🔥
💥
💥
Hupendi bia ila ana mguu wa bia
Noma Sana ishapenya Kenya 🇰🇪🔥🔥🔥
💥
kontawaaa na maua 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Huyu mwamba duh 🤝 namkubali
Mzigo wa motoooooo🔥🔥🔥
Unajuwa mbaka unakera sasa 💥💥💥💥💥💥💥💥
Sawa kaka kontawa tumetobowa bila utata saut ya inasound sana
🔥🔥first viewer , it song click like lets go🔥💥💣
Tunaomkubal kontwa tujuane ❤
mwamb nakukubali sana ila msisahau kunitatilia namm young voice story ninyimbo nzuri sana
Nyota ime waka. Kontwa champions
Kontawa on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tawa💥💥💥🔥🔥💪
Nakuona mbali sana nyimbo ipo🔥🔥
We ni umeme bro wapi likes za kontawa kwa wanaona mkubali
Kontaww maua sana big ngoma
Eish this guy mob love from kenya
Nomaa
From BURUNDI nampenda sana Kontawa,naomba like zenu jameni
Sikiliza mziki mzuri wewe unamtoa nyoka pangoni my sister kauwa Sana 🔥💥👊
💥
Nice song.....keep going "tawa!
KONTAWA BEST RAPPER 2023 MPAKA SASA💥
Wapi likes za first one to watch
Kazi njema❤️
Kuna kipindi nilisander mpaka nikatamani nikupeleke kudanga really talented Boi 🫶🫶🫶🫶🫶
Good mUsic alive broo🔥🔥🔥
eeeeehwaaaah muda unakaribia🔥😋
Nani karudia mara mbili mbili hi ngoma✂️😂😂😂😂🔗🔐❤️
Kontawa bro nomaaaaa👊🏿
Hadi mwakani ngoma haitokaa ichuje badilisha toa ngoma mwakani