Kontawa feat Maua Sama - SIKUACHI (official audio lyrics)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • Your favorite boy Tawa has released a new song The song is called Sikuachi!
    It’s kontawa feat Maua Sama
    Sikuachi is a beutyfull song ever 🔥
    Take your time to listen and enjoy the great music!
    For booking: Kontawa
    Contact:
    -+255712530267
    E-mail:
    abaone4@gmail.Com
    Lyrics video kwekaa
    Contact:
    +25562 639 2616
    Audio produced by isgily
    Contact:
    +255742 426 287
    #kontawa #Sikuachi #Mauasama

Комментарии • 587

  • @issalonginus
    @issalonginus Год назад +262

    Wanae mkubali kontawa tujuane kwa like ifike hata200

  • @irankundaclebert4260
    @irankundaclebert4260 Год назад +3

    Ngoma nimeiludia zaidi y mala 5 kontawa 🔥🔥 nakubali baba from Burundi 🇧🇮🇰🇪 Ngoma ina message bro wp like za kontawa km unamukubali

  • @sumbiasungwa8998
    @sumbiasungwa8998 Год назад +38

    Kabla hata sijaisikia hii masterpiece naomba iwekewe lamination ifike salama na iwe kumbukumbu kwa vizazi vijavyo 🙌

    • @Kinoge-j9k
      @Kinoge-j9k Год назад +2

      💥

    • @Kizanda_84
      @Kizanda_84 Год назад +2

      Twendeni na huku jamani 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗ruclips.net/video/WLa97naM9JM/видео.html

  • @yussufameir698
    @yussufameir698 Год назад +5

    Bonge moja la hit song🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @CHITABOY_1
    @CHITABOY_1 Год назад +22

    Kontowa 🔥🔥🔥🔥lazima iwe hits uhawahii kosea.kaka 🙌🙌🙌🙌

  • @kamuchidyblez2136
    @kamuchidyblez2136 Год назад +1

    Ngoma kali sana flow kali kinyama samaa ameua humu ndan gonga like kama na ww umeikubal hii ngoma

  • @elishaelishaedward9454
    @elishaelishaedward9454 Год назад +1

    Alie skia kontawa kasema Minachekagaa tu,like happ

  • @alexdundo2965
    @alexdundo2965 Год назад +2

    Anada banger from hit boy and hit girl

  • @robbyfany3395
    @robbyfany3395 Год назад +2

    Nimeisikilizaa zaid ya mala mojaa🔥🔥

  • @owlbig
    @owlbig Год назад +7

    Kontawa ❤from Burundi 🇧🇮 nakupenda sana kaka wewe unaweza sanaa kijana wetu piga kaziiii kabisa

  • @FAMILYSIMBA
    @FAMILYSIMBA Год назад +15

    Bongo talented. Nakubari siku 9 si nyingi

  • @official_king_happy
    @official_king_happy Год назад +24

    another banger 💪💪💪💪💣💣💣💣💣💣💣

    • @najmashumbu
      @najmashumbu Год назад +1

      💥

    • @Kinoge-j9k
      @Kinoge-j9k Год назад +1

      💥

    • @Kizanda_84
      @Kizanda_84 Год назад +1

      Twendeni na huku jamani 🤗🤗🤗🤗🤗ruclips.net/video/WLa97naM9JM/видео.html

  • @lodybrown3045
    @lodybrown3045 Год назад +19

    KAMA WEWE HAUTA MUACHA MPENZI WAKO ❤ KWENYE RAHA NA SHIDA NAOMBA LIKE 👍 HATA! 💯 tuuu!!!😜

  • @ramadhanathuman8498
    @ramadhanathuman8498 Год назад +1

    Kunakipindi nilisanda Hadi nikatamani nikupeleke kudanga, unyama mwingi Kaka🔥🔥🔥🔥

  • @micksonnyamwez96
    @micksonnyamwez96 Год назад

    Kontawa n moja ya wasanii wanaofany muziki nzur alaf ndan yak kuna maisha halisi ambay wat tumepitia n tunapitia, wameptia HONGERA SANA

