Rwanda ni wazungu toka siku gani? Rwanda na Uganda wanataka kuongoza Mashariki ya Congo toka 1990s. Mnalaumu wazungu wakati ni waafrika wenzenu mnajiua.
Awawez kwenda Kinshasa sababu kutoka goma kwenda Kinshasa ni mbali mno yan utoke dar kwenda kigoma afu ulud tena dar. Na mbaya zaid jiji la kishansa hakuna barabara inayoingiza wala kutoa so ukitaka kuingia Kinshasa lazma upande pipa au utumie mto congo tena upitie congo Brazzaville
Acha maelezo ya watoto hayo mzungu anapanda ndege anapanda Meri anakuja kuwapiga we iweje useme hawawezi kuvuka tu mkoa hvi nyinyi watu weusi nli logwa nanani manina zenu
Hawa watu kwa muonekano kabisa ni wema ila wanadai haki zao pia wanaakili. Isipokuwa viongozi wetu ambao wamekuwa machawa wa china,uarabuni na urusi ndio wanajikuta wabinafsi lkn mungu pia hapendi uonevu mjue. Lazima watu wakae wazungumze wapate muafaka hawa ni waasi lkn mnawanyonya wapeni wanachotaka alafu muone kama wataendelea kuwa waasi!!!
Nimekutizama kwenye page yako nimegundua upo na mapungufu yaan wale wanyonyaji na wasababishaji vita umewaacha wasiyohusika ndio umewataja kuna vita dunia hii ambayo America haijatia mkono?
@malkavoice2570 yeeeeeeeeh yeeeeeeeeh YEEEEEEEEEEEEHHH we jamaa hao nao ni vibaraka tu wa hao wazungu chuma ndio kile kilichokufa yule angewepo ad leo nazan inchi ingenyooka haswaaa shida hakuandaa mbadala wake yaani alijuwa kuwa anawindwa ila mbadala wake ndio hakuuandaa
Jeshi la Congo ni dhaifu rais aongeze juhudi haiwezekani mtu achukue sehemu ya nchi 😢nchi ni ndiyo mtu sasa watu wanachukua utu wenu si bora nikafe huko vitani kutetea watu wangu😢
Africa haita kuja kujitambua hata siku moja utambuzi upo kwa mmoja mmoja % kubwa njaa ,tamaa,ujinga na maslai binafsi ndo unatusumbua amna kingine vitu tulivyo vikosa kipindi cha ukoloni tuna force tuvimiliki kwa nguvu 😂
It's time Africa to take Congo back Kwa sababu wazungu ndio chanzo wakongo wameshidwa ila wataelewa Tu. Serikali ya Kongo imeuwa vijana wake zaidi ya Mia .serikali yako inabidi Africa yote iungane
Unajuwa kama jeshi la Tanzania nayo ilikuwepo? Ampaka wa mercenaires walikuwepo jeshi la Congo siyo zaifu walipoteza iloshambuliyo Ila awakupoteza vita Ila bado linaanja
Vema waendeleye hadi kileleni uongozi wa tchisekedi siyo nzuri sio wa amani ni vita zaa mara kwa mara sasa huu ndo muda wakujuwa nani mzaifu.kila mara watoto wanakatishwa shule,ajira zenyewe njo basi maendeleo yakuwaje.
Achana na huyo kwasasa nimiaka 30 huwa anahogea hivyo anafikiri Congo ni nyumbani kwao rwanda. 😂😂😂 kwanza ameshindwa east ndo ataweza kinshasa akubuki yule aliye toka marecan kule wanamakucha kama ya vampires watamjacha vipande vipande bila kutumia chochote kile na wanaamu naye atari
Tunachoka na Felix tshisekedi...hana na mpango yoyote yakuendelesha inchi kimaendeleo..yeye na watu wake ni wizi nakuirudisha congo nyuma kimaendeleo tu
Africa mpaka itulie itachukua miaka zaidi ya 50. Magonjwa ya Africa ni Ukoloni mamboleo, Ukabila Uchu wa madaraka Ufisadi, Udini, Migogoro ya mipaka. Yaani mpaka nachoka
@omondiowino7875ni kweli kuna baadhi ya waafrika wasio na akili wanasabisha vifo vya wenzetu lakini wapangaji wa vifi hivyo ni Ulaya na Marekani kwaajili ya kupata urahisi wa kuendesha viwanda vyao,Mungu awalaani wote wanaoshawishiwa kuwaua ndugu zao
Kwa mawazo yangu congo inatakiwa igawanyike ziwe nchi mbili maana mashariki mwa kongo ni mbal zaid ya kilomita 1.5k kutoka kinshasa tamaduni na lugha ni tofauti, nikimaanisha waachen congo mashariki kuwa nchi huru maana wakaazi wa mashariki hawana ukabila kwamba huyu kabila hili na huyu kabila jingine
Kumbe sio waasi sasa! Kwanini wanaitwa waasi wakati wanapigania haki? Kumbe serikali yao inaonekana mbovu ndiyo sababu ya yote wanapigania haki yao je, kwanini wanaitwa waasi? Hapo ndo nashindwa kuelewa!!!...
Da sisi wabongo kwa ushabiki tu hatujambo chimbuko la ugomvi huu ilianza mauaji ya rwanda 1994 ambapo warwanda wengi hasa watutsi walikimbilia mpakani ambapo mashariki ya kongo so wakazaliana hapo we sasa congo wakawa wanawatenga sana na kutowajali na kuwasukuma warudi rwanda so ili kukabiliana na wao kufukuzwa ikabidi waunde hio m23 sasa ili iwe ina oppose oppression wanayopata sasa magharibi wameona watumie iyo opportunity kwa mgongo wa rwanda ili wachukue eneo la mashariki ya congo ambayo ina madini mengi sana ya kutengemezea risasi, electronic devices etc.. so m23 na rwanda wanatumika na magharibi hasa ufaransa ili wachukue hilo eneo waigawe congo ili wafaidike kule mashariki.magharibi ndo wanachangia vita sana sana duniani na ndo wanawashabiki wengi
Acha uongo. Watus walikuepo kabla ata mkutano wa Berlin wa kuligawa bara la Africa mwaka 1884. So ule mkutano ulivofanyka kwenye kuigawa ule mpk wa congo na Rwanda watus wakajkuta wametawanywa wengne wakawa congo wengne wakawa Rwanda ishu inakuja watus waliobak congo wananyanyaswa na kufukuzwa kwenye maeneo Yao na kuambiwa Walud kwao Rwanda wakat congo ndio sehemu waliozaliwa yan mfano mmakonde ni kabila la watu wenye asili ya msumbiji baada ya mipaka ya nchi kuundwa Kuna mmakonde akajikuta yupo tz na mwngne yupo msumbiji afu Leo watokee watu waseme wamakonde Walud kwao msumbiji unazan watakubal?? Icho ndo kinachotokea goma
Africa to amke coz hawa wazungu wanatufanya tunauwana wenyewe kwa wenyewe 😢
Uzuni
Tuamke kuelekea wapi sasa
Shida
Rwanda ni wazungu toka siku gani? Rwanda na Uganda wanataka kuongoza Mashariki ya Congo toka 1990s. Mnalaumu wazungu wakati ni waafrika wenzenu mnajiua.
Kumbe wako fresh tuu na raia basi mororooo😢😢
We murwanda nyoko
We murwanda mututsi nyoko
We murwanda mututsi nyoko
Kama wako peace na wananchi wapige gazi
@@johdanny7816 Sa kama wako peace na raia kwann sasa wanakimbia makazi yao
M23 WANAMTANDAO MKUBWA SANA
MAJESHI YOTE YAMESHINDWA
San kabisa
Awawez kwenda Kinshasa sababu kutoka goma kwenda Kinshasa ni mbali mno yan utoke dar kwenda kigoma afu ulud tena dar. Na mbaya zaid jiji la kishansa hakuna barabara inayoingiza wala kutoa so ukitaka kuingia Kinshasa lazma upande pipa au utumie mto congo tena upitie congo Brazzaville
Sawa kama unahisi wanatishia Wacha tuone
Kabila alifikaje huko?