  • @hassanmwidini3229
    @hassanmwidini3229 Год назад +11

    "Ata Usipoona Siku zako, Mi Ntakutaftia" Tawa🙌🏼💯 Best lyricist ever

  • @emilyvicent1969
    @emilyvicent1969 Год назад

    finally nime nyosha mikono na miguu na mguu wa tatu juu kwa kontawa✌️✌️✌️

  • @lodybrown3045
    @lodybrown3045 Год назад +40

    KAMA UME IKUBALI HII NGOMA naomba like ❤

  • @manyaramanyara8872
    @manyaramanyara8872 Год назад +5

    Fantastic song, the real music.🇰🇪🇰🇪

  • @poeticsmartic254
    @poeticsmartic254 Год назад +1

    Huyo ni Kontawa moto sana
    #Poetic Smartic

  • @fridamarkalios1679
    @fridamarkalios1679 Год назад +1

    Hii nyimbo n testimony yangu ....we still on it💪

  • @nelsoneregwa8319
    @nelsoneregwa8319 Год назад +2

    Kontawa! 🔥🔥🔥

  • @trend360withviku2
    @trend360withviku2 Год назад

    Hizi ndo ngoma tunazoziexpect toka kwako kontawa 🚀💯♥️♥️

  • @yhktv9823
    @yhktv9823 Год назад +1

    Ata usipoona siku zako ntakutaftia😂😂😂😂😂umetisha sana mzee zaidi ya zote tutatoboa tu hamna kucheat milele daima amina

  • @gmail.com.rastaman
    @gmail.com.rastaman Год назад +24

    Nice song...pure talent from tawa boy..lemme see likes for this legend

  • @paulkalanja5053
    @paulkalanja5053 Год назад +1

    Nmenyoosha mikono mzee unajua kwa mbele

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Год назад +1

    Had nikinunua ugovi nilikua nadai risiti 😀 nouma sana 🇶🇦

  • @ommyjudo
    @ommyjudo Год назад

    💥💥💥💥💥🔥🔥🔥🔥🔥 nice song Kontawa ata usipoona siku zako mi nitakutafutia💪💪💪💪

  • @del2547
    @del2547 Год назад +1

    Full upendo...kitu kipo juu🌟

  • @forebvybes3342
    @forebvybes3342 Год назад +1

    manzee wapi likes safi ya kontawa,kitu safi with very clear lyric n melodic tuning,nipo ndaaaani yake kunabishwaaaaaa moootooooo.

  • @Geonattyb
    @Geonattyb Год назад +2

    Tawa never diserpoints am your fan from kenya

  • @kidodosaking9806
    @kidodosaking9806 Год назад +2

    Ishakuwa Ngoma bola ya mwezi teali Leo Leo👏🔥🔥🔥🇹🇿

  • @baruswagesteven7107
    @baruswagesteven7107 Год назад

    Kontawa yaniii mwanangu me nasema tu ukweli hunampinzani kwenye maandishi bongo nzima #Respect mwanangu

  • @damajojo
    @damajojo Год назад +18

    IT'S OUR "YE" AGAIN

  • @terezaonly2913
    @terezaonly2913 Год назад +1

    Tawaa unajua sana 💪 zidi kuwakimbuza

  • @swaibahamidu1891
    @swaibahamidu1891 Год назад

    Huyu kontawa achongewe sanamu lake 🔥🔥🔥🙏🙏

  • @gladnessaman3408
    @gladnessaman3408 Год назад +1

    Sikuachiii😍😍😍

  • @arabgandaempire
    @arabgandaempire Год назад +24

    *Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*

    • @najmashumbu
      @najmashumbu Год назад +1

      💥

    • @Kinoge-j9k
      @Kinoge-j9k Год назад +1

      💥

    • @Kizanda_84
      @Kizanda_84 Год назад +1

      Twendeni na huku jamani 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗ruclips.net/video/WLa97naM9JM/видео.html

  • @manustonleonard9047
    @manustonleonard9047 Год назад

    mauwa dada yangu kweli wewe fundi🌏🌏💰

  • @ttttt300
    @ttttt300 Год назад +1

    Nimependa sana iih kitu Nipeni like jmn

  • @bidiiraidersband2622
    @bidiiraidersband2622 Год назад +1

    Kakaangu nimekuwait kabisa

  • @official_king_happy
    @official_king_happy Год назад +1

    mwendooo wa hit mpakaa wakomeee 💪💪💪💪💪💪💣💣💣💣💣💣

  • @richvannyrichie
    @richvannyrichie Год назад

    Mi nachekaga tu unyama mwingi yaani tawa to the next level kijana anajua sanaa wapi live ya kontawa wadau ...nimeiskiza zaidi ya mara kumi ....