Umeongea upuuzi tokapa 😏
@@actuainternas wacongo walio taka kumpindua mobutu ndo walimpisha aende
Acha maelezo ya watoto hayo mzungu anapanda ndege anapanda Meri anakuja kuwapiga we iweje useme hawawezi kuvuka tu mkoa hvi nyinyi watu weusi nli logwa nanani manina zenu
Hiki kikosi Cha m23 nakilinganishaa na Wagner Cha bwanaa putting kisipozibitiwaa,kinaweza Pindua Kinshasa 😢😢😢
Glory to God haki itaishi milele Mungu awatie nguvu M23
Saizi ni congo,urusi na Ukraine vime saulika,
Hao m23 ndo wanangu sasa pamoja sana
Huna akili
Namuona semaji wa M23 willy ngoma mwamba uyooooo
Washenzi sana hao
Hawa watu kwa muonekano kabisa ni wema ila wanadai haki zao pia wanaakili. Isipokuwa viongozi wetu ambao wamekuwa machawa wa china,uarabuni na urusi ndio wanajikuta wabinafsi lkn mungu pia hapendi uonevu mjue. Lazima watu wakae wazungumze wapate muafaka hawa ni waasi lkn mnawanyonya wapeni wanachotaka alafu muone kama wataendelea kuwa waasi!!!
Nimekutizama kwenye page yako nimegundua upo na mapungufu yaan wale wanyonyaji na wasababishaji vita umewaacha wasiyohusika ndio umewataja kuna vita dunia hii ambayo America haijatia mkono?
Nahisi wewe ni mmarekani mweusi😂
@salumabdallah2990 mimi mbongo lkn mrengo wa magaribi. Ccm wanavyotupora si bora hata tuibiwe na mzungu aisee
@malkavoice2570 yeeeeeeeeh yeeeeeeeeh YEEEEEEEEEEEEHHH we jamaa hao nao ni vibaraka tu wa hao wazungu chuma ndio kile kilichokufa yule angewepo ad leo nazan inchi ingenyooka haswaaa shida hakuandaa mbadala wake yaani alijuwa kuwa anawindwa ila mbadala wake ndio hakuuandaa
@@fadhilngalanda7520Yule mlinzi wake Mabeyo alimuambia achukuwe nchi lakini alikataa .
Ile buti kule nyuma imetulia😅😅
😂😂😂😂jmn
Yes nmeiona Iko poa
Congo inavoelekea inaenda kuishia kwenye mikono ya waasi hatari kwa kweli
Jeshi la Congo ni dhaifu rais aongeze juhudi haiwezekani mtu achukue sehemu ya nchi 😢nchi ni ndiyo mtu sasa watu wanachukua utu wenu si bora nikafe huko vitani kutetea watu wangu😢
waende wap na apo ni kwao ? apo ni kwao kabisa
Safiiii kabisa
Bro ,siku ukijua kinshasa ni capital city ngumu kuifikia kutoka vijijini katika nchi zote za africa basi utajua iyo ya M23 ni ndoto
Safi me na kwa uyu mama
Mbona kama wana wako fresh kuliko serikali yenyewe ya kongo
Africa haita kuja kujitambua hata siku moja utambuzi upo kwa mmoja mmoja % kubwa njaa ,tamaa,ujinga na maslai binafsi ndo unatusumbua amna kingine vitu tulivyo vikosa kipindi cha ukoloni tuna force tuvimiliki kwa nguvu 😂
Mnawauwa ndugu zenu kwa sababu ya pesa
It's time Africa to take Congo back Kwa sababu wazungu ndio chanzo wakongo wameshidwa ila wataelewa Tu. Serikali ya Kongo imeuwa vijana wake zaidi ya Mia .serikali yako inabidi Africa yote iungane
Huyu dio atakua wa kwanza kumalizwa
Jeshi la Congo ni jeshi Dhaifu sana..
Sanaa yani
Yaani hadi aibu😢😢
Wana jeshi kali la kucheza sebene.
Unajuwa kama jeshi la Tanzania nayo ilikuwepo?
Ampaka wa mercenaires walikuwepo jeshi la Congo siyo zaifu walipoteza iloshambuliyo Ila awakupoteza vita Ila bado linaanja
Hawana hata inteligency
Hawa jamaa wanataka kuchukua nchi nzima nn
❤❤❤❤❤
M23 oyeeee nawkubali sana hawa wazarendo.
Eti wazarendo , iyo "r" sio ya mkongomani iyo ,bendeni kwenu
Vema waendeleye hadi kileleni uongozi wa tchisekedi siyo nzuri sio wa amani ni vita zaa mara kwa mara sasa huu ndo muda wakujuwa nani mzaifu.kila mara watoto wanakatishwa shule,ajira zenyewe njo basi maendeleo yakuwaje.
Wanajua mayenu tu vita waqaachie Mashujaa wa Tz
Safi sana mtu kwao bwana
Achana na huyo kwasasa nimiaka 30 huwa anahogea hivyo anafikiri Congo ni nyumbani kwao rwanda. 😂😂😂 kwanza ameshindwa east ndo ataweza kinshasa akubuki yule aliye toka marecan kule wanamakucha kama ya vampires watamjacha vipande vipande bila kutumia chochote kile na wanaamu naye atari
Mambo nimagumu kwakweli ee mungu simama katika ichi yetu ya congo
Sasa ndugu hawa ni wazurii au wa bayaa naomba unieleweshi ndugu
Mungu with capital M
Ila kweli mna dharau Bora wanakongo wajitoe mhanga naamini Nangaa atakufa bila siku nyingi nakuapia na mungu akulaani na kagame wako shetani mkubwa
Yan wakongo wafanye mambo kama Al-shabaab tu nikiingia Rwanda kimagendo kulipua na kusepa
Kama Nia Tutsi wakongo jamani mnataka waende wapi? Kama Rwanda hakuna mashamba yao
Huyo nanga ndo mCongo tu hawa wengine ni wanyarwanda ila huyo na tudu lusu weni ni wamoja
Kazi kweli kweli
Someone Powerful yuko nyuma ya huyu mshenzi
Wanyoosheni tu mpaka vitambi vikwishe
M23 awana shida ila media sasa zinapiga prom za uzushi sana
Aaah mtajijua wenyewe
Safi sana, m23 wakombozi wa Congo
Badukuyangu nikusema Goma hakunatena soda wa kongo?
Ule kafiri ata lipa damu yawa congomani 🇨🇩🇨🇩😭😭😭
Huyu mjinga atapigwa soon! Subiri
Atapigwa na nani?
Wanajeshi wa Congo wamekata tamaa hawana moyo wa kupigana vita wanakimbia na kutupa silaa
M23 si magaidi nimeanza kuwaelewa sasa ni watu wazuri sana
Syo waasi hawa
Hawa M23 Rwanda anatumika tu kama bag la kutunzia rawama lakini mataifa mengi yapo nyuma yao hasa hao weupe ndo usiseme
ao jamaa ni vipi
kama mmeelewa, huyu anatumika, anampango wa kuimega gomq
Mapinduzi mapya yanategemewa ila amani ya kongo cjui😢
🤲🤲🙏🏽🇨🇩
Kumbe wako poa tu
Huyu jamaa alikua jeshini
Nakubali bado tanzania
Amka kwenye huo usingiziii 😂😂😂
Waafrika wanauana kuwafaidisha wazungu. Ndo kilichopo
Hajakua goma amekuwa rwanda
Mbona wamenawiri hao M23. Kuna sehemu wanapewa nguvu
Uyo alikuwa Rais wa cenateur mtu anatoka mu serikali anakuwa REBEL
Imenishtua hii habari
Serikali ya Congo waache unyang'anyi wa ardhi ya watusi ili kuachia raia waishi kwa amani
At Rwanda serena hotel
kagame kaona hii so ngoja awatoroshe wazungu wake kwao
Tunachoka na Felix tshisekedi...hana na mpango yoyote yakuendelesha inchi kimaendeleo..yeye na watu wake ni wizi nakuirudisha congo nyuma kimaendeleo tu
Wanaume
Wa kwanza leo
Matako ww wenzako wanahuzuni ww Una unaleta nyeusi
@Nestoemanuel laana na iwe juu yako na kizazi chako chote
Mm m23
Shseked kibalalka wa wazungu
Iinaskitsha sana jmbo ili s afrka anavwand ving ananufaika kwa madini y kongo
M23 rafk wa traole pia
Africa ukiwa mgania uhuru utaitwa gaidi😅
Kweli
DRC kama Syria
Awo wanaongozwa na kagame
inchi nyingi za africa saivi zimekuwa na mapinduzi ya kijeshi sijui kwa nini 🤔
inategemeana na mapinduzi yanafanywa na watu gani??