  • @zainabumakimilazainabumaki6207

    You are living in your own world brother,,umejitafuta umejipata,

  • @geraldtemu673
    @geraldtemu673 Год назад +9

    energy ya kutosha sana ...i appreciate sana Tawa🔥🔥🔥

  • @chrisviva81
    @chrisviva81 Год назад +2

    kazi nikubwa sana 🔥 🔥🔥

  • @zedyzozolanda6746
    @zedyzozolanda6746 Год назад

    Tulio rudiarudia ngoma hili🔥🔥🔥🔥 tujuaje

  • @wizmagotv7250
    @wizmagotv7250 Год назад +4

    Kontawaaa 🔥🔥🔥 hata usipo ona siku zako takutafutia 😂😂🙌🏾🙌🏾

  • @mrishongwikwi6448
    @mrishongwikwi6448 Год назад

    Ukiona nabana pua ujue kunanuka, mzee hakuna kuachia pua mpaka harufu iishe. Hatari balaa

  • @tingdizzo1573
    @tingdizzo1573 Год назад

    tawa jamani ....😂😂 hauna baya broo... la mwaka ili👏👏👏 tumetoboa

  • @Mado_Boy254
    @Mado_Boy254 Год назад

    Tawa hujawahi niangusha alafu uyo bibie nae simtoto kwa game kabsaa nangoja hitt mimi najua hutoniangusha kabsaaa

  • @alikoellylwings1164
    @alikoellylwings1164 Год назад +3

    Masterpiece...

  • @afrihillcrest.dodoma7892
    @afrihillcrest.dodoma7892 Год назад +2

    Huitaji kuwaomba support ukiwa na kitu kizuri.
    Sisi tupo pamoja na wewe endelea kufanya vitu ma men.

  • @aloyceurio306
    @aloyceurio306 Год назад +2

    Najua hiyo collaboration itakuwa hatari sana mdogo wangu,

  • @panchnarygmt
    @panchnarygmt Год назад +2

    Good music on top

  • @pauljonas7232
    @pauljonas7232 Год назад +2

    Kontawa mi nachekaka tuu 🇨🇩 tayari j'adore cette chanson vraiment très belle chanson 🇨🇩

  • @lanelshiundu2159
    @lanelshiundu2159 Год назад

    Kontawa to the fullest,,,,kazi nzuri kaka,,,💖💖💖💖from🇰🇪🇰🇪

  • @peninacharles9757
    @peninacharles9757 Год назад +1

    Mi nachekaga tu❤️❤️❤️

  • @ynastyrnbs2033
    @ynastyrnbs2033 Год назад +7

    Eagerly waiting for it

  • @bonnetambweofficial
    @bonnetambweofficial Год назад +1

    Safi sana🔥🫡 ntawa ft sama 🔥🔥

  • @dizza7134
    @dizza7134 Год назад +1

    Kaka huna baya live long nyimbo ni Kali Sana Kaka

  • @ugy2p833
    @ugy2p833 Год назад +1

    yoo baba yoo yoo

  • @asiliyetuonline7080
    @asiliyetuonline7080 Год назад

    Hatumtendei haki huyu jamaa kwa kweli inatakiwa ngoma zake zifikishe 1M kwa siku 2 tu

  • @iraakasubete8287
    @iraakasubete8287 Год назад

    Hata kama hupendi wali lazima utafute mchele, Penda sana huu mstari

  • @YANGAHIGHLTS3073
    @YANGAHIGHLTS3073 Год назад

    Hiti Kali Kama utalipata wapi tofauti na kwa kontawa tu ngoj like hapa kama umelikubali

  • @EVELYNJOHN-vw7fh
    @EVELYNJOHN-vw7fh Год назад

    Another Darassa!!kazi safi

  • @rosehiiti6390
    @rosehiiti6390 Год назад +12

    I can’t wait 😛
    My favorite msanii ❤

  • @ibrahimibrahimpilla
    @ibrahimibrahimpilla Год назад

    Kontawa unajua mwamba. Mziki mzuri sana sis8 mashabiki zako tuna enjoy 👊🏽🤍

  • @alikomwandoto1258
    @alikomwandoto1258 Год назад

    Chumba kimoja Cha kupanga 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @westonyjob1747
    @westonyjob1747 Год назад +1