Africa mpaka itulie itachukua miaka zaidi ya 50.
Magonjwa ya Africa ni
Ukoloni mamboleo,
Ukabila
Uchu wa madaraka
Ufisadi,
Udini, Migogoro ya mipaka.
Yaani mpaka nachoka
Umeongea kiutimamu
Yaan ni vizazi na vizazi mambo ni hayo hayo
Kumekucha
Jeshi limeshindwa kulipua hio hotel
Rimeshindwa kbs
Bangeriripua
Mimi siku zote nitawalaumu waafrika wenzangu maana tunauwana wenyewe Kwa wenyewe kwa tamaa za kijinga...hakuna haja ya kuwalaumu wazungu...
@omondiowino7875ni kweli kuna baadhi ya waafrika wasio na akili wanasabisha vifo vya wenzetu lakini wapangaji wa vifi hivyo ni Ulaya na Marekani kwaajili ya kupata urahisi wa kuendesha viwanda vyao,Mungu awalaani wote wanaoshawishiwa kuwaua ndugu zao
Kumbe nao kama vile hamas na Hezbollah kuwa na wanasiasa
KABLA YA KUTANGAZA HII HABARI MLISOMA GEOGRAPHIA ILIOKO KATI GOMA KUIFIKIA KINSHASA AO NA NYIE PROPAGANDA ZA KIJINGA
Kabila mbona alifika huko akitokea Goma
Dah ndo nchi inamegwa hivyo
Watu milionimbili wewekweli nishoga
Kwa mawazo yangu congo inatakiwa igawanyike ziwe nchi mbili maana mashariki mwa kongo ni mbal zaid ya kilomita 1.5k kutoka kinshasa tamaduni na lugha ni tofauti, nikimaanisha waachen congo mashariki kuwa nchi huru maana wakaazi wa mashariki hawana ukabila kwamba huyu kabila hili na huyu kabila jingine
Mkoloni ndo aliharibu kugawa haya maeneo hakuzingatia makabila yao
Haha kufika Kinshasa itawachukuwa myika kumi 😂😂 kama mkoa mjo umewachukuwa miaka 3 bado imibaki mikoa 25
Miaka 30
Sasa
Wafike tuu
Kumbe mbali
WATANZANIA GONGA LIKE KWA AMANI YETU
Tumuombe Mungu tu maana kesho yetu hatujui
nyiye mutapigana nawaburundi mujuwekwamba ngambozakigoma nisehemu yaburundi ndio mutapambananawo ☝🏾
Hawaja amua kuja kuwapiga wakiamua wata kuja kuku chukua hapo kwako
@@uwimanacitegetse9926Waambie warundi wajaribu😂😂😂. Waambie waje kudai Kigoma yao
@@uwimanacitegetse9926Waambie warundi wajaribu😂😂😂. Waambie waje kudai Kigoma yao
Nanga anabaki nasiku ndogo zakuishi😅
Apo kuna mtego
Sio kweli chiz ww
Kumbe sio waasi sasa! Kwanini wanaitwa waasi wakati wanapigania haki? Kumbe serikali yao inaonekana mbovu ndiyo sababu ya yote wanapigania haki yao je, kwanini wanaitwa waasi? Hapo ndo nashindwa kuelewa!!!...
Kwani wakiibeba congo italejea amani hapana hii ni michezo ya wazungu😢😢😢
Anaitwa muasi kwasababu ANAENDA kinyume na utawala uliopo
We mtutsi punguza bangi
@@anny19988lakini everyone is mutusi, oooh God
@@Music-ze1teNyie wauwaji ndio watusi. Mliuana wenyewe hapo Rwanda sasahivi mmeenda kuua wakongo.
Da sisi wabongo kwa ushabiki tu hatujambo chimbuko la ugomvi huu ilianza mauaji ya rwanda 1994 ambapo warwanda wengi hasa watutsi walikimbilia mpakani ambapo mashariki ya kongo so wakazaliana hapo we sasa congo wakawa wanawatenga sana na kutowajali na kuwasukuma warudi rwanda so ili kukabiliana na wao kufukuzwa ikabidi waunde hio m23 sasa ili iwe ina oppose oppression wanayopata sasa magharibi wameona watumie iyo opportunity kwa mgongo wa rwanda ili wachukue eneo la mashariki ya congo ambayo ina madini mengi sana ya kutengemezea risasi, electronic devices etc.. so m23 na rwanda wanatumika na magharibi hasa ufaransa ili wachukue hilo eneo waigawe congo ili wafaidike kule mashariki.magharibi ndo wanachangia vita sana sana duniani na ndo wanawashabiki wengi
Siyo kweli nyoosha maelezo. M23 ni wacongo ingawa wanaongea kinyarwanda na kwao ni Mashariki ya Congo
Acha uongo. Watus walikuepo kabla ata mkutano wa Berlin wa kuligawa bara la Africa mwaka 1884. So ule mkutano ulivofanyka kwenye kuigawa ule mpk wa congo na Rwanda watus wakajkuta wametawanywa wengne wakawa congo wengne wakawa Rwanda ishu inakuja watus waliobak congo wananyanyaswa na kufukuzwa kwenye maeneo Yao na kuambiwa Walud kwao Rwanda wakat congo ndio sehemu waliozaliwa yan mfano mmakonde ni kabila la watu wenye asili ya msumbiji baada ya mipaka ya nchi kuundwa Kuna mmakonde akajikuta yupo tz na mwngne yupo msumbiji afu Leo watokee watu waseme wamakonde Walud kwao msumbiji unazan watakubal?? Icho ndo kinachotokea goma
Kasome history about Berlin conference, thank you
Uko sasa ila kuna wajinga umo wanaskrza upuuzi uko nakuja umo nakuanza kulopoka lopoka@@SundayMbatia-hr8qp
Tanzania muwetayari wakimaliza congo burundi Uganda Tayari wanakuja Tanzania . Empire Hima hima lazima ifanyiwe . Idéology iko . Be prepared
Empire fyoko fyoko. Waambie watuguse waone. Tanzania haitingishwiii
Ukweli ni kwamba vita yenu inamanufaa makubwa na tanzania. Hasa sisi watu wa kigoma tunapo skia mnapgana hua tunasherehekea
Unasherekea wewe tu. Umri wako mdogo. Kaangalie mapato ya Kigoma kabla ya vita miaka ya 1990s. Kabla hayo mataifa kuchafuka.
Maneno gani unaongea, unawezaje kumuombea jirani yako matatizo? Tafakari kauli zako mkuu
@mpjozzegalvanize4926 ukweli NI mchungu. Amini usiamini. Vita ya Congo inamanufaa makubwa kwetu. Hawapaswi kupinga kwani wao hawajui kama NI vibaya.
We muha acha mambo ya kijinga@@EmmanuelNyinyigwa-m1o
Kumbe wako fresh tuu na raia basi mororooo😢😢