    Huyu jamaaa atali xanaa

  • @suleyzaofficial8844
    @suleyzaofficial8844 Год назад +7

    hili dude litafanya mapinduzi sana wazee amini wanangu nishidaa 🔥🔥🔥🔥

  • @Baba_Mario
    @Baba_Mario Год назад +3

    Noma Sana ishapenya Kenya 🇰🇪🔥🔥🔥

  • @official_king_happy
    @official_king_happy Год назад

    kontawaaa na maua 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @tumainigkiganja2471
    @tumainigkiganja2471 Год назад

    Huyu mwamba duh 🤝 namkubali

  • @tellabite
    @tellabite Год назад +2

    Mzigo wa motoooooo🔥🔥🔥

  • @abdulurembo6663
    @abdulurembo6663 Год назад

    Unajuwa mbaka unakera sasa 💥💥💥💥💥💥💥💥

  • @hamthemanja5471
    @hamthemanja5471 Год назад

    Sawa kaka kontawa tumetobowa bila utata saut ya inasound sana

  • @geraldeliah7287
    @geraldeliah7287 Год назад +2

    🔥🔥first viewer , it song click like lets go🔥💥💣

  • @dongaboyofficiel
    @dongaboyofficiel Год назад +1

    Tunaomkubal kontwa tujuane ❤

  • @Rbtzoff
    @Rbtzoff Год назад

    mwamb nakukubali sana ila msisahau kunitatilia namm young voice story ninyimbo nzuri sana

  • @stanleymshihiri3605
    @stanleymshihiri3605 Год назад

    Nyota ime waka. Kontwa champions

  • @elishatanganyika154
    @elishatanganyika154 Год назад +2

    Kontawa on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Geniuss_-_
    @Geniuss_-_ Год назад +1

    Tawa💥💥💥🔥🔥💪

  • @swaumuramadhani4905
    @swaumuramadhani4905 Год назад +2

    Nakuona mbali sana nyimbo ipo🔥🔥

  • @swagaton-ke
    @swagaton-ke Год назад

    We ni umeme bro wapi likes za kontawa kwa wanaona mkubali

  • @iscofernandez3030
    @iscofernandez3030 Год назад

    Kontaww maua sana big ngoma

  • @reimzofficial2628
    @reimzofficial2628 Год назад

    Eish this guy mob love from kenya

  • @Jeminjackson1
    @Jeminjackson1 Год назад +1

    Nomaa

  • @alexandrodieumerci8955
    @alexandrodieumerci8955 Год назад +1

    From BURUNDI nampenda sana Kontawa,naomba like zenu jameni

  • @realjimmy_OG6452
    @realjimmy_OG6452 Год назад +3

    Sikiliza mziki mzuri wewe unamtoa nyoka pangoni my sister kauwa Sana 🔥💥👊

  • @BenaVictor_254
    @BenaVictor_254 Год назад

    Nice song.....keep going "tawa!

  • @hassanhizza7879
    @hassanhizza7879 Год назад +1

    KONTAWA BEST RAPPER 2023 MPAKA SASA💥

  • @officialflameboy2548
    @officialflameboy2548 Год назад +1

    Wapi likes za first one to watch

  • @isacally7440
    @isacally7440 Год назад

    Kazi njema❤️

  • @maulidmrisho2536
    @maulidmrisho2536 Год назад +1

    Kuna kipindi nilisander mpaka nikatamani nikupeleke kudanga really talented Boi 🫶🫶🫶🫶🫶

  • @evaristmanoti9780
    @evaristmanoti9780 Год назад +2

    Good mUsic alive broo🔥🔥🔥

  • @rogathjmrema2221
    @rogathjmrema2221 Год назад +1

    eeeeehwaaaah muda unakaribia🔥😋

  • @florianminja8427
    @florianminja8427 Год назад +1

    Nani karudia mara mbili mbili hi ngoma✂️😂😂😂😂🔗🔐❤️

  • @giftboss3930
    @giftboss3930 Год назад

    Kontawa bro nomaaaaa👊🏿

  • @mountaincoffee7
    @mountaincoffee7 Год назад

    Hadi mwakani ngoma haitokaa ichuje badilisha toa ngoma mwakani